Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Lema kaka yangu nikufarijije?

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 36
    1. #1
      MARCKO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th June 2011
      Posts : 1,429
      Rep Power : 688
      Likes Received
      157
      Likes Given
      0

      Default Lema kaka yangu nikufarijije?

      Kama Mungu yupo, kweli atakua anaona dhamira yangu dhidi yako kaka yangu. Nimekua nikifikiria sana kwamba kwa matatizo yaliyoikuta haki nchi hii katika jimbo lako yanaweza kukufanya ukajutiat kuwa mkweli na mpambanaji dhidi ya udhalimu wenye ncha kali namna hii kaka yangu!

      Kukuambia usiogope, pole, usisikitike, usihuzunike, hongera, na mengine mengi naona kama haitoshi!!. Wakikutana viongozi wawili au watatu wa serikali kwa ngazi yeyote kupitia CCM, wanasemezana namna ya kuondoa makucha ya Lema shingoni mwa ccm.

      Na kwa jinsi ulivyo chimbia makucha, kukutoa itakugarimu kama ulivyohisi tayari ili kunusuru CCM. Garama utakazoingia nipamoja na kutoa milimita nyingi za hymoglobine kuloanisha udongo au sakafu kaka yangu!

      Mimi nimeajiriwa na hii serikali ila umenijaza hasira mpaka nafikiria kuacha kazi niingie kwenye harakati za kukutetea wewe pamoja na wanasiasa wengine walio hatarini. Usirudi nyuma, maliza safari yako kishujaa, kwani hata ungaliishi miaka 100, usingaliepuka mauti ndugu yangu lema!

      Wanakuogopa kama panya wengi kwa paka mmoja kwa kapaka kadogo kamoja. Endelea kufuta tabasamu lako kwa 'injustices tanzania' maana sasa wanalaumu mama alokuzaa! ¤wana jf just say (yes or no) to this topic.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Pendael laizer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 945
      Rep Power : 561
      Likes Received
      90
      Likes Given
      5

      Default Re: Lema kaka yangu nikufarijije?

      Its true that Lema ni mpambanaji wakweli Tanzania hii.

    4. #3
      Bangoo's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 3rd November 2011
      Posts : 2,293
      Rep Power : 0
      Likes Received
      374
      Likes Given
      0

      Default Re: Lema kaka yangu nikufarijije?

      Ni kweli tuko nae bega kwa bega mh Lema, tunajua njama zinazofanywa na ccm ili kukukwamisha. Hakika nguvu ya MUNGU itawashinda na wataaibika. HAKI YA MTU HAIWEZI KUPOTEA ILA ITACHELEWESHWA.

    5. #4
      tedo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th August 2011
      Location : uchochoroni
      Posts : 5,517
      Rep Power : 4643
      Likes Received
      1261
      Likes Given
      880

      Default Re: Lema kaka yangu nikufarijije?

      Lazima watu kama hawa vitabu vya kumbukumbu ya maisha yao viandikwe. Go Lema.

    6. #5
      Baba Collin's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Posts : 444
      Rep Power : 483
      Likes Received
      58
      Likes Given
      18

      Default Re: Lema kaka yangu nikufarijije?

      to become a man is a reward.


    7. #6
      bhikola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 264
      Rep Power : 412
      Likes Received
      147
      Likes Given
      181

      Default Re: Lema kaka yangu nikufarijije?

      Lema bana ana maneno maneno huyu
      "Unaweza kufanya ngono - kuzini - sirini, lakini huwezi kuugua ukimwi sirini"
      "Wao wana fedha na usalama wa taifa na polisi na jeshi, sisi tuna Mungu na watu"

      nyingine naomba mniongezee...
      hayo ni maneno au falisafa nzito sana ukiamua kuzitafakari na kuziishi

      Tanzania, na haki kwa jamii kwanza
      Mungu atakupigania tu mzee
      jouneGwalu likes this.
      "to be a great thinker is to think critically" and "to think critically is to think differently from other thoughts"

    8. #7
      Barnabas Shadrack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2011
      Posts : 2,056
      Rep Power : 811
      Likes Received
      182
      Likes Given
      11

      Default Re: Lema kaka yangu nikufarijije?

      Eti Lema mpambanaji, kwa lipi hasa hadi aitwe mpambanaji?.
      The unseen is illustrated by the seen.
      Waberoya likes this.

    9. #8
      EL MAGNIFICAL's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2011
      Location : mbeya
      Posts : 857
      Rep Power : 686
      Likes Received
      103
      Likes Given
      1

      Default Re: Lema kaka yangu nikufarijije?

      tumuombee maisha marefu jamaa mbinu zingne zishafail.

    10. #9
      STK ONE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2011
      Location : Mpanda, Katavi Region
      Posts : 628
      Rep Power : 499
      Likes Received
      176
      Likes Given
      44

      Default Re: Lema kaka yangu nikufarijije?

      Quote By Barnabas Shadrack
      Eti Lema mpambanaji, kwa lipi hasa hadi aitwe mpambanaji?.
      The unseen is illustrated by the seen.

      Ushabiki mwingine wa KIJINGA kweli!!! Sasa unadhani nani atakusifu kwa ujinga huu? Kama unaona Lema siyo kitu kwako, ni KITU kwa wengine. Kwani lazima uchangie kila kitu? Watu wengine bana....au unatutafutia ban???? Lala kama umechoshwa na maisha magumu ya CCM na watawala wake!!!
      jouneGwalu likes this.
      HERI UKIMWI KULIKO CCM....BUT THE END IS ON THE WAY.....

    11. #10
      Barnabas Shadrack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2011
      Posts : 2,056
      Rep Power : 811
      Likes Received
      182
      Likes Given
      11

      Default

      Quote By STK ONE
      Ushabiki mwingine wa KIJINGA kweli!!! Sasa unadhani nani atakusifu kwa ujinga huu? Kama unaona Lema siyo kitu kwako, ni KITU kwa wengine. Kwani lazima uchangie kila kitu? Watu wengine bana....au unatutafutia ban???? Lala kama umechoshwa na maisha magumu ya CCM na watawala wake!!!
      Jf is the place where we dare to talk openly. We unataka nimpende ili nikuridhishe? naandika kile kilicho moyoni mwangu.
      The unseen is illustrated by the seen.
      Waberoya likes this.

    12. #11
      tara's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Posts : 188
      Rep Power : 388
      Likes Received
      61
      Likes Given
      97

      Default Re: Lema kaka yangu nikufarijije?

      Naomba kuuliza kama magogoni washamjibu kamanda Lema waraka alioandika..

    13. #12
      Waberoya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd August 2008
      Location : Busia-Uganda
      Posts : 5,948
      Rep Power : 1742
      Likes Received
      1518
      Likes Given
      2835

      Default Re: Lema kaka yangu nikufarijije?

      Ukweli wa Lema ni upi?

      Kusema mwanamke yule kapewa mimba na fulani? acheni ujinga msifikiri hizi ni mbao za matangazo ya ushabiki

      Lema is just another disaster in this country1

      siku zote akina mama wajawazito wanaheshimiwa , unasimama jukwaani unasema alipewa mimba na yule...badala ya kuuza sera za CHADEMA? halafu ndiye hero wenu?

      kama alilipenda jimbo alitakiwa kuwa makini na domo lake, after all mahamaka imejisafisha, mbona sehemu nyingi tu CHADEMA wameshinda?

      hivi nyie wenzetu akili mmeweka wapi?? kuweni realistic ujinga wa ushabiki huu ndio umeifanya CCM iwe hivi leo...use sense lets your parents feel they have you!!

      Kumbuka hii ni JF great thinking na hoja tu!
      Ngongo, The Boss and i pad3 like this.
      You are not supposed to be so blind with patrotism that you cant face reality. Wrong is wrong no matter who says it. Malcom X

    14. #13
      mandemba's Avatar
      Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Posts : 71
      Rep Power : 374
      Likes Received
      10
      Likes Given
      0

      Default Re: Lema kaka yangu nikufarijije?

      Quote By Barnabas Shadrack
      Eti Lema mpambanaji, kwa lipi hasa hadi aitwe mpambanaji?.
      The unseen is illustrated by the seen.
      Basi wasira,

    15. #14
      i pad3's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th March 2012
      Posts : 1,363
      Rep Power : 656
      Likes Received
      337
      Likes Given
      152

      Default Re: Lema kaka yangu nikufarijije?

      Lema anganyamaza tu ..anakuwa kama Maige bwana
      Waberoya likes this.
      Mola awe nanyi

    16. #15
      jouneGwalu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Location : Studio
      Posts : 2,341
      Rep Power : 969
      Likes Received
      1314
      Likes Given
      1755

      Default Re: Lema kaka yangu nikufarijije?

      Quote By Waberoya
      Ukweli wa Lema ni upi?

      Kusema mwanamke yule kapewa mimba na fulani? acheni ujinga msifikiri hizi ni mbao za matangazo ya ushabiki

      Lema is just another disaster in this country1

      siku zote akina mama wajawazito wanaheshimiwa , unasimama jukwaani unasema alipewa mimba na yule...badala ya kuuza sera za CHADEMA? halafu ndiye hero wenu?

      kama alilipenda jimbo alitakiwa kuwa makini na domo lake, after all mahamaka imejisafisha, mbona sehemu nyingi tu CHADEMA wameshinda?

      hivi nyie wenzetu akili mmeweka wapi?? kuweni realistic ujinga wa ushabiki huu ndio umeifanya CCM iwe hivi leo...use sense lets your parents feel they have you!!

      Kumbuka hii ni JF great thinking na hoja tu!
      Pamoja na hoja zako hizi zako zote hizi Wabes, sehemu moja unaposhindwa kujipambanua nikuwa ni kiasi gani gani unatarajia mambo kamilifu wengine wanaweza kuwa nayo katika harakati hizi mkuu.

      Naamini katika mapungufu yetu kama watu hapo ndio ninapomsamehe Lema ila wewe na Ngongo mna-muhukumu, kuna point nyembamba sana mnaipuuzia kuwa level ya inteligency haiwezi kuwa sawa kati ya Lema na Mnyika au na Zito ila michango yao inaweza kulingana kutokana na aina ya siasa ya nchi yetu na watu wetu ila yote katika kujenga chama cha demokrasia na maendeleo (rejea harakati za M4C toka ziasisiwe).

      Kwa point hii si sawa Wabes, ni lazima mrejee kwenye harakati za ujenzi wa Afrika huru enzi zile naomba mnitajie kiwango cha elimu cha Zuma na mchango wake kwa ANC.

      Kwanini leo hii mnataka kulazimisha Lema awe sawa na zito au mnyika wakati na nyie ni Great Thinkers pia?
      Unataka tuwe realistic? Sawa, hivi ni kweli kweli hujaona jema la Lema hata moja kweli? Naomba uniambie kuhusu msisimuko wa watu wa Atown na siasa za Atown umesababishwa na nini? Najua utataja factors zote ila ya mwisho lazima iwe Lema!

      Wakuu mnaomchukia Lema lazima tukubaliane kuwa hizi ni siasa za Africa mwisho wa siku, sio haki kumpima kwa vipimo vya siasa za ulaya au America. Hebu tumpime kwa siasa za africa na sana Tanzania kwa kuzingatia uzoba wa watu wake na wa historia yake.

      Hapa namaanisha katika kujenga siasa za harakati na kuwaamsha watu hawa kutoka kwenye huu uzoba na kulala (tunataka mtu wa namna gani?? Mi hapa naamini watz wanataka kiongozi wa mfano, sijui nyie)

      Najua siwezi kukushawishi wewe na Ngongo juu ya hili sababu watz kwenye hizi forums huwa tuna tabia za kuweka ligi ili usionekane umefunikwa ila mjue kuwa pamoja na chuki zetu juu ya CCM, ila kuna masuala tumeamua kusamehe na kuayachukulia kuwa yalikuwa ni makosa ya taifa (Tukirejea yote ya TANU).

      Namaanisha makosa ya TANU yalikuwa makubwa kuliko nyie mlivyoamua kumtundika Lema msalabani kwa makosa yake!!

      Mnasahau kuwa hamna mkamilifu kati yetu sababu tu ya ubinaadamu.

      Kwenye harakati za ukombozi wa taifa tunatafuta watu wenye manufaa kwenye eneo fulani na sio wenye mapungufu kwenye maeneo yote kama mnavyotaka kutuaminisha kuhusu Lema.

      Mapungufu ya Lema nayachukulia kama mapungufu ya kibinaadamu ambayo tukitaka kuchimba tutayapata kwa kila mtu hata hao mnaowaaminia nyie.

      Bado sijaona sababu ya kumtundika Lema msalabani kwenye harakati hizi zangu za mwisho!
      Waberoya, nrashu and bhikola like this.
      Music affect the lives!!

    17. #16
      KISAKA MORIS's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Posts : 367
      Rep Power : 430
      Likes Received
      30
      Likes Given
      42

      Default Re: Lema kaka yangu nikufarijije?

      Mungu ambariki sana

    18. #17
      Njoka Ereguu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Posts : 503
      Rep Power : 460
      Likes Received
      167
      Likes Given
      30

      Default Re: Lema kaka yangu nikufarijije?

      Mapambano bado yanaendelea, hakuna kulala

    19. #18
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,785
      Rep Power : 27113
      Likes Received
      10116
      Likes Given
      14055

      Default Re: Lema kaka yangu nikufarijije?

      kwenye kila jambo kuna jambo jema na baya nafikiri yale mazuri huwa yanatutia moyo n yale mabaya ndizo changamoto. Mimi sishabikii chama but ukweli Lema kuna mazuri sana aliyofanya hasa uhamasishaji wa siasa miongon mwa wana ARUSHA na kwingineko Tz lakini pia yapo ambayo huwa anakosea kama binadamu. Ila yeye ni binaadamu tusitegemee yaliyo mazuri tu toka kwake hata mabaya pii manake he is not an angel.

      kwangu mimi Mungu amuongezee hekima zaid ili katika siasa hizi basi amwishie yeye na siyo binadamu mwenzie. Kwa yeye kuwa mcha Mungu lazima apate upinzani sana tena amkumbuke Daudi n wengine.

    20. #19
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,207
      Rep Power : 2625
      Likes Received
      3000
      Likes Given
      13672

      Default

      May God bless GodBless Lema.

    21. #20
      democratic's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2011
      Posts : 1,602
      Rep Power : 819
      Likes Received
      278
      Likes Given
      52

      Default Re: Lema kaka yangu nikufarijije?

      Quote By i pad3
      Lema anganyamaza tu ..anakuwa kama Maige bwana
      lema akinyamaza basi hayo mawe yatapaaza sauti

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...