Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nape aunguruma Njombe....

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 42
    1. #1
      Shagiguku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th January 2010
      Location : Mwanza, Tanzania
      Posts : 338
      Rep Power : 543
      Likes Received
      63
      Likes Given
      13

      Default Nape aunguruma Njombe....

      Mh: Nape Nnauye ameunguruma leo jioni hapa mkoani Njombe katika mkutano wake wa hadhara uliohudhuriwa na ma-mia kwa maelfu ya wananchi na kuzungumzia juu ya masuala ya uundaji wa tume mbalimbali katika nchi yetu ambazo zimeleta tija kwa maendeleo ya taifa.

      Katika mkutano huo mh: Nnauye amewakemea watu wanaobeza jitihada za serikali katika kushughulikia mambo mbalimbali ambayo ni kero kwa wananchi.



      Hii ni taarifa kwa ufupi kwa wale ambao hawakuwepo ktk mkutano huo.

    2. Miaka 50

    3. #2
      TUMBIRI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2011
      Posts : 1,856
      Rep Power : 3633
      Likes Received
      1114
      Likes Given
      283

      Default re: Nape aunguruma Njombe....

      Quote By Shagiguku
      Nnauye amewakemea watu wanaobeza jitihada za serikali katika kushughulikia mambo mbalimbali ambayo ni kero kwa wananchi.
      Kiongozi mzuri ni yule anaeshawishi siyo kukemea. Nnauye Jr alipaswa awashawishi kwa hoja watu wanaobeza jitihada za serikali katika kushughulikia Mafisadi, Ugumu wa maisha na upatikanaji wa huduma za kijamii.

      TUMBIRI (PhD, Hull University - UK),

      [email protected]
      Hadha Min Fadhil Rhabi - Hizi ni Rehema za Mwenyezi Mungu

    4. #3
      KISAKA MORIS's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Posts : 367
      Rep Power : 430
      Likes Received
      30
      Likes Given
      42

      Default re: Nape aunguruma Njombe....

      Nape atachoka tu'

    5. #4
      Jasusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2006
      Posts : 10,617
      Rep Power : 2891
      Likes Received
      3837
      Likes Given
      12220

      Default re: Nape aunguruma Njombe....


      Hawa ndio mamia kwa maelfu? Hesabu tena.

    6. #5
      Honey K's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2008
      Posts : 628
      Rep Power : 521
      Likes Received
      67
      Likes Given
      0

      Default

      Hii sio picha ya Njombe, acha kuwadanganya watu. Mtapata tabu sana kudanganya watu kwani UONGO HAUDUMU!!


      Quote By Jasusi

      Hawa ndio mamia kwa maelfu? Hesabu tena.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Limbani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2008
      Location : Kisiwani
      Posts : 1,225
      Rep Power : 819
      Likes Received
      254
      Likes Given
      63

      Default

      Weka basi hiyo picha ya njombe unayodai ya ukweli tuone hao "mamia kwa maelfu"

      Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
      Jasusi likes this.

    9. #7
      Honolulu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 19th January 2012
      Posts : 720
      Rep Power : 0
      Likes Received
      284
      Likes Given
      0

      Default Re: Nape aunguruma Njombe....

      Kwa mahudhurio hayo... CCM kwisha kazi!!!! ha ha ha ha!!! Labda mtafute mganga mwingine awasaidie kwa ramli! Sheikh Yahya alikuwa anawafaa sana lakini sasa naona ameamua kuondoka na ninyi!!

    10. #8
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,175
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2994
      Likes Given
      13624

      Default

      Quote By Nnauye Jr
      Hii sio picha ya Njombe, acha kuwadanganya watu. Mtapata tabu sana kudanganya watu kwani UONGO HAUDUMU!!
      Uongo hujibiwa kwa ukweli, hebu weka iyo picha ya njombe tuone nani mkweli, otherwise we call it the last kick of the dying donkey.
      Upo bwana Nnauye Jr??
      Jasusi likes this.

    11. #9
      Honolulu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 19th January 2012
      Posts : 720
      Rep Power : 0
      Likes Received
      284
      Likes Given
      0

      Default Re: Nape aunguruma Njombe....

      Ama kweli Nape na CCM ni kama kupe:
      Ng'ombe anachinjwa kupe hana habari!
      Ng'ombe anachunwa kupe hana habari!
      Ngozi inawambwa kupe hana habari!
      Ngozi ikianza kukauka kupe ndo anastuka!
      Alaa! Huyu ngo’mbe kumbe keshachinjwa!
      Daffi likes this.

    12. #10
      Johnbosco Mligo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Posts : 33
      Rep Power : 365
      Likes Received
      4
      Likes Given
      3

      Default Re: Nape aunguruma Njombe....

      wewe uliyeanzisha thread hii, yafaa sana uweke ukweli wa mambo kama ulivyo!

      kama watu mliowakodi kwa kuwapa pesa za mafuta ya pikipiki na magari ili waongeze uwingi wa watu, walifikia maelfu, basi haujakosea sana!

    13. #11
      dubu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2011
      Posts : 2,396
      Rep Power : 960
      Likes Received
      583
      Likes Given
      143

      Default

      Quote By Nnauye Jr
      Hii sio picha ya Njombe, acha kuwadanganya watu. Mtapata tabu sana kudanganya watu kwani UONGO HAUDUMU!!
      tuwekee picha za ukweli acha kulalamika. sisi tunaamin kile tunacho kiona.

    14. #12
      Masanilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2007
      Location : Swat valley, Keta Keta
      Posts : 19,059
      Rep Power : 5467
      Likes Received
      3486
      Likes Given
      1900

      Default Re: Nape aunguruma Njombe....

      Mbuzi hawezi unguruma!!!

    15. #13
      Joblube's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2011
      Posts : 270
      Rep Power : 470
      Likes Received
      98
      Likes Given
      0

      Default Re: Nape aunguruma Njombe....

      Quote By Jasusi

      Hawa ndio mamia kwa maelfu? Hesabu tena.
      Hata kwenye blog ya Mjengwa kaweka picha hii sasa nani muongo na yeye ni CCM
      Jasusi likes this.

    16. #14
      Mmwaminifu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Posts : 885
      Rep Power : 720
      Likes Received
      134
      Likes Given
      19

      Default

      Quote By Nnauye Jr
      Hii sio picha ya Njombe, acha kuwadanganya watu. Mtapata tabu sana kudanganya watu kwani UONGO HAUDUMU!!
      Hahahaaa, mkuu weka picha basi za ukweli na uweke data walioletwa kwa fuso from Uwemba, Iwungilo, Lugenge, Matola, Boimanda, Kifanya, Lupembe na Wangama. Maana alipokuja JK wenu mliniboa kweli, nusura nikose hela kwani fuso zote za kubebea viazi mmepakia watu. Nonsense!

    17. #15
      Ndekirhepva's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th May 2012
      Location : Lubumbash
      Posts : 304
      Rep Power : 413
      Likes Received
      27
      Likes Given
      77

      Default Re: Nape aunguruma Njombe....

      jipangeni

    18. #16
      zaleo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2011
      Posts : 791
      Rep Power : 535
      Likes Received
      234
      Likes Given
      528

      Default Re: Nape aunguruma Njombe....

      Mbwa mwitu abweka mjini
      “Mtu anaweza kuzini kwa siri lakini hawezi kuugua ukimwi kwa siri” by Hon Lema, MP - Arusha

    19. #17
      Elia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2009
      Location : magogoni
      Posts : 3,173
      Rep Power : 1111
      Likes Received
      484
      Likes Given
      823

      Default Re: Nape aunguruma Njombe....

      Tunasubiri ukweli sasa (kama upo)!
      "Honesty is very expensive gift. Do not expect it from cheap people".
      -Warren Buffet


    20. #18
      wikolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Posts : 454
      Rep Power : 526
      Likes Received
      131
      Likes Given
      59

      Default Re: Nape aunguruma Njombe....

      Quote By Nnauye Jr
      Hii sio picha ya Njombe, acha kuwadanganya watu. Mtapata tabu sana kudanganya watu kwani UONGO HAUDUMU!!
      Mkuu, kwa kazi yako ya uenezi ulitakiwa wewe ndo utuletee hii habari pamoja na hizo picha unazodai ni halisi. Unapoanza na wewe kulalamika kwa mtindo huu inakuwa inapoteza maana kabisa. Ni ushauri tu lakini.
      CAMARADERIE likes this.

    21. #19
      CAMARADERIE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd March 2011
      Location : 1 Luthuli Street
      Posts : 4,163
      Rep Power : 2719
      Likes Received
      1587
      Likes Given
      1145

      Default Re: Nape aunguruma Njombe....

      Quote By Nnauye Jr
      Hii sio picha ya Njombe, acha kuwadanganya watu. Mtapata tabu sana kudanganya watu kwani UONGO HAUDUMU!!
      Na hii je?

      A compliment is something like a kiss through a veil




    22. #20
      CAMARADERIE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd March 2011
      Location : 1 Luthuli Street
      Posts : 4,163
      Rep Power : 2719
      Likes Received
      1587
      Likes Given
      1145

      Default Re: Nape aunguruma Njombe....

      Mikutano yako ni na wazee tu? ANYWAY UTAPATA THAWABU KWA KUWAPA BRAND NEW T-SHIRTS!

      A compliment is something like a kiss through a veil




    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...