Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nape aunguruma Njombe....

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 42
    1. #1
      Shagiguku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th January 2010
      Location : Mwanza, Tanzania
      Posts : 339
      Rep Power : 543
      Likes Received
      65
      Likes Given
      13

      Default Nape aunguruma Njombe....

      Mh: Nape Nnauye ameunguruma leo jioni hapa mkoani Njombe katika mkutano wake wa hadhara uliohudhuriwa na ma-mia kwa maelfu ya wananchi na kuzungumzia juu ya masuala ya uundaji wa tume mbalimbali katika nchi yetu ambazo zimeleta tija kwa maendeleo ya taifa.

      Katika mkutano huo mh: Nnauye amewakemea watu wanaobeza jitihada za serikali katika kushughulikia mambo mbalimbali ambayo ni kero kwa wananchi.



      Hii ni taarifa kwa ufupi kwa wale ambao hawakuwepo ktk mkutano huo.

    2. RukaaJuu Final

    3. #21
      Advocate Jasha's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th January 2007
      Posts : 715
      Rep Power : 1004
      Likes Received
      161
      Likes Given
      333

      Default Re: Nape aunguruma Njombe....

      Quote By Nnauye Jr
      Hii sio picha ya Njombe, acha kuwadanganya watu. Mtapata tabu sana kudanganya watu kwani UONGO HAUDUMU!!
      Ni uwenda wazimu na usanii kwa CCM kujibu hoja za CHADEMA kwa mikutano katika majukwaa.CCM ndiyo iliyopo madaraka inamiliki vyombo vyote vya dola n.k.Kupanda majukwaani na kuiba nyimbo za kupiga vita rushwa,ufisadi ,uwajibikaji ni kuwakebehi wananchi.Nani anaewazuaia kwachukulia hatua wahusika?

    4. #22
      Hingi Jr's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th April 2012
      Posts : 92
      Rep Power : 374
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: Nape aunguruma Njombe....

      Hongera sana Nape kwa kuwapa wakati mgumu wanaodhani CDM pekee ndio wenye haki ya kufanya mikutano na wananchi.Kwa hali ilivyo wana CDM wengi wanajidanganya sana wakiona watu wamenda kuwasikiliza utumbo wao na kuzani wameisha shinda uchaguzi.Wasubili wataona 2015 jinsi majimbo yote muhimu yatakavyorudi CCM na Ushindi wa Kishindo katika kila nafasi CCM iliyoweka mgombea.

    5. #23
      Hingi Jr's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th April 2012
      Posts : 92
      Rep Power : 374
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: Nape aunguruma Njombe....

      CDM watasubili sana kwani CCM ni chama chenye dira,malengo mazuri na nia ya kuisaidia Tanzania na watanzania wote bila kuwagawa na mambo ya ukanda.Kwa sisi waelewa ukifanya mahesabu ya kawaida kabisa utapata majibu kuwa CCM iko juu sana ktk sehemu zote za nchi yetu Tanzania na ina wanachama na wakereketwa wasiyoyumba kwa kufuata upepo.Hakuna aliyewahi kuwa na Nguvu kutika upinzani kama Mrema lakini aliishia wapi?Nawapa pole sana wana CDM kwani watapata ugonjwa wa moyo mwaka 2015.CCM JANA-LEO-NA KESHO.

    6. #24
      sekulu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Location : loading...
      Posts : 804
      Rep Power : 587
      Likes Received
      85
      Likes Given
      65

      Default

      Quote By Shagiguku
      Mh: Nape Nnauye ameunguruma leo jioni hapa mkoani Njombe katika mkutano wake wa hadhara uliohudhuriwa na ma-mia kwa maelfu ya wananchi na kuzungumzia juu ya masuala ya uundaji wa tume mbalimbali katika nchi yetu ambazo zimeleta tija kwa maendeleo ya taifa.

      Katika mkutano huo mh: Nnauye amewakemea watu wanaobeza jitihada za serikali katika kushughulikia mambo mbalimbali ambayo ni kero kwa wananchi.



      Hii ni taarifa kwa ufupi kwa wale ambao hawakuwepo ktk mkutano huo.
      Tangu mwaka 1961 wamekua wakiunguruma, leo hii bado wanaunguruma wanaungurumia nini?. Na wakiunguruma nani anaogopa?
      sosoliso likes this.

    7. #25
      sekulu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Location : loading...
      Posts : 804
      Rep Power : 587
      Likes Received
      85
      Likes Given
      65

      Default

      Quote By Hingi Jr
      Hongera sana Nape kwa kuwapa wakati mgumu wanaodhani CDM pekee ndio wenye haki ya kufanya mikutano na wananchi.Kwa hali ilivyo wana CDM wengi wanajidanganya sana wakiona watu wamenda kuwasikiliza utumbo wao na kuzani wameisha shinda uchaguzi.Wasubili wataona 2015 jinsi majimbo yote muhimu yatakavyorudi CCM na Ushindi wa Kishindo katika kila nafasi CCM iliyoweka mgombea.
      Iko wazi kabisa kwamba Nyani anapokufa yeye huwa hajui ila wanaomuona hujua yanayomsibu na mwisho wake.

    8. Miaka 50

    9. #26
      sekulu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Location : loading...
      Posts : 804
      Rep Power : 587
      Likes Received
      85
      Likes Given
      65

      Default

      Quote By Hingi Jr
      CDM watasubili sana kwani CCM ni chama chenye dira,malengo mazuri na nia ya kuisaidia Tanzania na watanzania wote bila kuwagawa na mambo ya ukanda.Kwa sisi waelewa ukifanya mahesabu ya kawaida kabisa utapata majibu kuwa CCM iko juu sana ktk sehemu zote za nchi yetu Tanzania na ina wanachama na wakereketwa wasiyoyumba kwa kufuata upepo.Hakuna aliyewahi kuwa na Nguvu kutika upinzani kama Mrema lakini aliishia wapi?Nawapa pole sana wana CDM kwani watapata ugonjwa wa moyo mwaka 2015.CCM JANA-LEO-NA KESHO.
      Mnawapa shida sana wananchi!!!, wala sio CDM na ndo akili zenu zilivo badala ya kufanya kazi ili wananchi wawakubali nyie mnafanya mambo CDM wakasirike au kuwapa CDM ugonjwa wa ROHONI. Nansens!!!!

    10. #27
      BONGOLALA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2009
      Posts : 4,861
      Rep Power : 1469
      Likes Received
      1005
      Likes Given
      128

      Default Re: Nape aunguruma Njombe....

      Unasifia TUME?jee umewaambia wananchi zimetumia gharama kiasi gani?na mmetekeleza ushauri wa tume anza na jaji kisanga

    11. #28
      kichomiz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 4,053
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      652
      Likes Given
      80

      Default

      Quote By Nnauye Jr
      Hii sio picha ya Njombe, acha kuwadanganya watu. Mtapata tabu sana kudanganya watu kwani UONGO HAUDUMU!!
      Nape ni maendeleo gani chama chako kimeyafanya kulingana na lasirimali tulizonazo?
      Acha kudanganya watu,chama chenyewe hakina mwelekeo mmejaa wachumia matumbo tupu,
      hakuna maendeleo yoyote mlioyafanya zaidi ya kuhujumu mali za umma.

    12. #29
      Kashaijabutege's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 20th October 2010
      Location : Kabuteigi
      Posts : 1,918
      Rep Power : 823
      Likes Received
      371
      Likes Given
      241

      Default Re: Nape aunguruma Njombe....

      Quote By Hingi Jr
      Hongera sana Nape kwa kuwapa wakati mgumu wanaodhani CDM pekee ndio wenye haki ya kufanya mikutano na wananchi.Kwa hali ilivyo wana CDM wengi wanajidanganya sana wakiona watu wamenda kuwasikiliza utumbo wao na kuzani wameisha shinda uchaguzi.Wasubili wataona 2015 jinsi majimbo yote muhimu yatakavyorudi CCM na Ushindi wa Kishindo katika kila nafasi CCM iliyoweka mgombea.
      Kumbe CHADEMA ilichukua majimbo muhimu?
      Jasusi likes this.
      NAKUSHUKURU MUNGU KWA KUIADHIBU CCM MCHANA KWEUPE, BABA NINAKUOMBA UZIDI KUWAUMBUA, KWA KUYAWEKA WAZI MCHANA WANAYOYAFANYA USIKU. OMBI KWA MUNGU: MUNGU WEWE NI MWEZA WA YOTE, NA SIKU ZOTE UNAYASIKILIZA MAOMBI YA WAKUCHAO, NAKUOMBA UKAFUNGE NGUVU ZA GIZA ZINAZOINYEMELEA M4C; NA UVUNJE MIPANGO YOTE YA MASHETANI WALIOPO NDANI YA CHADEMA. AMINA

    13. #30
      agatony8l's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th October 2010
      Posts : 392
      Rep Power : 513
      Likes Received
      89
      Likes Given
      52

      Default Re: Nape aunguruma Njombe....

      Quote By Shagiguku
      Mh: Nape Nnauye ameunguruma leo jioni hapa mkoani Njombe katika mkutano wake wa hadhara uliohudhuriwa na ma-mia kwa maelfu ya wananchi na kuzungumzia juu ya masuala ya uundaji wa tume mbalimbali katika nchi yetu ambazo zimeleta tija kwa maendeleo ya taifa.

      Katika mkutano huo mh: Nnauye amewakemea watu wanaobeza jitihada za serikali katika kushughulikia mambo mbalimbali ambayo ni kero kwa wananchi.



      Hii ni taarifa kwa ufupi kwa wale ambao hawakuwepo ktk mkutano huo.
      Mtoa taarifa tuambie hao mamia kwa maelfu walibebwa na malori au????

    14. #31
      kichomiz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 4,053
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      652
      Likes Given
      80

      Default

      Quote By Hingi Jr
      CDM watasubili sana kwani CCM ni chama chenye dira,malengo mazuri na nia ya kuisaidia Tanzania na watanzania wote bila kuwagawa na mambo ya ukanda.Kwa sisi waelewa ukifanya mahesabu ya kawaida kabisa utapata majibu kuwa CCM iko juu sana ktk sehemu zote za nchi yetu Tanzania na ina wanachama na wakereketwa wasiyoyumba kwa kufuata upepo.Hakuna aliyewahi kuwa na Nguvu kutika upinzani kama Mrema lakini aliishia wapi?Nawapa pole sana wana CDM kwani watapata ugonjwa wa moyo mwaka 2015.CCM JANA-LEO-NA KESHO.
      We ni mpumbavu usiyejitambua,
      ndugu zako wanateseka kwa sabababu ya unyonyaji wa CCM,wewe kwa kuwa umepewa ujira kidogo umeamua kuishangilia?
      We ni kupe tu wakati wowote utadondoka,
      punde ngozi itakapo kauka.

    15. #32
      SILENT WHISPER's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th June 2009
      Posts : 2,048
      Rep Power : 917
      Likes Received
      572
      Likes Given
      159

      Default Re: Nape aunguruma Njombe....

      Quote By CAMARADERIE
      Mikutano yako ni na wazee tu? ANYWAY UTAPATA THAWABU KWA KUWAPA BRAND NEW T-SHIRTS!

      SISIEM INAONDOKA NA HICHO KIZAZI..! HAO WAZEE WANAAMINI RAIS BADO NI NYERERE..! ndio bahati yako nape!
      POLITICIAN, ONE WHO SHAKES YOUR HAND BEFORE ELECTION AND YOUR CONFIDENCE LATER

    16. #33
      Fidel80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 19,064
      Rep Power : 9500
      Likes Received
      3184
      Likes Given
      1232

      Default Re: Nape aunguruma Njombe....

      **^^+..Ukiuza Utumbo usiogope nzi..+^^**
      Chuda Raha
      Email: [email protected]

    17. #34
      KirilOriginal's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th February 2012
      Posts : 659
      Rep Power : 586
      Likes Received
      185
      Likes Given
      100

      Default

      Quote By Hingi Jr
      Hongera sana Nape kwa kuwapa wakati mgumu wanaodhani CDM pekee ndio wenye haki ya kufanya mikutano na wananchi.Kwa hali ilivyo wana CDM wengi wanajidanganya sana wakiona watu wamenda kuwasikiliza utumbo wao na kuzani wameisha shinda uchaguzi.Wasubili wataona 2015 jinsi majimbo yote muhimu yatakavyorudi CCM na Ushindi wa Kishindo katika kila nafasi CCM iliyoweka mgombea.
      Magamba mmebakia kupigana vikumbo na kuwamaliza watz kwa kila mbinu chafu hamtujali lenu ni mmedhamiria kukanyaga chochote kinachoikosoa ccm.

    18. #35
      Capt Tamar's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2011
      Posts : 1,706
      Rep Power : 1036
      Likes Received
      414
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By sekulu
      Mnawapa shida sana wananchi!!!, wala sio CDM na ndo akili zenu zilivo badala ya kufanya kazi ili wananchi wawakubali nyie mnafanya mambo CDM wakasirike au kuwapa CDM ugonjwa wa ROHONI. Nansens!!!!
      Hebu niulizie kwa huyo kupe.Mrema alipata wabunge wangapi vile?au upinzani ni kelele na kugawa kanga?aseme hivihakuna upinzani uliowahi kuwa mkali kama huu tokea enzi za mrema

    19. #36
      Baba Collins's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2011
      Location : Naabi Gate
      Posts : 455
      Rep Power : 478
      Likes Received
      74
      Likes Given
      269

      Default Re: Nape aunguruma Njombe....

      Maskini Nape umebaki mwenyewe,wenzio wameshachoka kama chama chao.
      'Mwoga hana makovu'

    20. #37
      sosoliso's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2009
      Location : Mwembekiuno
      Posts : 2,817
      Rep Power : 17959
      Likes Received
      1607
      Likes Given
      1542

      Default Re: Nape aunguruma Njombe....

      Quote By Nnauye Jr
      Hii sio picha ya Njombe, acha kuwadanganya watu. Mtapata tabu sana kudanganya watu kwani UONGO HAUDUMU!!
      Haya Nape hiyo sio picha ya Njombe.. Kokote ulipofanyia mkutano bado inabeba taswira ile ile.. Wananchi hawana geni watakalolicikia toka kwenu.. Kwa miaka hamsini nyimbo zenu ni zile zile..

    21. #38
      Man KKK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Location : Ndani ya Laptop
      Posts : 788
      Rep Power : 517
      Likes Received
      94
      Likes Given
      45

      Default Re: Nape aunguruma Njombe....

      Msimlaum jamani, hakwenda na msanii yoyote sasa mlitaka watu wajae vp??

    22. #39
      mpigilie's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th September 2011
      Posts : 229
      Rep Power : 434
      Likes Received
      57
      Likes Given
      26

      Default Re: Nape aunguruma Njombe....

      Duuuh kumbe mkutano uliudhuriwa na matano kwa makumi ya wazee na watoto wachaaaaaaache manake hata watoto nao siku hizi wameshtuka hawadanganyiki

    23. #40
      suleym's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 629
      Rep Power : 565
      Likes Received
      176
      Likes Given
      120

      Default Re: Nape aunguruma Njombe....

      nape ingekuwa bora kama ungekanusha kwa kuweka uthibitisho kuwa ile haikuwa picha ya njombe weka uthibisho kukanusha hiki la sivyo itakuwa kioja kukanusha kitu bila ya kuwa na ushahidi mbadala. nai kazi rahisi kabisa mtu akiweka kitu ambacho unadhani si cha kweli weka kilicho kweli hapo utakuwa umevunja mzizni wa fitina siasa ni hoja na ushahidi 2.
      Ruge Opinion likes this.

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...