Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Bajeti ijayo ni trilioni 15; nini maoni yako?

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 66
    1. #1
      Bado Kidogo 2015's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th May 2012
      Posts : 186
      Rep Power : 393
      Likes Received
      58
      Likes Given
      11

      Default Bajeti ijayo ni trilioni 15; nini maoni yako?

      Wanajamvi kwa pamoja, heshima zenu.

      Nimeshwawishika kuandika uzi huu baada ya magazeti mengi ya leo kuandika bajeti ijayo ya 2012/2013 itakuwa 15trl na hapa nalinukuu gazeti la Mwananchi "BAJETI ya Serikali ya mwaka 2012/2013 inatarajiwa kutumia Sh15 trilioni katika vipaumbele saba ikilinganishwa na Sh13.5 trilioni zilizotengwa mwaka 2011/212"

      Suala la msingi katika uzi wangu ni hili. Hivi hii bajeti ni ya kuongeza figure tu au ina lengo la kumkomboa mwananchi wa chini? Mwaka jana wa fedha bajeti ya 13trl ni bajeti ilikuwa inaonekana kama mkombozi lakini katika bajeti hewa nadhani ile ilikuwa inaongoza.

      Mpaka hivi sasa taasisi nyingi za serikali zipo hoi yaani zinashindwa hata kujiendesha kwa vitu vidogo vidogo, almost kila kitu kinakwenda kwa mkopo!!!!

      Ukiacha hilo, miradi ya maendeleo ndiyo safari hii haikuguswa kabisa. Mingi ni kama imetelekezwa kutokana na uhaba wa fedha toka serikalini. Ikumbukwe bajeti hiyo haikutengenewa fedha ya mradi wa miaka 15 ambao ulizua balaa bungeni kwa nini uzinduliwe mwaka huu (2011/2012) lakini fedha yake isitengwe katika bajeti hiyo hali iliyoilazimu serikali kutoa majibu ya ziada.

      Kutokana na baadhi ya ushahidi huo nashawishika kusema bajeti ijayo ya 15trl isn just a figure but nothing.

      Nakaribisha maoni yenu wakuu.
      Last edited by Bado Kidogo 2015; 5th June 2012 at 08:35.
      Mzee Mwanakijiji likes this.


    2. #2
      Kakulwa P's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th February 2012
      Posts : 201
      Rep Power : 411
      Likes Received
      69
      Likes Given
      10

      Default re: Bajeti ijayo ni trilioni 15; nini maoni yako?

      Hapo hakuna bajeti ni madudu tu ambayo ni kila mwaka yanapitishwa kwa mbwembwe tunaambiwa ni bajeti ya wananchi.

      Maana yangu ni kuwa Matumizi ni 10trllioni na fedha za maendeleo 5trilion hivyo bajeti ya ulaji tuuuuuuu maendeleo kiduchu. Inawezekana uelewa wangu ni mdogo lakini maendeleo ni mazuri kuliko chumia tumbo.

      Nashukuru mleta mada jamvini wadau watatoa maoni yao. Nasikia wizara ya uchukuzi bajeti ya mwaka unaoisha wameweza kuifanyia kazi 40% tu 60%hakuna utekelezaji wowote pesa kwishneii!!!!!!

    3. #3
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,660
      Rep Power : 4023
      Likes Received
      2942
      Likes Given
      5072

      Default re: Bajeti ijayo ni trilioni 15; nini maoni yako?

      How do we raise that amount of money? Mbona bajeti hii tumeshindwa kwa kiasi kikubwa kutoa hela la shughuli za maendeleo kama tulivyopanga kwenye bajeti? Tukiwa serious kukusanya kodi na kupunguza misahama na rushwa au kukwepa ulipaji kodi, labda we can achieve.
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    4. #4
      Bado Kidogo 2015's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th May 2012
      Posts : 186
      Rep Power : 393
      Likes Received
      58
      Likes Given
      11

      Default Re: Bajeti ijayo ni trilioni 15; nini maoni yako?

      Quote By Kakulwa P View Post
      Hapo hakuna bajeti ni madudu tu ambayo ni kila mwaka yanapitishwa kwa mbwembwe tunaambiwa ni bajeti ya wananchi.

      Maana yangu ni kuwa Matumizi ni 10trllioni na fedha za maendeleo 5trilion hivyo bajeti ya ulaji tuuuuuuu maendeleo kiduchu. Inawezekana uelewa wangu ni mdogo lakini maendeleo ni mazuri kuliko chumia tumbo.

      Nashukuru mleta mada jamvini wadau watatoa maoni yao. Nasikia wizara ya uchukuzi bajeti ya mwaka unaoisha wameweza kuifanyia kazi 40% tu 60%hakuna utekelezaji wowote pesa kwishneii!!!!!!
      Kakulwa P,

      Nilichokiona katika utekelezaji wa bajeti ya 2011/2012 ndicho kinachonifanya niamini kuwa hata hii ya 2012/2013 bado itakuwa usanii.

      Naanza kuwapa pole hasa wafanyakazi wa serikali ambao wanategemea miijuza katika bajeti pamoja na wananchi wote kwa ujumla.

    5. #5
      dosama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th December 2010
      Posts : 736
      Rep Power : 577
      Likes Received
      296
      Likes Given
      1

      Default Re: Bajeti ijayo ni trilioni 15; nini maoni yako?

      Hivi hazina walisema kuna sh ngapi vile kwa mda ganip? Sasa hizo trillion 15 wamezitoa wapi? Hilo changa la macho kuhadaa umma


    6. #6
      Kashaijabutege's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 20th October 2010
      Location : Kabuteigi
      Posts : 1,952
      Rep Power : 833
      Likes Received
      382
      Likes Given
      241

      Default Re: Bajeti ijayo ni trilioni 15; nini maoni yako?

      Quote By Bado Kidogo 2015 View Post
      Wanajamvi kwa pamoja, Nakarabisha maoni wakuu.
      Mzee Jangala at work.
      anders batta likes this.
      NAKUSHUKURU MUNGU KWA KUIADHIBU CCM MCHANA KWEUPE, BABA NINAKUOMBA UZIDI KUWAUMBUA, KWA KUYAWEKA WAZI MCHANA WANAYOYAFANYA USIKU. OMBI KWA MUNGU: MUNGU WEWE NI MWEZA WA YOTE, NA SIKU ZOTE UNAYASIKILIZA MAOMBI YA WAKUCHAO, NAKUOMBA UKAFUNGE NGUVU ZA GIZA ZINAZOINYEMELEA M4C; NA UVUNJE MIPANGO YOTE YA MASHETANI WALIOPO NDANI YA CHADEMA. AMINA

    7. #7
      Technician's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th March 2010
      Posts : 797
      Rep Power : 628
      Likes Received
      192
      Likes Given
      163

      Default Re: Bajeti ijayo ni trilioni 15; nini maoni yako?

      Tukishindwa kabisa kupata kodi ya kutosha kuendesha serikali tutaenda kwa mjomba Obama tumpatie eneo la kulima atupe pesa ya kuendesha nchi tetehteet
      Quote By Ndahani View Post
      How do we raise that amount of money? Mbona bajeti hii tumeshindwa kwa kiasi kikubwa kutoa hela la shughuli za maendeleo kama tulivyopanga kwenye bajeti? Tukiwa serious kukusanya kodi na kupunguza misahama na rushwa au kukwepa ulipaji kodi, labda we can achieve.
      Ndahani likes this.
      The best lovers are those with well developed sensitivity and a wide imagination.

    8. #8
      Bado Kidogo 2015's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th May 2012
      Posts : 186
      Rep Power : 393
      Likes Received
      58
      Likes Given
      11

      Default Re: Bajeti ijayo ni trilioni 15; nini maoni yako?

      Kama sijakosea bajeti ya 2011/2012 matumizi ya kawaida (recurrent expenditure) ilikuwa ni 9trl na balance ni maendeleo wakati mapato yetu tulikuwa tunategemea kupata almost 6trl (3trl deficit from recurrent exp.).

      Kiutendaji mara nyingi ukisema unatarajia kukusanya 6trl unaweza usifike, kukawa na deviation kidogo. Sasa bajeti ile tu imetushinda na kiashiria kibaya sana ni ukuaji wa deni la taifa ambalo saizi linakadiriwa kuzidi 35% ya GDP yetu!!!!!

      Hii inamananisha kuwa matapo ya ndani ni madogo hivyo kulazimika kukopa nje ili kuweza kuendesha shughuli za kawaida. Hii ni hatari sana.

    9. #9
      Olaigwanani lang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2012
      Posts : 356
      Rep Power : 825
      Likes Received
      55
      Likes Given
      385

      Default Re: Bajeti ijayo ni trilioni 15; nini maoni yako?

      asilimia kubwa huishia kwenye chai na posho tuu......
      wabunge wa magamba badala ya kuelekeza iweje watabaki kukandia mikutano ya M4C...

    10. #10
      Bado Kidogo 2015's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th May 2012
      Posts : 186
      Rep Power : 393
      Likes Received
      58
      Likes Given
      11

      Default Re: Bajeti ijayo ni trilioni 15; nini maoni yako?

      Quote By Kashaijabutege View Post
      By Bado Kidogo 2015 Wanajamvi kwa pamoja, Nakarabisha maoni wakuu.

      Mzee Jangala at work.
      Kashaijabutege tema hoja hizo ni typing errors.

    11. #11
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,613
      Rep Power : 46736
      Likes Received
      16712
      Likes Given
      8546

      Default Re: Bajeti ijayo ni trilioni 15; nini maoni yako?

      Bajeti ya Tanzania ni ndogo sana; trilioni 15 ni sawa na dola bilioni kama 13 hivi ambazo kwa kweli hazitoshi kabisa. Yaani bajeti yetu haifikii bajeti ya Jiji la NY! Binafsi naamini tunahitaji bajeti isiyopungua bilioni 50 dola kwa mwaka na tutakuwa tunaweza kuona matokeo katika mabadiliko ya quality of life kwa watu wengi zaidi tutakapoanza kufikia bajeti ya bilioni 100 dola! Hii ya bilioni 13 ni bajeti ya wavivu wa kufikiri, wazembe wa kupanga na goigoi wa kutenda. Hatupendi kufikiri juu ya uwezo wetu!
      [email protected]
      The Best of Tanzanian Socio-Political Blogging - http://www.mwanakijiji.com

    12. #12
      Bado Kidogo 2015's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th May 2012
      Posts : 186
      Rep Power : 393
      Likes Received
      58
      Likes Given
      11

      Default Re: Bajeti ijayo ni trilioni 15; nini maoni yako?

      Quote By Olaigwanani lang View Post
      asilimia kubwa huishia kwenye chai na posho tuu......
      wabunge wa magamba badala ya kuelekeza iweje watabaki kukandia mikutano ya M4C...
      Kwa mtaji huu waandae vikao vingi sana kutetea bajeti kupita maana naona wazi bungeni nwiki ijayo hapatatosha kabisa. Kila mbunge ameshituka kuwa 2015 siyo salama kama hatatetea wananchi ambao ndiyo waliomtuma.

    13. #13
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,660
      Rep Power : 4023
      Likes Received
      2942
      Likes Given
      5072

      Default Re: Bajeti ijayo ni trilioni 15; nini maoni yako?

      Quote By Mzee Mwanakijiji View Post
      Bajeti ya Tanzania ni ndogo sana; trilioni 15 ni sawa na dola bilioni kama 13 hivi ambazo kwa kweli hazitoshi kabisa. Yaani bajeti yetu haifikii bajeti ya Jiji la NY! Binafsi naamini tunahitaji bajeti isiyopungua bilioni 50 dola kwa mwaka na tutakuwa tunaweza kuona matokeo katika mabadiliko ya quality of life kwa watu wengi zaidi tutakapoanza kufikia bajeti ya bilioni 100 dola! Hii ya bilioni 13 ni bajeti ya wavivu wa kufikiri, wazembe wa kupanga na goigoi wa kutenda. Hatupendi kufikiri juu ya uwezo wetu!
      Pamoja na udogo huo wa bajeti na kuota kupata dola billion moja kwa mwezi ili kupunguza umaskini, bado hatuwezi kukusanya wenyewe kodi ya kuendesha bajeti hiyo. Mwaka huu ndio imekuwa worse...maana shughuli chache sana za maendeleo zimefanyika
      Mzee Mwanakijiji likes this.
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    14. #14
      Uliza_Bei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th February 2011
      Posts : 796
      Rep Power : 581
      Likes Received
      112
      Likes Given
      46

      Default Re: Bajeti ijayo ni trilioni 15; nini maoni yako?

      Mimi naamini kwa uongozi huu wa Jk tutapiga sana gitaa lakini hawatasikia, kama ni lazimz wamalize kipindi chao cha uongozi tusubiri 2015 tupigie kura viongozi waadilifu wenye uwezo wa kufanya kazi na hata kutuletea maendeleo. Hawa wanatimiza ndoto zao za kuingia ikulu....hawakuwa na agenda yoyote ya maendeleo na Mungu awarehemu.
      Mzee Mwanakijiji likes this.
      ukipenda asali usiogope ukali wa nyuki

    15. #15
      thinka's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Posts : 206
      Rep Power : 440
      Likes Received
      33
      Likes Given
      2

      Default Re: Bajeti ijayo ni trilioni 15; nini maoni yako?

      Hata budget ikiwa trl 50 lakin kama inflation ni 40% haina maana.

    16. #16
      Bado Kidogo 2015's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th May 2012
      Posts : 186
      Rep Power : 393
      Likes Received
      58
      Likes Given
      11

      Default Re: Bajeti ijayo ni trilioni 15; nini maoni yako?

      Quote By Mzee Mwanakijiji View Post
      Bajeti ya Tanzania ni ndogo sana; trilioni 15 ni sawa na dola bilioni kama 13 hivi ambazo kwa kweli hazitoshi kabisa. Yaani bajeti yetu haifikii bajeti ya Jiji la NY! Binafsi naamini tunahitaji bajeti isiyopungua bilioni 50 dola kwa mwaka na tutakuwa tunaweza kuona matokeo katika mabadiliko ya quality of life kwa watu wengi zaidi tutakapoanza kufikia bajeti ya bilioni 100 dola! Hii ya bilioni 13 ni bajeti ya wavivu wa kufikiri, wazembe wa kupanga na goigoi wa kutenda. Hatupendi kufikiri juu ya uwezo wetu!
      MMJ hii ni aibu, yaani wewe umekwenda mbali sana hii ya 13trl imetushinda kabisa katika utekelezaji sembuse hii ya 15trl. Ni mpaka tutakapoanza na kuamua kujikwamwua katika lindi hili la umaskini wa mali na kufikiri ndipo tutakapakaribia angalau kuwa na dhamira ya kweli ya kuondoa umaskini.

      Viongozi wetu wameamua kuridhika kwa kuwa wao wanamali na uhakika wa familia zao kwenda shule nzuri na kuishi basi wanaona inatosha na kuacha kufikiri kwa ajili ya wengine, hali hii ni mbaya sana na ndiyo chanzo cha wengi kukimbilia kutaka kuwa viongozi kwa malengo ya kujinufaisha.
      Mzee Mwanakijiji likes this.

    17. #17
      TOWNSEND's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th May 2011
      Location : kwa ngulelo
      Posts : 1,160
      Rep Power : 643
      Likes Received
      201
      Likes Given
      31

      Default Re: Bajeti ijayo ni trilioni 15; nini maoni yako?

      Hio figure itakuwa imeongezeka kwa sababu ya mikoa mipya tu mishahara ya kishikaji...last year mfano wizara ya ujenzi budget yake ilikuwa 1.4 tr lakini uhalisia walipaa billioni 400 wakati huo wanadaiwa billion 380 na wakandarasi wa bara bara kwa hio hamna kitu ...ndio maana barabara nyingi zimesimama labda zile tu zinazofadhiliwa ..barabara inajengwa kwa hisani ya watu wa jp
      Last edited by TOWNSEND; 5th June 2012 at 09:15.
      For tommorow belonging to those people who prepared fo it

    18. #18
      kichomiz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 4,124
      Rep Power : 1250
      Likes Received
      670
      Likes Given
      80

      Default Re: Bajeti ijayo ni trilioni 15; nini maoni yako?

      Hii ndio Magamba bana watu walio fuzu chuo cha mbwembwe na usanii,
      Hiyo ni bajet iliyolenga kupumbaza watu,
      yaani ni usanii mtupu.

    19. #19
      GOMA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th December 2007
      Posts : 13
      Rep Power : 591
      Likes Received
      1
      Likes Given
      14

      Default Re: Bajeti ijayo ni trilioni 15; nini maoni yako?

      I have a few questions in my mind; 1. How will this budget be raised( normal pratices and same style, the government has no other creativity to generate income other than taxes- and if so, that means the government will aim on raising the taxe rates and hence much burden to citizens. Nonsense!) 2. How are the budget priorities come in place( I really really don't know). 3. I would expect prior to a new budget to be informed on the balance of 2011/2012 budget( whether negative or positive)

      I understand, the country has so much potentials to raise that sum other than from poor citizens( taxe payers), a bit sense of accountability, creativity, awarness, and uzalendo! I pray the current move by people's power take effect
      KOMBESANA likes this.

    20. #20
      IKHOIKHOI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th January 2012
      Location : Bustani ya Eden
      Posts : 345
      Rep Power : 442
      Likes Received
      35
      Likes Given
      34

      Default Re: Bajeti ijayo ni trilioni 15; nini maoni yako?

      Mbivu na mbichi zitajulikana pale bungeni, wiki chache zijazo
      ora et labora

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...