re: Waraka wa Lema kwa rais wasambazwa Arusha mjini

By
Godwinnko
Leo katika pitapita zangu katika maeneo ya soko kuu jijini arusha niliona sii mbaya nikienda kupata taarifa mbili tatu katika kijiwe kimoja cha wazee pale soko kuu.Wazee wale walikua wanzungumzia hotuba ya rais..muda si muda ilitokea gari aina ya noah ikapaki pale akashuka godbless lema na karatasi kadhaa zilizoandikwa huo waraka wake ndipo akaanza kuugawa kwa wa2 waliokuwepo pale zilipo isha copy zikatolewa na kuanza kujadili nao kuhusu waraka huo.pia lema aliuza baadhi ya cd za nyimbo za chadema na operesheni za m4c na kwawale wasio na uwezo walichukua bure.Hakika hamasa ya wa2 ilkua kubwa sana pale.hakika ccm wasahau kabisa jimbo la arusha mjini.
pipiooooz....powerrrrr..!!!!
Mkuu inawezekana ukawa na nianjema lakini usipotoshe umma Lema uko kusini kwenye M4C hayuko Arusha na kwenye zile CD lema kama lema hauzi bali kuna watu wali record na wana uza kweli pale stand ndogo ya hiace na soko kuu huuzwa sana...kuhusiana na waraka wa Lema kusambazwa nani watu wameamua kuwasambazia wakazi wa arusha baada ya kuguswa na ujumbe uliotolewa na Lema...
Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.... Malcolm X
Follow Us Here