Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Waraka wa Lema kwa rais wasambazwa Arusha mjini

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 49
    1. #1
      Godwinnko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Location : Moshi
      Posts : 511
      Rep Power : 679
      Likes Received
      128
      Likes Given
      64

      Default Waraka wa Lema kwa rais wasambazwa Arusha mjini

      Leo katika pitapita zangu katika maeneo ya soko kuu jijini arusha niliona sii mbaya nikienda kupata taarifa mbili tatu katika kijiwe kimoja cha wazee pale soko kuu.

      Wazee wale walikua wanzungumzia hotuba ya rais..muda si muda ilitokea gari aina ya noah ikapaki pale akashuka Godbless Lema na karatasi kadhaa zilizoandikwa huo waraka wake ndipo akaanza kuugawa kwa wa2 waliokuwepo pale zilipo isha copy zikatolewa na kuanza kujadili nao kuhusu waraka huo.

      Pia Lema aliuza baadhi ya cd za nyimbo za chadema na operesheni za m4c na kwawale wasio na uwezo walichukua bure. Hakika hamasa ya wa2 ilkua kubwa sana pale. Hakika ccm wasahau kabisa jimbo la Arusha mjini.

      pipiooooz....powerrrrr..!!!!
      Erickb52 and kalwani like this.


    2. #2
      Jackbauer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Location : CTU
      Posts : 4,914
      Rep Power : 1702
      Likes Received
      1367
      Likes Given
      284

      Default re: Waraka wa Lema kwa rais wasambazwa Arusha mjini

      ccm arusha ilizikwa makaburi ya ngarasero.jeneza lilojaa bendera za ccm lilikokotwa na punda kihongwe!
      Erickb52 likes this.

    3. #3
      Gwankaja Gwakilingo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th January 2012
      Location : Masoko Busisya
      Posts : 1,230
      Rep Power : 619
      Likes Received
      337
      Likes Given
      34

      Default re: Waraka wa Lema kwa rais wasambazwa Arusha mjini

      R.i.p ccm
      Erickb52 likes this.
      kwa pamoja ni lazima twende mbali zaidi ya maneno yetu...........039.mac

    4. #4
      Crashwise's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Safarini
      Posts : 13,474
      Rep Power : 19244
      Likes Received
      4191
      Likes Given
      3374

      Default re: Waraka wa Lema kwa rais wasambazwa Arusha mjini

      Quote By Godwinnko View Post
      Leo katika pitapita zangu katika maeneo ya soko kuu jijini arusha niliona sii mbaya nikienda kupata taarifa mbili tatu katika kijiwe kimoja cha wazee pale soko kuu.Wazee wale walikua wanzungumzia hotuba ya rais..muda si muda ilitokea gari aina ya noah ikapaki pale akashuka godbless lema na karatasi kadhaa zilizoandikwa huo waraka wake ndipo akaanza kuugawa kwa wa2 waliokuwepo pale zilipo isha copy zikatolewa na kuanza kujadili nao kuhusu waraka huo.pia lema aliuza baadhi ya cd za nyimbo za chadema na operesheni za m4c na kwawale wasio na uwezo walichukua bure.Hakika hamasa ya wa2 ilkua kubwa sana pale.hakika ccm wasahau kabisa jimbo la arusha mjini.
      pipiooooz....powerrrrr..!!!!
      Mkuu inawezekana ukawa na nianjema lakini usipotoshe umma Lema uko kusini kwenye M4C hayuko Arusha na kwenye zile CD lema kama lema hauzi bali kuna watu wali record na wana uza kweli pale stand ndogo ya hiace na soko kuu huuzwa sana...kuhusiana na waraka wa Lema kusambazwa nani watu wameamua kuwasambazia wakazi wa arusha baada ya kuguswa na ujumbe uliotolewa na Lema...
      Ndachuwa, jcb, Erickb52 and 5 others like this.
      Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.... Malcolm X





    5. #5
      mashami's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th May 2012
      Posts : 169
      Rep Power : 392
      Likes Received
      24
      Likes Given
      1

      Default re: Waraka wa Lema kwa rais wasambazwa Arusha mjini

      dadadadadeki nilikua maeneo hayo nafikiri nilipishana na kamanda anyway CCM ARUSHA WASAHAU KAMA KUNA HILI JIMBO TANZANIA


    6. #6
      Godwinnko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Location : Moshi
      Posts : 511
      Rep Power : 679
      Likes Received
      128
      Likes Given
      64

      Default

      Quote By Crashwise View Post
      Mkuu inawezekana ukawa na nianjema lakini usipotoshe umma Lema uko kusini kwenye M4C hayuko Arusha na kwenye zile CD lema kama lema hauzi bali kuna watu wali record na wana uza kweli pale stand ndogo ya hiace na soko kuu huuzwa sana...kuhusiana na waraka wa Lema kusambazwa nani watu wameamua kuwasambazia wakazi wa arusha baada ya kuguswa na ujumbe uliotolewa na Lema...
      Mkuu hata mimi nilishangaa sana kumuona Lema pale wakati najua yupo Mtwara..lakini yawezekana alitumia usafiri wa ndege..hata hivo hakukaa sana alionekana kua na haraka sana.

      Kuhusu CD hizo nikweli zinauzwa maeneo uliyo yataja lakini pia lema alikuja nazo pale na hata hivo zilizochukuliwa bure ni nyingi zaidi ya zile zilizouzwa kwahyo nia ya Lema haikua biashara..
      Sangarara likes this.

    7. #7
      activist's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th April 2008
      Posts : 109
      Rep Power : 591
      Likes Received
      36
      Likes Given
      0

      Default re: Waraka wa Lema kwa rais wasambazwa Arusha mjini

      Acha urere! Lema yuko kusini!

    8. #8
      Godwinnko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Location : Moshi
      Posts : 511
      Rep Power : 679
      Likes Received
      128
      Likes Given
      64

      Default

      Quote By activist View Post
      Acha urere! Lema yuko kusini!
      mkuu mimi mwenyewe nilimshuudia na nilishangaa sana uwepo wake pale wakati nafaham yupo kusini lakini yawezekana ali2mia usafiri wa ndege..!

    9. #9
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,707
      Rep Power : 10935
      Likes Received
      3961
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By Godwinnko View Post
      Mkuu hata mimi nilishangaa sana kumuona Lema pale wakati najua yupo Mtwara..lakini yawezekana alitumia usafiri wa ndege..hata hivo hakukaa sana alionekana kua na haraka sana.

      Kuhusu CD hizo nikweli zinauzwa maeneo uliyo yataja lakini pia lema alikuja nazo pale na hata hivo zilizochukuliwa bure ni nyingi zaidi ya zile zilizouzwa kwahyo nia ya Lema haikua biashara..
      Mkuu Lema jioni hii amehutubia kusini

    10. #10
      Godlisten shoo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 37
      Rep Power : 364
      Likes Received
      7
      Likes Given
      5

      Default

      Quote By Molemo View Post
      Mkuu Lema jioni hii amehutubia kusini
      Njia ya murongo ni fupi!

      Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

    11. #11
      Godwinnko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Location : Moshi
      Posts : 511
      Rep Power : 679
      Likes Received
      128
      Likes Given
      64

      Default Re: Waraka wa Lema kwa rais wasambazwa Arusha mjini

      Nadhan hiyo post kuhus lema kuhutubia mkutano huko kusini(ndanda masasi) ndio inawachanganya..kwenye hyo post ukisoma vizur imeandikwa kua alihutubia jana..najui nivigumu kuamini lakini nilimshuudia na wala sio habari ya kuadisiwa.

    12. #12
      Ukana Shilungo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2012
      Posts : 256
      Rep Power : 413
      Likes Received
      37
      Likes Given
      8

      Default Re: Waraka wa Lema kwa rais wasambazwa Arusha mjini

      Quote By Crashwise View Post
      Mkuu inawezekana ukawa na nianjema lakini usipotoshe umma Lema uko kusini kwenye M4C hayuko Arusha na kwenye zile CD lema kama lema hauzi bali kuna watu wali record na wana uza kweli pale stand ndogo ya hiace na soko kuu huuzwa sana...kuhusiana na waraka wa Lema kusambazwa nani watu wameamua kuwasambazia wakazi wa arusha baada ya kuguswa na ujumbe uliotolewa na Lema...
      hata mie nashangaaa Lema jana mnamo majira ya tisa kama na robo alikuwa anatoka kewnye mkutano mji mdogo wa Ndanda kwa ajili ya kurudi Masai mjini kuungana na Kamanda wa kikosi cha anga Mbowe, na DR slaa,kama kasafiri kwa ndege,ni Mtwara mjini ambako ni km 260 toka mtwara mjini,na ndege pale hutoka saa 3 asubuhi?aliwezaje kuwepo Arusha,kuwa makini kwa taarifa zako ,huyo jamaa asipotoshe umma.

    13. #13
      Godwinnko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Location : Moshi
      Posts : 511
      Rep Power : 679
      Likes Received
      128
      Likes Given
      64

      Default Re: Waraka wa Lema kwa rais wasambazwa Arusha mjini

      namba za lema 0764150747

    14. #14
      Fanfa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 25th September 2009
      Posts : 227
      Rep Power : 540
      Likes Received
      24
      Likes Given
      100

      Default Re: Waraka wa Lema kwa rais wasambazwa Arusha mjini

      Quote By Godwinnko View Post
      Leo katika pitapita zangu katika maeneo ya soko kuu jijini arusha niliona sii mbaya nikienda kupata taarifa mbili tatu katika kijiwe kimoja cha wazee pale soko kuu.

      Wazee wale walikua wanzungumzia hotuba ya rais..muda si muda ilitokea gari aina ya noah ikapaki pale akashuka Godbless Lema na karatasi kadhaa zilizoandikwa huo waraka wake ndipo akaanza kuugawa kwa wa2 waliokuwepo pale zilipo isha copy zikatolewa na kuanza kujadili nao kuhusu waraka huo.

      Pia Lema aliuza baadhi ya cd za nyimbo za chadema na operesheni za m4c na kwawale wasio na uwezo walichukua bure. Hakika hamasa ya wa2 ilkua kubwa sana pale. Hakika ccm wasahau kabisa jimbo la Arusha mjini.

      pipiooooz....powerrrrr..!!!!
      Muongo na mnafiki wewe. Kamanda Lema yuko kusini. Acha kudanganya watu
      Nachukia kuona Rais anakenuakenua meno kama mbayuwayu

    15. #15
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,707
      Rep Power : 10935
      Likes Received
      3961
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By Godwinnko View Post
      namba za lema 0764150747
      Mkuu Crashwise yuko karibu sana na Lema kwa hiyo alivyokupinga kubali tu umekosea
      Erickb52 likes this.

    16. #16
      Marire's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st May 2012
      Posts : 2,360
      Rep Power : 990
      Likes Received
      634
      Likes Given
      0

      Default Re: Waraka wa Lema kwa rais wasambazwa Arusha mjini

      Sasa wakuu jibu ni yupo a town au kusini?mimi namkubali sana lema,pia taarifa za mikutano ya huko kusini hatuzipati sawasawa na mashabulizi yanayofanywa.

    17. #17
      Endeleaaa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Posts : 560
      Rep Power : 710
      Likes Received
      125
      Likes Given
      43

      Default Re: Waraka wa Lema kwa rais wasambazwa Arusha mjini

      Taarifa tata kama hizi mue mnazileta japo na ushahidi wa picha
      1. HARNESS THE POWER OF CHANGE, 2. FACE REALITY!, 3. MANAGING LESS IS MANAGING BETTER
      4. CREATE A VISION AND THEN GET OUT OF THE WAY

    18. #18
      Wingu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 4,063
      Rep Power : 1239
      Likes Received
      257
      Likes Given
      41

      Default Re: Waraka wa Lema kwa rais wasambazwa Arusha mjini

      Aibuu kusutwa tena mwanaume dahh haya yamekukuta uongo usirudie.Au ulifikiri upo FB pole ni upepo tu unapita.

    19. #19
      Shark's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2010
      Posts : 4,861
      Rep Power : 1548
      Likes Received
      1412
      Likes Given
      260

      Default

      Quote By Godwinnko View Post
      namba za lema 0764150747
      Lema yupi???

    20. #20
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,526
      Rep Power : 37789
      Likes Received
      4965
      Likes Given
      2343

      Default

      Quote By Godwinnko View Post
      Mkuu hata mimi nilishangaa sana kumuona Lema pale wakati najua yupo Mtwara..lakini yawezekana alitumia usafiri wa ndege..hata hivo hakukaa sana alionekana kua na haraka sana.

      Kuhusu CD hizo nikweli zinauzwa maeneo uliyo yataja lakini pia lema alikuja nazo pale na hata hivo zilizochukuliwa bure ni nyingi zaidi ya zile zilizouzwa kwahyo nia ya Lema haikua biashara..
      Lema hayupo Arusha, nimeongea sasahivi na kamanda. Labda umeona copy. Original anatua Arusha kesho.

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...