Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Msimjaribu Zitto, mtaumia!

    Report Post
    Page 1 of 17 12311 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 327
    1. #1
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Msimjaribu Zitto, mtaumia!

      Kuna kila njama zinazofanywa kwa makusudi kabisa, kupunguzia kasi Zitto Kabwe katika jukwaa la kisiasa. Njama hizo zinatokea kwa vigogo fulani wa CHADEMA, wanaomuona kuwa Zitto ni mwiba mkali.

      Historia ya karibuni ilionesha kuwa Zitto alisakamwa sana alipotaka kugombea uenyekiti na baada ya kuzipangua hoja zote za kumuumiza kisiasa ndani ya CHADEMA akaambulia kupoozwa kwa kusukumiwa cheo cha unaibu Katibu Mkuu, cheo ambacho hakina manufaa yoyote kwa CHADEMA wala kwa Zitto. Ili kuponesha maumivu na kutibu majeraha ya kisiasa, Zitto akakikubali cheo hicho, lakini ukweli ni kwamba hakifanyii kazi yoyote.

      Uthibitisho mwingine wa kumshusha kisiasa Zitto ni pale ambapo hajahudhuria vikao vya CHADEMA na Kikwete huko Ikulu, kuna mambo ya msingi ambayo Zitto amekuwa akitofautiana na viongozi wengine wa CHADEMA na hayo ndio yanamfanya ajaribiwe kushushwa hadi na kutokuwekwa kwenye maamuzi mengi ya chama na yeye hustukia tu maamuzi yameshafanywa. Na anapotoa misimamo yake huwa ina tofauti na ya chama chake, mifano ipo mingi.

      Tunawaasa vigogo wa CHADEMA kuwa hata ndugu zetu wa Kigoma walipopiga kura za Ubunge zilikuwa ni kura za Zitto na si za CHADEMA, hilo walielewe. Kama ilivyo kwa kura za Shibuda, zilikuwa ni za Shibuda lakini si za CHADEMA hilo linajidhihiri kwa kuwa kura za Urais za Kigoma 90% zilikuwa za Kikwete hata kwenye jimbo la Zitto.

      Aliposhindwa Mbowe uchaguzi mkuu wa 2005, 2010 akawekwa Slaa, tunataka Zitto agombee 2015 tumpe kura zetu, kumbuka, hatuwapi kura CHADEMA tutampa Zitto Kabwe, bila yeye sahauni kura za wengi.

      Kati ya vitu asivyopendezwa navyo Zitto ni namna ya chaguzi za wabunge wa upendeleo zinavyoendeshwa kimabavu ndani ya CHADEMA.

      Tunawatahadharisha CHADEMA wasimjaribu Zitto, wataumia kisiasa.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    2. Miaka 50

    3. #2
      Laurano's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 56
      Rep Power : 382
      Likes Received
      9
      Likes Given
      4

      Default re: Msimjaribu Zitto, mtaumia!

      Mtu hujitengenezea historia mwenyewe

    4. #3
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default re: Msimjaribu Zitto, mtaumia!

      Mods naomba mrekebishe kichwa cha habari ni typo tu, kisomeke "Msimjaribu Zitto, mtaumia".
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    5. #4
      Kilembwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th August 2009
      Posts : 957
      Rep Power : 687
      Likes Received
      116
      Likes Given
      144

      Default re: Msimjaribu Zitto, mtaumia!

      Wewe ni msemaji wa Zitto Kabwe? mbona mwenywe hajasema haya!
      Chuma Chakavu and KARLMARX. like this.

    6. #5
      kipuyo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 30th July 2009
      Posts : 236
      Rep Power : 546
      Likes Received
      73
      Likes Given
      74

      Default re: Msimjaribu Zitto, mtaumia!

      Wana wa Uamsho kazini.Itakuwaje ikiwa ccm watamsimamisha Bassaleh na chadema wakamsimamisha Zitto,je utamchagua nani?

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default re: Msimjaribu Zitto, mtaumia!

      Quote By Laurano
      mtu hujitengenezea historia mwenyewe
      Na ndivyo ilivyo kwa Zitto.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    9. #7
      Albedo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2008
      Posts : 4,978
      Rep Power : 1573
      Likes Received
      1076
      Likes Given
      555

      Default"display:none" id="progress_3991930" style="display:none;visibility:hidden;" data-cfsrc="template/JamiV1/default/misc/quote_icon.png" alt="Quote" /> By zomba

      Kuna kila njama zinazofanywa kwa makusudi kabisa, kupunguzia kasi Zitto Kabwe katika jukwaa la kisiasa. Njama hizo zinatokea kwa vigogo fulani wa CHADEMA, wanaomuona kuwa Zitto ni mwiba mkali.

      Historia ya karibuni ilionesha kuwa Zitto alisakamwa sana alipotaka kugombea uenyekiti na baada ya kuzipangua hoja zote za kumuumiza kisiasa ndani ya CHADEMA akaambulia kupoozwa kwa kusukumiwa cheo cha unaibu Katibu Mkuu, cheo ambacho hakina manufaa yoyote kwa CHADEMA wala kwa Zitto. Ili kuponesha maumivu na kutibu majeraha ya kisiasa, Zitto akakikubali cheo hicho, lakini ukweli ni kwamba hakifanyii kazi yoyote.

      Uthibitisho mwingine wa kumshusha kisiasa Zitto ni pale ambapo hajahudhuria vikao vya CHADEMA na Kikwete huko Ikulu, kuna mambo ya msingi ambayo Zitto amekuwa akitofautiana na viongozi wengine wa CHADEMA na hayo ndio yanamfanya ajaribiwe kushushwa hadi na kutokuwekwa kwenye maamuzi mengi ya chama na yeye hustukia tu maamuzi yameshafanywa. Na anapotoa misimamo yake huwa ina tofauti na ya chama chake, mifano ipo mingi.

      Tunawaasa vigogo wa CHADEMA kuwa hata ndugu zetu wa Kigoma walipopiga kura za Ubunge zilikuwa ni kura za Zitto na si za CHADEMA, hilo walielewe. Kama ilivyo kwa kura za Shibuda, zilikuwa ni za Shibuda lakini si za CHADEMA hilo linajidhihiri kwa kuwa kura za Urais za Kigoma 90% zilikuwa za Kikwete hata kwenye jimbo la Zitto.

      Aliposhindwa Mbowe uchaguzi mkuu wa 2005, 2010 akawekwa Slaa, tunataka Zitto agombee 2015 tumpe kura zetu, kumbuka, hatuwapi kura CHADEMA tutampa Zitto Kabwe, bila yeye sahauni kura za wengi.

      Kati ya vitu asivyopendezwa navyo Zitto ni namna ya chaguzi za wabunge wa upendeleo zinavyoendeshwa kimabavu ndani ya CHADEMA.

      Tunawatahadharisha CHADEMA wasimjaribu Zitto, wataumia kisiasa.
    Source Pliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiiiiiiiiiiiiiz tutaaminije maneno yako? Weka Picha tuone ha ha haaaaaaaaaaa Magamba yanaruka na kukanyagana
    "SISI SOTE NI NDUGU TATIZO NI CCM" Chris Lukosi kada wa CCM

    Reply With Quote

  • #8
    zomba's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 27th November 2007
    Posts : 15,822
    Rep Power : 14621
    Likes Received
    2842
    Likes Given
    1961

    Default re: Msimjaribu Zitto, mtaumia!

    Quote By Kilembwe
    Wewe ni msemaji wa Zitto Kabwe? mbona mwenywe hajasema haya!
    Kwani yote yanayosemwa humu wanayasema wenyewe? Haya ni yangu mimi, si ya mwengine. Nna kila sababu za kuchambuwa wana siasa kadri ya uwezo wangu.
    System At Work

    "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

  • #9
    English Learner's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 1st January 2012
    Location : Inside the Laptop
    Posts : 251
    Rep Power : 804
    Likes Received
    268
    Likes Given
    197

    Default re: Msimjaribu Zitto, mtaumia!

    Quote By zomba
    .Tunawatahadharisha CHADEMA wasimjaribu Zitto, wataumia kisiasa.
    zomba,
    Did you count me in your generalized statement? Mine is "NO" guaranteed if Zitto stands for Presidential Candidate under CDM.
    makoye2009 likes this.

  • #10
    zomba's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 27th November 2007
    Posts : 15,822
    Rep Power : 14621
    Likes Received
    2842
    Likes Given
    1961

    Default re: Msimjaribu Zitto, mtaumia!

    Quote By Albedo
    Source Pliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiiiiiiiiiiiiiz tutaaminije maneno yako? Weka Picha tuone ha ha haaaaaaaaaaa Magamba yanaruka na kukanyagana
    Source ni mimi mwenyewe.
    System At Work

    "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

  • #11
    SUWI's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 27th September 2010
    Posts : 491
    Rep Power : 537
    Likes Received
    21
    Likes Given
    65

    Default re: Msimjaribu Zitto, mtaumia!

    Quote By Pasco_jr_ngumi
    CDM ni taasisi ya wachaga kanisani....
    \

    Kumbe tatizo lako kwa CDM ni wachaga!!!

  • #12
    Albedo's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 24th February 2008
    Posts : 4,978
    Rep Power : 1573
    Likes Received
    1076
    Likes Given
    555

    Default re: Msimjaribu Zitto, mtaumia!

    Quote By zomba
    Kwani yote yanayosemwa humu wanayasema wenyewe? Haya ni yangu mimi, si ya mwengine. Nna kila sababu za kuchambuwa wana siasa kadri ya uwezo wangu.
    Picha Pliiiiiz
    "SISI SOTE NI NDUGU TATIZO NI CCM" Chris Lukosi kada wa CCM


  • #13
    Power G's Avatar
    JF Gold Member Array
    Join Date : 20th April 2011
    Location : Msoga Kijijini
    Posts : 2,407
    Rep Power : 991
    Likes Received
    773
    Likes Given
    259

    Default re: Msimjaribu Zitto, mtaumia!

    Magamba hamchoki kutaka kuleta chokochoko CDM? Mbona hamfanikiwi lakini???
    TANZANIA ITAJENGWA NA WENYE MOYO NA KULIWA NA WENYE MENO KAMA AKINA EL, JK, EC na RA

  • #14
    Albedo's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 24th February 2008
    Posts : 4,978
    Rep Power : 1573
    Likes Received
    1076
    Likes Given
    555

    Default re: Msimjaribu Zitto, mtaumia!

    Quote By zomba
    Source ni mimi mwenyewe.
    Weka Picha
    Jasusi, Saint Ivuga and sweetlady like this.
    "SISI SOTE NI NDUGU TATIZO NI CCM" Chris Lukosi kada wa CCM


  • #15
    zomba's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 27th November 2007
    Posts : 15,822
    Rep Power : 14621
    Likes Received
    2842
    Likes Given
    1961

    Default Re: Msimjaribu Zitto, mtaumia!

    Quote By English Learner
    zomba,
    Did you count me in your generalized statement? Mine is "NO" guaranteed if Zitto stands for Presidential Candidate under CDM.
    Though I am neither a member nor a fan of CHADEMA but I am suddenly a fan of Zitto Kabwe, if he runs for president and I am still alive, count my vote for him, if he continues the way he is now.
    System At Work

    "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

  • #16
    zomba's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 27th November 2007
    Posts : 15,822
    Rep Power : 14621
    Likes Received
    2842
    Likes Given
    1961

    Default Re: Msimjaribu Zitto, mtaumia!

    Quote By Albedo
    Weka Picha
    Rais Jakaya Kikwete akiwa katika vazi la asili la kabila la Waha wakati wa sherehe za uzinduzi wa barabara ya Mwandiga- Manyovu. Kulia ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto. (Picha na John Lukuwi).
    System At Work

    "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

  • #17
    POMPO's Avatar
    Banned Array
    Join Date : 12th March 2011
    Posts : 2,955
    Rep Power : 0
    Likes Received
    1090
    Likes Given
    625

    Default Re: Msimjaribu Zitto, mtaumia!

    Quote By zomba
    Kuna kila njama zinazofanywa kwa makusudi kabisa, kupunguzia kasi Zitto Kabwe katika jukwaa la kisiasa. Njama hizo zinatokea kwa vigogo fulani wa CHADEMA, wanaomuona kuwa Zitto ni mwiba mkali.

    Historia ya karibuni ilionesha kuwa Zitto alisakamwa sana alipotaka kugombea uenyekiti na baada ya kuzipangua hoja zote za kumuumiza kisiasa ndani ya CHADEMA akaambulia kupoozwa kwa kusukumiwa cheo cha unaibu Katibu Mkuu, cheo ambacho hakina manufaa yoyote kwa CHADEMA wala kwa Zitto. Ili kuponesha maumivu na kutibu majeraha ya kisiasa, Zitto akakikubali cheo hicho, lakini ukweli ni kwamba hakifanyii kazi yoyote.

    Uthibitisho mwingine wa kumshusha kisiasa Zitto ni pale ambapo hajahudhuria vikao vya CHADEMA na Kikwete huko Ikulu, kuna mambo ya msingi ambayo Zitto amekuwa akitofautiana na viongozi wengine wa CHADEMA na hayo ndio yanamfanya ajaribiwe kushushwa hadi na kutokuwekwa kwenye maamuzi mengi ya chama na yeye hustukia tu maamuzi yameshafanywa. Na anapotoa misimamo yake huwa ina tofauti na ya chama chake, mifano ipo mingi.

    Tunawaasa vigogo wa CHADEMA kuwa hata ndugu zetu wa Kigoma walipopiga kura za Ubunge zilikuwa ni kura za Zitto na si za CHADEMA, hilo walielewe. Kama ilivyo kwa kura za Shibuda, zilikuwa ni za Shibuda lakini si za CHADEMA hilo linajidhihiri kwa kuwa kura za Urais za Kigoma 90% zilikuwa za Kikwete hata kwenye jimbo la Zitto.

    Aliposhindwa Mbowe uchaguzi mkuu wa 2005, 2010 akawekwa Slaa, tunataka Zitto agombee 2015 tumpe kura zetu, kumbuka, hatuwapi kura CHADEMA tutampa Zitto Kabwe, bila yeye sahauni kura za wengi.

    Kati ya vitu asivyopendezwa navyo Zitto ni namna ya chaguzi za wabunge wa upendeleo zinavyoendeshwa kimabavu ndani ya CHADEMA.

    Tunawatahadharisha CHADEMA wasimjaribu Zitto, wataumia kisiasa.
    Kazi kweli kweli premises and conclusion are differ... kajipange urudi tena.

  • #18
    zomba's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 27th November 2007
    Posts : 15,822
    Rep Power : 14621
    Likes Received
    2842
    Likes Given
    1961

    Default Re: Msimjaribu Zitto, mtaumia!

    Quote By Power
    Magamba hamchoki kutaka kuleta chokochoko CDM? Mbona hamfanikiwi lakini???
    Inaonesha hujui maana ya siasa.
    System At Work

    "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

  • #19
    Albedo's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 24th February 2008
    Posts : 4,978
    Rep Power : 1573
    Likes Received
    1076
    Likes Given
    555

    Default Re: Msimjaribu Zitto, mtaumia!

    Quote By zomba
    Rais Jakaya Kikwete akiwa katika vazi la asili la kabila la Waha wakati wa sherehe za uzinduzi wa barabara ya Mwandiga- Manyovu. Kulia ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto. (Picha na John Lukuwi).
    Jakaya anasafisha Nyota kwa Zitto ha ha haaaaa. Magamba mnapenda kumfatilia sana huyu dogo. Juzi alikuwa Marekani akawananga mkakimbilia kumjibu Kitooooooooooooto
    sweetlady likes this.
    "SISI SOTE NI NDUGU TATIZO NI CCM" Chris Lukosi kada wa CCM


  • #20
    zomba's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 27th November 2007
    Posts : 15,822
    Rep Power : 14621
    Likes Received
    2842
    Likes Given
    1961

    Default Re: Msimjaribu Zitto, mtaumia!

    Quote By POMPO
    Kazi kweli kweli premises and conclusion are differ... kajipange urudi tena.
    Premises na conclusion weka wewe. Message delivered!

    Hapo nilipokuwekea nyekundu ilikuwa usiweke "are" kama umeweka "are" basi ungeandika "different".
    Maundumula likes this.
    System At Work

    "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

  • Page 1 of 17 12311 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...