Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Waliowahi kushika uongozi wa serikali ya wanafunzi vyuo vikuu wafuate nyayo za Zitto Kabwe

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 37
    1. #1
      skalulu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th April 2012
      Posts : 22
      Rep Power : 364
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Default Waliowahi kushika uongozi wa serikali ya wanafunzi vyuo vikuu wafuate nyayo za Zitto Kabwe

      Wana JF, kuna Vijana wanaharakati enzi zile miaka ya 2000-2003, Chuo Kikuu cha Dsm tuliwahi kuwa na Viongozi shupavu sana ambao waliwahi kuweka ndani pamoja na kutimuliwa Chuo Kikuu cha DSM kwa kuongoza migomo ambayo tulifukuzwa chuo kizima na tukarudi nyumbani takribani miezi mitatu,

      Uongozi wa DARUSO ulikuwa unaongozwa na msaliti mmoja aliyekuwa anaitwa Julius Kusaja, ambaye alijitoa kwenye mgomo na baada ya hapo katibu wake Mr. Gervas Mkili na Makamu aliongoza migomo mpaka wakawekwa ndani na baadaye wakatimuliwa, ila kwa baadaye tuligoma tena wakarudishwa Chuo.

      Kati yao walikuwemo Zitto Kabwe, Gervas Mkili mwenyewe, Julius Rugemarila, Waziri fulani wa Fedha jina ilimenitoka, na wengine wengi. Lakini ni Zitto peke yake ambaye tayari matunda yake tunayona hadi sasa, ila wengine mlipotelea wapi baada ya Chuo maana mlikuwa very strong kuliko hata Zitto kama vile Gervas Mkili ( Shy/Khm) na Julius Rugemarila (Mwz/Bukoba).

      Je kuna mwana JF yoyote ambaye anatarifa nao? tunapenda wajitokeze ili tuendelee na hii M4C ili tuweze kuwabadilisha wa Tz na kujihakikishia ushindi wa kishindo 2015, twendeni tukiunganisha nguvu kwa pamoja siyo msubiri tu 2015 baada ya ushindi ndo mjitokeze.

      Ila yeye Kusaja nadhani yuko kigambagamba alitusaliti na akabakishwa UDSM utawala.

      Nawasilisha ili ujumbe uwafikie michango yao ni muhimu sana.


    2. #2
      Sheshejr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 433
      Rep Power : 461
      Likes Received
      63
      Likes Given
      1

      Default Re: Waliowahi kushika uongozi wa serikali ya wanafunzi vyuo vikuu wafuate nyao za zitto kabwe-cdm

      Ngoja waje wenyewe, wengne miaka hiyo ndo tunaingia o-level.

    3. #3
      mwakidondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2012
      Posts : 472
      Rep Power : 452
      Likes Received
      52
      Likes Given
      51

      Default Re: Waliowahi kushika uongozi wa serikali ya wanafunzi vyuo vikuu wafuate nyao za zitto kabwe-cdm

      Shujaa Gervas Mkili alifariki dunia miaka michache iliyopita, alikuwa headmaster wa Green Acres Sec School Dar es salaam. Julius Rugemalira yuko Dar ni mwajiriwa wa mamlaka ya elimu Tanzania(TEA). Mwaka 2010 aligombea ubunge jimbo la Nkenge na kushindwa na Asumpta(mbunge wa sasa) kwenye kura za maoni ndani ya CCM. Alisababisha kupungua sana kura za Deodorus Kamala ambaye alikuwa mbunge wa jimbo hilo.

    4. #4
      Msendekwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th March 2012
      Posts : 401
      Rep Power : 447
      Likes Received
      143
      Likes Given
      4

      Default re: Waliowahi kushika uongozi wa serikali ya wanafunzi vyuo vikuu wafuate nyayo za Zitto Kabwe

      Mkili alimwakyembiwa au ilikuwaje?

    5. #5
      Ngalikihinja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st September 2009
      Posts : 4,679
      Rep Power : 1502
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      105

      Default re: Waliowahi kushika uongozi wa serikali ya wanafunzi vyuo vikuu wafuate nyayo za Zitto Kabwe

      Wapi Sweke?


    6. #6
      TUMBIRI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2011
      Posts : 1,876
      Rep Power : 3641
      Likes Received
      1151
      Likes Given
      288

      Default re: Waliowahi kushika uongozi wa serikali ya wanafunzi vyuo vikuu wafuate nyayo za Zitto Kabwe

      Rejao hivi na wewe ulikuwa unagoma kweli enzi hizo maana uliniambia miaka ya 2000 - 2003 ndio ulikuwa pale UDSM?
      Hadha Min Fadhil Rhabi - Hizi ni Rehema za Mwenyezi Mungu

    7. #7
      montroll's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st July 2011
      Location : ZNZ/DAR
      Posts : 188
      Rep Power : 436
      Likes Received
      31
      Likes Given
      4

      Default re: Waliowahi kushika uongozi wa serikali ya wanafunzi vyuo vikuu wafuate nyayo za Zitto Kabwe

      Oh yeah, plz kuna wapiganaji makini wa miaka ya tisini katika vyuo vikuu waliopigania mfumo wa vyama vingi na kupinga cost sharing katika vyuo vikuu. Udsm,ardhi,sua,mzumbe na dar-tec. Kwa kweli walikuwa vichwa darasani na nje ya darasani lakini serikali kama kawaida iliwafrustrate kwa kuwafukuza vyuoni na kuwanyima kila nafasi ya kuendelea isipokuwa kwa wale ambao wazazi wao walikuwa na uwezo au majina na nafasi kubwa.
      Wana jf wanao jua hawa mashujaa waliosahauliwa watuambie wako wapi na wanafanya nini sasa, kulikuwa na vichwa vya ajabu sana pale udsm na sua.
      mzee ruksa alipata shida sana na vijana wale jinsi walivyokubalika na wasomi wenzao kwa maslahi ya taifa hili, waliweza kupindua serikali zao zilizokua vibaraka na kuunda serikali za vyuo imara. Waliadhibiwa kwa kutetea maslahi mapana ya taifa.

      Anaye wafahamu atujuze tafadhali kwa manufaa ya kumbukumbu na historia ya mwanzo wa mapambano mapya ya ukombozi wa pili wa taifa hili baada ya uhuru.

    8. #8
      Msendekwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th March 2012
      Posts : 401
      Rep Power : 447
      Likes Received
      143
      Likes Given
      4

      Default

      Sio kwa kumbukumbu za historia tu, pia kufanyike taratibu za kuwakwamua km wamefungiwa milango yote ya riziki na "system"
      Kashaijabutege likes this.

    9. #9
      montroll's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st July 2011
      Location : ZNZ/DAR
      Posts : 188
      Rep Power : 436
      Likes Received
      31
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Msendekwa View Post
      Sio kwa kumbukumbu za historia tu, pia kufanyike taratibu za kuwakwamua km wamefungiwa milango yote ya riziki na "system"
      Ni kweli mkuu, tauanze kwa kuwataja nakujau walipo sasa, wa udsm, sua,dar-tec,ardhi,mzumbe nk. Kisha tuwatambue wale ambao wanahitaji suport ya aina moja au nyingine.

    10. #10
      ksalama0's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th October 2010
      Posts : 51
      Rep Power : 449
      Likes Received
      4
      Likes Given
      3

      Default re: Waliowahi kushika uongozi wa serikali ya wanafunzi vyuo vikuu wafuate nyayo za Zitto Kabwe

      Kusaja yupo UDOM muda mrefu kuanzia 2007 mpaka sasa.

    11. #11
      Njoka Ereguu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Posts : 503
      Rep Power : 463
      Likes Received
      168
      Likes Given
      30

      Default Re: Waliowahi kushika uongozi wa serikali ya wanafunzi vyuo vikuu wafuate nyao za zitto kabwe-cdm

      Quote By mwakidondo View Post
      Shujaa Gervas Mkili alifariki dunia miaka michache iliyopita, alikuwa headmaster wa Green Acres Sec School Dar es salaam. Julius Rugemalira yuko Dar ni mwajiriwa wa mamlaka ya elimu Tanzania(TEA). Mwaka 2010 aligombea ubunge jimbo la Nkenge na kushindwa na Asumpta(mbunge wa sasa) kwenye kura za maoni ndani ya CCM. Alisababisha kupungua sana kura za Deodorus Kamala ambaye alikuwa mbunge wa jimbo hilo.
      Aisee Mungu ailanze roho Marehemu Akili mahala pema peponi. Kijana kwa kweli alionyesha ushupavu wa hali ya juu sana katika Mgomo wa mwaka 2000 pale revolution square na baadaye Nkuruma Hall, Makamu wa Rais wa Daruso alikuwa DADA moja mrembo sana tu.

      Aliunganisha nguvu za wanachuo wote baada ya kusaja Kutusaliti.

      Wapo wengine pia kama kina Kengele alikuja kuwa Rais Daruso 2002/2003 kama sikosei, alikuwa mpiganaji wa namna fulani sema alikuwa ulabu sana.

    12. #12
      Kashaijabutege's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 20th October 2010
      Location : Kabuteigi
      Posts : 1,953
      Rep Power : 834
      Likes Received
      382
      Likes Given
      241

      Default re: Waliowahi kushika uongozi wa serikali ya wanafunzi vyuo vikuu wafuate nyayo za Zitto Kabwe

      Quote By montroll View Post
      Oh yeah, plz kuna wapiganaji makini wa miaka ya tisini katika vyuo vikuu waliopigania mfumo wa vyama vingi na kupinga cost sharing katika vyuo vikuu. Udsm,ardhi,sua,mzumbe na dar-tec. Kwa kweli walikuwa vichwa darasani na nje ya darasani lakini serikali kama kawaida iliwafrustrate kwa kuwafukuza vyuoni na kuwanyima kila nafasi ya kuendelea isipokuwa kwa wale ambao wazazi wao walikuwa na uwezo au majina na nafasi kubwa.
      Wana jf wanao jua hawa mashujaa waliosahauliwa watuambie wako wapi na wanafanya nini sasa, kulikuwa na vichwa vya ajabu sana pale udsm na sua.
      mzee ruksa alipata shida sana na vijana wale jinsi walivyokubalika na wasomi wenzao kwa maslahi ya taifa hili, waliweza kupindua serikali zao zilizokua vibaraka na kuunda serikali za vyuo imara. Waliadhibiwa kwa kutetea maslahi mapana ya taifa.

      Anaye wafahamu atujuze tafadhali kwa manufaa ya kumbukumbu na historia ya mwanzo wa mapambano mapya ya ukombozi wa pili wa taifa hili baada ya uhuru.
      UDSM (Wanafunzi 10 waliofukuzwa tarehe 10 February 1992)

      1. James Mbatia-Mbunge Simu: 0787 979068
      2. Mosena Nyambabe-Mfanyabiashara (anakaa Ukonga Mombasa)-Amepambana mara 3 na Dr. Wanyancha katika ubunge huko Serengeti. Kwa mara ya mwisho aligombea kwa tiketi ya CUF.
      3. Kelvin Mmari-Lecturer Oregon University huko Marekani. Ana uraia wa Marekani na kati ya wataalam wa kompyuta wanaoheshimika huko Marekani.
      4. Fabian Lutalemwa-Sina habari naye tangia miaka ya 90.
      5. Ludovick Bazigiza-Marehemu
      6. Idrisa Ruta Alnoor-Marehemu
      7. Jasson Kaishozi-Marehemu (Alikuwa wakili wa Serikali kesi ya Zombe)
      8. Aroun Kimaro-Marehemu (Alikuwa Daktari Bingwa Zimbabwe na Mfanyabiashara mashuhuri. Alipitia mkono wa Mchungaji Mtikila)
      9.Rwekamwa Rweikiza-Mhasibu. Alipata CPA mwaka 1996, nimesoma naye MBA pale UDSM na sasa anasoma digrii ya kwanza ya Sheria OUT. Vile vile ana PGDHRM ya IFM. Yuko Dar (Simu-0754 275 305)
      10. Kimweri-Marehemu (Alimalizia Digrii yake ya uchumi Makerere University. Alifariki kwa ajali ya gari miaka ya 90 akiwa njiani kuelekea Zimbabwe kwa Kimaro)

      Wengine

      1. Matiko Matare-Aliongoza mgomo wa mwaka 1990 uliosababisha chuo kifungwe kwa mwaka mmoja. Aliacha UDSM kwa hiari kipindi kile ambapo kuliwa na njaa kali kule Musoma. Alimwambia mkuu wa Chuo (Luhanga) ampe nauli aende nyumbani kwa sababu hakuona haja ya kusoma wakati ndugu zake wanakufa kwa njaa, vingineyo angejinyonga. Wakati huo alikuwa mwaka wa 3. Mkuu wa Chuo alitii amri. Baadaye alijiunga OUT na kuwa mwanafunzi wa kwanza kumalizia digrii ya sheria kwa miaka 3. Baadaye alisoma MA (Distance Learning) hapo hapo OUT. Yuko Songea. Namba yake ni 0757 282151. Anajiandaa kurudi katika siasa kwao mkoani Mara.


      DIT

      1. Mtoka Mtwangi-Sina mawasiliano naye tangia miaka ya 90. Alimalizia Advanced Diploma yake Kenya Polytechnic College.
      Rayase, Lokissa, Rare and 1 others like this.
      NAKUSHUKURU MUNGU KWA KUIADHIBU CCM MCHANA KWEUPE, BABA NINAKUOMBA UZIDI KUWAUMBUA, KWA KUYAWEKA WAZI MCHANA WANAYOYAFANYA USIKU. OMBI KWA MUNGU: MUNGU WEWE NI MWEZA WA YOTE, NA SIKU ZOTE UNAYASIKILIZA MAOMBI YA WAKUCHAO, NAKUOMBA UKAFUNGE NGUVU ZA GIZA ZINAZOINYEMELEA M4C; NA UVUNJE MIPANGO YOTE YA MASHETANI WALIOPO NDANI YA CHADEMA. AMINA

    13. #13
      Lokissa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Location : Goba
      Posts : 4,120
      Rep Power : 5817
      Likes Received
      1035
      Likes Given
      2884

      Default re: Waliowahi kushika uongozi wa serikali ya wanafunzi vyuo vikuu wafuate nyayo za Zitto Kabwe

      RIP Mkili
      namkumbuka sana huyu kaka nakumbuka na tukio la prof Mshana kuwaacha pale ubungo mataa na kukimbia
      alipotakiwa kuongozana na viongozi wa daruso ili kwenda polisi kuwatoa kina Mkili na wenzie waliowekwa ndani
      enzi hizo nlikuwa mwaka wa kwanza UDSM enzi hizo chuo kikiwa na heshima yake.
      bofya hapa kuona uzi wa mwenzetu alietupasha kifo cha gervas

      Gervas Mkili is NO MORE
      You may know me but you have no Idea who I am !

    14. #14
      Kashaijabutege's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 20th October 2010
      Location : Kabuteigi
      Posts : 1,953
      Rep Power : 834
      Likes Received
      382
      Likes Given
      241

      Default Re: Waliowahi kushika uongozi wa serikali ya wanafunzi vyuo vikuu wafuate nyao za zitto kabwe-cdm

      Simu ya Mosena Nyambabe ni 0754 373 203
      NAKUSHUKURU MUNGU KWA KUIADHIBU CCM MCHANA KWEUPE, BABA NINAKUOMBA UZIDI KUWAUMBUA, KWA KUYAWEKA WAZI MCHANA WANAYOYAFANYA USIKU. OMBI KWA MUNGU: MUNGU WEWE NI MWEZA WA YOTE, NA SIKU ZOTE UNAYASIKILIZA MAOMBI YA WAKUCHAO, NAKUOMBA UKAFUNGE NGUVU ZA GIZA ZINAZOINYEMELEA M4C; NA UVUNJE MIPANGO YOTE YA MASHETANI WALIOPO NDANI YA CHADEMA. AMINA

    15. #15
      Rwechu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th March 2009
      Posts : 78
      Rep Power : 538
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default Re: Waliowahi kushika uongozi wa serikali ya wanafunzi vyuo vikuu wafuate nyao za zitto kabwe-cdm

      Quote By Njoka Ereguu View Post
      Aisee Mungu ailanze roho Marehemu Akili mahala pema peponi. Kijana kwa kweli alionyesha ushupavu wa hali ya juu sana katika Mgomo wa mwaka 2000 pale revolution square na baadaye Nkuruma Hall, Makamu wa Rais wa Daruso alikuwa DADA moja mrembo sana tu.

      Aliunganisha nguvu za wanachuo wote baada ya kusaja Kutusaliti.

      Wapo wengine pia kama kina Kengele alikuja kuwa Rais Daruso 2002/2003 kama sikosei, alikuwa mpiganaji wa namna fulani sema alikuwa ulabu sana.
      Kengele alikuwa Makamu wa Rais, Rais alikuwa anaitwa John Samwel

    16. #16
      Bobuk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 2,181
      Rep Power : 949
      Likes Received
      889
      Likes Given
      1

      Default re: Waliowahi kushika uongozi wa serikali ya wanafunzi vyuo vikuu wafuate nyayo za Zitto Kabwe

      Aisee umenikumbusha mbali, nakumbuka hilo Sakata lilianzia Pyongyoung S. Korea pale viongozi wa DUSO walipowekwa detention!

      Nimefurahi kusikia Matiko bado yuko hai.
      Pia akina Mkenda yuko UDSM ingawa alikuja kuacha mambo ya Siasa
      Pia Alfaxid Lugora MB.(Mwibara) enzi tuliomfanya yule PS wa Elimu Ngonyani afukuzwe na mzee Ruksa baada ya kushindwa kuongea Kingereza Nkurumah na kuomba kuongea kiswahili takapinga akibidi arudi hata bila kuongea alichotumwa na Mwinyi.

    17. #17
      manuu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2009
      Posts : 724
      Rep Power : 661
      Likes Received
      272
      Likes Given
      186

      Default re: Waliowahi kushika uongozi wa serikali ya wanafunzi vyuo vikuu wafuate nyayo za Zitto Kabwe

      Very interesting.
      TO BE HURT ITS YOUR OWN WILLING

    18. #18
      The State's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th March 2012
      Posts : 15
      Rep Power : 369
      Likes Received
      24
      Likes Given
      0

      Default re: Waliowahi kushika uongozi wa serikali ya wanafunzi vyuo vikuu wafuate nyayo za Zitto Kabwe

      Quote By Kashaijabutege View Post
      UDSM (Wanafunzi 10 waliofukuzwa tarehe 10 February 1992)

      1. James Mbatia-Mbunge Simu: 0787 979068
      2. Mosena Nyambabe-Mfanyabiashara (anakaa Ukonga Mombasa)-Amepambana mara 3 na Dr. Wanyancha katika ubunge huko Serengeti. Kwa mara ya mwisho aligombea kwa tiketi ya CUF.
      3. Kelvin Mmari-Lecturer Oregon University huko Marekani. Ana uraia wa Marekani na kati ya wataalam wa kompyuta wanaoheshimika huko Marekani.
      4. Fabian Lutalemwa-Sina habari naye tangia miaka ya 90.
      5. Ludovick Bazigiza-Marehemu
      6. Idrisa Ruta Alnoor-Marehemu
      7. Jasson Kaishozi-Marehemu (Alikuwa wakili wa Serikali kesi ya Zombe)
      8. Aroun Kimaro-Marehemu (Alikuwa Daktari Bingwa Zimbabwe na Mfanyabiashara mashuhuri. Alipitia mkono wa Mchungaji Mtikila)
      9.Rwekamwa Rweikiza-Mhasibu. Alipata CPA mwaka 1996, nimesoma naye MBA pale UDSM na sasa anasoma digrii ya kwanza ya Sheria OUT. Vile vile ana PGDHRM ya IFM. Yuko Dar (Simu-0754 275 305)
      10. Kimweri-Marehemu (Alimalizia Digrii yake ya uchumi Makerere University. Alifariki kwa ajali ya gari miaka ya 90 akiwa njiani kuelekea Zimbabwe kwa Kimaro)

      Wengine

      1. Matiko Matare-Aliongoza mgomo wa mwaka 1990 uliosababisha chuo kifungwe kwa mwaka mmoja. Aliacha UDSM kwa hiari kipindi kile ambapo kuliwa na njaa kali kule Musoma. Alimwambia mkuu wa Chuo (Luhanga) ampe nauli aende nyumbani kwa sababu hakuona haja ya kusoma wakati ndugu zake wanakufa kwa njaa, vingineyo angejinyonga. Wakati huo alikuwa mwaka wa 3. Mkuu wa Chuo alitii amri. Baadaye alijiunga OUT na kuwa mwanafunzi wa kwanza kumalizia digrii ya sheria kwa miaka 3. Baadaye alisoma MA (Distance Learning) hapo hapo OUT. Yuko Songea. Namba yake ni 0757 282151. Anajiandaa kurudi katika siasa kwao mkoani Mara.


      DIT

      1. Mtoka Mtwangi-Sina mawasiliano naye tangia miaka ya 90. Alimalizia Advanced Diploma yake Kenya Polytechnic College.
      Matiko Matare hakuacha kwa hiari ila alifukuzwa baada ya kuongoza mgomo mkubwa wa 1990 uliotikisa nchi kwani ulikuwa una lengo la kumwondoa Mwinyi madarakani. Sikumbuki kama Luhanga ndiye alikuwa VC. But I remember VC alikuwa Mmari. Luhanga ameanza 1991. Matiko alipelekwa kijijini kwao kwa helkopta ya serikali na kuwekewa kizuizi cha kutotoka kijijini kwao for 5 yrs. Baada ya 5yrs serikali iliendelea kumfuatilia sana kupitia idara ya usalama wa taifa hata alipokwenda kufundisha Musoma techical sec school (zamani maarufu kama musoma alliance) na baadaye mwembeni sec school hapo hapo musoma.baadhi ya watu waliokuwa wanamfuatilia ninawafahamu.Yeye nimewahi kuongea naye mara nyingi lakini nashukuru kwa kufahamu alipo sasa. Frankly speaking, yule jamaa ana uwezo mkubwa kichwani.

    19. #19
      Kashaijabutege's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 20th October 2010
      Location : Kabuteigi
      Posts : 1,953
      Rep Power : 834
      Likes Received
      382
      Likes Given
      241

      Default re: Waliowahi kushika uongozi wa serikali ya wanafunzi vyuo vikuu wafuate nyayo za Zitto Kabwe

      Quote By Bobuk View Post
      Aisee umenikumbusha mbali, nakumbuka hilo Sakata lilianzia Pyongyoung S. Korea pale viongozi wa DUSO walipowekwa detention!

      Nimefurahi kusikia Matiko bado yuko hai.
      Pia akina Mkenda yuko UDSM ingawa alikuja kuacha mambo ya Siasa
      Pia Alfaxid Lugora MB.(Mwibara) enzi tuliomfanya yule PS wa Elimu Ngonyani afukuzwe na mzee Ruksa baada ya kushindwa kuongea Kingereza Nkurumah na kuomba kuongea kiswahili takapinga akibidi arudi hata bila kuongea alichotumwa na Mwinyi.
      Mkuu ulikuwepo siku ile tulipoandamana mpaka Ikulu kuishinikiza serikali kuwarudisha madaktari wa Muhimbili? Yalikuwa ni maandamano makubwa kufanyika kabla ya kuwepo kwa mfumo wa vyama vingi. Wewe ulikuwa Hall gani?
      NAKUSHUKURU MUNGU KWA KUIADHIBU CCM MCHANA KWEUPE, BABA NINAKUOMBA UZIDI KUWAUMBUA, KWA KUYAWEKA WAZI MCHANA WANAYOYAFANYA USIKU. OMBI KWA MUNGU: MUNGU WEWE NI MWEZA WA YOTE, NA SIKU ZOTE UNAYASIKILIZA MAOMBI YA WAKUCHAO, NAKUOMBA UKAFUNGE NGUVU ZA GIZA ZINAZOINYEMELEA M4C; NA UVUNJE MIPANGO YOTE YA MASHETANI WALIOPO NDANI YA CHADEMA. AMINA

    20. #20
      Kashaijabutege's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 20th October 2010
      Location : Kabuteigi
      Posts : 1,953
      Rep Power : 834
      Likes Received
      382
      Likes Given
      241

      Default re: Waliowahi kushika uongozi wa serikali ya wanafunzi vyuo vikuu wafuate nyayo za Zitto Kabwe

      Quote By The State View Post
      Matiko Matare hakuacha kwa hiari ila alifukuzwa kwa baada ya kuongoza mgomo mkubwa wa 1990 ulitikisa nchi kwani ulikuwa una lengo la kumwondoa Mwinyi madarakani. Alipelekwa kijijini kwao kwa helkopta ya serikali na kuwekewa kizuizi cha kutotoka kijijini kwao for 5 yrs. Baada ya 5yrs serikali iliendelea kumfuatilia sana kupitia idara ya usalama wa taifa hata alipokwenda kufundisha Musoma techical sec school (zamani maarufu kama musoma alliance) na baadaye mwembeni sec school hapo hapo musoma.baadhi ya watu waliokuwa wanamfuatilia ninawafahamu.Yeye nimewahi kuongea naye mara nyingi lakini nashukuru kwa kufahamu alipo sasa. Frankly speaking, yule jamaa ana uwezo mkubwa kichwani.
      Mkuu, wale wote waliosimamishwa mwaka 1990 walirudishwa. Walikuwemo kina Andrew Kazimoto, Marehemu Lubega (aliongoza FAT), Eng. Kakoko (Tanroad Arusha), n.k. Alirudi mwaka 1993 kumalizia digrii yake. Mpigie simu upate uhakika. Kaka, mimi Matare ni best wangu, hivyo najua yote yanayomhusu.
      NAKUSHUKURU MUNGU KWA KUIADHIBU CCM MCHANA KWEUPE, BABA NINAKUOMBA UZIDI KUWAUMBUA, KWA KUYAWEKA WAZI MCHANA WANAYOYAFANYA USIKU. OMBI KWA MUNGU: MUNGU WEWE NI MWEZA WA YOTE, NA SIKU ZOTE UNAYASIKILIZA MAOMBI YA WAKUCHAO, NAKUOMBA UKAFUNGE NGUVU ZA GIZA ZINAZOINYEMELEA M4C; NA UVUNJE MIPANGO YOTE YA MASHETANI WALIOPO NDANI YA CHADEMA. AMINA

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...