Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kwanini waarabu wanataka Zanzibar kwa gharama ya watanganyika?

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 50
    1. #1
      Ground Zero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Posts : 307
      Rep Power : 484
      Likes Received
      84
      Likes Given
      49

      Default Kwanini waarabu wanataka Zanzibar kwa gharama ya watanganyika?

      Hivi waarabu hawa wana maslahi gani na Zanzibar kiasi cha kutaka kutuharibia amani. Ukiwasikiliza viongozi wa uamsho wengi wanazungumzia misaada kutoka kwa ndugu zao uarabuni. Je huo ukaribu wa waarabu na Wazanzibar hasa wapemba na waarabu unatokana na nini?Hivi mwarabu wa oman ni karibu zaidi kiutamaduni na mpemba kuliko mpemba na mtanganyika wa kigoma?
      Ninaweza likes this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Barubaru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2009
      Location : Doha, Qatar
      Posts : 5,740
      Rep Power : 1919
      Likes Received
      1177
      Likes Given
      962

      Default Re: Kwa nini waarabu wanataka Zanzibar kwa gharama ya watanganyika?

      Uarabu, uunguja , upemba vyote umenena wewe.

      Kinachotakiwa hapo ni haki tu na si dhulma. Kinachotakiwa ni kuweka mambo hadharani na kujitakasa na ulaghai na ujanja ujanja. Kufuata yale makubaliano yenu ya mkataba wenu.

      Usitafute mchawi na kusingizia watu na kuleta ubaguzi wa kikabila na kinasaba.

      Nakupa pole sana.
      Mahanjam likes this.
      Ukiwa mchoyo, usiwe mroho.

      Man Sharaf naf'sahu, fahuwa rasul

    4. #3
      Bumpkin Billionare's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2012
      Location : Msangabunyesa
      Posts : 1,277
      Rep Power : 695
      Likes Received
      554
      Likes Given
      197

      Default Re: Kwa nini waarabu wanataka Zanzibar kwa gharama ya watanganyika?

      Quote By Barubaru
      Uarabu, uunguja , upemba vyote umenena wewe.

      Kinachotakiwa hapo ni haki tu na si dhulma. Kinachotakiwa ni kuweka mambo hadharani na kujitakasa na ulaghai na ujanja ujanja. Kufuata yale makubaliano yenu ya mkataba wenu.

      Usitafute mchawi na kusingizia watu na kuleta ubaguzi wa kikabila na kinasaba.

      Nakupa pole sana.
      Si hata wewe upo huko ukiosha vyombo kwa waarabu. Shida ni yale maongezi ya UAMSHO, kwani mnatumiwa na nani vile?
      An Idea isn't responsible for the people who believe in it.
      Donald Robert Marquis (1878 - 1937)
      American Writer


    5. #4
      abdul 28's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th May 2012
      Posts : 210
      Rep Power : 393
      Likes Received
      23
      Likes Given
      3

      Default Re: Kwa nini waarabu wanataka Zanzibar kwa gharama ya watanganyika?

      booooooooooooooh ovyoooooooooooooooooo fitna za watanganyikaaaa boooooooooooooooooooo

    6. #5
      tpmazembe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2012
      Posts : 351
      Rep Power : 442
      Likes Received
      44
      Likes Given
      57

      Default Re: Kwa nini waarabu wanataka Zanzibar kwa gharama ya watanganyika?

      Quote By Barubaru
      Uarabu, uunguja , upemba vyote umenena wewe.

      Kinachotakiwa hapo ni haki tu na si dhulma. Kinachotakiwa ni kuweka mambo hadharani na kujitakasa na ulaghai na ujanja ujanja. Kufuata yale makubaliano yenu ya mkataba wenu.

      Usitafute mchawi na kusingizia watu na kuleta ubaguzi wa kikabila na kinasaba.

      Nakupa pole sana.
      SUALA LA KUVUNJA MUUNGANO HALIHITAJI MPAKA MFANYE VURUGU ZOTE HIZO BARABARANI AU MIKUTANO MINGI HIVYO KWANI:
      • znz kikatiba ni nchi,ilibadili katiba na kupiga kura ya maoni ya serikali ya umoja wa kitaifa bila kuomba ruhusa kwenye bunge la muungano.sasa kwa nini msiwaambie wawakilishi mliowachagua wapitishe hoja hiyo?
      • Uamsho ni jumuiya ya kidini kwa nini isiwaambie wale wabunge wote wa znz wa Muungano kusuia vikao,maana wakiongea kama viongozi wa dini sidhani kama watawapuuza
      • Rais kateuwa watu wa tume ya katiba kwa nini msiwaamuru wale wote walioteuliwa kukataa nafasi zao
      • viongozi wakuu kama jaji mkuu wa TZ ,makamu wa raisi na wafanyabiashara kama akina backresa kwa nini msiwaambie wasusie kila kitu warudi znz.

      Mkifanya hayo hakuna mtu atakayewazuia kuondoka,kuliko kukaa barabarani,mikutano isiyoisha ambayo haijulikani sms mnataka imfikie nani.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Barubaru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2009
      Location : Doha, Qatar
      Posts : 5,740
      Rep Power : 1919
      Likes Received
      1177
      Likes Given
      962

      Default Re: Kwa nini waarabu wanataka Zanzibar kwa gharama ya watanganyika?

      Quote By tpmazembe
      SUALA LA KUVUNJA MUUNGANO HALIHITAJI MPAKA MFANYE VURUGU ZOTE HIZO BARABARANI AU MIKUTANO MINGI HIVYO KWANI:
      • znz kikatiba ni nchi,ilibadili katiba na kupiga kura ya maoni ya serikali ya umoja wa kitaifa bila kuomba ruhusa kwenye bunge la muungano.sasa kwa nini msiwaambie wawakilishi mliowachagua wapitishe hoja hiyo?
      • Uamsho ni jumuiya ya kidini kwa nini isiwaambie wale wabunge wote wa znz wa Muungano kusuia vikao,maana wakiongea kama viongozi wa dini sidhani kama watawapuuza
      • Rais kateuwa watu wa tume ya katiba kwa nini msiwaamuru wale wote walioteuliwa kukataa nafasi zao
      • viongozi wakuu kama jaji mkuu wa TZ ,makamu wa raisi na wafanyabiashara kama akina backresa kwa nini msiwaambie wasusie kila kitu warudi znz.

      Mkifanya hayo hakuna mtu atakayewazuia kuondoka,kuliko kukaa barabarani,mikutano isiyoisha ambayo haijulikani sms mnataka imfikie nani.
      Kwa mtu yoyote makini na mwenye kufikiri unaona wazi kuna maslahi makubwa sana wanayopata Tanganyika kutokana na huo Muungano.

      Hususan mtu makini anayeweza kuupambanua muungano weno na kuona wazi MUMEUNGANA KIMKATABA NA SI KIKATIBA. Na kama mumeungana kimkataba basi pande zote zina haki sawa kuujadili muungano huo kwa kuangalia maslahi yake kiuchumi , kisiasa na kijamii.

      Znz wanaliona wazi wanadhulumiwa kiuchumi, kisiasa na kijamii na ndio maana wamekuwa wawazi kulisemea hilo na kuamshana ili wazuie dhulma hiyo. Sasa inapotokea waTanganyika kuwazuia basi inajionyesha wazi muna manufaa makubwa mnayoyapata ndanimwe na kwa dhulma zenu dhidi ya Znz na waZnz.

      Kumbukeni dhulma zina mwisho , kama ulivyo uongo. Naona sasa mnabadilisha motion badala ya KUWA WAZNZ WANADAI KURA ZA MAONI KABLA KUJADILI KATIBA MPYA na kuifanya Waznz wavunja makanisa. Kwa mwenye akili haiingi akilini hata kidogo kwa Kwa sie tuliozaliwa na kukulia shanghani Znz tumeliona kanisa katoliki dahali kwa dahali na wakristo wachache waliopo hapo walikuwa wanaabudu hapo bila kubughudhiwa. Iweje leo kama sio propaganda?

      Kila jambo lazima lina ncha na Znz ipo siku itatoka dhidi ya ukoloni wa Tanganyika kwa kisingizio cha Mvungano. oops Muungano.

      Ukiwa mchoyo, usiwe mroho.

      Man Sharaf naf'sahu, fahuwa rasul

    9. #7
      tpmazembe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2012
      Posts : 351
      Rep Power : 442
      Likes Received
      44
      Likes Given
      57

      Default Re: Kwa nini waarabu wanataka Zanzibar kwa gharama ya watanganyika?

      Quote By Barubaru
      Kwa mtu yoyote makini na mwenye kufikiri unaona wazi kuna maslahi makubwa sana wanayopata Tanganyika kutokana na huo Muungano.

      Hususan mtu makini anayeweza kuupambanua muungano weno na kuona wazi MUMEUNGANA KIMKATABA NA SI KIKATIBA. Na kama mumeungana kimkataba basi pande zote zina haki sawa kuujadili muungano huo kwa kuangalia maslahi yake kiuchumi , kisiasa na kijamii.

      Znz wanaliona wazi wanadhulumiwa kiuchumi, kisiasa na kijamii na ndio maana wamekuwa wawazi kulisemea hilo na kuamshana ili wazuie dhulma hiyo. Sasa inapotokea waTanganyika kuwazuia basi inajionyesha wazi muna manufaa makubwa mnayoyapata ndanimwe na kwa dhulma zenu dhidi ya Znz na waZnz.

      Kumbukeni dhulma zina mwisho , kama ulivyo uongo. Naona sasa mnabadilisha motion badala ya KUWA WAZNZ WANADAI KURA ZA MAONI KABLA KUJADILI KATIBA MPYA na kuifanya Waznz wavunja makanisa. Kwa mwenye akili haiingi akilini hata kidogo kwa Kwa sie tuliozaliwa na kukulia shanghani Znz tumeliona kanisa katoliki dahali kwa dahali na wakristo wachache waliopo hapo walikuwa wanaabudu hapo bila kubughudhiwa. Iweje leo kama sio propaganda?

      Kila jambo lazima lina ncha na Znz ipo siku itatoka dhidi ya ukoloni wa Tanganyika kwa kisingizio cha Mvungano. oops Muungano.

      kwa maana yako mmevunja makanisa kutokana na kutokusikilizwa madai yenu ndio maana sasa yanatokea haya,lakini cha ajabu ni kuwa mmebomoa makanisa tu,hiyo hasira ni kweli mmechoka kutokusikilizwa lakini kwa nini msingechoma tu hata na msikiti,?au jengo la smz ambao hawawasikilizi?
      Je unayajua malengo ya (Jumuiya ya uamsho na mihadhara kwa waislam Zanzibar) hawa ambao ndio wanaendesha movement huko znz lengo kuu namba mbili ni kuhakikisha sheria za nchi znz zinazotumika ni za kiislam,sasa swali linakuja sheria za dini zitatumikaje katika nchi kama nchi ina dini nyingi na kila dini inataratibu zake?ukipata jibu la hili utajua ni kwa nini walifanya walichokifanya.
      Hiyo jumuiya ina blog yao pia ina group facebook ukiandika google utaona blog yao utasoma hayo malengo yao,pia ukiwa facebook ukiandika uitaona group lao liko open utaona pia hizo agenda zao.

      Pamoja na hayo yote bado swala la kuvunja muungano liko chini yenu mna wawakilishi kwa nini wasijadili hili,waambieni waznz wote walioko serikali ya muungano kwanzia makamu wa rais,jaji mkuu,na wengine pamoja na akina bakresa waondoke tanganyika waje znz waendelee na kazi zao waifaidishe znz,pia wale walioteuliwa tume ya katiba waambieni wajitoe.serikali ya muungano sijawahi kusikia imekataa maamuzi ya smz,mlishawahi kufanya wakati mnaunda suk,nani aliwakataza,sasa kwa hili nini kinawashinda kuamua?
      Aza likes this.

    10. tz1
      #8
      tz1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th March 2011
      Posts : 2,048
      Rep Power : 827
      Likes Received
      406
      Likes Given
      318

      Default Re: Kwanini waarabu wanataka Zanzibar kwa gharama ya watanganyika?

      wa arabu wanaitaka znz ili waibe nyara za serekali ya bara
      buzz likes this.
      [email protected]

    11. #9
      mpakataji's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 28th October 2011
      Posts : 8
      Rep Power : 383
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By tpmazembe
      SUALA LA KUVUNJA MUUNGANO HALIHITAJI MPAKA MFANYE VURUGU ZOTE HIZO BARABARANI AU MIKUTANO MINGI HIVYO KWANI:
      • znz kikatiba ni nchi,ilibadili katiba na kupiga kura ya maoni ya serikali ya umoja wa kitaifa bila kuomba ruhusa kwenye bunge la muungano.sasa kwa nini msiwaambie wawakilishi mliowachagua wapitishe hoja hiyo?
      • Uamsho ni jumuiya ya kidini kwa nini isiwaambie wale wabunge wote wa znz wa Muungano kusuia vikao,maana wakiongea kama viongozi wa dini sidhani kama watawapuuza
      • Rais kateuwa watu wa tume ya katiba kwa nini msiwaamuru wale wote walioteuliwa kukataa nafasi zao
      • viongozi wakuu kama jaji mkuu wa TZ ,makamu wa raisi na wafanyabiashara kama akina backresa kwa nini msiwaambie wasusie kila kitu warudi znz.

      Mkifanya hayo hakuna mtu atakayewazuia kuondoka,kuliko kukaa barabarani,mikutano isiyoisha ambayo haijulikani sms mnataka imfikie nani.
      Mikutano na maandamano yafanywe na chadema peke yao ndio sahihi make up ur mind

    12. #10
      majorbuyoya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 663
      Rep Power : 2613
      Likes Received
      183
      Likes Given
      238

      Default Re: Kwanini waarabu wanataka Zanzibar kwa gharama ya watanganyika?

      Hawa wafanya fujo wanachochewa na waarabu kutokana na waarabu wanajua ni rahisi sana kuwachochea wazenji kwa kupitia udini, wazenji na waislamu kwa ujumla wanaamini waarabu kwa kila watakalolisema hata likiwa halina msingi wowote. Nawaombea mjitenge ili baadae mje ku-prove ujinga wenu.

    13. #11
      MkimbizwaMbio's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Posts : 873
      Rep Power : 605
      Likes Received
      292
      Likes Given
      197

      Default Re: Kwa nini waarabu wanataka Zanzibar kwa gharama ya watanganyika?

      Quote By Barubaru

      Kwa mtu yoyote makini na mwenye kufikiri unaona wazi kuna maslahi makubwa sana wanayopata Tanganyika kutokana na huo Muungano.

      Hususan mtu makini anayeweza kuupambanua muungano weno na kuona wazi MUMEUNGANA KIMKATABA NA SI KIKATIBA. Na kama mumeungana kimkataba basi pande zote zina haki sawa kuujadili muungano huo kwa kuangalia maslahi yake kiuchumi , kisiasa na kijamii.

      Znz wanaliona wazi wanadhulumiwa kiuchumi, kisiasa na kijamii na ndio maana wamekuwa wawazi kulisemea hilo na kuamshana ili wazuie dhulma hiyo. Sasa inapotokea waTanganyika kuwazuia basi inajionyesha wazi muna manufaa makubwa mnayoyapata ndanimwe na kwa dhulma zenu dhidi ya Znz na waZnz.

      Kumbukeni dhulma zina mwisho , kama ulivyo uongo. Naona sasa mnabadilisha motion badala ya KUWA WAZNZ WANADAI KURA ZA MAONI KABLA KUJADILI KATIBA MPYA na kuifanya Waznz wavunja makanisa. Kwa mwenye akili haiingi akilini hata kidogo kwa Kwa sie tuliozaliwa na kukulia shanghani Znz tumeliona kanisa katoliki dahali kwa dahali na wakristo wachache waliopo hapo walikuwa wanaabudu hapo bila kubughudhiwa. Iweje leo kama sio propaganda?

      Kila jambo lazima lina ncha na Znz ipo siku itatoka dhidi ya ukoloni wa Tanganyika kwa kisingizio cha Mvungano. oops Muungano.

      Hiki ni kichekesho, Maslahi makubwa kwa ka nchi cha watu wavivu??? Hakuna kitu cha kuwanufaisha wa Bara.
      We shall heal our wounds, collect our dead and continue fighting

    14. #12
      Barubaru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2009
      Location : Doha, Qatar
      Posts : 5,740
      Rep Power : 1919
      Likes Received
      1177
      Likes Given
      962

      Default Re: Kwanini waarabu wanataka Zanzibar kwa gharama ya watanganyika?

      Quote By majorbuyoya
      Hawa wafanya fujo wanachochewa na waarabu kutokana na waarabu wanajua ni rahisi sana kuwachochea wazenji kwa kupitia udini, wazenji na waislamu kwa ujumla wanaamini waarabu kwa kila watakalolisema hata likiwa halina msingi wowote. Nawaombea mjitenge ili baadae mje ku-prove ujinga wenu.
      Kama ilivyo wabara na ukristo. Wabara wanaamini sana wazungu ni kwa sababu wakristo wenzao na kila anachofanya muislam kwao kinakuwa zero.

      Na ndio hapo nasema Kikwete anaponzwa na Dini yake na si lingine. Angekuwa mkristo mambo yangekuwa sawa tu kama yalivyopita kwa Nyerere na Mkapa.

      Poleni sana WaDanganyika na Ukristo wenu.
      Ukiwa mchoyo, usiwe mroho.

      Man Sharaf naf'sahu, fahuwa rasul

    15. #13
      Democracy999's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2012
      Posts : 627
      Rep Power : 477
      Likes Received
      111
      Likes Given
      30

      Default Re: Kwanini waarabu wanataka Zanzibar kwa gharama ya watanganyika?

      wakati kisiwa kinakombolewa wazanzibari wengi walikuwa watumwa, kwa hiyo hawana uchungu wowote wala uelewa wowote wa nini kitatokea wakirudi
      Ground Zero and buzz like this.

    16. #14
      majorbuyoya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 663
      Rep Power : 2613
      Likes Received
      183
      Likes Given
      238

      Default Re: Kwanini waarabu wanataka Zanzibar kwa gharama ya watanganyika?

      Quote By Barubaru
      Kama ilivyo wabara na ukristo. Wabara wanaamini sana wazungu ni kwa sababu wakristo wenzao na kila anachofanya muislam kwao kinakuwa zero. Na ndio hapo nasema Kikwete anaponzwa na Dini yake na si lingine. Angekuwa mkristo mambo yangekuwa sawa tu kama yalivyopita kwa Nyerere na Mkapa. Poleni sana WaDanganyika na Ukristo wenu.
      ukiachana na kusumbuliwa na udini, pia mna matatizo makubwa sana ndani ya vichwa vyenu.......... Inferiority complex ni ugonjwa hatari ambao unawasumbua ni heri anayeugua ugonjwa wa Ukimwi kuliko huo unaowasumbua watoto wa mama mdogo.

    17. #15
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,138
      Rep Power : 2419
      Likes Received
      937
      Likes Given
      377

      Default

      Quote By Barubaru
      Uarabu, uunguja , upemba vyote umenena wewe.

      Kinachotakiwa hapo ni haki tu na si dhulma. Kinachotakiwa ni kuweka mambo hadharani na kujitakasa na ulaghai na ujanja ujanja. Kufuata yale makubaliano yenu ya mkataba wenu.

      Usitafute mchawi na kusingizia watu na kuleta ubaguzi wa kikabila na kinasaba.

      Nakupa pole sana.
      Kwanini mwarabu ashindwe kumsaidia msenji bila kuvunja muungano kwani msaada hautamfikia bila kuvunja muungano?

    18. #16
      majebere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 2,206
      Rep Power : 0
      Likes Received
      322
      Likes Given
      111

      Default Re: Kwanini waarabu wanataka Zanzibar kwa gharama ya watanganyika?

      wakati wa utawala wa kiarabu, makanisa mbona hayakuchomwa? tena mengi yalijengwa. Msitake kulaumu warabu, waznj wanatak nchi yao, sasa sisi tuamue moja, tuwape au tuonyeshe ubabe.

    19. #17
      kombo1's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th May 2012
      Posts : 11
      Rep Power : 354
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Kwanini waarabu wanataka Zanzibar kwa gharama ya watanganyika?

      Quote By Ground Zero
      Hivi waarabu hawa wana maslahi gani na Zanzibar kiasi cha kutaka kutuharibia amani. Ukiwasikiliza viongozi wa uamsho wengi wanazungumzia misaada kutoka kwa ndugu zao uarabuni. Je huo ukaribu wa waarabu na Wazanzibar hasa wapemba na waarabu unatokana na nini?Hivi mwarabu wa oman ni karibu zaidi kiutamaduni na mpemba kuliko mpemba na mtanganyika wa kigoma?
      Unajaribu kuwapotesha watu, Zanzibar kudai uhuru na utaifa wake hauna ubaguzi, sisi sote tuko pamoja na sioni tatizo wananchi kuomba kura ya maoni kuhusu muungano. Muungano huu haukuandikwa katika biblia au kurani kushindikana kuufuta na sioni kwa nini upande wa bara wanatupinga kila tunapo fikiria fikira hii hata wanachukua hatuwa ya kuwafukuza viongozi wetu wa vyeo mbali mbali hata kumfukuza kazi Rais Aboud Jumbe. Tafadhali angalia hii video ili ujifunze zaidi matokeo yaliyotupata mpaka hapa tulipofika.

      Video:Kwanini tusiirejeshe jamhuri ya watu wa Zanzibar? | Mzalendo.net

    20. #18
      IPECACUANHA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2011
      Posts : 1,092
      Rep Power : 636
      Likes Received
      223
      Likes Given
      50

      Default Re: Kwa nini waarabu wanataka Zanzibar kwa gharama ya watanganyika?

      Quote By Barubaru
      Uarabu, uunguja , upemba vyote umenena wewe.

      Kinachotakiwa hapo ni haki tu na si dhulma. Kinachotakiwa ni kuweka mambo hadharani na kujitakasa na ulaghai na ujanja ujanja. Kufuata yale makubaliano yenu ya mkataba wenu.

      Usitafute mchawi na kusingizia watu na kuleta ubaguzi wa kikabila na kinasaba.

      Nakupa pole sana.
      Ni ukweli usiofichika kwamba sultani wa Oman alitawala na kuvimiliki visiwa vya Zanzibar. Ni ukweli pia bado kuna hisia kali tu kwamba muungano ndio unaochelewesha kuvirudisha visiwa hivyo kwa "Wenyewe". Na kwa jinsi jamii ya Zanzibar ilivyo athirika na Umaskini, Uvivu, Ushoga, Ujinga na Uteja hata mimi naamini kwamba vunja muungano kesho mtu mwenye sura na mavazi kama ya AVATAR yako atakalia kiti cha utawala Zanzibar.

    21. #19
      majebere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 2,206
      Rep Power : 0
      Likes Received
      322
      Likes Given
      111

      Default Re: Kwanini waarabu wanataka Zanzibar kwa gharama ya watanganyika?

      Quote By Barubaru
      Kama ilivyo wabara na ukristo. Wabara wanaamini sana wazungu ni kwa sababu wakristo wenzao na kila anachofanya muislam kwao kinakuwa zero.

      Na ndio hapo nasema Kikwete anaponzwa na Dini yake na si lingine. Angekuwa mkristo mambo yangekuwa sawa tu kama yalivyopita kwa Nyerere na Mkapa.

      Poleni sana WaDanganyika na Ukristo wenu.
      wapi kuna waislamu wengi, Zanzibar au Tanzania? Achana na Udini ndugu lasivyo point zako zingine zote zitaonekana hazina maana.

    22. #20
      majebere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 2,206
      Rep Power : 0
      Likes Received
      322
      Likes Given
      111

      Default Re: Kwa nini waarabu wanataka Zanzibar kwa gharama ya watanganyika?

      Quote By IPECACUANHA
      Ni ukweli usiofichika kwamba sultani wa Oman alitawala na kuvimiliki visiwa vya Zanzibar. Ni ukweli pia bado kuna hisia kali tu kwamba muungano ndio unaochelewesha kuvirudisha visiwa hivyo kwa "Wenyewe". Na kwa jinsi jamii ya Zanzibar ilivyo athirika na Umaskini, Uvivu, Ushoga, Ujinga na Uteja hata mimi naamini kwamba vunja muungano kesho mtu mwenye sura na mavazi kama ya AVATAR yako atakalia kiti cha utawala Zanzibar.
      Hakuna mwarabu anaeitaka Zanzibar, je wewe unajua leo hii wakiichukua ZNZ basi waznj wote watahamia uarabuni? Unao waita warabu ni wazanzibari wanaoishi Oman. Na pia Oman na Zanzibar ilisha tengana zamani sana kabla hata ya Mapinduzi.

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...