Kwa haya waliyofanya CHADEMA leo hii hapa MASASI ni funika BOVU.........
Baa zote zilifungwa na shughuli zote katika Wilaya ya Masasi zilisimamishwa muda kutokana na Mkutano wa Chadema aliokuwa ukifanyika katika ya Wilaya ya Masasi siku ya tarehe 3 - Mei - 2012.
Hii inaashiria ya kwamba CCM Mwaka 2015 hawatakuwa na nafasi tena kuongoza nchii yenye hali mbaya kiuchumi. Kwa kweli watu wamehamasika sana kuhusu maelezo yaliyokuwa yanatolewa na viongozi wa Chadema.
Re: Kwa haya waliyofanya CHADEMA leo hii hapa MASASI ni funika BOVU.........
Mkuu fanya editing kidogo kwenye post yako ya kwanza. Sema ni jana Jumapili na si leo Jumatatu tayari. Pia tarehe si 3 Mei 2012 bali ni 3 Juni 2012.
Asante.
Haki huinua taifa bali dhambi ni aibu ya watu wote (Mithali 14:34)
Re: Kwa haya waliyofanya CHADEMA leo hii hapa MASASI ni funika BOVU.........
By mzee wa njaa
Baa zote zilifungwa na shughuli zote katika Wilaya ya Masasi zilisimamishwa muda kutokana na Mkutano wa Chadema aliokuwa ukifanyika katika ya Wilaya ya Masasi siku ya tarehe 3 - Mei - 2012.
Hii inaashiria ya kwamba CCM Mwaka 2015 hawatakuwa na nafasi tena kuongoza nchii yenye hali mbaya kiuchumi. Kwa kweli watu wamehamasika sana kuhusu maelezo yaliyokuwa yanatolewa na viongozi wa Chadema.
Nakubaliana na wewe kuwa mwamko wa wananchi kwa sasa ni mkubwa sana katika masuala ya siasa. Hata hivyo wakati haya yanatokea ni vyema tukajifunzo kutokana na makosa yaliyopita ambapo kuna baadhi ya viongozi waliamini kuhudhuriwa kwa mikutano yao na watu wengi ni mafanikio na baadaye kuja kubainika siyo hasa baada ya kura. Ili kuwezesha mageuzi ya kweli pamoja na kuelezea madhambi ya magamba, vyama vya upizani vielimishe vijana kujiandikisha kupiga kura bila hivyo hakuna ushindi. Nasema vijana kwa kuwa naelewa fika mapinduzi ya kweli yapo kwa vijana hao ndio watakaowezesha ushindi kwa upande wowote ule. Kwa hiyo wito wangu pamoja na mambo mengine hakikisheni vijana wake kwa waume wanahamasishwa kujiandikisha kupiga kura.
Re: Kwa haya waliyofanya CHADEMA leo hii hapa MASASI ni funika BOVU.........
By Ruhazwe JR
hizi ni habari njema kwangu
Hizi ni habari njema kwa Watanzania maana CDM kinazidi kuthibitisha kwamba si chama cha Wachaga tu kama ambavyo magamba wanataka Watanzania waamini hivyo.
Re: Kwa haya waliyofanya CHADEMA leo hii hapa MASASI ni funika BOVU.........
By Njoka Ereguu
Nakubaliana na wewe kuwa mwamko wa wananchi kwa sasa ni mkubwa sana katika masuala ya siasa. Hata hivyo wakati haya yanatokea ni vyema tukajifunzo kutokana na makosa yaliyopita ambapo kuna baadhi ya viongozi waliamini kuhudhuriwa kwa mikutano yao na watu wengi ni mafanikio na baadaye kuja kubainika siyo hasa baada ya kura. Ili kuwezesha mageuzi ya kweli pamoja na kuelezea madhambi ya magamba, vyama vya upizani vielimishe vijana kujiandikisha kupiga kura bila hivyo hakuna ushindi. Nasema vijana kwa kuwa naelewa fika mapinduzi ya kweli yapo kwa vijana hao ndio watakaowezesha ushindi kwa upande wowote ule. Kwa hiyo wito wangu pamoja na mambo mengine hakikisheni vijana wake kwa waume wanahamasishwa kujiandikisha kupiga kura.
Hapa ndipo watanzania wengi mnapokosea na kuwalaumu na kuwakatisha tamaa wapiga kura! kwenye chaguzi nyingi naweza kusema kuanzia 1995 hadi sasa wananchi waliunga mkono upinzani kuanzia kwenye mikutano hadi kwenye sanduku la kura! walipokosea au tuseme walipojisahau ni kutokulinda kura zao!Waliiamini sana tume ya uchaguzi bila kujua ni taasisi ya CCM! Hii imedhihirka kwenye uchaguzi wa 2010 maeneo ambayo watu waliibana tume kama Arusha, nyamagana,ilemela, Iringa mjini na juzijuzi Arumeru mashariki CCM ilishindwa! Kwa hiyo kwenye hizi kampeni za M4C wananchi waelezwe wazi kuwa wanatakiwa washiriki kampeni, wakapige kura na kuzilinda hadi matokeo yatangazwe!!
Hapa ndipo watanzania wengi mnapokosea na kuwalaumu na kuwakatisha tamaa wapiga kura! kwenye chaguzi nyingi naweza kusema kuanzia 1995 hadi sasa wananchi waliunga mkono upinzani kuanzia kwenye mikutano hadi kwenye sanduku la kura! walipokosea au tuseme walipojisahau ni kutokulinda kura zao!Waliiamini sana tume ya uchaguzi bila kujua ni taasisi ya CCM! Hii imedhihirka kwenye uchaguzi wa 2010 maeneo ambayo watu waliibana tume kama Arusha, nyamagana,ilemela, Iringa mjini na juzijuzi Arumeru mashariki CCM ilishindwa! Kwa hiyo kwenye hizi kampeni za M4C wananchi waelezwe wazi kuwa wanatakiwa washiriki kampeni, wakapige kura na kuzilinda hadi matokeo yatangazwe!!
...umenena yaliyo ya kweli...sina cha kuongeza coz ukweli u-simama wenyewe!...
Re: Kwa haya waliyofanya CHADEMA leo hii hapa MASASI ni funika BOVU.........
By MNYISANZU
Baada ya M4C kueleweka sasa ni wajibu wa kila mzalendo kulinda kura 2015.
Pamoja na hilo, tupiganie kupata tume huru ya uchaguzi itakayoendesha na kusimamia uchaguzi huru na wa haki mwaka 2015 bila maagizo toka ikulu, uwt au ccm makao makuu.
TANZANIA ITAJENGWA NA WENYE MOYO NA KULIWA NA WENYE MENO KAMA AKINA EL, JK, EC na RA
Re: Kwa haya waliyofanya CHADEMA leo hii hapa MASASI ni funika BOVU.........
By mzee wa njaa
Baa zote zilifungwa na shughuli zote katika Wilaya ya Masasi zilisimamishwa muda kutokana na Mkutano wa Chadema aliokuwa ukifanyika katika ya Wilaya ya Masasi siku ya tarehe 3 - Mei - 2012.
Hii inaashiria ya kwamba CCM Mwaka 2015 hawatakuwa na nafasi tena kuongoza nchii yenye hali mbaya kiuchumi. Kwa kweli watu wamehamasika sana kuhusu maelezo yaliyokuwa yanatolewa na viongozi wa Chadema.
NAKUSHUKURU MUNGU KWA KUIADHIBU CCM MCHANA KWEUPE, BABA NINAKUOMBA UZIDI KUWAUMBUA, KWA KUYAWEKA WAZI MCHANA WANAYOYAFANYA USIKU. OMBI KWA MUNGU: MUNGU WEWE NI MWEZA WA YOTE, NA SIKU ZOTE UNAYASIKILIZA MAOMBI YA WAKUCHAO, NAKUOMBA UKAFUNGE NGUVU ZA GIZA ZINAZOINYEMELEA M4C; NA UVUNJE MIPANGO YOTE YA MASHETANI WALIOPO NDANI YA CHADEMA. AMINA
Follow Us Here