Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kwa haya waliyofanya CHADEMA leo hii hapa MASASI ni funika BOVU.........

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 33
    1. #1
      mzee wa njaa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2011
      Posts : 1,340
      Rep Power : 670
      Likes Received
      194
      Likes Given
      107

      Default Kwa haya waliyofanya CHADEMA leo hii hapa MASASI ni funika BOVU.........

      Baa zote zilifungwa na shughuli zote katika Wilaya ya Masasi zilisimamishwa muda kutokana na Mkutano wa Chadema aliokuwa ukifanyika katika ya Wilaya ya Masasi siku ya tarehe 3 - Mei - 2012.

      Hii inaashiria ya kwamba CCM Mwaka 2015 hawatakuwa na nafasi tena kuongoza nchii yenye hali mbaya kiuchumi. Kwa kweli watu wamehamasika sana kuhusu maelezo yaliyokuwa yanatolewa na viongozi wa Chadema.

      Peoplesssssssssssssssss Poweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeerrr.
      Crashwise, ZionTZ, Mungi and 3 others like this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Nteko Vano's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2012
      Location : Dar es salaam
      Posts : 428
      Rep Power : 450
      Likes Received
      90
      Likes Given
      26

      Default Re: Kwa haya waliyofanya CHADEMA leo hii hapa MASASI ni funika BOVU.........

      Pichaaaaaaaaaaaaaaaaa

    4. #3
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,172
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      776
      Likes Given
      721

      Default Re: Kwa haya waliyofanya CHADEMA leo hii hapa MASASI ni funika BOVU.........

      hizi ni habari njema kwangu

    5. #4
      mzee wa njaa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2011
      Posts : 1,340
      Rep Power : 670
      Likes Received
      194
      Likes Given
      107

      Default Re: Kwa haya waliyofanya CHADEMA leo hii hapa MASASI ni funika BOVU.........

      Quote By Nteko Vano
      Pichaaaaaaaaaaaaaaaaa
      Kaka sikuwa na Camera ngoja nizitafute nitakuwekea tu.

    6. #5
      Naytsory's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2011
      Posts : 725
      Rep Power : 761
      Likes Received
      127
      Likes Given
      2

      Default Re: Kwa haya waliyofanya CHADEMA leo hii hapa MASASI ni funika BOVU.........

      Nani walikuwepo na waliongelea nini mkuu na tulio mbali tufaidi.

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      rmashauri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Location : Ng'wanza Sukuma
      Posts : 2,863
      Rep Power : 1201
      Likes Received
      352
      Likes Given
      684

      Default Re: Kwa haya waliyofanya CHADEMA leo hii hapa MASASI ni funika BOVU.........

      Mkuu fanya editing kidogo kwenye post yako ya kwanza. Sema ni jana Jumapili na si leo Jumatatu tayari. Pia tarehe si 3 Mei 2012 bali ni 3 Juni 2012.
      Asante.
      Haki huinua taifa bali dhambi ni aibu ya watu wote (Mithali 14:34)

    9. #7
      Tume ya Katiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Chumbuni-Zanzibar
      Posts : 2,690
      Rep Power : 0
      Likes Received
      542
      Likes Given
      273

      Default Re: Kwa haya waliyofanya CHADEMA leo hii hapa MASASI ni funika BOVU.........

      Baa zote zimefungwa, kweli chadema inapendwa.

    10. #8
      denoo49's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th March 2011
      Location : Kijijini
      Posts : 746
      Rep Power : 758
      Likes Received
      138
      Likes Given
      20

      Default

      Quote By Nteko Vano
      Pichaaaaaaaaaaaaaaaaa
      hudhuria kwenye Maktaba ya Taifa.

    11. #9
      Njoka Ereguu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Posts : 503
      Rep Power : 459
      Likes Received
      167
      Likes Given
      30

      Default Re: Kwa haya waliyofanya CHADEMA leo hii hapa MASASI ni funika BOVU.........

      Quote By mzee wa njaa
      Baa zote zilifungwa na shughuli zote katika Wilaya ya Masasi zilisimamishwa muda kutokana na Mkutano wa Chadema aliokuwa ukifanyika katika ya Wilaya ya Masasi siku ya tarehe 3 - Mei - 2012.

      Hii inaashiria ya kwamba CCM Mwaka 2015 hawatakuwa na nafasi tena kuongoza nchii yenye hali mbaya kiuchumi. Kwa kweli watu wamehamasika sana kuhusu maelezo yaliyokuwa yanatolewa na viongozi wa Chadema.

      Peoplesssssssssssssssss Poweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeerrr.
      Nakubaliana na wewe kuwa mwamko wa wananchi kwa sasa ni mkubwa sana katika masuala ya siasa. Hata hivyo wakati haya yanatokea ni vyema tukajifunzo kutokana na makosa yaliyopita ambapo kuna baadhi ya viongozi waliamini kuhudhuriwa kwa mikutano yao na watu wengi ni mafanikio na baadaye kuja kubainika siyo hasa baada ya kura. Ili kuwezesha mageuzi ya kweli pamoja na kuelezea madhambi ya magamba, vyama vya upizani vielimishe vijana kujiandikisha kupiga kura bila hivyo hakuna ushindi. Nasema vijana kwa kuwa naelewa fika mapinduzi ya kweli yapo kwa vijana hao ndio watakaowezesha ushindi kwa upande wowote ule. Kwa hiyo wito wangu pamoja na mambo mengine hakikisheni vijana wake kwa waume wanahamasishwa kujiandikisha kupiga kura.

    12. BAK
      #10
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,631
      Rep Power : 44971
      Likes Received
      8383
      Likes Given
      8359

      Default Re: Kwa haya waliyofanya CHADEMA leo hii hapa MASASI ni funika BOVU.........

      Quote By Ruhazwe JR
      hizi ni habari njema kwangu
      Hizi ni habari njema kwa Watanzania maana CDM kinazidi kuthibitisha kwamba si chama cha Wachaga tu kama ambavyo magamba wanataka Watanzania waamini hivyo.
      Crashwise likes this.
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    13. #11
      Havizya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 776
      Rep Power : 515
      Likes Received
      156
      Likes Given
      60

      Default Re: Kwa haya waliyofanya CHADEMA leo hii hapa MASASI ni funika BOVU.........

      Ngoma inogile, Nape alikuwa Songea kujaribu bahati yake.

    14. #12
      OSOKONI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th October 2011
      Posts : 3,632
      Rep Power : 1110
      Likes Received
      1001
      Likes Given
      756

      Default Re: Kwa haya waliyofanya CHADEMA leo hii hapa MASASI ni funika BOVU.........

      Quote By Njoka Ereguu
      Nakubaliana na wewe kuwa mwamko wa wananchi kwa sasa ni mkubwa sana katika masuala ya siasa. Hata hivyo wakati haya yanatokea ni vyema tukajifunzo kutokana na makosa yaliyopita ambapo kuna baadhi ya viongozi waliamini kuhudhuriwa kwa mikutano yao na watu wengi ni mafanikio na baadaye kuja kubainika siyo hasa baada ya kura. Ili kuwezesha mageuzi ya kweli pamoja na kuelezea madhambi ya magamba, vyama vya upizani vielimishe vijana kujiandikisha kupiga kura bila hivyo hakuna ushindi. Nasema vijana kwa kuwa naelewa fika mapinduzi ya kweli yapo kwa vijana hao ndio watakaowezesha ushindi kwa upande wowote ule. Kwa hiyo wito wangu pamoja na mambo mengine hakikisheni vijana wake kwa waume wanahamasishwa kujiandikisha kupiga kura.
      Hapa ndipo watanzania wengi mnapokosea na kuwalaumu na kuwakatisha tamaa wapiga kura! kwenye chaguzi nyingi naweza kusema kuanzia 1995 hadi sasa wananchi waliunga mkono upinzani kuanzia kwenye mikutano hadi kwenye sanduku la kura! walipokosea au tuseme walipojisahau ni kutokulinda kura zao!Waliiamini sana tume ya uchaguzi bila kujua ni taasisi ya CCM! Hii imedhihirka kwenye uchaguzi wa 2010 maeneo ambayo watu waliibana tume kama Arusha, nyamagana,ilemela, Iringa mjini na juzijuzi Arumeru mashariki CCM ilishindwa! Kwa hiyo kwenye hizi kampeni za M4C wananchi waelezwe wazi kuwa wanatakiwa washiriki kampeni, wakapige kura na kuzilinda hadi matokeo yatangazwe!!
      Njoka Ereguu likes this.
      Narrow minded people discuss people,common minded people discuss events great minded people discuss ideas!!!

    15. #13
      IKHOIKHOI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th January 2012
      Location : Bustani ya Eden
      Posts : 345
      Rep Power : 438
      Likes Received
      35
      Likes Given
      34

      Default Re: Kwa haya waliyofanya CHADEMA leo hii hapa MASASI ni funika BOVU.........

      habari njema hizi
      ora et labora

    16. #14
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,498
      Rep Power : 19788
      Likes Received
      4313
      Likes Given
      1263

      Default Re: Kwa haya waliyofanya CHADEMA leo hii hapa MASASI ni funika BOVU.........

      Nape,rejao,ritz machozi yanawa dondoka

    17. #15
      Sabung'ori's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th July 2011
      Posts : 826
      Rep Power : 562
      Likes Received
      233
      Likes Given
      16

      Default

      Quote By OSOKONI
      Hapa ndipo watanzania wengi mnapokosea na kuwalaumu na kuwakatisha tamaa wapiga kura! kwenye chaguzi nyingi naweza kusema kuanzia 1995 hadi sasa wananchi waliunga mkono upinzani kuanzia kwenye mikutano hadi kwenye sanduku la kura! walipokosea au tuseme walipojisahau ni kutokulinda kura zao!Waliiamini sana tume ya uchaguzi bila kujua ni taasisi ya CCM! Hii imedhihirka kwenye uchaguzi wa 2010 maeneo ambayo watu waliibana tume kama Arusha, nyamagana,ilemela, Iringa mjini na juzijuzi Arumeru mashariki CCM ilishindwa! Kwa hiyo kwenye hizi kampeni za M4C wananchi waelezwe wazi kuwa wanatakiwa washiriki kampeni, wakapige kura na kuzilinda hadi matokeo yatangazwe!!
      ...umenena yaliyo ya kweli...sina cha kuongeza coz ukweli u-simama wenyewe!...

    18. #16
      Suzie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2010
      Posts : 1,086
      Rep Power : 0
      Likes Received
      339
      Likes Given
      309

      Default

      Quote By Tume ya katiba
      Baa zote zimefungwa, kweli chadema inapendwa.
      Kwani watanzania wengi si mnapenda kukaa bar kuwavizia mafisadi wawadanganye na chupa mojamoja, mkirudi mmeridhikaaa. Ulitaka wafunge Misikiti uanze kuandamana na kuchoma makanisa. Ondoa Utapiamlo wako hapa

    19. #17
      Mamndenyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 12,136
      Rep Power : 31825
      Likes Received
      6019
      Likes Given
      19619

      Default Re: Kwa haya waliyofanya CHADEMA leo hii hapa MASASI ni funika BOVU.........

      Tena CDM wamechelewa sana kwenda huko,
      kule wamesahaulika kabisa, utajua kuwa siyo TZ.
      Precise pangolin likes this.
      SIYO WOTE WANAOTANGATANGA WAMEPOTEA

    20. #18
      MNYISANZU's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,311
      Rep Power : 0
      Likes Received
      593
      Likes Given
      76

      Default Re: Kwa haya waliyofanya CHADEMA leo hii hapa MASASI ni funika BOVU.........

      Baada ya M4C kueleweka sasa ni wajibu wa kila mzalendo kulinda kura 2015.

    21. #19
      Power G's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 20th April 2011
      Location : Msoga Kijijini
      Posts : 2,413
      Rep Power : 993
      Likes Received
      776
      Likes Given
      261

      Default Re: Kwa haya waliyofanya CHADEMA leo hii hapa MASASI ni funika BOVU.........

      Quote By MNYISANZU
      Baada ya M4C kueleweka sasa ni wajibu wa kila mzalendo kulinda kura 2015.
      Pamoja na hilo, tupiganie kupata tume huru ya uchaguzi itakayoendesha na kusimamia uchaguzi huru na wa haki mwaka 2015 bila maagizo toka ikulu, uwt au ccm makao makuu.
      TANZANIA ITAJENGWA NA WENYE MOYO NA KULIWA NA WENYE MENO KAMA AKINA EL, JK, EC na RA

    22. #20
      Kashaijabutege's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 20th October 2010
      Location : Kabuteigi
      Posts : 1,918
      Rep Power : 823
      Likes Received
      371
      Likes Given
      241

      Default Re: Kwa haya waliyofanya CHADEMA leo hii hapa MASASI ni funika BOVU.........

      Quote By mzee wa njaa
      Baa zote zilifungwa na shughuli zote katika Wilaya ya Masasi zilisimamishwa muda kutokana na Mkutano wa Chadema aliokuwa ukifanyika katika ya Wilaya ya Masasi siku ya tarehe 3 - Mei - 2012.

      Hii inaashiria ya kwamba CCM Mwaka 2015 hawatakuwa na nafasi tena kuongoza nchii yenye hali mbaya kiuchumi. Kwa kweli watu wamehamasika sana kuhusu maelezo yaliyokuwa yanatolewa na viongozi wa Chadema.

      Peoplesssssssssssssssss Poweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeerrr.
      Lini hiyo?
      NAKUSHUKURU MUNGU KWA KUIADHIBU CCM MCHANA KWEUPE, BABA NINAKUOMBA UZIDI KUWAUMBUA, KWA KUYAWEKA WAZI MCHANA WANAYOYAFANYA USIKU. OMBI KWA MUNGU: MUNGU WEWE NI MWEZA WA YOTE, NA SIKU ZOTE UNAYASIKILIZA MAOMBI YA WAKUCHAO, NAKUOMBA UKAFUNGE NGUVU ZA GIZA ZINAZOINYEMELEA M4C; NA UVUNJE MIPANGO YOTE YA MASHETANI WALIOPO NDANI YA CHADEMA. AMINA

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...