Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Benno Malisa aishambulia vikali CHADEMA

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 76
    1. #1
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,440
      Rep Power : 10878
      Likes Received
      3814
      Likes Given
      426

      Default Benno Malisa aishambulia vikali CHADEMA

      Kaimu mwenyekiti wa UVCCM Benno Malisa amekishambulia kwa maneno makali chama CDM kwa madai kuwa kimekuwa kikiisakama serikali ya chama chake.
      Akifungua kikao cha baraza kuu la UVCCM huko Dodoma amesema wapinzani ni wadanganyifu wakubwa na muda wao wa kutamba majukwaani umefika mwisho.Katika hali ya kushangaza Malisa aliwataka vijana baada ya kikao chao wajibu vikali mapigo ya upinzani kwa njia yoyote watakayoona inafaa kwa kile alichodai uvumilivu wake umefikia mwisho.

      Source:Mwananchi

    2. Miaka 50

    3. #2
      TUMBIRI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2011
      Posts : 1,856
      Rep Power : 3633
      Likes Received
      1114
      Likes Given
      284

      Default re: Benno Malisa aishambulia vikali CHADEMA

      Malissa the Bogus Youth Wing President in the word
      Hadha Min Fadhil Rhabi - Hizi ni Rehema za Mwenyezi Mungu

    4. #3
      Nono's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2008
      Location : Bulyanhulu
      Posts : 951
      Rep Power : 766
      Likes Received
      103
      Likes Given
      61

      Default re: Benno Malisa aishambulia vikali CHADEMA

      Quote By fmpiganaji
      Kaimu mwenyekiti wa UVCCM Benno Malisa amekishambulia kwa maneno makali chama CDM kwa madai kuwa kimekuwa kikiisakama serikali ya chama chake.
      Akifungua kikao cha baraza kuu la UVCCM huko Dodoma amesema wapinzani ni wadanganyifu wakubwa na muda wao wa kutamba majukwaani umefika mwisho.Katika hali ya kushangaza Malisa aliwataka vijana baada ya kikao chao wajibu vikali mapigo ya upinzani kwa njia yoyote watakayoona inafaa kwa kile alichodai uvumilivu wake umefikia mwisho.

      Source:Mwananchi
      Hapo nilipopanenepesha pamenivutia! Kumbe amesahau kuwa vijana wao wengi sasa wanatembea kwa kutumia mikongojo!
      Precise pangolin likes this.

    5. #4
      Kiganyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2012
      Posts : 1,162
      Rep Power : 983
      Likes Received
      708
      Likes Given
      400

      Default re: Benno Malisa aishambulia vikali CHADEMA

      mapovu@ work!
      Saint Ivuga likes this.

    6. #5
      Power G's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 20th April 2011
      Location : Msoga Kijijini
      Posts : 2,412
      Rep Power : 993
      Likes Received
      775
      Likes Given
      261

      Default re: Benno Malisa aishambulia vikali CHADEMA

      Nadhani njia mojawapo watakayotumia uvccm kuwajibu wapinzani ni pamoja na kuendelea kuwachinja kama walivyoanza sasa.
      TANZANIA ITAJENGWA NA WENYE MOYO NA KULIWA NA WENYE MENO KAMA AKINA EL, JK, EC na RA

    7. RukaaJuu Final

    8. FJM
      #6
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,178
      Rep Power : 2569
      Likes Received
      5331
      Likes Given
      4587

      Default re: Benno Malisa aishambulia vikali CHADEMA

      Quote By fmpiganaji
      Kaimu mwenyekiti wa UVCCM Benno Malisa amekishambulia kwa maneno makali chama CDM kwa madai kuwa kimekuwa kikiisakama serikali ya chama chake.
      Akifungua kikao cha baraza kuu la UVCCM huko Dodoma amesema wapinzani ni wadanganyifu wakubwa na muda wao wa kutamba majukwaani umefika mwisho.Katika hali ya kushangaza Malisa aliwataka vijana baada ya kikao chao wajibu vikali mapigo ya upinzani kwa njia yoyote watakayoona inafaa kwa kile alichodai uvumilivu wake umefikia mwisho.

      Source:Mwananchi
      Hapo kwenye red: Beno Malisa anasema nini? Nji yoyote maana yake nini? Igunda wamepotea watu, Arumeru wamechinjwa, wabunge wa CHADEMA wamevamiwa huko Mwanza. Je, wananchi wa Tanzania waendelee kuamini kuwa serikali ya CCM bado inayo nia na dhamira ya kutunza amani nchini? Usalama wa raia na mali zao ukoje?
      cicy likes this.

    9. #7
      jogi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th September 2010
      Posts : 4,022
      Rep Power : 1220
      Likes Received
      981
      Likes Given
      247

      Default re: Benno Malisa aishambulia vikali CHADEMA

      Asiwachuuze mjipatie kesi mhangaike nazo, nawashauri vijana jihadharini na mipango ya hujuma ipangwayo na ccm, msishiriki, mwachieni Mwigulu na @Nape.

    10. #8
      MtamaMchungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th April 2011
      Posts : 1,541
      Rep Power : 807
      Likes Received
      710
      Likes Given
      64

      Default re: Benno Malisa aishambulia vikali CHADEMA

      Hili chama zee lina matatizo, kila siku wanaamrishwa wajibu mapigo, ujumbe huwa haufiki au wanaogopa?
      Kigogo likes this.

    11. #9
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,440
      Rep Power : 10878
      Likes Received
      3814
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By fmpiganaji
      Kaimu mwenyekiti wa UVCCM Benno Malisa amekishambulia kwa maneno makali chama CDM kwa madai kuwa kimekuwa kikiisakama serikali ya chama chake.
      Akifungua kikao cha baraza kuu la UVCCM huko Dodoma amesema wapinzani ni wadanganyifu wakubwa na muda wao wa kutamba majukwaani umefika mwisho.Katika hali ya kushangaza Malisa aliwataka vijana baada ya kikao chao wajibu vikali mapigo ya upinzani kwa njia yoyote watakayoona inafaa kwa kile alichodai uvumilivu wake umefikia mwisho.

      Source:Mwananchi
      Kwa kauli hii ya Malisa amekivua nguo chama chake

    12. #10
      telitaibi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd May 2012
      Posts : 459
      Rep Power : 447
      Likes Received
      83
      Likes Given
      79

      Default re: Benno Malisa aishambulia vikali CHADEMA

      haya ni mambo ya siasa za maneno kushusha presha shemeji malissa uko jibu haya

    13. #11
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,179
      Rep Power : 24273
      Likes Received
      4679
      Likes Given
      2299

      Default

      Anamaanisha kuwachinja viongozi wetu hata kwa CHENSOO
      Quote By FJM
      Hapo kwenye red: Beno Malisa anasema nini? Nji yoyote maana yake nini? Igunda wamepotea watu, Arumeru wamechinjwa, wabunge wa CHADEMA wamevamiwa huko Mwanza. Je, wananchi wa Tanzania waendelee kuamini kuwa serikali ya CCM bado inayo nia na dhamira ya kutunza amani nchini? Usalama wa raia na mali zao ukoje?

    14. #12
      nover's Avatar
      Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Posts : 76
      Rep Power : 374
      Likes Received
      4
      Likes Given
      33

      Default re: Benno Malisa aishambulia vikali CHADEMA

      malisa hana jipya

    15. #13
      telitaibi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd May 2012
      Posts : 459
      Rep Power : 447
      Likes Received
      83
      Likes Given
      79

      Default re: Benno Malisa aishambulia vikali CHADEMA

      haya nasubiri majibu nani anaweza leta ya uhakika karibu hapa

    16. #14
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,179
      Rep Power : 24273
      Likes Received
      4679
      Likes Given
      2299

      Default re: Benno Malisa aishambulia vikali CHADEMA

      Malisa, the ever bogest politician of the era

    17. #15
      MNYISANZU's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,311
      Rep Power : 0
      Likes Received
      593
      Likes Given
      76

      Default re: Benno Malisa aishambulia vikali CHADEMA

      Malisa yupo ndani ya "black box" so let him dig the grave of CCM

    18. #16
      Gagnija's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th April 2006
      Posts : 2,066
      Rep Power : 1082
      Likes Received
      668
      Likes Given
      466

      Default re: Benno Malisa aishambulia vikali CHADEMA

      Hivi hana habari kuwa vijana wanaikimbia CCM kila kukicha? Ni vijana gani hao wakujibu mapigo.
      If you are neutral in situations of injustice, you have chosen the side of the oppressor. Tutu



    19. #17
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,695
      Rep Power : 1915
      Likes Received
      1592
      Likes Given
      677

      Default re: Benno Malisa aishambulia vikali CHADEMA

      Ni sawa na babu mzee akisikia au akiona kaburi lazima mifupa imcheze ndio hali iliyompata Malisa

    20. #18
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By TUMBIRI
      Malissa the Bogus Youth Wing President in the word
      malisa huyoooooo

    21. #19
      KOMBAJR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Posts : 3,874
      Rep Power : 5953
      Likes Received
      803
      Likes Given
      229

      Default

      Quote By fmpiganaji
      Kaimu mwenyekiti wa UVCCM Benno Malisa amekishambulia kwa maneno makali chama CDM kwa madai kuwa kimekuwa kikiisakama serikali ya chama chake.
      Akifungua kikao cha baraza kuu la UVCCM huko Dodoma amesema wapinzani ni wadanganyifu wakubwa na muda wao wa kutamba majukwaani umefika mwisho.Katika hali ya kushangaza Malisa aliwataka vijana baada ya kikao chao wajibu vikali mapigo ya upinzani kwa njia yoyote watakayoona inafaa kwa kile alichodai uvumilivu wake umefikia mwisho.

      Source:Mwananchi
      Malisa unatumia na nani?

    22. #20
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Gagnija
      Hivi hana habari kuwa vijana wanaikimbia CCM kila kukicha? Ni vijana gani hao wakujibu mapigo.
      wanaonufaika na chama

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...