Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mbunge wa Bahi (CCM) ashikiliwa na polisi kwa kuomba rushwa

    Report Post
    Page 1 of 8 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 156
    1. #1
      Majasho's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th August 2009
      Posts : 150
      Rep Power : 529
      Likes Received
      40
      Likes Given
      0

      Default Mbunge wa Bahi (CCM) ashikiliwa na polisi kwa kuomba rushwa

      Mimi kila siku nasema posho za wabunge hazitoshi

      Mbunge wa Bahi (CCM) anashikiliwa na polisi na atafikishwa kizimbani J3 kwa tuhuma za kuomba rushwa ya 7 mil. Mbunge huyu yupo kwenye kamati ya MH. A L Mrema ya LAAC.

      Habari za undani zinakuja, upelelezi wa takukuru unaendelea.

      =======

      Neville Meena na Fidelis Butahe | Mwananchi | June 3, 2012

      TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) inamshikilia Mbunge wa Jimbo la Bahi (CCM), Omary Badwel kwa tuhuma za kupokea rushwa ya Sh1 milioni kutoka kwa kiongozi wa Serikali.

      Habari zilizopatikana na kuthibitishwa na Mkurugenzi wa Upelelezi wa taasisi hiyo, Alex Mfungo zinaeleza kuwa Badwel alikamatwa na maofisa wa Takukuru jana saa 9:00 alasiri katika Hoteli ya Peacock jijini Dar es Salaam.

      Badwel ambaye ni mjumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) anadaiwa kukamatwa wakati anapokea rushwa kutoka kwa maafisa wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkurunga mkoani Pwani jana.

      Mfungo aliliambia Mwananchi Jumapili kuwa wanaendelea kumshikilia huku wakati wanafanya uchunguzi hadi kesho ambapo watamfikisha mahakamani.

      “Siwezi kumataja aliyekuwa akitoa rushwa kwa sababu bado tunaendelea na upelelezi, ila mpaka sasa yuko mahabusu na tutamfikisha mahakamani Jumatatu(kesho),” alisema Mfungo.

      Alisema kuwa mbali na kumfikisha mahakamani, pia watatoa taarifa zaidi za tukio hilo kesho.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Tume ya Katiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Chumbuni-Zanzibar
      Posts : 2,679
      Rep Power : 0
      Likes Received
      538
      Likes Given
      273

      Default re: Mbunge wa Bahi (CCM) ashikiliwa na polisi kwa kuomba rushwa

      Sasa kuna uhusiano gani kati ya kutotosha posho na ulaji wa rushwa?
      Janjaweed and JacksonMichael like this.

    4. #3
      JacksonMichael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2012
      Posts : 331
      Rep Power : 427
      Likes Received
      61
      Likes Given
      37

      Default re: Mbunge wa Bahi (CCM) ashikiliwa na polisi kwa kuomba rushwa

      Quote By Tume ya katiba
      Sasa kuna uhusiano gani kati ya kutotosha posho na ulaji wa rushwa?
      Hata mimi nimeshindwa kuconnect dots ...........dot..............

    5. SG8
      #4
      SG8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th December 2009
      Location : DSM
      Posts : 2,555
      Rep Power : 4177
      Likes Received
      771
      Likes Given
      730

      Default Re: Mbunge wa Bahi (CCM) ashikiliwa na polisi kwa kuomba rushwa

      Omar Badwell? Baada ya hapo Zambi na wenzake. Nimemkumbuka David Kafulila!!!!
      "Tumefika hapa kutokana na udhaifu wa Rais Kikwete,Uzembe wa Bunge na Upuuzi wa CCM"

    6. #5
      Invisible's Avatar
      Robot Array
      Join Date : 11th February 2006
      Location : Here...!
      Posts : 9,326
      Rep Power : 100000
      Likes Received
      4888
      Likes Given
      5710

      Default Re: Mbunge wa Bahi (CCM) ashikiliwa na polisi kwa kuomba rushwa

      Quote By Gerrard
      Omar Badwell? Baada ya hapo Zambi na wenzake. Nimemkumbuka David Kafulila!!!!
      Naam,

      Nimeiboresha title na content naona mwenzetu amesahau kama hii ni JF.

      Lakini, kiasi chenyewe inadaiwa hakifikii hata 5mil, achilia mbali 7mil. What a shame?
      Ficha Upumbavu wako; Usiifiche Hekima yako!
      24/7 Email SUPPORT: [email protected]


    7. Miaka 50

    8. #6
      Lukolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2009
      Location : Iringa
      Posts : 3,859
      Rep Power : 6968
      Likes Received
      2014
      Likes Given
      1551

      Default Re: Mbunge wa Bahi (CCM) ashikiliwa na polisi kwa kuomba rushwa

      Hivi hii ni mara ya kwanza kutokea? Nakumbuka kuna mbunge mwingine alishashutumiwa kupokea rushwa na kesi yake iliishia tu kiana. Angekuwa wa upinzani, angeweza hata kupoteza jimbo, lakini kwa kuwa ni wa magamba nafikiri hii siyo kesi tena.
      Mtaji mkubwa kabisa wa CCM katika chaguzi zake ni umaskini na ujinga wa watanzania. CCM haitafanya kosa la kuyamaliza matatizo hayo kwa kuwa kwa kufanya hivyo watakuwa wamehatarisha nafasi yao ya kuendelea kutawala

    9. #7
      Kassim Awadh's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Posts : 587
      Rep Power : 480
      Likes Received
      108
      Likes Given
      785

      Default Re: Mbunge wa Bahi (CCM) ashikiliwa na polisi kwa kuomba rushwa

      Aliomba rushwa toka kwa nani,,Halmashauri ama? polisi wajifanye kama amewatoroka vile aje mikononi mwa wananchi

    10. #8
      Josephine03's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th February 2012
      Posts : 733
      Rep Power : 514
      Likes Received
      285
      Likes Given
      373

      Default

      Hizi dhiki zao za kilafi zitawagharimu sana

      Sent from my BlackBerry 9910 using JamiiForums

    11. SG8
      #9
      SG8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th December 2009
      Location : DSM
      Posts : 2,555
      Rep Power : 4177
      Likes Received
      771
      Likes Given
      730

      Default Re: Mbunge wa Bahi (CCM) ashikiliwa na polisi kwa kuomba rushwa

      Quote By Invisible
      Lakini, kiasi chenyewe inadaiwa hakifikii hata 5mil, achilia mbali 7mil. What a shame?
      Ni aibu sana kwa Mbunge kushtakiwa kwa rushwa ya 5 Mil. This is Tanzania bwana
      "Tumefika hapa kutokana na udhaifu wa Rais Kikwete,Uzembe wa Bunge na Upuuzi wa CCM"

    12. #10
      idawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2012
      Posts : 4,599
      Rep Power : 3333
      Likes Received
      1227
      Likes Given
      461

      Default

      Quote By Invisible
      Naam,

      Nimeiboresha title na content naona mwenzetu amesahau ka
      ma hii ni JF.

      Lakini, kiasi chenyewe inadaiwa hakifikii hata 5mil, achilia mbali 7mil. What a shame?
      Majasho nilimwambia kwamba wenzie watakuja kutaja yeye akawa anaficha jina...

    13. #11
      Tume ya Katiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Chumbuni-Zanzibar
      Posts : 2,679
      Rep Power : 0
      Likes Received
      538
      Likes Given
      273

      Default Re: Mbunge wa Bahi (CCM) ashikiliwa na polisi kwa kuomba rushwa

      Hivi milion 5 unaweza kuita ni rushwa? tena kwa mbunge?

      Kuna watu wanataka kumchafua tu muheshimiwa, ila Kaaibisha jamii yake kama "ikithibitika"
      Last edited by Tume ya Katiba; 2nd June 2012 at 20:57.

    14. #12
      Kimweli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2011
      Posts : 378
      Rep Power : 461
      Likes Received
      65
      Likes Given
      12

      Default Re: Mbunge wa Bahi (CCM) ashikiliwa na polisi kwa kuomba rushwa

      Jamaa kafikisha ujumbe. Asante sana kwa taarifa mkuu. Hao ndiyo CC-HEMU ni hakuna msafi ni matumbo kwanza maendeleo nyuma.

    15. #13
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,687
      Rep Power : 1913
      Likes Received
      1583
      Likes Given
      676

      Default Re: Mbunge wa Bahi (CCM) ashikiliwa na polisi kwa kuomba rushwa

      ccm hawafai Kama yupo kwenye Kamati anakula rushwa angeteuliwa waziri si angeuza wizara?
      Lokissa likes this.

    16. #14
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4016
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Mbunge wa Bahi (CCM) ashikiliwa na polisi kwa kuomba rushwa

      Pole zake...njaa mwanaharamu,lol!
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    17. #15
      Penguine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th November 2009
      Posts : 509
      Rep Power : 583
      Likes Received
      120
      Likes Given
      19

      Default Re: Mbunge wa Bahi (CCM) ashikiliwa na polisi kwa kuomba rushwa

      Yawezekana hata yale aliyoyasema mwenzao kafulilo bungeni kwamba Zambi, Muhita na huyo Badweli walikuwa wakiomba karushwa yalikuwa ni ya kweli. jamani. Sasa hapo Hosea ndiyo mahali pa kuanzia kujenga discipline kwa hao watu, ukishindwa kumshughulikia huyo basi wote watakushinda jumla.
      Quote By Gerrard
      Ni aibu sana kwa Mbunge kushtakiwa kwa rushwa ya 5 Mil. This is Tanzania bwana

    18. #16
      Comi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 962
      Rep Power : 578
      Likes Received
      156
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By Tume ya katiba
      Hivi milion 5 unaweza kuita ni rushwa?

      Kuna watu wanataka kumchafua tu muheshimiwa, ila Kaaibisha jamii yake kama "ikithibitika"
      kweli nimeamini milioni 500 si ufisadi ila laki moja ni ufisadi, ina maana 10000 ndio rushwa? Au?

    19. #17
      Mjenda Chilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2011
      Posts : 769
      Rep Power : 554
      Likes Received
      237
      Likes Given
      3

      Default Re: Mbunge wa Bahi (CCM) ashikiliwa na polisi kwa kuomba rushwa

      Bahi? napiga jaramba mambo yakijipa naenda kuchuka jimbo. Baduweli mrithi wa Kusila mwenyekiti wa ccm mkoa wa Dom, mbwembwe zoooote na mabiashara yako ya miaka na miaka unaomba mil 5? ngoja tuujue ukweli kwanza.

    20. #18
      Majasho's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th August 2009
      Posts : 150
      Rep Power : 529
      Likes Received
      40
      Likes Given
      0

      Default Re: Mbunge wa Bahi (CCM) ashikiliwa na polisi kwa kuomba rushwa

      kaomba rushwa ya 7mil jamani.... mi ndo ninayejua cos mimi i mfanyakazi wa Takukuru

    21. #19
      Majasho's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th August 2009
      Posts : 150
      Rep Power : 529
      Likes Received
      40
      Likes Given
      0

      Default Re: Mbunge wa Bahi (CCM) ashikiliwa na polisi kwa kuomba rushwa

      tena kwenye halmashauri ili awakaushie....Mrema anakuwa mbogo kuwakaripia halmashauri, kumbe hawa wana chichiem wanaomba rushwa ili wamnutralize

    22. #20
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,920
      Rep Power : 5062
      Likes Received
      3199
      Likes Given
      2653

      Default Re: Mbunge wa Bahi (CCM) ashikiliwa na polisi kwa kuomba rushwa

      Aibu yake mwenyeweeeeeee,ashakosa jimbo hilo 2015.

    Page 1 of 8 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...