Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: PICHA; Mkutano wa CHADEMA Newala Jana!

    Report Post
    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 41 to 60 of 77
    1. #1
      Kiganyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2012
      Posts : 1,162
      Rep Power : 987
      Likes Received
      709
      Likes Given
      400

      Default PICHA; Mkutano wa CHADEMA Newala Jana!


      Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe akiwahutubia wananchi wa mji wa Newala mkoani Mtwara, katika mkutano wa hadhara, leo. (Picha na Joseph Senga)


      Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe akiagana na wananchi wa kijiji cha Nanguruwe baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara.


      Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe akiwauzia kadi wananchi waliojitokeza kujiunga na chama hicho, mara baada ya mkutano wake wa hadahara mjini Newala, mkoani Mtwara kwenye viwanja vya Mahakama.


    2. #41
      TUNTEMEKE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2009
      Location : Mombasa
      Posts : 4,504
      Rep Power : 11341
      Likes Received
      324
      Likes Given
      236

      Default Re: PICHA; Mkutano wa CHADEMA Newala Jana!

      Quote By Ngoromiko View Post
      Hata Mrema aliwahi kuteka kila kona za Tz, akawa anabebwa kama maiti na gari lake likawa linasukumwa kilometa nyingi. Wote huo ulikuwa ni usanii na mwisho wa siku wa Tz walipiga kura kwa chama makini, Mangi akala mweleka wa mende, akabaki na mshangao.

      Wimbi la sasa la CDM halina tofauti na vuguvugu la Mrema, ni usanii fulani, harakati fulani. Uchaguzi ukija itakula kwao na wataishia kusema 'uchakachuaji wa kura, tumeibiwa, bla bla....nye nye nye'...upuuzi mtupu.

      Endeleeni kujidanganya.
      Naona kama unatamani kujamba vile

    3. #42
      TUNTEMEKE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2009
      Location : Mombasa
      Posts : 4,504
      Rep Power : 11341
      Likes Received
      324
      Likes Given
      236

      Default Re: PICHA; Mkutano wa CHADEMA Newala Jana!

      Quote By Rejao View Post
      Endeleeni kuhangaika na uharakati wenu. Mwisho wa siku sisi ndio tunaendelea kuishikilia dola. Haya mambo yapo miaka yote, but CCM imeendelea kutawala. Endeleeni kujifariji hapa JF
      R.I.P CCM, I love Tanganyika.

    4. #43
      Zogwale's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 10th July 2008
      Posts : 6,133
      Rep Power : 6511
      Likes Received
      1253
      Likes Given
      538

      Default Re: PICHA; Mkutano wa CHADEMA Newala Jana!

      Aluta continua CDM. Hakikisheni moto haupoi ni ule ule hadi 2015! Kumbukeni ushauri wangu wa kufanya Fund raising mapema nje na ndani ya nchi!! I hope you have the Fund rasing strategy by now. Pokea 5,000 toka magambe kura CDM!!
      "Kama unaingia Ikulu kwa njia ya rushwa, je ni biashara gani iko huko ya kuwezesha kulipa fadhila ya rushwa hiyo???"

    5. #44
      Filipo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : Kiding'a
      Posts : 6,532
      Rep Power : 18655
      Likes Received
      3624
      Likes Given
      2380

      Default

      Quote By TEGEMEA View Post
      God bless Tanzania.
      God bless Lema!

    6. #45
      Kanolo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th May 2012
      Posts : 12
      Rep Power : 358
      Likes Received
      1
      Likes Given
      1

      Default Re: PICHA; Mkutano wa CHADEMA Newala Jana!

      Wamachinga wamechoka na magamba kazi kwenu "chukua chako mapema"


    7. #46
      NANKY's Avatar
      Member Array
      Join Date : 18th September 2011
      Posts : 63
      Rep Power : 404
      Likes Received
      14
      Likes Given
      0

      Default Re: PICHA; Mkutano wa CHADEMA Newala Jana!

      chadema n chama chenye mising na mizi unawza kukifanansha na TANU KWA tz kwna kina miaka20 ya kukua je chama cha mrema kilikua na miziz kama ya cdm,jua ktofatisha au uko kwenye neopatrimonial politics za CCM,UMEFEL KIJANA

    8. #47
      Mafie PM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th March 2011
      Posts : 1,213
      Rep Power : 664
      Likes Received
      182
      Likes Given
      1212

      Default Re: PICHA; Mkutano wa CHADEMA Newala Jana!

      Quote By SALMA2015 View Post
      Kazi ni kuitenda.. Hongera Chair
      Mungu ni mkuu, kile chama cha zamani kinakuja kufa vibaya, asante Mungu kwa kumshinda Ibilisi

    9. #48
      NAIPENDA TANZAN's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th May 2011
      Posts : 83
      Rep Power : 424
      Likes Received
      17
      Likes Given
      28

      Default Re: PICHA; Mkutano wa CHADEMA Newala Jana!

      Ipi habari njema kuliko hii? Ukombozi unakaribia.

    10. #49
      magosha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th April 2012
      Posts : 351
      Rep Power : 431
      Likes Received
      36
      Likes Given
      9

      Default Re: PICHA; Mkutano wa CHADEMA Newala Jana!

      Mpaka kieleweke hakuna kulala.

    11. #50
      matawi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th March 2010
      Posts : 1,508
      Rep Power : 770
      Likes Received
      138
      Likes Given
      70

      Default

      Quote By Rejao View Post
      Endeleeni kuhangaika na uharakati wenu. Mwisho wa siku sisi ndio tunaendelea kuishikilia dola. Haya mambo yapo miaka yote, but CCM imeendelea kutawala. Endeleeni kujifariji hapa JF
      Rejao aliyekuumba atakuwa alichamganya vitu kama yule daktari wa muhimbili aliyempasua mgonjwa kichwa badala ya goti. Mod unaonaje ukiandaa mkutano wa wana jf ili tufahamianae maana wengine are so interesting

    12. #51
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,798
      Rep Power : 19852
      Likes Received
      4412
      Likes Given
      1744

      Default Re: PICHA; Mkutano wa CHADEMA Newala Jana!

      Rejao na ritz wanavichwa vigumu,hata picha awaoni

    13. #52
      Judi wa Kishua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th April 2012
      Posts : 380
      Rep Power : 402
      Likes Received
      62
      Likes Given
      10

      Default Re: PICHA; Mkutano wa CHADEMA Newala Jana!

      watz nachowakubali kwenye mkutano wanakuja,ila kula zao hupati....

    14. #53
      Miela's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th January 2012
      Posts : 19
      Rep Power : 376
      Likes Received
      1
      Likes Given
      4

      Default Re: PICHA; Mkutano wa CHADEMA Newala Jana!

      Kweli Mbowe ni jembe. Come what may, atatufaa hasa kwa u Pinda.

    15. #54
      Taso's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2010
      Posts : 1,182
      Rep Power : 800
      Likes Received
      309
      Likes Given
      124

      Default Re: PICHA; Mkutano wa CHADEMA Newala Jana!



      Wonderful, wonderful image of incredible footwork of the chair of the party out in the field cementing the pillars of the party in the country's hinterland.

      Sasa cha ajabu, nenda ofisi yeyote ya CHADEMA waambie mimi naitwa Peter bin Sultani naomba kununua kadi ya chama, uone hiyo red tape itakayokukuta. Lakini hapa kadi zinagawiwa kama njugu, how come? Mimi walinirudisha "kalete passport size mbili," makao makuu Kinondoni, nikawauliza nyinyi hapa hamna hata kimeo cha kamera ya kichina mnipige picha halafu muiingize kwenye computer? Hawana! Unadhani nikiondoka hapa nina muda wa kurudi kuleta picha? Wakabaki wanang'aa ng'aa macho.

      Kwa hiyo siku watakapokuwa madarakani utakapoingia kwenye ofisi ya serikali ya CHADEMA utakutana na urasimu just as well!

      Wekeza Tanzania, nunua waziri

    16. #55
      Ng'wanambula's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 85
      Rep Power : 407
      Likes Received
      22
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By WAHEED SUDAY View Post
      hili kombola la M4C ni kama kombola la gas, yaani unashitukia limekupata bila hata kuliona, ona humu lililowapata wanavyohaha
      Soyo bomu la GAS TU BALI NI LA ATOMIC AU NUCLEAR KABISA

    17. #56
      Manumbu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2009
      Location : Close to U
      Posts : 1,128
      Rep Power : 728
      Likes Received
      261
      Likes Given
      761

      Default Re: PICHA; Mkutano wa CHADEMA Newala Jana!

      Quote By Fixed Point View Post
      One day, Just one day........................... ......... we will be there to witness.
      Mungu Tusaidie
      Aaamen! and how visible that day is...just there - around the corner! but lets keep the tide up and never give up! kumbuka towards the end its where we must peddle more to win big and resounding!
      FP likes this.
      "Falling Down does not mean being Buried" - Manumbu on 1st June 2011

    18. #57
      MaryGeorge's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th August 2010
      Posts : 54
      Rep Power : 458
      Likes Received
      6
      Likes Given
      105

      Default Re: PICHA; Mkutano wa CHADEMA Newala Jana!

      Quote By Ngoromiko View Post
      Hata Mrema aliwahi kuteka kila kona za Tz, akawa anabebwa kama maiti na gari lake likawa linasukumwa kilometa nyingi. Wote huo ulikuwa ni usanii na mwisho wa siku wa Tz walipiga kura kwa chama makini, Mangi akala mweleka wa mende, akabaki na mshangao.

      Wimbi la sasa la CDM halina tofauti na vuguvugu la Mrema, ni usanii fulani, harakati fulani. Uchaguzi ukija itakula kwao na wataishia kusema 'uchakachuaji wa kura, tumeibiwa, bla bla....nye nye nye'...upuuzi mtupu.

      Endeleeni kujidanganya.
      What a childish comment - pole sana

    19. #58
      Ndachuwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2006
      Location : ARUSHA
      Posts : 2,685
      Rep Power : 1222
      Likes Received
      551
      Likes Given
      425

      Default Re: PICHA; Mkutano wa CHADEMA Newala Jana!

      Wengi wa waliohudhuria 2015 watakuwa hawajafikia umri wa kupiga kura; labda wawashawishi wazazi wao
      "Effective leadership is not about making speeches or being liked; leadership is defined by results not attributes" Peter Drucker

    20. #59
      MaryGeorge's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th August 2010
      Posts : 54
      Rep Power : 458
      Likes Received
      6
      Likes Given
      105

      Default Re: PICHA; Mkutano wa CHADEMA Newala Jana!

      Quote By Rejao View Post
      Endeleeni kuhangaika na uharakati wenu. Mwisho wa siku sisi ndio tunaendelea kuishikilia dola. Haya mambo yapo miaka yote, but CCM imeendelea kutawala. Endeleeni kujifariji hapa JF
      Mh! ukiwa na roho ngumu kama ya paka ni hatari sana...hata unapoona kuwa mbele ya safari ni giza na bado unajifariji kuwa utafika, ni tatizo kubwa lenye kuhitaji msaada! hii coment inadhihirisha namna gani Nape atakuwa na wafuasi wachache bado wanaolilia chama kisife ilhali wakijua kuwa kimeshakufa....psychological intervention is very much needed here!

    21. #60
      Mamndenyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 13,514
      Rep Power : 35831
      Likes Received
      6913
      Likes Given
      21146

      Default Re: PICHA; Mkutano wa CHADEMA Newala Jana!

      Mkuu samahani,
      hapo kwenye redi ni nini.

      Quote By Daudi mchambuzi View Post
      M4C with no apology!
      SIYO WOTE WANAOTANGATANGA WAMEPOTEA

    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...