Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Arusha sasa ni Salama - Kikwete

    Report Post
    Page 1 of 5 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 92
    1. #1
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,394
      Rep Power : 10868
      Likes Received
      3773
      Likes Given
      426

      Default Arusha sasa ni Salama - Kikwete

      Rais Jakaya Kikwete amewapongeza wakazi wote wa Arusha kwa kurudisha amani iliyokuwa imepotea.

      Rais amesema kamwe serikali yake isingeruhusu mkutano wa kimataifa kufanyika Arusha katika hali ya sintofahamu iliyokuwepo kabla.

      Rais ameyasema hayo katika hotuba yake iliyosambazwa kwa vyombo vya habari muda mchache uliopita.

      Rais amesema mkutano wa kimataifa uliofanyika Arusha ni kutokana na juhudi za wakazi wa Arusha kurejesha amani iliyokuwa imepotea.

      Amewasihi wakazi wote wa Arusha kuendeleza amani iliyopo ili jiji hilo liendelee kutambulika kama Geneva ya Afrika.

      Rais amemalizia kwa kusema Yaliyopita si ndwele tugange yajayo.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Jasusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2006
      Posts : 10,607
      Rep Power : 2889
      Likes Received
      3822
      Likes Given
      12195

      Default re: Arusha sasa ni Salama - Kikwete

      Amani iliyokuwa imepotea? Naomba kuelimishwa jamani, juu ya kauli hii.

    4. #3
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,394
      Rep Power : 10868
      Likes Received
      3773
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By Jasusi
      Amani iliyokuwa imepotea? Naomba kuelimishwa jamani, juu ya kauli hii.
      Mkuu nadhani anakumbushia polisi walivyovamia maandamano ya amani ya CDM na kufanikiwa kuua wanachama watatu.Pia vurugu walizokuwa wanamfanyia mbunge aliyeporwa ubunge Godbless Lema
      Jasusi likes this.

    5. #4
      Ngongo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th September 2008
      Location : Mlima Meru
      Posts : 4,859
      Rep Power : 1974
      Likes Received
      2327
      Likes Given
      3005

      Default re: Arusha sasa ni Salama - Kikwete

      Wakuu napita tu ha ha ha ha.

    6. #5
      YanguHaki's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th October 2010
      Posts : 129
      Rep Power : 461
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default re: Arusha sasa ni Salama - Kikwete

      Too confusing! Kulikuwa na machafuko?

    7. Study Abroad

    8. #6
      Barnabas Shadrack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2011
      Posts : 2,055
      Rep Power : 810
      Likes Received
      182
      Likes Given
      11

      Default re: Arusha sasa ni Salama - Kikwete

      Kwa hiyo lema alikuwa anavunja amani kwa mawazo yake?.
      THE UNSEEN IS ILLUSTRATED BY THE SEEN.
      Jasusi and Kasimba G like this.

    9. #7
      Codon's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th December 2011
      Posts : 549
      Rep Power : 484
      Likes Received
      75
      Likes Given
      15

      Default re: Arusha sasa ni Salama - Kikwete

      Samahaani waeshimiwa nilidhani chit chat!Ok napita!

    10. #8
      MNYISANZU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,298
      Rep Power : 2016
      Likes Received
      584
      Likes Given
      76

      Default re: Arusha sasa ni Salama - Kikwete

      Hatimaye kauli ya Lema aliyosema kuwa kuvuliwa kwake ubunge ilikuwa ni planned process imedhihirika rasmi. Walk on the words of the so called president Kiwete you will realize it!. Kwa hiyo kiwete anataka tuamini kuwa Kamanda Lema alikuwa kikwazo cha amani na kuvuliwa kwake ubunge ndio kumeleta amani!!??

    11. #9
      Kiby's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2009
      Posts : 3,499
      Rep Power : 1187
      Likes Received
      599
      Likes Given
      33

      Default re: Arusha sasa ni Salama - Kikwete

      Uzuri mmoja hotuba zake zote anaandikiwa, akili yake haihusiki na hayo aliyoyasema. Kauli yake ikiwa tata, sii utata kwake bali kwa wasaidizi wake. Ni kweli amani imeanza kurejea baada ya wauaji wa mwenyekiti wa Chadema kukamatwa. Ni matumaini yetu kuwa hata wale polisi walioa raia wasiokuwa na silaha watafikishwa kwenye vyombo vya sheria.
      .

    12. #10
      tedo's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th August 2011
      Location : uchochoroni
      Posts : 5,479
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1259
      Likes Given
      880

      Default re: Arusha sasa ni Salama - Kikwete

      Kikwete bana..

    13. #11
      Borakufa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2011
      Location : Tohell
      Posts : 1,148
      Rep Power : 638
      Likes Received
      258
      Likes Given
      206

      Default re: Arusha sasa ni Salama - Kikwete

      Quote By MNYISANZU
      Hatimaye kauli ya Lema aliyosema kuwa kuvuliwa kwake ubunge ilikuwa ni planned process imedhihirika rasmi. Walk on the words of the so called president Kiwete you will realize it!. Kwa hiyo kiwete anataka tuamini kuwa Kamanda Lema alikuwa kikwazo cha amani na kuvuliwa kwake ubunge ndio kumeleta amani!!??
      Huu ni mwisho wa ubaya! Ni aibu la laana! Kikwete nenda hijja labda mungu atakusamehe na kukurudishia akili na haiba yako! at this point umekwisha baba! Kwa kauli yako hii aah! Mh. Lema alisema kweli.

    14. #12
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,291
      Rep Power : 1195
      Likes Received
      1178
      Likes Given
      1551

      Default Re: Arusha sasa ni Salama - Kikwete

      waitishe uchaguzi wa ubunge Arusha Mjini ndio watajua maana ya ukimya wao wa sasa.

    15. #13
      Kiboko Yenu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Posts : 313
      Rep Power : 428
      Likes Received
      60
      Likes Given
      0

      Default Re: Arusha sasa ni Salama - Kikwete

      ni kweli maana mr maandamano now hana power amejitaid kukishawishi chama kifanye ziara ili apate posho kwa maana ana hali mbaya

    16. #14
      ibange's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 1,358
      Rep Power : 1107
      Likes Received
      403
      Likes Given
      23

      Default Re: Arusha sasa ni Salama - Kikwete

      Quote By MNYISANZU
      Hatimaye kauli ya Lema aliyosema kuwa kuvuliwa kwake ubunge ilikuwa ni planned process imedhihirika rasmi. Walk on the words of the so called president Kiwete you will realize it!. Kwa hiyo kiwete anataka tuamini kuwa Kamanda Lema alikuwa kikwazo cha amani na kuvuliwa kwake ubunge ndio kumeleta amani!!??
      Nimeipenda the so called president

    17. #15
      Filipo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : Kiding'a
      Posts : 6,349
      Rep Power : 18614
      Likes Received
      3508
      Likes Given
      1612

      Default Re: Arusha sasa ni Salama - Kikwete

      Arusha tumekuwa na amani maisha. Kumekuwa na siku ambazo polisi wamewavamia wananchi ambazo ni chache sana! Huyo analipuka tu!

    18. #16
      Comi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 958
      Rep Power : 576
      Likes Received
      154
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By Molemo
      Mkuu nadhani anakumbushia polisi walivyovamia maandamano ya amani ya CDM na kufanikiwa kuua wanachama watatu.Pia vurugu walizokuwa wanamfanyia mbunge aliyeporwa ubunge Godbless Lema
      tabu kiongozi wetu ni mtoto wa kiswahili kwani wamezoea mipasho mda wote,alitakiwa kusema ni amani ipi mbona watu tunakula good time 24 oclock

    19. #17
      mgeni wenu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd January 2012
      Posts : 1,157
      Rep Power : 890
      Likes Received
      578
      Likes Given
      0

      Default Re: Arusha sasa ni Salama - Kikwete

      The way foward Zanzibar?

    20. #18
      Filipo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : Kiding'a
      Posts : 6,349
      Rep Power : 18614
      Likes Received
      3508
      Likes Given
      1612

      Default

      Quote By Kiby
      Uzuri mmoja hotuba zake zote anaandikiwa, akili yake haihusiki na hayo aliyoyasema. Kauli yake ikiwa tata, sii utata kwake bali kwa wasaidizi wake. Ni kweli amani imeanza kurejea baada ya wauaji wa mwenyekiti wa Chadema kukamatwa. Ni matumaini yetu kuwa hata wale polisi walioa raia wasiokuwa na silaha watafikishwa kwenye vyombo vya sheria.
      .
      hapo kwenye green ni upuuzi mtupu! Hizi propaganda za "tatizo ni wasaidizi wake" mkazipeleke huko msoga! Huku tuna akili zetu!

    21. #19
      Mzee wa Rula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Posts : 6,361
      Rep Power : 12708
      Likes Received
      2188
      Likes Given
      1819

      Default Re: Arusha sasa ni Salama - Kikwete

      Arusha ina amani ni siasa tu za kutokukubaliana na kushindwa ndizo zinazoaribu jiji hili.

    22. FemaTV & Radio
    23. #20
      matawi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th March 2010
      Posts : 1,437
      Rep Power : 751
      Likes Received
      122
      Likes Given
      65

      Default

      Quote By YanguHaki
      Too confusing! Kulikuwa na machafuko?
      Rahisi akimumunya hivyo wananchi wake watakuweje? Yaani katibua weekend kinoma ningejua nisingiengia jf saa hii

    Page 1 of 5 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...