Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mgogoro mkubwa CUF

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 39
    1. #1
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,453
      Rep Power : 10881
      Likes Received
      3818
      Likes Given
      426

      Default Mgogoro mkubwa CUF

      Kuna tetesi kubwa zimezagaa hapa Dar na Zanzibar kwamba chama cha wananchi CUF kina mgogoro mkubwa wa chini kwa chini wa uongozi.Inadaiwa Naibu Katibu mkuu wa chama hicho Julius Mtatiro anaweza kufukuzwa wakati wowote ndani ya chama hicho.

      Taarifa zaidi za ndani zinasema kwa zaidi ya miezi mitatu sasa Mtatiro amekuwa kimya kabisa na wala hasikiki kama ilivyokuwa kipindi Lipumba akiwa marekani.
      IFUNYA and Kertel like this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,453
      Rep Power : 10881
      Likes Received
      3818
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By fmpiganaji
      Kuna tetesi kubwa zimezagaa hapa Dar na Zanzibar kwamba chama cha wananchi CUF kina mgogoro mkubwa wa chini kwa chini wa uongozi.Inadaiwa Naibu Katibu mkuu wa chama hicho Julius Mtatiro anaweza kufukuzwa wakati wowote ndani ya chama hicho.Taarifa zaidi za ndani zinasema kwa zaidi ya miezi mitatu sasa Mtatiro amekuwa kimya kabisa na wala hasikiki kama ilivyokuwa kipindi Lipumba akiwa marekani.
      Mtatiro alishaambiwa hapo hapamfai.Wanataka kumtumia halafu wamtupe kama BIG G.Mark my words

    4. #3
      MNYISANZU's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,311
      Rep Power : 0
      Likes Received
      593
      Likes Given
      76

      Default Re: Mgogoro mkubwa CUF

      Quote By fmpiganaji
      Kuna tetesi kubwa zimezagaa hapa Dar na Zanzibar kwamba chama cha wananchi CUF kina mgogoro mkubwa wa chini kwa chini wa uongozi.Inadaiwa Naibu Katibu mkuu wa chama hicho Julius Mtatiro anaweza kufukuzwa wakati wowote ndani ya chama hicho.Taarifa zaidi za ndani zinasema kwa zaidi ya miezi mitatu sasa Mtatiro amekuwa kimya kabisa na wala hasikiki kama ilivyokuwa kipindi Lipumba akiwa marekani.
      Mambo ya wafu waachieni wafu wenyewe!

    5. #4
      Seif al Islam's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Posts : 1,086
      Rep Power : 540
      Likes Received
      262
      Likes Given
      393

      Default Re: Mgogoro mkubwa CUF

      Sasa asike wapi chama hakina oparesheni, mikutano ya hadhara wala maandamano?

    6. #5
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,333
      Rep Power : 12591
      Likes Received
      5859
      Likes Given
      775

      Default

      Quote By fmpiganaji
      Kuna tetesi kubwa zimezagaa hapa Dar na Zanzibar kwamba chama cha wananchi CUF kina mgogoro mkubwa wa chini kwa chini wa uongozi.Inadaiwa Naibu Katibu mkuu wa chama hicho Julius Mtatiro anaweza kufukuzwa wakati wowote ndani ya chama hicho.Taarifa zaidi za ndani zinasema kwa zaidi ya miezi mitatu sasa Mtatiro amekuwa kimya kabisa na wala hasikiki kama ilivyokuwa kipindi Lipumba akiwa marekani.
      Lunacy like TUNTEMEKE

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Ringo Edmund's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2010
      Location : MDAWI
      Posts : 3,671
      Rep Power : 1361
      Likes Received
      885
      Likes Given
      586

      Default Re: Mgogoro mkubwa CUF

      wakishatumia pedi zao wasitupe barabarani wapeleke chooni tena cha shimo.
      ​kusema ni fedha na kusikilizwa ni zahabu.

    9. #7
      KANYIMBI's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Tanganyika
      Posts : 177
      Rep Power : 416
      Likes Received
      23
      Likes Given
      63

      Default Re: Mgogoro mkubwa CUF

      Kutokana na vuguvugu la wana uhamso kule zenji. Huyo ilikuwa ni lazima wamngoe, maana hicho chama kina mwelekeo wa ibada za kule zenji.
      OSOKONI and IFUNYA like this.

    10. #8
      Makupa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 2,176
      Rep Power : 810
      Likes Received
      251
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Seif al islam
      Sasa asike wapi chama hakina oparesheni, mikutano ya hadhara wala maandamano?
      Cuf hawana hela ya kuchezea kwenye mihadhara mkuu

    11. #9
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,453
      Rep Power : 10881
      Likes Received
      3818
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By ritz
      Lunacy like TUNTEMEKE
      Ndiyo nini mkuu?

    12. #10
      ibange's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 1,358
      Rep Power : 1108
      Likes Received
      403
      Likes Given
      23

      Default Re: Mgogoro mkubwa CUF

      Karibu Chadema Mtatiro before it is too late

    13. #11
      de'levis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Posts : 1,063
      Rep Power : 592
      Likes Received
      577
      Likes Given
      54

      Default Re: Mgogoro mkubwa CUF

      juzi kati mtatiro alimpiga mtu ngumi...

    14. #12
      IFUNYA's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th November 2011
      Posts : 166
      Rep Power : 413
      Likes Received
      50
      Likes Given
      432

      Default Re: Mgogoro mkubwa CUF

      Aje CDM kadi yake iko wazi pia na gwanda. Wengi wamejivua magamba na kuvaa magwanda. Usiongope hata baba wa Taifa JK Nyerere alivaa gwanda wakati wa harakati za kutafuta Uhuru wa Tanganyika.
      Nobody can go back and start a new beginning, but anyone can start today and make a new ending - Maria Robinson

    15. #13
      mgeni wenu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd January 2012
      Posts : 1,157
      Rep Power : 891
      Likes Received
      578
      Likes Given
      0

      Default Re: Mgogoro mkubwa CUF

      Julius na Cuf wapi na wapi?

    16. #14
      Mwanaweja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 3,483
      Rep Power : 1116
      Likes Received
      470
      Likes Given
      962

      Default Re: Mgogoro mkubwa CUF

      huyu mtatiro aliingia choo cha kike ahame mapema ataaibika

    17. #15
      Pendael laizer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 945
      Rep Power : 560
      Likes Received
      90
      Likes Given
      5

      Default Re: Mgogoro mkubwa CUF

      Si aende kwa magamba manake najua ccm na cuf ni wafuasi au pete na kidole.

    18. #16
      Bhavick's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Posts : 314
      Rep Power : 450
      Likes Received
      56
      Likes Given
      8

      Default

      Quote By mgeni wenu
      Julius na Cuf wapi na wapi?
      Du hii kali,ko jina la Julias linafaa chama kipi?na majina gani yanafaa Cuf?

    19. #17
      dudus's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 2,302
      Rep Power : 1007
      Likes Received
      1291
      Likes Given
      522

      Default Re: Mgogoro mkubwa CUF

      Quote By Bhavick
      Du hii kali,ko jina la Julias linafaa chama kipi?na majina gani yanafaa Cuf?
      Jina Julius linafaa chama kingine chochote isipokuwa CUF na Uamsho yao. CUF kunawafaa hawa wafuatao:-

      (i) kwanza uwe na chuki na hasira kali na makafir na uwe tayari kuwauwa au ukishindwa kuwauwa basi nuna au wadharau au usishirikiane nao kokote walipo kwani hawastahili kuwepo chini ya jua.

      (ii) Uwe tayari kuitetea na kuisimamisha dini kwa nguvu zote dhidi ya dini zingine katika nyanja zote iwe katika siasa, sirkali, n.k.

      (iii) Unafiki, uongo, uzushi, propaganda chafu, uzandiki, husda, dharau, kejeli, umimi na mengineyo yanayofanana na hayo ndio silaha na mtaji mkuu.

      (iv) Mwarabu ana thamani kuu kuliko binadamu mwingine yeyote kwani ni vitukuu na utakaloambiwa na mwarabu fanya bila kusita hata kama ni kuuwa.
      Sarya likes this.

    20. #18
      TEMILUGODA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2012
      Posts : 954
      Rep Power : 558
      Likes Received
      134
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By fmpiganaji
      Kuna tetesi kubwa zimezagaa hapa Dar na Zanzibar kwamba chama cha wananchi CUF kina mgogoro mkubwa wa chini kwa chini wa uongozi.Inadaiwa Naibu Katibu mkuu wa chama hicho Julius Mtatiro anaweza kufukuzwa wakati wowote ndani ya chama hicho.Taarifa zaidi za ndani zinasema kwa zaidi ya miezi mitatu sasa Mtatiro amekuwa kimya kabisa na wala hasikiki kama ilivyokuwa kipindi Lipumba akiwa marekani.
      July you are welco to the jezy team!

    21. #19
      Sizinga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2007
      Location : Mars
      Posts : 3,953
      Rep Power : 1435
      Likes Received
      1515
      Likes Given
      1621

      Default Re: Mgogoro mkubwa CUF

      Ok time will tell
      GESI KWANZA KOROSHO BAADAE!!

    22. #20
      Duble Chris's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2011
      Posts : 2,341
      Rep Power : 872
      Likes Received
      382
      Likes Given
      309

      Default Re: Mgogoro mkubwa CUF

      atajuta kwa nini hakumsikiliza Mbowe
      frustration is given by expectationdivide by
      outcome
      ie
      frustration = expectation/outcome


    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...