Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: CHADEMA yaiiga ODM kuhusu Sera ya Majimbo

    Report Post
    Page 12 of 17 FirstFirst ... 21011121314 ... LastLast
    Results 221 to 240 of 340
    1. #1
      Mpaka Kieleweke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2007
      Posts : 2,682
      Rep Power : 1170
      Likes Received
      692
      Likes Given
      7

      Default CHADEMA wazindua mchakato wa sera ya majimbo.

      Ili kujiandaa kuelekea uchaguzi mkuu wa 2010 Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA leo wapo Jijini mwanza ili kuweza kuibua mchakato wa kuiboresha sera yake ya majimbo ambayo kilijinadi nayo kwenye uchaguzi mkuu wa 2005.

      Katika kufanya mchakato huo ulioandaliwa na Kurugenzi ya Bunge na Halimashauri -kitengo cha sera na utafiti wakishirikiana na kurugenzi ya vijana , wameweza kuandaa rasimu ya sera hiyo kwa ajili ya kuibua mjadala wa kitaifa.

      Viongozi wakuu wa CHADEMA wanategemewa kuhudhuria Kongamano hilo ambqalo linafanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Chuo Kikuu cha Mt. Augustino Mwanza leo hii.

      Yupo mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe, pamoja na Makamu mwenyekiti Bara . wengine ni pamoja na mkurugenzi wa vijana taifa John Mnyika, Danda JUJU ambaye ni afisa mwandamizi kurugenzi ya Bunge nba halimashauri kitengo cha sera na utafiti.

      Nitawawekea rasimu ya mjadala huo hapo chini.

    2. RukaaJuu Final

    3. #221
      Kitila Mkumbo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th February 2006
      Posts : 3,919
      Rep Power : 6962
      Likes Received
      1066
      Likes Given
      35

      Default Re: CHADEMA wazindua mchakato wa sera ya majimbo.

      Tumesubiri sana wasaa huu. Finally angalau tunaanza kujadili sera za vyama. Safi sana, MWK naomba popcorn kabla sijaanza kuchangia.

    4. #222
      Mwafrika wa Kike's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th July 2007
      Posts : 5,840
      Rep Power : 1776
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default Re: CHADEMA wazindua mchakato wa sera ya majimbo.

      Quote By Kitila Mkumbo
      Tumesubiri sana wasaa huu. Finally angalau tunaanza kujadili sera za vyama. Safi sana, MWK naomba popcorn kabla sijaanza kuchangia.
      Ninatengeneza lubisi sasa hivi ili kupata bonge la kombo - popcorn na lubisi.
      Vuta subira kidogo mkulu!
      Well Behaved Women Never Make History

      Mwafrika wa kike is now asking President Kikwete to resign his presidency effective immediately for the sake of our nation

    5. #223
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,196
      Rep Power : 5039
      Likes Received
      2436
      Likes Given
      2226

      Default Re: CHADEMA wazindua mchakato wa sera ya majimbo.

      Nilikuwa nafanya utafiti kuhusu sera za CHADEMA na mitazamo ya viongozi wake wa ngazi za kitaifa. Nimegundua kuwa viongozi hao wako incoherent in thinking and naive about the political situation in Zanzibar.

      Hivyo basi ninawapa assignment viongozi hao kutafiti hali ya kisiasa ya Zanzibar na historia yake kabla ya kuruhusu viongozi kutamka kama alivyotamka Zitto kuwa chini ya utawala wa CHADEMA cheo cha rais wa Zanzibar kitafutwa.

      Kwa ujumla CHADEMA kimejiweka bayana kuwa ni chama ambacho hakiko serious na kuongoza taifa. Jukumu wanaloliweza ni kuwasaidia waandishi wa habari kutoa taarifa mbalimbali,haswahaswa za ufisadi, kwa umma.Shukran kwa mchango wao huo.
      "To greed, all nature is insufficient"

    6. #224
      Mgaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2007
      Posts : 523
      Rep Power : 699
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: CHADEMA wazindua mchakato wa sera ya majimbo.

      Quote By zemarcopolo
      Nilikuwa nafanya utafiti kuhusu sera za CHADEMA na mitazamo ya viongozi wake wa ngazi za kitaifa. Nimegundua kuwa viongozi hao wako incoherent in thinking and naive about the political situation in Zanzibar.

      Hivyo basi ninawapa assignment viongozi hao kutafiti hali ya kisiasa ya Zanzibar na historia yake kabla ya kuruhusu viongozi kutamka kama alivyotamka Zitto kuwa chini ya utawala wa CHADEMA cheo cha rais wa Zanzibar kitafutwa.

      Kwa ujumla CHADEMA kimejiweka bayana kuwa ni chama ambacho hakiko serious na kuongoza taifa. Jukumu wanaloliweza ni kuwasaidia waandishi wa habari kutoa taarifa mbalimbali,haswahaswa za ufisadi, kwa umma.Shukran kwa mchango wao huo.
      Wewe ni mwanaccm kwa hiyo inategemewa kukuona ukiipondea Chadema

    7. #225
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,196
      Rep Power : 5039
      Likes Received
      2436
      Likes Given
      2226

      Default Re: CHADEMA wazindua mchakato wa sera ya majimbo.

      Quote By Mgaya
      Wewe ni mwanaccm kwa hiyo inategemewa kukuona ukiipondea Chadema
      Lets talk substance, wewe unadhani CHADEMA wataweza kuondoa cheo cha rais wa Zanzibar? and how?
      "To greed, all nature is insufficient"

    8. Miaka 50

    9. #226
      Mgaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2007
      Posts : 523
      Rep Power : 699
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: CHADEMA wazindua mchakato wa sera ya majimbo.

      Quote By zemarcopolo
      Lets talk substance, wewe unadhani CHADEMA wataweza kuondoa cheo cha rais wa Zanzibar? and how?
      Definition yako ya substance ni ipi?

    10. #227
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,196
      Rep Power : 5039
      Likes Received
      2436
      Likes Given
      2226

      Default Re: CHADEMA wazindua mchakato wa sera ya majimbo.

      Quote By Mgaya
      Definition yako ya substance ni ipi?
      nimekushtukia huna hoja.kama unazo jibu maswali hayo.ushabiki wako wewe utawanufaisha tu wale wanaokutumia.
      "To greed, all nature is insufficient"

    11. #228
      Mgaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2007
      Posts : 523
      Rep Power : 699
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: CHADEMA wazindua mchakato wa sera ya majimbo.

      Quote By zemarcopolo
      nimekushtukia huna hoja.kama unazo jibu maswali hayo.ushabiki wako wewe utawanufaisha tu wale wanaokutumia.
      Kumbe hukujua kuwa sina lazima ya kujibu maswali ya watetezi wa mafisadi kama wewe? Unatumiwa na mafisadi na unadhani wote hapa tunatumiwa!

    12. #229
      Mchelea Mwana's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st April 2008
      Posts : 91
      Rep Power : 584
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: CHADEMA wazindua mchakato wa sera ya majimbo.

      Quote By moelex23
      Mkuu Mnyika na Zitto ahsanteni sana kwa maelezo yenu.

      Maswali:::::

      1) Hivi kweli mko kwenye academic exercise au mnataka kuongoza nchi???
      Hii issue ya majimbo ibaki kama research project tu lakini kwa Tanzania ni Dead on arrival. Kama ni kudiscuss tu pros/cons nakubali muendelee kudiscuss lakini kusema muanze kuwaeleza wananchi wakati huu ni wazimu wa hali ya juu na ukosefu wa kuelewa hasa nini wananchi wa Tanzania wanakihitaji.

      2) Gharama za serikali ya majimbo itakuwa kubwa mno mpende msipende, kwa sababu mnaact as if serikali ya Tanzania sasa hivi ina balanced budget. Tunategemea wafadhili kwa asilimia 50%, sasa mnaposema majimbo yatajitegemea kutoka tax base ipi??? Kurun mabunge ya majimbo, kurun serikali za majimbo, kurun bunge la jamhuri, zanzibar blah blah hizo gharama hamzioni???

      3) Yaani katika option zote za kudeal na CCM, hii ndio the best??

      Hamna hata wabunge 10%, mnataka kubadilisha mfumo mzima from which mandate???
      Kwa nini kama kweli nyie mnauelewa mkubwa, kwa nini mnashindwa kuchukua hata majimbo 5 katika nchi nzima?? How can U guys turn around and dare to say we want to change the whole system???

      4) Issue kubwa sasa hivi ni rasilimali na uchumi wa nchi, mkishindwa kutokea hapo, TRUST ME mtakuwa mmepoteza upenyo ambao sijui utatokea lini tena.

      Hivi kweli wale ndugu zangu pale Moshi, wakati huu suala la chakula la dunia na mafuta yanavyopanda, badala ya kuwahimiza kuwa kilimo kifufuliwe na rasilimali za nchi zisiibwe, unawaletea oh Jamani eeh kuna mfumo wa majimbo, AMA KWELI ISHI UONE VIOJA!!!!

      Also for the sake of argument, let us look at this scenario::::

      Sera ya Majimbo imekubalika na ndio sera ya Tanzania. What next?? Si CCM itashinda hayo majimbo na mabunge yake kama inavyoshinda sasa hivi, wabunge na madiwani?? Sasa kwa nini mnahangaika na suala gumu kama la majimbo ambalo hata kama likikamilika, still CCM ndio washindi??

      Kwa nini system ya madiwani ambayo kwa kweli ndio iko karibu mno na wananchi, hamutafuti njia za kushinda huko??? Mkishinda hata Halmashauri say 50, kati ya hizo 100+, labda ndio muanze kuongelea mambo mengine.

      sorry guys kwa maneno ya jazba, BUT I CAN NOT FATHOM WHAT U GUYS ARE TRYING TO DO> IT is a FIASCO OF BIBLICAL PROPORTION.
      You know what, It can't be said better than this

      Kudos

    13. #230
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,196
      Rep Power : 5039
      Likes Received
      2436
      Likes Given
      2226

      Default Re: CHADEMA wazindua mchakato wa sera ya majimbo.

      Quote By Mgaya
      Kumbe hukujua kuwa sina lazima ya kujibu maswali ya watetezi wa mafisadi kama wewe? Unatumiwa na mafisadi na unadhani wote hapa tunatumiwa!
      Kwa kifupi ni kwamba hujui jinsi gani CHADEMA wanadhamiria kuondoa cheo cha rais wa Zanzibar, na wala usijisikie mnyonge kwa hilo.Zitto na CHADEMA wengine nao hawajui, ndio maana nikasema wanahitaji kutafiti historia na hali ya siasa ya Zanzibar kabla ya kuja na mawazo yasiyotekelezeka.
      "To greed, all nature is insufficient"

    14. #231
      Mgaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2007
      Posts : 523
      Rep Power : 699
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: CHADEMA wazindua mchakato wa sera ya majimbo.

      Quote By Mchelea Mwana
      You know what, It can't be said better than this

      Kudos
      Coz you have nothing to say and there is nothing to say!

    15. #232
      Mgaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2007
      Posts : 523
      Rep Power : 699
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: CHADEMA wazindua mchakato wa sera ya majimbo.

      Quote By zemarcopolo
      Kwa kifupi ni kwamba hujui jinsi gani CHADEMA wanadhamiria kuondoa cheo cha rais wa Zanzibar, na wala usijisikie mnyonge kwa hilo.Zitto na CHADEMA wengine nao hawajui, ndio maana nikasema wanahitaji kutafiti historia na hali ya siasa ya Zanzibar kabla ya kuja na mawazo yasiyotekelezeka.
      Mawazo haya yanatekelezeka kwa kiwango kikubwa kuliko ya ccm ya kuiba mali ya nchi na kujitajilisha wao na watoto wao.

    16. #233
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,196
      Rep Power : 5039
      Likes Received
      2436
      Likes Given
      2226

      Default Re: CHADEMA wazindua mchakato wa sera ya majimbo.

      Quote By Mgaya
      Mawazo haya yanatekelezeka kwa kiwango kikubwa kuliko ya ccm ya kuiba mali ya nchi na kujitajilisha wao na watoto wao.
      kama yanatekelezeka tuelezee how?
      "To greed, all nature is insufficient"

    17. #234
      Mchelea Mwana's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st April 2008
      Posts : 91
      Rep Power : 584
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: CHADEMA wazindua mchakato wa sera ya majimbo.

      Quote By jmushi1
      Bottom line ni kuwa hata system iliyoko ni mbovu na INANUKA!
      Leta ya kwako na si kuleta sababu baseless!
      Sisi tuna ushahidi wa failure ya current system..WE UNA NINI?
      Sikujua kumbe nawe ni CHADEMA mh

    18. #235
      Mgaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2007
      Posts : 523
      Rep Power : 699
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: CHADEMA wazindua mchakato wa sera ya majimbo.

      Quote By zemarcopolo
      kama yanatekelezeka tuelezee how?
      Nikuelezee kwani wewe ni nani! Kwani huwezi kusoma yaliyoandikwa hapa!

    19. #236
      Mgaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2007
      Posts : 523
      Rep Power : 699
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: CHADEMA wazindua mchakato wa sera ya majimbo.

      Quote By Mchelea Mwana
      Sikujua kumbe nawe ni CHADEMA mh
      Unashangaa kwa vile sio mwanaccm na mtetezi wa ufisadi kama wewe?

    20. #237
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,196
      Rep Power : 5039
      Likes Received
      2436
      Likes Given
      2226

      Default Re: CHADEMA wazindua mchakato wa sera ya majimbo.

      Quote By Mgaya
      Nikuelezee kwani wewe ni nani! Kwani huwezi kusoma yaliyoandikwa hapa!
      huu ni mjadala kama hutaki kutetea hoja zako basi hapa hapakufai, hakuna aliyeelezea jinsi watakavyoweza kuondoa cheo cha Rais wa Zanzibar ndio maana narudia kuwa they are naive about the situation in Zanzibar kama jinsi ulivyo wewe. Ila tufauti ni kwamba wewe uko naive even about the motives of CHADEMA.
      "To greed, all nature is insufficient"

    21. #238
      Mgaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2007
      Posts : 523
      Rep Power : 699
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: CHADEMA wazindua mchakato wa sera ya majimbo.

      Quote By zemarcopolo
      huu ni mjadala kama hutaki kutetea hoja zako basi hapa hapakufai, hakuna aliyeelezea jinsi watakavyoweza kuondoa cheo cha Rais wa Zanzibar ndio maana narudia kuwa they are naive about the situation in Zanzibar kama jinsi ulivyo wewe. Ila tufauti ni kwamba wewe uko naive even about the motives of CHADEMA.
      Hakuna mtu wa kukusomea kilichoandikwa hapa. Soma yaliyoandikwa kabla ya kuleta ufisadi na uuaji kama ule unaofanywa na ccm huko Pemba kwa kuua watu wasio na hatia

    22. #239
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,196
      Rep Power : 5039
      Likes Received
      2436
      Likes Given
      2226

      Default Re: CHADEMA wazindua mchakato wa sera ya majimbo.

      Quote By Mgaya
      Hakuna mtu wa kukusomea kilichoandikwa hapa. Soma yaliyoandikwa kabla ya kuleta ufisadi na uuaji kama ule unaofanywa na ccm huko Pemba kwa kuua watu wasio na hatia
      thanks God umegundua tatizo lako, sasa nawewe nenda kafanye utafiti wako ili uweze kushauriana na wengine wanaotaka kufanya hilo jambo.
      Najua umejifunza kitu hapa ingawa sitegemei mtu wa attitude kama yako kukubali hilo.
      "To greed, all nature is insufficient"

    23. #240
      Mgaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2007
      Posts : 523
      Rep Power : 699
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: CHADEMA wazindua mchakato wa sera ya majimbo.

      Quote By zemarcopolo
      thanks God umegundua tatizo lako, sasa nawewe nenda kafanye utafiti wako ili uweze kushauriana na wengine wanaotaka kufanya hilo jambo.
      Najua umejifunza kitu hapa ingawa sitegemei mtu wa attitude kama yako kukubali hilo.
      Acha uvivu fisadi wewe. Soma posts zilizowekwa hapa ili ujenge attitude nzuri maana attitude ya kifisadi kama yako itakupeleka kubaya sana.

    Page 12 of 17 FirstFirst ... 21011121314 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Replies: 16
      Last Post: 29th June 2011, 20:51
    2. Sera za Chadema kuhusu wazee ni hizi hapa wadau mwasemaje?
      By Kaa la Moto in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 9
      Last Post: 3rd October 2010, 14:59
    3. Sera ya Majimbo...
      By Ramos in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 9
      Last Post: 10th August 2010, 23:11
    4. Sera ya Majimbo, Dawa ya Mpasuko wa Zanzibar-Mbowe
      By Asha Abdala in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 10
      Last Post: 11th June 2008, 09:03

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...