Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: CCM muhurumieni Nape, ameanza kuchanganyikiwa

    Report Post
    Page 4 of 4 FirstFirst ... 234
    Results 61 to 79 of 79
    1. #1
      Bumpkin Billionare's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2012
      Location : Msangabunyesa
      Posts : 1,280
      Rep Power : 697
      Likes Received
      557
      Likes Given
      198

      Default CCM muhurumieni Nape, ameanza kuchanganyikiwa

      Leo katika taarifa ya habari ya ITV ya saa mbili usiku, kwa macho yangu nikiwa mzima sijalewa nimeshuhudia jambo ambalo mpk sasa nimeshindwa kulielewa. Nape anaanza kudata au siasa za Tanzania zinaruhusu hiyo?

      Nape anaonekana akiwa katika Hospitali ya Mkoa wa Singida (ambayo iko kwenye ukarabati na utanuzi) pamoja na maafisa kadhaa wa Hospitali hiyo na Magamba wenzake. Kilichonishangaza hapo ni kauli za Nape kwa wale maafisa wa hospitali.

      Mara baada ya hotuba za blah blah (kama kawaida ya CCM) Nape alisema (nanukuu) ''....nitaiagiza serikali ikae na kufanyia marekebisho ya hii sheria maana inakwamisha ujenzi wa majengo ya serikali kwa.........''.

      Kama haitoshi Nape ambaye mimi nimekuwa nikimfahamu kama kiongozi wa CCM na si Serikali aliongezea "Haya majengo ma3 yaliyokwisha kukamilika yaanze tu kutumika, sioni sababu za kusubiri wakati wananchi wanahitaji kuyatumia......"

      Je huyu Nape amekuwa nani kiasi anaweza kuamua yeye majengo ya hospitali yaanze kutumika as if Waziri wa wizara husika na uongozi wa serikali ya Mkoa hauna mamlaka mpaka aje kuamua yeye?

      Si kwamba dogo anachanganyikiwa baada ya magamba kumshinda sasa kichwa kinamruka na anapata illusions kuwa yeye ni waziri au mkuu wa mkoa wa Singida?

      Imefikia wakati sasa CCM imuonee huruma huyu ndugu yetu. Majukumu waliyompa yamemzidi uwezo kiasi ameanza kuyakimbia na kuingilia kazi za watu wengine absent minded. Poor him, illusions.
      An Idea isn't responsible for the people who believe in it.
      Donald Robert Marquis (1878 - 1937)
      American Writer


    2. Miaka 50

    3. #61
      sarawati's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th December 2011
      Posts : 58
      Rep Power : 386
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default Re: CCM muhurumieni Nape, ameanza kuchanganyikiwa

      unajua humu jf ndo wamenifanya nianze kumfatilia kwa ukaribu Nape kwan watu walpokua wakichangia na kusema huwa hoja zake ni nyepes nilikua siamin km CCM pamoja na uzoefu wake wote na upinzani uliopo hasahasa kutoka CHADEMA ambayo ina vijana na wazee machachari wenye kujiamin na wenye uwezo mkubwa wa kufikiria mbali na kuona meng ktk nchi hii wangemuweka mtu km Nape ktk nafasi km hiyo..lakin kdri siku zlivyokua zinasonga mbele ndipo nilipoanza kuamini taratiiibu kua humu JF huwa hawabahatish mambo,kua kuna watu wenye muono wa mbali na wa hali ya juu...hata unapomfatilia Nape anapohojiwa hasa na wale waandish ambao hawako upande wowote wa kichama utasikia jins anavyotoa majibu mepesi na yasiyo na matumaini kuhusu chama chake......................... NDIPO NINAPOKUJUA NA MAFIKIRIO HAYA...KUA CCM HAKUNA KIONGOZ MWENYE UWEZO WA ZAIDI YA NAPE KTK NAFASN ALIYOPO AU CCM HAKUNA IMEVURUNDA KIASI CHA KWAMBA HAKUNA JIPYA TENA NA LENYE MVUTO LA KUWEZA KUTETEA CHAMA MBELE YA MACHO NA MASIKO YETU????Sipend nionekane kama naiponda CCM ila wakat mwingine natafuta japo kidogo cha kuweza kukisifia chama cha mapinduzi....

    4. #62
      WAHEED SUDAY's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2011
      Posts : 2,844
      Rep Power : 2970
      Likes Received
      479
      Likes Given
      318

      Default Re: CCM muhurumieni Nape, ameanza kuchanganyikiwa

      mnapoteza muda kumpiga mwizi na ndala

    5. #63
      Feedback's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th March 2011
      Posts : 4,090
      Rep Power : 1246
      Likes Received
      2064
      Likes Given
      1123

      Default Re: CCM muhurumieni Nape, ameanza kuchanganyikiwa

      Quote By Saint Ivuga
      Msilaumu kila kitu wajameni kama mtu karuhusu majengo ya tumike tena ya hospitali halafu mnapiga kelele tena...mnataka ndugu zetu wafe? badilikeni sio kila kitu ni kibaya
      Ameruhusu yatumike? my foot, hata Mbatia sasa anaweza kuagiza nauli za feri Kigamboni zipunguzwe kwa vile anasaidia watu. Kama Nape karuhusu kwani yeye ndiye atakayeajiri wauuguzi na madaktari? yeye ndiye atayewalipa mishahara? na kwa bajeti ipi hii inayokuja au ya 2011/12. Jamani acheni kukurupuka kutetea mtu anayeingilia kazi zisizo muhusu amekuwa kama Mrema enzi zake kwenda kuhoji utendeji wa waziri mwenzake.
      melxkb likes this.
      Only in Tanzania

    6. #64
      Kichwa Ngumu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : In the Computer
      Posts : 1,296
      Rep Power : 692
      Likes Received
      186
      Likes Given
      248

      Default Re: CCM muhurumieni Nape, ameanza kuchanganyikiwa

      Sikunyingine atasaini hundi za halimashauri kama signatory ili hela zitoke benki kazi ifanyike na ilani ya waoem itimie
      Chezea nguvu ya umma wewe; utaumia

    7. #65
      MANI's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 22nd February 2010
      Location : CHINI YA MBUYU
      Posts : 1,915
      Rep Power : 954
      Likes Received
      569
      Likes Given
      632

      Default Re: CCM muhurumieni Nape, ameanza kuchanganyikiwa

      Quote By Nnauye Jr
      Mhhh,
      Siwashangai sana watu wa aina yako, maana cha kwenu sio chama cha siasa ni kundi la wanaharakati hata Mwenyekiti wenu kakiri kwamba sasa ndo mnafanya juhudi za kukigeuza kuwa chama cha siasa. Ndio maana kutojua kwanini nakagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi na ahadi za CCM kwa umma si jambo linaloshangaza!
      Lakini hebu tafakarini hili, kwa muda mrefu hapahapa jf mlipigana vita ya kisaikolojia kuwa ahadi za jk na ilani havitekelezwi na mlikuwa mkiniuliza mie ni kwakiasi gani ahadi zinatekelezwa, sasa leo nafuatilia kuona kasi ya utekelezaji, MNAKURUPUKA BILA AIBU MNABWABWAJA MANENO YA AJABU!!
      AMA KWELI NDO TABU YA KUWA WAFUASI WA KUNDI LA WANAHARAKATI BADALA YA CHAMA CHA SIASA!!



      QUOTE=Bumpkin Billionare;3977484]Leo katika taarifa ya habari ya ITV ya saa mbili usiku, kwa macho yangu nikiwa mzima sijalewa nimeshuhudia jambo ambalo mpk sasa nimeshindwa kulielewa. Nape anaanza kudata au siasa za Tanzania zinaruhusu hiyo?

      Nape anaonekana akiwa katika Hospitali ya Mkoa wa Singida (ambayo iko kwenye ukarabati na utanuzi) pamoja na maafisa kadhaa wa Hospitali hiyo na Magamba wenzake. Kilichonishangaza hapo ni kauli za Nape kwa wale maafisa wa hospitali.

      Mara baada ya hotuba za blah blah (kama kawaida ya CCM) Nape alisema (nanukuu) ''....nitaiagiza serikali ikae na kufanyia marekebisho ya hii sheria maana inakwamisha ujenzi wa majengo ya serikali kwa.........''.

      Kama haitoshi Nape ambaye mimi nimekuwa nikimfahamu kama kiongozi wa CCM na si Serikali aliongezea "Haya majengo ma3 yaliyokwisha kukamilika yaanze tu kutumika, sioni sababu za kusubiri wakati wananchi wanahitaji kuyatumia......"

      Je huyu Nape amekuwa nani kiasi anaweza kuamua yeye majengo ya hospitali yaanze kutumika as if Waziri wa wizara husika na uongozi wa serikali ya Mkoa hauna mamlaka mpaka aje kuamua yeye?

      Si kwamba dogo anachanganyikiwa baada ya magamba kumshinda sasa kichwa kinamruka na anapata illusions kuwa yeye ni waziri au mkuu wa mkoa wa Singida?

      Imefikia wakati sasa CCM imuonee huruma huyu ndugu yetu. Majukumu waliyompa yamemzidi uwezo kiasi ameanza kuyakimbia na kuingilia kazi za watu wengine absent minded. Poor him, illusions.
      [/QUOTE]

      Mbona hiyo hospitali unayoisemea wafadhili wake wakubwa ni taasisi ya kidini na si serekali ?
      babuwaloliondo likes this.
      " TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA"

    8. RukaaJuu Final

    9. #66
      JULIUS MBIAJI's Avatar
      Member Array
      Join Date : 13th December 2011
      Posts : 73
      Rep Power : 390
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default Re: CCM muhurumieni Nape, ameanza kuchanganyikiwa

      Haistahili hata kidogo watu kutumia kod zetu vibaya kias hik.Inaonekana Nape ni mchapa kaz mno maana kila mahal yupo na ndiyo mtu aliyebak kunako CCM.Maana wengine wote kimyaa had mkuu wa kaya na siku wakiongea wanachokiongea hakina matumain kwao wala wananch ni mipasho tu.

    10. #67
      The Invincible's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2006
      Location : Online
      Posts : 1,947
      Rep Power : 1057
      Likes Received
      170
      Likes Given
      0

      Default Re: CCM muhurumieni Nape, ameanza kuchanganyikiwa

      Quote By Nnauye Jr
      Mhhh,
      Siwashangai sana watu wa aina yako, maana cha kwenu sio chama cha siasa ni kundi la wanaharakati hata Mwenyekiti wenu kakiri kwamba sasa ndo mnafanya juhudi za kukigeuza kuwa chama cha siasa. Ndio maana kutojua kwanini nakagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi na ahadi za CCM kwa umma si jambo linaloshangaza!
      Lakini hebu tafakarini hili, kwa muda mrefu hapahapa jf mlipigana vita ya kisaikolojia kuwa ahadi za jk na ilani havitekelezwi na mlikuwa mkiniuliza mie ni kwakiasi gani ahadi zinatekelezwa, sasa leo nafuatilia kuona kasi ya utekelezaji, MNAKURUPUKA BILA AIBU MNABWABWAJA MANENO YA AJABU!!
      AMA KWELI NDO TABU YA KUWA WAFUASI WA KUNDI LA WANAHARAKATI BADALA YA CHAMA CHA SIASA!!
      Duh! We dogo Nape mbona hivyo tena? Kwa sisi wa-saikolojia, hakika tamko lako linaonyesha upo kwenye stress, tena ile ya hali ya juu, yaani hyper-.
      Watanzania mbumbumbu wamemchagua raisi dhaifu ajenge taifa la watu wasiojiamini, 2010/2015 - Tafakari

    11. #68
      Deofm's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th February 2012
      Posts : 225
      Rep Power : 410
      Likes Received
      31
      Likes Given
      26

      Default Re: CCM muhurumieni Nape, ameanza kuchanganyikiwa

      Quote By Nnauye Jr
      Mhhh,
      Siwashangai sana watu wa aina yako, maana cha kwenu sio chama cha siasa ni kundi la wanaharakati hata Mwenyekiti wenu kakiri kwamba sasa ndo mnafanya juhudi za kukigeuza kuwa chama cha siasa. Ndio maana kutojua kwanini nakagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi na ahadi za CCM kwa umma si jambo linaloshangaza!
      Lakini hebu tafakarini hili, kwa muda mrefu hapahapa jf mlipigana vita ya kisaikolojia kuwa ahadi za jk na ilani havitekelezwi na mlikuwa mkiniuliza mie ni kwakiasi gani ahadi zinatekelezwa, sasa leo nafuatilia kuona kasi ya utekelezaji, MNAKURUPUKA BILA AIBU MNABWABWAJA MANENO YA AJABU!!
      AMA KWELI NDO TABU YA KUWA WAFUASI WA KUNDI LA WANAHARAKATI BADALA YA CHAMA CHA SIASA!!
      Naomba viongozi wa chama tawala mliopo madarakani mjue kuwa mnapokosolewa, sio lazima mkosoaji awe wa chama kingine, inawezekana kabisa kuwa ni wa chama chenu, Nadhani ulimsikia Maige, yule ni mwanachama mwaminifu wa ccm, lakini katika kusafisha kidonda daktari hajali maumivu anayopata mgonjwa. kwa hiyo uzi huu inawezekana kabisa umeletwa na yellow color mwenzako ambaye angependa kuona chama chake kinakuwa mfano kwa kufuata taratibu za kiutawala, kwa hiyo usikurupuke kutukana vyama vingine. Tatizo lenu sasa hivi mwanachama mwenzako akikuambia nawa uso vizuri, unamtishia kumchapa viboko. kweli naanza mipango ya kurudisha kadi ya ccm kama viongozi wake ndio hawa.

    12. #69
      melxkb's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th September 2010
      Posts : 202
      Rep Power : 481
      Likes Received
      55
      Likes Given
      165

      Default Re: CCM muhurumieni Nape, ameanza kuchanganyikiwa

      Siajakusoma!!

      Mbona haueleweki unaongelea nini..??

      Quote By JULIUS MBIAJI
      Haistahili hata kidogo watu kutumia kod zetu vibaya kias hik.Inaonekana Nape ni mchapa kaz mno maana kila mahal yupo na ndiyo mtu aliyebak kunako CCM.Maana wengine wote kimyaa had mkuu wa kaya na siku wakiongea wanachokiongea hakina matumain kwao wala wananch ni mipasho tu.

    13. #70
      babuwaloliondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th March 2011
      Posts : 287
      Rep Power : 472
      Likes Received
      100
      Likes Given
      614

      Default Re: CCM muhurumieni Nape, ameanza kuchanganyikiwa


      Sijui kwa nini nikimuona nape namkumbuka huyu jamaa, wakati mwingie huwa nadhani naota lakini kila saa haya mawazo yananjia tena kuwa nape ni huyu jamaa
      The hottest places in hell are reserved for those who in times of great moral crisis maintain their neutrality.- JFK

    14. #71
      melxkb's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th September 2010
      Posts : 202
      Rep Power : 481
      Likes Received
      55
      Likes Given
      165

      Default Re: CCM muhurumieni Nape, ameanza kuchanganyikiwa

      Good day Nape,

      What was your conclusion on this note?

      I would like to hear from you please whether ru.bb.ish or meaningful to you, please say it.

    15. #72
      TUNTEMEKE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2009
      Location : Mombasa
      Posts : 4,504
      Rep Power : 11337
      Likes Received
      323
      Likes Given
      236

      Default Re: CCM muhurumieni Nape, ameanza kuchanganyikiwa

      Quote By Bumpkin Billionare
      Leo katika taarifa ya habari ya ITV ya saa mbili usiku, kwa macho yangu nikiwa mzima sijalewa nimeshuhudia jambo ambalo mpk sasa nimeshindwa kulielewa. Nape anaanza kudata au siasa za Tanzania zinaruhusu hiyo?

      Nape anaonekana akiwa katika Hospitali ya Mkoa wa Singida (ambayo iko kwenye ukarabati na utanuzi) pamoja na maafisa kadhaa wa Hospitali hiyo na Magamba wenzake. Kilichonishangaza hapo ni kauli za Nape kwa wale maafisa wa hospitali.

      Mara baada ya hotuba za blah blah (kama kawaida ya CCM) Nape alisema (nanukuu) ''....nitaiagiza serikali ikae na kufanyia marekebisho ya hii sheria maana inakwamisha ujenzi wa majengo ya serikali kwa.........''.

      Kama haitoshi Nape ambaye mimi nimekuwa nikimfahamu kama kiongozi wa CCM na si Serikali aliongezea "Haya majengo ma3 yaliyokwisha kukamilika yaanze tu kutumika, sioni sababu za kusubiri wakati wananchi wanahitaji kuyatumia......"

      Je huyu Nape amekuwa nani kiasi anaweza kuamua yeye majengo ya hospitali yaanze kutumika as if Waziri wa wizara husika na uongozi wa serikali ya Mkoa hauna mamlaka mpaka aje kuamua yeye?

      Si kwamba dogo anachanganyikiwa baada ya magamba kumshinda sasa kichwa kinamruka na anapata illusions kuwa yeye ni waziri au mkuu wa mkoa wa Singida?

      Imefikia wakati sasa CCM imuonee huruma huyu ndugu yetu. Majukumu waliyompa yamemzidi uwezo kiasi ameanza kuyakimbia na kuingilia kazi za watu wengine absent minded. Poor him, illusions.
      Unashangaa ya Nape, mkama katembelea Ofisi za ccm Kibaha huku akisindikizwa kwa Ving'ora vya police

    16. #73
      kipipili's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Posts : 1,279
      Rep Power : 755
      Likes Received
      59
      Likes Given
      12

      Default Re: CCM muhurumieni Nape, ameanza kuchanganyikiwa

      Quote By Libasket b
      Unashangaa ya Nape, mkama katembelea Ofisi za ccm Kibaha huku akisindikizwa kwa Ving'ora vya police
      ccm wamechanganyikiwa wooooooote
      melxkb likes this.
      "Annuntio vobis gaudium magnum... habemus papam!" - "I announce to you a great joy... we have a pope!"

    17. #74
      Kigogo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2007
      Location : Calabash
      Posts : 8,195
      Rep Power : 2094
      Likes Received
      1233
      Likes Given
      313

      Default Re: CCM muhurumieni Nape, ameanza kuchanganyikiwa

      mi namlaumu aliyemchagu ana kumpa hiyo kazi maana ndo anayeleta hili janga
      melxkb likes this.
      ______________________________ _
      Niko tayari kufa huku nimesimama kuliko kuishi huku nimepiga magoti....

    18. #75
      nya2nya2's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 113
      Rep Power : 382
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default Re: CCM muhurumieni Nape, ameanza kuchanganyikiwa

      jibu hoja za msingi sio unajibu kifupi kama uko facebook.

    19. #76
      Lokissa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Location : Goba
      Posts : 4,092
      Rep Power : 5807
      Likes Received
      1026
      Likes Given
      2876

      Default Re: CCM muhurumieni Nape, ameanza kuchanganyikiwa

      msimlaumu sana Nape
      anajua amekalia kuti kavu na lazima alikalie hadi limwakie moto
      lakini mda sio mrefu atakuja kuungana na wanaharakati wa mabadiliko
      na ataeleza uovu wote wa kuti alilokalia.Mungu ni mwema alimchagua nape
      ili asaidie kubomoa chama chake kandamizi
      You may know me but you have no Idea who I am !

    20. #77
      chuwaalbert's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th September 2010
      Posts : 295
      Rep Power : 499
      Likes Received
      52
      Likes Given
      129

      Default Re: CCM muhurumieni Nape, ameanza kuchanganyikiwa

      Quote By peoples power
      Alitegemea angepata uwaziri sasa yote hyo anataka kumueleza jk wake kuwa hata yeye kazi zingine anaweza siyo kutoa matanganzo ya chama tu.
      Dogo wenzake Makamba na Makalla walipata, yeye nafikiri CCM wanamuhitaji katika nafasi hiyo ya Propaganda! Huenda kichwani ana illusion kuwa naye huo Uwaziri ANAO!

    21. #78
      WEMBE WENGE's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th March 2011
      Posts : 100
      Rep Power : 440
      Likes Received
      28
      Likes Given
      27

      Default Re: CCM muhurumieni Nape, ameanza kuchanganyikiwa

      Quote By MtamaMchungu
      Kama kawaida siasa nyingi na kukimbia mambo ya msingi.Nape hajajibu swali la msingi, yeye ni nani mpaka aamuru majengo yaanze kutumika? Hivi nchi haina taratibu na mipaka?
      Asante sana umeona ujinga huu wa nepi.
      amekuwa kama mbwa wa bwana anayebweka alipomuoana bwana wake ili amuone kama mlinzi mzuri, amesahau kwamba pale alipo ni sokoni ALIKOKWENDA KUOKOTA MIZOGA na si nyumbani kwa bwana, aibu, Nepi rudi kwanza nyumbani ndipo ubwake. ama ulitaka kumtisha mkuu wa mkoa kwa kuwa wewe ni CC na si kata ama tawi?

      NAPE WANAHARAKATI WANAKUJA KIMBILIA NYUMBANI HUKU UKITIKISA MKIA MBELE YA BWANA.

    22. #79
      OLESAIDIMU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2011
      Posts : 1,242
      Rep Power : 732
      Likes Received
      494
      Likes Given
      470

      Default Re: CCM muhurumieni Nape, ameanza kuchanganyikiwa

      Quote By Saint Ivuga
      Msilaumu kila kitu wajameni kama mtu karuhusu majengo ya tumike tena ya hospitali halafu mnapiga kelele tena...mnataka ndugu zetu wafe? badilikeni sio kila kitu ni kibaya

      Hapana mkuu Ivuga.....akiachwa bila kukumbushwa kuna siku atakuja kuruhusu magari kinyume na askari barabarani na kusababisha maafa bure!!!!!!!!!!!
      Hegemony is unlikely ever to be complete (A. Gramsci)

    Page 4 of 4 FirstFirst ... 234

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...