Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Dr. Slaa anafanya kazi kupitiliza!

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 57
    1. #1
      Seif al Islam's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Posts : 1,078
      Rep Power : 538
      Likes Received
      261
      Likes Given
      393

      Default Dr. Slaa anafanya kazi kupitiliza!

      kwa kipindi nilichomfahamu dr slaa kama mbunge na baadae mgombea uraisi nikiri kuwa mwonekano wake umebadilika sana.dr.slaa amepungua sana yaani amekonda mno isipokuwa ubongo wake ndio haujakonda kwani bado akisimama jukwaani anatema cheche kama kawaida.

      Mambo mengi yanaweza kuwa yamechangia mfano umri lakini nionavyo mimi cdm wanamtumia sana huyu mzee wa watu kwa kiwango ambacho nahisi hakizingatii wala kutambua hitaji la mzee huyu kupumzika na kujenga afya yake.dr slaa yupo kila mahali kwa kila kitu.iwe mkutano iwe oparesheni iwe kupokea wanachama na hata mikutano ya waandishi wa habari.anazunguka mikoani kwenye mikutano isiyokwisha.anashiriki mikutano ya ndani na kufungua matawi.ndiyo nakubali huyo ni katibu mkuu lakini kiukweli nahisi dr slaa anachoshwa na kuzeeshwa zaidi na shughuli hizo.

      cdm wanapaswa kuinua na kuwafunda makada vijana waende huko mkioani kukomaa na ccm ana wapambe wao na sio kumwacha dr.slaa akihangaika kama hakuna vijana.ni muda wa heche na viongozi wenzie wa bavicha kuacha malumbano ya kwenye magazeti na kujikita katika ujenzi wa chama mikoani.kazi hizo wapewe kina lema ,lissu mbowe zitto nassari na wengine ambao bado ni vijana wadogo.

      kama kweli cdm mnamuhuitaji slaa katika mipango yenu ya baadaye,huu ni muda wa kutafakari namna ya kuutumia uwezo na kipaji alichopewa na mungu .

      Nawasilisha.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      massai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd May 2011
      Posts : 625
      Rep Power : 533
      Likes Received
      109
      Likes Given
      2

      Default re: Dr. Slaa anafanya kazi kupitiliza!

      good idea,tufanye harambee ule mkono ukatibiwe nje kwenye madaktari wenye vifaa vya kisasa na mabingwa.

    4. #3
      Shardcole's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th January 2012
      Posts : 4,393
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1032
      Likes Given
      4

      Default re: Dr. Slaa anafanya kazi kupitiliza!

      Mkuu umetoa hoja nzuri lakini Dr slaa kazi anayoifanya ni wito na kajitoa toka moyoni sema kikubwa CDM inatakiwa wahakikishe usalama wake unalindwa pia na maswala ya ballance diet wamtazamie, but slaa ni kiungo muhimu sana ndani ya CDM na Mungu atamlinda tu.
      Jasusi and CHESEA INGINE like this.

    5. #4
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,174
      Rep Power : 5034
      Likes Received
      2414
      Likes Given
      2224

      Default re: Dr. Slaa anafanya kazi kupitiliza!

      Mwache afanye kazi, hajitolei, kaajiriwa.
      "To greed, all nature is insufficient"

    6. #5
      Uwezo Tunao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2010
      Posts : 6,873
      Rep Power : 2289
      Likes Received
      1140
      Likes Given
      1479

      Default re: Dr. Slaa anafanya kazi kupitiliza!

      Usiwe na wasiwasi anakula kwa kipimo yule si kama hao MAFISADI wengine wanaotafuna kila kinachopita mbele yao. Ulivyosema ni sahihi kabisa; ni bora Dr Slaa akili yake iendelee kutema cheche zaidi na zaidi kuliko tumbo la Mhe yule muimba kwaya kuchukua nafasi zaidi kama kibadala vile.
      tedo likes this.

    7. Miaka 50

    8. FJM
      #6
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,168
      Rep Power : 2567
      Likes Received
      5318
      Likes Given
      4585

      Default re: Dr. Slaa anafanya kazi kupitiliza!

      Tanzania tumezoea kuona vitambi na sasa tunaanza kuamini kama hauna muonekano wa ki-John Komba basi wewe si mzima! Tatizo la unene ni kubwa sana hasa kwa viongozi wetu. Angalia vigogo wa polisi, wanahema kwa tabu tupu na siku zote naamini, if you cannot control how much goes into your stomach then you cannot control a lot of things. Just think about it.
      MpendaTz and tedo like this.

    9. #7
      SANING'O LOSHILU's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th May 2012
      Posts : 144
      Rep Power : 381
      Likes Received
      11
      Likes Given
      5

      Default re: Dr. Slaa anafanya kazi kupitiliza!

      Ni ushauri mzuri sana but hilo ni jembe halijakuwa kimayai!

    10. #8
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,413
      Rep Power : 10872
      Likes Received
      3796
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By FJM
      Tanzania tumezoea kuona vitambi na sasa tunaanza kuamini kama hauna muonekano wa ki-John Komba basi wewe si mzima! Tatizo la unene ni kubwa sana hasa kwa viongozi wetu. Angalia vigogo wa polisi, wanahema kwa tabu tupu na siku zote naamini, if you cannot control how much goes into your stomach then you cannot control a lot of things. Just think about it.
      I concur with you sir
      FJM likes this.

    11. #9
      afwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th October 2010
      Posts : 672
      Rep Power : 568
      Likes Received
      76
      Likes Given
      114

      Default re: Dr. Slaa anafanya kazi kupitiliza!

      Your observations and suggestions are relevant katika mtazamo kuwa huyu bwana tunamhitaji sana. Ni vema chama kitazame namna nzuri ya kumtumia bila kuathiri shughuli za chama lakini pia afya yake. Ni kweli amededicate maisha yake kwa ajili ya nchi yetu lakini ni vema tukamtumia vizuri

    12. #10
      afwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th October 2010
      Posts : 672
      Rep Power : 568
      Likes Received
      76
      Likes Given
      114

      Default Re: Dr. Slaa anafanya kazi kupitiliza!

      Quote By ZeMarcopolo
      analipwa milioni saba kila mwezi na marupurupu juu. Mwache afanye kazi, hajitolei, kaajiriwa.
      Dr Slaa hayupo CHADEMA kwa ajili ya malipo. Kuwa makini na comments zako

    13. #11
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,413
      Rep Power : 10872
      Likes Received
      3796
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By Seif al islam
      kwa kipindi nilichomfahamu dr slaa kama mbunge na baadae mgombea uraisi nikiri kuwa mwonekano wake umebadilika sana.dr.slaa amepungua sana yaani amekonda mno isipokuwa ubongo wake ndio haujakonda kwani bado akisimama jukwaani anatema cheche kama kawaida.
      Mkuu kwa mawazo yako Rais wa Rwanda Paul Kagame naye wanyarwanda watampoteza? Tuache mawazo mgando kwamba kitambi eti ni afya,huo ni ugonjwa tu.
      MpendaTz and FJM like this.

    14. #12
      Mzito Kabwela's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : MPUMBULI
      Posts : 6,424
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1086
      Likes Given
      7

      Default

      Quote By Molemo
      I concur with you sir
      /madam

    15. #13
      Nyakageni's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,246
      Rep Power : 0
      Likes Received
      769
      Likes Given
      52

      Default Re: Dr. Slaa anafanya kazi kupitiliza!

      anastahiki kupewa likizo. He is busier than a bee

    16. #14
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,556
      Rep Power : 5614
      Likes Received
      6211
      Likes Given
      2281

      Default Re: Dr. Slaa anafanya kazi kupitiliza!

      sio kama kazeeka? Umri unamtupa mkono?

    17. #15
      Jujuman's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th December 2008
      Posts : 249
      Rep Power : 582
      Likes Received
      29
      Likes Given
      56

      Default Re: Dr. Slaa anafanya kazi kupitiliza!

      Quote By Nyakageni
      anastahiki kupewa likizo. He is busier than a bee
      Na hatari yake ni Asali anayotaarisha/Tengeneza Watafaidi wengine!

    18. #16
      Bangoo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2011
      Posts : 2,269
      Rep Power : 834
      Likes Received
      370
      Likes Given
      0

      Default Re: Dr. Slaa anafanya kazi kupitiliza!

      Yule habadilishi damu
      kama wenu! Yuko full.

    19. #17
      Shardcole's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th January 2012
      Posts : 4,393
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1032
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By KATUTU
      /madam
      madam?! Kuwa mstaarabu basi kwani kumuita mwanaume mwenzako madam inakuwa sio picha nzuri. Shtuka na badilika ww

    20. #18
      Mapi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2011
      Posts : 571
      Rep Power : 0
      Likes Received
      142
      Likes Given
      141

      Default Re: Dr. Slaa anafanya kazi kupitiliza!

      ya mahatma gadhi naona mmeyasahau.

    21. #19
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,174
      Rep Power : 5034
      Likes Received
      2414
      Likes Given
      2224

      Default Re: Dr. Slaa anafanya kazi kupitiliza!

      Quote By afwe
      Dr Slaa hayupo CHADEMA kwa ajili ya malipo. Kuwa makini na comments zako
      Una uhakika? Alipoombwa kugombea Urais alitoa masharti gani?
      "To greed, all nature is insufficient"

    22. #20
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,228
      Rep Power : 12570
      Likes Received
      5790
      Likes Given
      754

      Default Re: Dr. Slaa anafanya kazi kupitiliza!

      Mie nadhani Slaa afanyi kazi kupitiliza kama anavyosema muanzisha hii thread, wengine wanasema kaamua kujitolea...Slaa anafanya kazi analipwa Milioni 7.5 kwa mwezi muacheni afanye kazi.

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...