Naomba niseme wazi kuwa yule ndiye mtu sahihi kwa ccm kwa muda huu ambao mambo yanaenda kombo.ni ngumu watu kunielewa lakini naamini yule mzee akirudishwa hizi mbio za cdm zitaisha fasta na maisha yataendelea kama kawaida.
Naomba niseme wazi kuwa yule ndiye mtu sahihi kwa ccm kwa muda huu ambao mambo yanaenda kombo.ni ngumu watu kunielewa lakini naamini yule mzee akirudishwa hizi mbio za cdm zitaisha fasta na maisha yataendelea kama kawaida.
January ndo account yako ya JF hii?
ama kweli kuchoka kubaya. Uzuri makamba aliwaambia anatangulia kuwaandalia makao labda mngemuuliza kama tayari.!
Umefikiria muda mrefu ndio umekuja kuweka thread kama hii j ? Kumbe na wewe humo? Kwani cdm wana kuzui kuishi? Wewe una husika kwenye EPA? Subiri na wewe yako yanakuja gamba! Kumbe ampati usinginzi. Peopleeeeeeeeees poooooooooooooooowwwwwwwwwwwww wwwwwwwwerr8-)
Seif al islam, naomba nikuulize tumaswali tudogo tu;
- Kwa nini ungependa mbio za Chadema ziishe fasta?
- Je hayo maisha ya kawaida unayowatakia Watanzania ni maisha ya aina gani?
- Kwa nini unaamini maisha ya Watanzania yataendelea kama kawaida bila Chadema?
- Je ni Chadema ndio ndio chanzo cha maisha ya Watanzania kwenda kombo?
- Na mwisho hayo maisha ya kawaida yalikuwa yapi kabla ya Yusufu Makamba kuachia ngazi?
Nakuomba kwa heshima na taadhima urudi fasta uniondolee hiki kiwingu kinachonizuia kuona hayo mafanikio chini ya Yusufu Makamba!
The true sign of intelligence is not knowledge but imagination.
Education is what remains after one has forgotten what one has learned in School
-Albert Einstein.
Niwashangaa wanaofikiria ccm kuokoka! Wote wameoza na hakuna wa kumwokoa mwenzake!
Maisha ya kawaida ninayosemea ni maisha bila mikutano na operesheni hizi zisizokwisha.
Huu ni mchango wangu kwa ccm na watanzania kwani viongozi kama kina wassira hawakai tena ofisin wamejigeuza makatibu wenezi.tukipata jibu walau la muda mfupi tutawasaidia watanzania kwani kina wassira watarudi ofisin kufanya kazi badala ya kuzunguka kama mashetani wanaotafuta mtu wamwingie
Afadhali R1 kuliko ......
"Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."
Acha maneno yako yani makkamba anauza mayai ya kuku?
Seif Al A Islam umepata jibu kwa nini wanawake hufumba macho wakati wa majamboz? Ka umepata ndo leta uzi mwingine
Makamba ndio catalyst ya yote haya yaliyopo.
Kwani lini aliondoka? Si juzi tuu.
makamba anajichana pensheni bumbuli muacheni aiENJOY...ameamua kuwaachia jahaz nyie si mlijifanya wajuaji
Aliokoe au aliopoe maana lishazama, RIP Magamba.
Kiongozi shupavu hawezi kutumia mabavu kuongoza, ni kiongozi dhaifu tu ndio atatumia mabavu kuficha udhaifu wake - Jenerali Ulimwengu
Follow Us Here