Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Yusufu Makamba arudishwe kuja kuokoa jahazi la CCM

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 31
    1. #1
      Seif al Islam's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Posts : 1,081
      Rep Power : 539
      Likes Received
      262
      Likes Given
      393

      Default Yusufu Makamba arudishwe kuja kuokoa jahazi la CCM

      Naomba niseme wazi kuwa yule ndiye mtu sahihi kwa ccm kwa muda huu ambao mambo yanaenda kombo.ni ngumu watu kunielewa lakini naamini yule mzee akirudishwa hizi mbio za cdm zitaisha fasta na maisha yataendelea kama kawaida.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Masarafu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th May 2012
      Posts : 22
      Rep Power : 357
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default

      January ndo account yako ya JF hii?
      webondo likes this.

    4. #3
      Power G's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 20th April 2011
      Location : Msoga Kijijini
      Posts : 2,410
      Rep Power : 993
      Likes Received
      774
      Likes Given
      260

      Default re: Yusufu Makamba arudishwe kuja kuokoa jahazi la CCM

      Quote By Seif al islam
      Naomba niseme wazi kuwa yule ndiye mtu sahihi kwa ccm kwa muda huu ambao mambo yanaenda kombo.ni ngumu watu kunielewa lakini naamini yule mzee akirudishwa hizi mbio za cdm zitaisha fasta na maisha yataendelea kama kawaida.
      Ndoto za mchana kweupe hizi. Siyo siri kwamba huyu mzee ni kati ya watu waliochangia ccm kupungua mvuto na nguvu kote Tanzania.
      TANZANIA ITAJENGWA NA WENYE MOYO NA KULIWA NA WENYE MENO KAMA AKINA EL, JK, EC na RA

    5. #4
      idawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2012
      Posts : 4,603
      Rep Power : 3334
      Likes Received
      1228
      Likes Given
      465

      Default re: Yusufu Makamba arudishwe kuja kuokoa jahazi la CCM

      ama kweli kuchoka kubaya. Uzuri makamba aliwaambia anatangulia kuwaandalia makao labda mngemuuliza kama tayari.!

    6. #5
      Ibrah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2007
      Location : TZ
      Posts : 2,883
      Rep Power : 1199
      Likes Received
      402
      Likes Given
      46

      Default

      Quote By Seif al islam
      Naomba niseme wazi kuwa yule ndiye mtu sahihi kwa ccm kwa muda huu ambao mambo yanaenda kombo.ni ngumu watu kunielewa lakini naamini yule mzee akirudishwa hizi mbio za cdm zitaisha fasta na maisha yataendelea kama kawaida.
      CCM is bound to sink, and it surely sink hata ashuke Malaika kutoka mbinguni!
      That is a decree, I presume.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,480
      Rep Power : 19785
      Likes Received
      4300
      Likes Given
      1248

      Default re: Yusufu Makamba arudishwe kuja kuokoa jahazi la CCM

      Umefikiria muda mrefu ndio umekuja kuweka thread kama hii j ? Kumbe na wewe humo? Kwani cdm wana kuzui kuishi? Wewe una husika kwenye EPA? Subiri na wewe yako yanakuja gamba! Kumbe ampati usinginzi. Peopleeeeeeeeees poooooooooooooooowwwwwwwwwwwww wwwwwwwwerr8-)

    9. #7
      leroy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th December 2010
      Posts : 327
      Rep Power : 587
      Likes Received
      89
      Likes Given
      94

      Default re: Yusufu Makamba arudishwe kuja kuokoa jahazi la CCM

      Quote By Seif al islam
      Naomba niseme wazi kuwa yule ndiye mtu sahihi kwa ccm kwa muda huu ambao mambo yanaenda kombo.ni ngumu watu kunielewa lakini naamini yule mzee akirudishwa hizi mbio za cdm zitaisha fasta na maisha yataendelea kama kawaida.

      Unganisha hapo pekundu, Kumbe CDM inawanyima usingizi eeh.
      A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people.

    10. #8
      Mag3's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 31st May 2008
      Posts : 3,540
      Rep Power : 1805
      Likes Received
      2464
      Likes Given
      2502

      Default re: Yusufu Makamba arudishwe kuja kuokoa jahazi la CCM

      Quote By Seif al islam
      Naomba niseme wazi kuwa yule ndiye mtu sahihi kwa ccm kwa muda huu ambao mambo yanaenda kombo.ni ngumu watu kunielewa lakini naamini yule mzee akirudishwa hizi mbio za cdm zitaisha fasta na maisha yataendelea kama kawaida.
      Seif al islam, naomba nikuulize tumaswali tudogo tu;

      1. Kwa nini ungependa mbio za Chadema ziishe fasta?
      2. Je hayo maisha ya kawaida unayowatakia Watanzania ni maisha ya aina gani?
      3. Kwa nini unaamini maisha ya Watanzania yataendelea kama kawaida bila Chadema?
      4. Je ni Chadema ndio ndio chanzo cha maisha ya Watanzania kwenda kombo?
      5. Na mwisho hayo maisha ya kawaida yalikuwa yapi kabla ya Yusufu Makamba kuachia ngazi?

      Nakuomba kwa heshima na taadhima urudi fasta uniondolee hiki kiwingu kinachonizuia kuona hayo mafanikio chini ya Yusufu Makamba!
      The true sign of intelligence is not knowledge but imagination.
      Education is what remains after one has forgotten what one has learned in School
      -Albert Einstein.


    11. #9
      Filipo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : Kiding'a
      Posts : 6,349
      Rep Power : 18614
      Likes Received
      3508
      Likes Given
      1663

      Default re: Yusufu Makamba arudishwe kuja kuokoa jahazi la CCM

      Niwashangaa wanaofikiria ccm kuokoka! Wote wameoza na hakuna wa kumwokoa mwenzake!

    12. #10
      Seif al Islam's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Posts : 1,081
      Rep Power : 539
      Likes Received
      262
      Likes Given
      393

      Default re: Yusufu Makamba arudishwe kuja kuokoa jahazi la CCM

      Maisha ya kawaida ninayosemea ni maisha bila mikutano na operesheni hizi zisizokwisha.
      Huu ni mchango wangu kwa ccm na watanzania kwani viongozi kama kina wassira hawakai tena ofisin wamejigeuza makatibu wenezi.tukipata jibu walau la muda mfupi tutawasaidia watanzania kwani kina wassira watarudi ofisin kufanya kazi badala ya kuzunguka kama mashetani wanaotafuta mtu wamwingie

    13. #11
      slufay's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 399
      Rep Power : 439
      Likes Received
      37
      Likes Given
      1

      Default re: Yusufu Makamba arudishwe kuja kuokoa jahazi la CCM

      Afadhali R1 kuliko ......

    14. #12
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,170
      Rep Power : 24271
      Likes Received
      4677
      Likes Given
      2296

      Default re: Yusufu Makamba arudishwe kuja kuokoa jahazi la CCM

      Quote By Seif al islam
      Naomba niseme wazi kuwa yule ndiye mtu sahihi kwa ccm kwa muda huu ambao mambo yanaenda kombo.ni ngumu watu kunielewa lakini naamini yule mzee akirudishwa hizi mbio za cdm zitaisha fasta na maisha yataendelea kama kawaida.
      Makamba alikuwa anaongoza chama kwa nguvu za Sheikh Yahya. Yahya ametangulia kuwapokea the gambaz.
      Makamba amefungua biashara yake anafuga kuku sikuhizi.
      "Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."

    15. #13
      Seif al Islam's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Posts : 1,081
      Rep Power : 539
      Likes Received
      262
      Likes Given
      393

      Default re: Yusufu Makamba arudishwe kuja kuokoa jahazi la CCM

      Acha maneno yako yani makkamba anauza mayai ya kuku?

    16. #14
      Pukudu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : Maskani.
      Posts : 1,172
      Rep Power : 1385
      Likes Received
      335
      Likes Given
      82

      Default re: Yusufu Makamba arudishwe kuja kuokoa jahazi la CCM

      Seif Al A Islam umepata jibu kwa nini wanawake hufumba macho wakati wa majamboz? Ka umepata ndo leta uzi mwingine

    17. #15
      MtamaMchungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th April 2011
      Posts : 1,539
      Rep Power : 806
      Likes Received
      710
      Likes Given
      64

      Default Re: Yusufu Makamba arudishwe kuja kuokoa jahazi la CCM

      Makamba ndio catalyst ya yote haya yaliyopo.

    18. #16
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,342
      Rep Power : 7768
      Likes Received
      1545
      Likes Given
      1793

      Default Re: Yusufu Makamba arudishwe kuja kuokoa jahazi la CCM

      Kwani lini aliondoka? Si juzi tuu.

    19. #17
      sir.JAPHET's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th May 2012
      Posts : 608
      Rep Power : 474
      Likes Received
      90
      Likes Given
      43

      Default Re: Yusufu Makamba arudishwe kuja kuokoa jahazi la CCM

      makamba anajichana pensheni bumbuli muacheni aiENJOY...ameamua kuwaachia jahaz nyie si mlijifanya wajuaji

    20. #18
      kapotolo's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th September 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 2,407
      Rep Power : 1195
      Likes Received
      1282
      Likes Given
      392

      Default Re: Yusufu Makamba arudishwe kuja kuokoa jahazi la CCM

      Aliokoe au aliopoe maana lishazama, RIP Magamba.
      Kiongozi shupavu hawezi kutumia mabavu kuongoza, ni kiongozi dhaifu tu ndio atatumia mabavu kuficha udhaifu wake - Jenerali Ulimwengu

    21. #19
      webondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2012
      Location : Chini ya mwembe
      Posts : 1,167
      Rep Power : 589
      Likes Received
      178
      Likes Given
      381

      Default Re: Yusufu Makamba arudishwe kuja kuokoa jahazi la CCM

      Quote By Seif al islam
      Naomba niseme wazi kuwa yule ndiye mtu sahihi kwa ccm kwa muda huu ambao mambo yanaenda kombo.ni ngumu watu kunielewa lakini naamini yule mzee akirudishwa hizi mbio za cdm zitaisha fasta na maisha yataendelea kama kawaida.
      Nyie ni maswahiba ehh!

    22. #20
      kookolikoo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2012
      Posts : 1,951
      Rep Power : 753
      Likes Received
      281
      Likes Given
      146

      Default

      Quote By idawa
      ama kweli kuchoka kubaya.
      Uzuri makamba aliwaambia anatangulia kuwaandalia makao labda mngemuuliza
      kama tayari.!
      kama kulikuwa na gamba sugu ccm basi ni YUSSUPH MAKAMBA!

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...