Kuna kila sababu sisi ijana na Watanzania wote tukipe ridhaa CHADEMA kiunde serikali mwaka 2015. CCM ni chama muflisi kilichoshinda kuzuia ubaguzi wa aina zote.
Hata vurugu za ZNZ ni matokeo ya kuwa na serikali legelege yenye usalama wa Taifa wanaolinda viongozi na kuwaacha raia wakiharishiwa maisha yao na wahuni wachache.
Yaliyotokea ZNZ hata Bukoba yaweza tokea. Watanzania wasio wazawa wanabaguliwa kana kwamba wanyama.Wamepachikwa majina mbalimbali yanayodharirisha utu wao, mfano wanaitwa WANYAMA ANGA yaan wanafananishwa na ndege.Hali ipo hata ktk ajira.
Mfano halisi ni idara ya elimu sekondari ambapo afisa ana sera ya kuwapendelea walimu wazawa wa Bukoba na kuwabagua walimu wa mikoa mingine.
Imeshawahi kutokea mkuu wa shule wa Rutunga alimshitaki mwalimu mkorofi kwa afisa elimu,afisa elimu baada ya kujua yule mwalimu ni mhaya alimlaumu yule mkuu wa shule kwa nin amemshitaki huyu mwalimu.asema lazma tuwalinde vijana wetu angekuwa si mhaya tungemuadhibu, hii ndio serikali ya CCM yenye watendaji wabaguzi huku ikibariki ubaguzi huo.
Sidhani kama hauna tatizo na wahaya,kusema kweli tatizo lako si bukoba bali wahaya lakini isikupe shida ..mbona kigoma wageni watumishi wanalazwa nje uchi wa mnyama,mbona kule Klmanjaro wana jina lao kwa wasio wachagga pia?
We jipange upya! Walimu wangapi wantenda hayo uloyasema Tanzania hii? N-way, najua huna data za kutosha, tuulizeni sisi nasi tulio nje ya nyumbani. Tabia ya mtu mmoja usiihamishie mkoa mzima na tena ukome kabisa! Unajua huko CDM (japo ni chama langu) kuna mtu, tena mbunge anahutubia watu akisema anataka Kaskazini iwe nchi, JE TUSEME CDM WOTE WALIKUWA HIVYO? Wizarani (karibia zote) unaposikia kila kukicha kwamba wako mabila flani flani, Polisi inaposemekana vyeo vyote ni vya kabila na dini flani, NSSF tulipoambiwa kuna ....... flani.
Hilo jina ulilolinyumbua, si la leo Bukoba, tangu zamani za mababu wasiojua kiswahili cha kujua kwa EBIGUNJU ndo wanaitwa wanyama, walilitumia kuongelea yeyote ambaye alionekana kutoka nje ya mkoa huo na hajui kuongea lugha yao.
Je, umefuatilia kuona makabila na mikoa mingine wanasemaje kuhusu wageni, au etc. (end of thinking capacity) yako imeishia BK?
CHADEMA ni chama chetu lakini tusiingie kwa hasira za kutaka kulipiza visasi katika mabaya yalotendwa na wengine, hapo tutashindwa. Bali tufikirie zaidi ni jinsi gani tutaweza kuivusha nchi kwenda kwenye TANZANIA TUITAKAYO
Kuna kila sababu sisi ijana na Watanzania wote tukipe ridhaa CHADEMA kiunde serikali mwaka 2015.CCM ni chama muflisi kilichoshinda kuzuia ubaguzi wa aina zote.Hata vurugu za ZNZ ni matokeo ya kuwa na serikali legelege yenye usalama wa Taifa wanaolinda viongozi na kuwaacha raia wakiharishiwa maisha yao na wahuni wachache.Yaliyotokea ZNZ hata Bukoba yaweza tokea.Watanzania wasio wazawa wanabaguliwa kana kwamba wanyama.Wamepachikwa majina mbalimbali yanayodharirisha utu wao,mfano wanaitwa WANYAMA ANGA yaan wanafananishwa na ndege.Hali ipo hata ktk ajira.Mfano halisi ni idara ya elimu sekondari ambapo afisa ana sera ya kuwapendelea walimu wazawa wa Bukoba na kuwabagua walimu wa mikoa mingine.Imishawahi kutokea mkuu wa shule wa Rutunga alimshitaki mwalimu mkorofi kwa afisa elimu,afisa elimu baada ya kujua yule mwalimu ni mhaya alimlaumu yule mkuu wa shule kwa nin amemshitaki huyu mwalimu.asema lazma tuwalinde vijana wetu angekuwa si mhaya tungemuadhibu.hii ndio serikali ya CCM yenye watendaji wabaguzi huku ikibariki ubaguzi huo.TUSIPOIWEKA CDM MADARAKANI 2015 TUTAZIDI KUJUTA!!
Wewe utakuwa UAMSHO damudamu...nyinyi ndo mnatuharibia nchi.Nyerere aliwapinga sana nyinyi na tabia yenu ya ubaguzi.
Baba ulinyimwa mke nini huko bkb?mbona huko subjective sana?nachelea kuongea sana na kwa mifano juu ya mada njaa yako make tunajenga tusikimbilie kubomoa mapema.
Nakushauri utumie bongo yako kujenga hoja,hoja za hivi zinakuunderate sana mkuu as i know you well.
Mkemkuu: nimekuelewa mwl mbona kawaida na pole kwa hlo lakn wana jf jamaa kamgusa afsa elimu kwann usimzungumzie afisa elimu mnabaki kutokwa na pozi hii kitu inaboa ndo mana nyerere mtu wa mtwara alimpeleka kigoma wa kigoma mtwara nw ukienda halmashaur hizi asilimia kubwa ni kabila moja ndo mana haya yanatokea
We jipange upya! Walimu wangapi wantenda hayo uloyasema Tanzania hii? N-way, najua huna data za kutosha, tuulizeni sisi nasi tulio nje ya nyumbani. Tabia ya mtu mmoja usiihamishie mkoa mzima na tena ukome kabisa! Unajua huko CDM (japo ni chama langu) kuna mtu, tena mbunge anahutubia watu akisema anataka Kaskazini iwe nchi, JE TUSEME CDM WOTE WALIKUWA HIVYO? Wizarani (karibia zote) unaposikia kila kukicha kwamba wako mabila flani flani, Polisi inaposemekana vyeo vyote ni vya kabila na dini flani, NSSF tulipoambiwa kuna ....... flani.
Hilo jina ulilolinyumbua, si la leo Bukoba, tangu zamani za mababu wasiojua kiswahili cha kujua kwa EBIGUNJU ndo wanaitwa wanyama, walilitumia kuongelea yeyote ambaye alionekana kutoka nje ya mkoa huo na hajui kuongea lugha yao.
Je, umefuatilia kuona makabila na mikoa mingine wanasemaje kuhusu wageni, au etc. (end of thinking capacity) yako imeishia BK?
CHADEMA ni chama chetu lakini tusiingie kwa hasira za kutaka kulipiza visasi katika mabaya yalotendwa na wengine, hapo tutashindwa. Bali tufikirie zaidi ni jinsi gani tutaweza kuivusha nchi kwenda kwenye TANZANIA TUITAKAYO
mzungu mzie afisa elimu aliye toa iyo hoja sio unatokwa na povu tu mdomon
Ya Zanzibar ni udini, ha Bukoba ni uzawa. Hakuna uhusiano hapo, kajipange vizuri
Ushauri wa bure:jenga mazoea ya kufuatilia habari mara kwa mara.ZNZ ni uzawa na udini.wamekuwa wakiwakataa wabara kwa muda mrefu huku wakipinga ukristo.halikadhalika hali hiyo hata Bukoba ipo,waislamu wanabaguliwa.
Follow Us Here