Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Baada ya Zanzibar Bukoba

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 62
    1. #1
      opportunist2012's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th February 2012
      Posts : 90
      Rep Power : 385
      Likes Received
      6
      Likes Given
      8

      Default Baada ya Zanzibar Bukoba

      Kuna kila sababu sisi ijana na Watanzania wote tukipe ridhaa CHADEMA kiunde serikali mwaka 2015. CCM ni chama muflisi kilichoshinda kuzuia ubaguzi wa aina zote.

      Hata vurugu za ZNZ ni matokeo ya kuwa na serikali legelege yenye usalama wa Taifa wanaolinda viongozi na kuwaacha raia wakiharishiwa maisha yao na wahuni wachache.

      Yaliyotokea ZNZ hata Bukoba yaweza tokea. Watanzania wasio wazawa wanabaguliwa kana kwamba wanyama.Wamepachikwa majina mbalimbali yanayodharirisha utu wao, mfano wanaitwa WANYAMA ANGA yaan wanafananishwa na ndege.Hali ipo hata ktk ajira.

      Mfano halisi ni idara ya elimu sekondari ambapo afisa ana sera ya kuwapendelea walimu wazawa wa Bukoba na kuwabagua walimu wa mikoa mingine.

      Imeshawahi kutokea mkuu wa shule wa Rutunga alimshitaki mwalimu mkorofi kwa afisa elimu,afisa elimu baada ya kujua yule mwalimu ni mhaya alimlaumu yule mkuu wa shule kwa nin amemshitaki huyu mwalimu.asema lazma tuwalinde vijana wetu angekuwa si mhaya tungemuadhibu, hii ndio serikali ya CCM yenye watendaji wabaguzi huku ikibariki ubaguzi huo.

      TUSIPOIWEKA CDM MADARAKANI 2015 TUTAZIDI KUJUTA!!

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      kookolikoo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2012
      Posts : 1,949
      Rep Power : 752
      Likes Received
      281
      Likes Given
      146

      Default Re: Baada ya Zanzibar Bukoba

      Uzi huu hauna mashiko. Kuna connection ya mbali sana tena ya kulazimisha na siasa. Mods hamisheni hii!!!!

    4. #3
      Leonard Robert's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2011
      Posts : 4,247
      Rep Power : 1262
      Likes Received
      522
      Likes Given
      175

      Default Re: Baada ya Zanzibar Bukoba

      wewe mlopokaji tu,kwanza huko Bukoba kunaishi watu makini wewe hapakufai kabisa.. Bukoba hakuko hivyo..wanyamaanga ni neno la kawaida tu

    5. #4
      Ninaweza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2010
      Location : bukonda moyo
      Posts : 2,157
      Rep Power : 867
      Likes Received
      314
      Likes Given
      718

      Default Re: Baada ya Zanzibar Bukoba

      kyasaka!

    6. #5
      opportunist2012's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th February 2012
      Posts : 90
      Rep Power : 385
      Likes Received
      6
      Likes Given
      8

      Default

      Quote By Leonard Robert
      wewe mlopokaji tu,kwanza huko Bukoba kunaishi watu makini wewe hapakufai kabisa.. Bukoba hakuko hivyo..wanyamaanga ni neno la kawaida tu
      Wewe utakuwa UAMSHO damudamu...nyinyi ndo mnatuharibia nchi.Nyerere aliwapinga sana nyinyi na tabia yenu ya ubaguzi.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Rweye's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th March 2011
      Posts : 2,674
      Rep Power : 948
      Likes Received
      414
      Likes Given
      0

      Default Re: Baada ya Zanzibar Bukoba

      Sidhani kama hauna tatizo na wahaya,kusema kweli tatizo lako si bukoba bali wahaya lakini isikupe shida ..mbona kigoma wageni watumishi wanalazwa nje uchi wa mnyama,mbona kule Klmanjaro wana jina lao kwa wasio wachagga pia?

      Mkuu una tatizo na wahaya?

    9. #7
      Leonard Robert's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2011
      Posts : 4,247
      Rep Power : 1262
      Likes Received
      522
      Likes Given
      175

      Default

      Quote By opportunist2012
      Wewe utakuwa UAMSHO damudamu...nyinyi ndo mnatuharibia nchi.Nyerere aliwapinga sana nyinyi na tabia yenu ya ubaguzi.
      bila hawa watu,Tanzania ingekua na hali mbaya kuliko iliyopo sasa, mbona nyie ambao mwalimu nyerere aliwapa nafasi mmetusababisha kuwa taifa ombaomba

    10. #8
      BOTOPLAM's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th December 2011
      Location : OMUJINI
      Posts : 29
      Rep Power : 380
      Likes Received
      4
      Likes Given
      53

      Default Re: Baada ya Zanzibar Bukoba

      We jipange upya! Walimu wangapi wantenda hayo uloyasema Tanzania hii? N-way, najua huna data za kutosha, tuulizeni sisi nasi tulio nje ya nyumbani. Tabia ya mtu mmoja usiihamishie mkoa mzima na tena ukome kabisa! Unajua huko CDM (japo ni chama langu) kuna mtu, tena mbunge anahutubia watu akisema anataka Kaskazini iwe nchi, JE TUSEME CDM WOTE WALIKUWA HIVYO? Wizarani (karibia zote) unaposikia kila kukicha kwamba wako mabila flani flani, Polisi inaposemekana vyeo vyote ni vya kabila na dini flani, NSSF tulipoambiwa kuna ....... flani.

      Hilo jina ulilolinyumbua, si la leo Bukoba, tangu zamani za mababu wasiojua kiswahili cha kujua kwa EBIGUNJU ndo wanaitwa wanyama, walilitumia kuongelea yeyote ambaye alionekana kutoka nje ya mkoa huo na hajui kuongea lugha yao.

      Je, umefuatilia kuona makabila na mikoa mingine wanasemaje kuhusu wageni, au etc. (end of thinking capacity) yako imeishia BK?

      CHADEMA ni chama chetu lakini tusiingie kwa hasira za kutaka kulipiza visasi katika mabaya yalotendwa na wengine, hapo tutashindwa. Bali tufikirie zaidi ni jinsi gani tutaweza kuivusha nchi kwenda kwenye TANZANIA TUITAKAYO

    11. #9
      Mkekuu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Posts : 700
      Rep Power : 499
      Likes Received
      84
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By opportunist2012
      Kuna kila sababu sisi ijana na Watanzania wote tukipe ridhaa CHADEMA kiunde serikali mwaka 2015.CCM ni chama muflisi kilichoshinda kuzuia ubaguzi wa aina zote.Hata vurugu za ZNZ ni matokeo ya kuwa na serikali legelege yenye usalama wa Taifa wanaolinda viongozi na kuwaacha raia wakiharishiwa maisha yao na wahuni wachache.Yaliyotokea ZNZ hata Bukoba yaweza tokea.Watanzania wasio wazawa wanabaguliwa kana kwamba wanyama.Wamepachikwa majina mbalimbali yanayodharirisha utu wao,mfano wanaitwa WANYAMA ANGA yaan wanafananishwa na ndege.Hali ipo hata ktk ajira.Mfano halisi ni idara ya elimu sekondari ambapo afisa ana sera ya kuwapendelea walimu wazawa wa Bukoba na kuwabagua walimu wa mikoa mingine.Imishawahi kutokea mkuu wa shule wa Rutunga alimshitaki mwalimu mkorofi kwa afisa elimu,afisa elimu baada ya kujua yule mwalimu ni mhaya alimlaumu yule mkuu wa shule kwa nin amemshitaki huyu mwalimu.asema lazma tuwalinde vijana wetu angekuwa si mhaya tungemuadhibu.hii ndio serikali ya CCM yenye watendaji wabaguzi huku ikibariki ubaguzi huo.TUSIPOIWEKA CDM MADARAKANI 2015 TUTAZIDI KUJUTA!!
      Naunga mkono hoja

    12. #10
      Jabulani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th March 2009
      Location : Kituo cha Polisi Jamii
      Posts : 2,973
      Rep Power : 1369
      Likes Received
      820
      Likes Given
      254

      Default Re: Baada ya Zanzibar Bukoba

      Ya Zanzibar ni udini, ha Bukoba ni uzawa. Hakuna uhusiano hapo, kajipange vizuri
      Kamanda wa Polisi Jamii - Kanda Maalumu

    13. #11
      BOTOPLAM's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th December 2011
      Location : OMUJINI
      Posts : 29
      Rep Power : 380
      Likes Received
      4
      Likes Given
      53

      Default Re: Baada ya Zanzibar Bukoba

      Kabisa hufai wewe!

    14. #12
      Rweye's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th March 2011
      Posts : 2,674
      Rep Power : 948
      Likes Received
      414
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By opportunist2012
      Wewe utakuwa UAMSHO damudamu...nyinyi ndo mnatuharibia nchi.Nyerere aliwapinga sana nyinyi na tabia yenu ya ubaguzi.
      Baba ulinyimwa mke nini huko bkb?mbona huko subjective sana?nachelea kuongea sana na kwa mifano juu ya mada njaa yako make tunajenga tusikimbilie kubomoa mapema.

      Nakushauri utumie bongo yako kujenga hoja,hoja za hivi zinakuunderate sana mkuu as i know you well.

    15. #13
      Mzururaji's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Posts : 186
      Rep Power : 396
      Likes Received
      19
      Likes Given
      0

      Default Re: Baada ya Zanzibar Bukoba

      Mkemkuu: nimekuelewa mwl mbona kawaida na pole kwa hlo lakn wana jf jamaa kamgusa afsa elimu kwann usimzungumzie afisa elimu mnabaki kutokwa na pozi hii kitu inaboa ndo mana nyerere mtu wa mtwara alimpeleka kigoma wa kigoma mtwara nw ukienda halmashaur hizi asilimia kubwa ni kabila moja ndo mana haya yanatokea

    16. #14
      opportunist2012's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th February 2012
      Posts : 90
      Rep Power : 385
      Likes Received
      6
      Likes Given
      8

      Default

      Quote By Leonard Robert
      bila hawa watu,Tanzania ingekua na hali mbaya kuliko iliyopo sasa, mbona nyie ambao mwalimu nyerere aliwapa nafasi mmetusababisha kuwa taifa ombaomba
      Hali mbaya ipi?umeshawahi fika Bukoba?maendeleo mabovu ya bukoba unaweza kulinganisha na MWZ,AR au DSM?Kwa nin wasiendeleze kwao?

    17. #15
      Mzururaji's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Posts : 186
      Rep Power : 396
      Likes Received
      19
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By BOTOPLAM
      We jipange upya! Walimu wangapi wantenda hayo uloyasema Tanzania hii? N-way, najua huna data za kutosha, tuulizeni sisi nasi tulio nje ya nyumbani. Tabia ya mtu mmoja usiihamishie mkoa mzima na tena ukome kabisa! Unajua huko CDM (japo ni chama langu) kuna mtu, tena mbunge anahutubia watu akisema anataka Kaskazini iwe nchi, JE TUSEME CDM WOTE WALIKUWA HIVYO? Wizarani (karibia zote) unaposikia kila kukicha kwamba wako mabila flani flani, Polisi inaposemekana vyeo vyote ni vya kabila na dini flani, NSSF tulipoambiwa kuna ....... flani.

      Hilo jina ulilolinyumbua, si la leo Bukoba, tangu zamani za mababu wasiojua kiswahili cha kujua kwa EBIGUNJU ndo wanaitwa wanyama, walilitumia kuongelea yeyote ambaye alionekana kutoka nje ya mkoa huo na hajui kuongea lugha yao.

      Je, umefuatilia kuona makabila na mikoa mingine wanasemaje kuhusu wageni, au etc. (end of thinking capacity) yako imeishia BK?

      CHADEMA ni chama chetu lakini tusiingie kwa hasira za kutaka kulipiza visasi katika mabaya yalotendwa na wengine, hapo tutashindwa. Bali tufikirie zaidi ni jinsi gani tutaweza kuivusha nchi kwenda kwenye TANZANIA TUITAKAYO
      mzungu mzie afisa elimu aliye toa iyo hoja sio unatokwa na povu tu mdomon

    18. #16
      Ninaweza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2010
      Location : bukonda moyo
      Posts : 2,157
      Rep Power : 867
      Likes Received
      314
      Likes Given
      718

      Default Re: Baada ya Zanzibar Bukoba

      Abanyamahanga = wana wa mataifa, E'hyianga = taifa
      Last edited by Ninaweza; 1st June 2012 at 18:45.

    19. #17
      opportunist2012's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th February 2012
      Posts : 90
      Rep Power : 385
      Likes Received
      6
      Likes Given
      8

      Default

      Quote By kookolikoo
      Uzi huu hauna mashiko. Kuna connection ya mbali sana tena ya kulazimisha na siasa. Mods hamisheni hii!!!!
      Nina mashaka na uelewa wako.Siasa ni mfumo mzima wa maisha ya binadamu.huwezi kutenga siasa na ubaguzi.JIPANGE UPYA!!

    20. #18
      opportunist2012's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th February 2012
      Posts : 90
      Rep Power : 385
      Likes Received
      6
      Likes Given
      8

      Default

      Quote By Mzururaji
      mzungu mzie afisa elimu aliye toa iyo hoja sio unatokwa na povu tu mdomon
      Najua wewe ni walewale,nani asiyejua kuhusu tabia mbovu za ubaguzi za wahaya?Wangapi wamekimbia kufanya kazi Bukoba kwa ubaguzi?

    21. #19
      opportunist2012's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th February 2012
      Posts : 90
      Rep Power : 385
      Likes Received
      6
      Likes Given
      8

      Default

      Quote By Jabulani
      Ya Zanzibar ni udini, ha Bukoba ni uzawa. Hakuna uhusiano hapo, kajipange vizuri
      Ushauri wa bure:jenga mazoea ya kufuatilia habari mara kwa mara.ZNZ ni uzawa na udini.wamekuwa wakiwakataa wabara kwa muda mrefu huku wakipinga ukristo.halikadhalika hali hiyo hata Bukoba ipo,waislamu wanabaguliwa.

    22. #20
      opportunist2012's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th February 2012
      Posts : 90
      Rep Power : 385
      Likes Received
      6
      Likes Given
      8

      Default

      Quote By Ninaweza
      Abanyamamahanga = wana wa mataifa, E'hyianga = taifa
      ahsante kwa ufafanuzi wako,lkn ndugu zako wanatumia neno wanyamahanga vibaya.wanahusisha na kutokuwa mhaya yaan wakuja ambaye hana thaman bukoba.

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...