Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Marekani ina maslahi gani kwa jumuiya ya uamusho Zanzibar?

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 36
    1. #1
      Ileje's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th December 2011
      Posts : 1,030
      Rep Power : 581
      Likes Received
      403
      Likes Given
      106

      Default Marekani ina maslahi gani kwa jumuiya ya uamusho Zanzibar?

      Marekani inasemekana kwa kiasi kikubwa kuifadhili jumuiya ya uamusho ya Zanzibar kwa kuipatia fedha na samani za ofisi. Hii ilijidhihirisha wazi kwa ubalozi wa nchi hiyo ikiwa ni pamoja na balozi za Uingereza na Norway kushiriki katika mazungumzo yaliyofanyika hivi karibuni baina n=ya waziri wa mambo ya ndani Dr. Nchimbi, IGP Mwema na viongozi wa kiislamu Zanzibar.

      Je nchi hizi tatu zina maslahi gani na jumuiya ya uamusho?
      Never give up your right!

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,839
      Rep Power : 7368
      Likes Received
      6153
      Likes Given
      22273

      Default Re: Marekani ina maslahi gani kwa jumuiya ya uamusho Zanzibar?

      Hazina maslahi yoyote na Jumuiya ya Uamsho bali nchi zote hizo zina maslahi na amani na utulivu wa nchi yetu kwa maslahi yao!.

      US ndiye kiranja mkuu, Ghailani alitokea Zanzibar hivyo jambo lolote litakalo hatarisha amani ya Zanzibar, Marekani lazima aingize pua, isije kuwa ni masalia ya Alqaeda!.

      Uingereza yeye ndio former colonial master wetu hivyo Tanzania na Zanzibar ni watoto wake wa kufikia lazima ijiridhishe amani inapatikana huku ili iendelee kuyafanya inayofanya Tanzania kwa amani na utulivu. Norway ina interest na amani ya kweli!.
      lebabu11 likes this.

    4. #3
      webondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2012
      Location : Chini ya mwembe
      Posts : 1,167
      Rep Power : 589
      Likes Received
      178
      Likes Given
      381

      Default Re: Marekani ina maslahi gani kwa jumuiya ya uamusho Zanzibar?

      Nimepita!

    5. #4
      leroy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th December 2010
      Posts : 327
      Rep Power : 587
      Likes Received
      89
      Likes Given
      94

      Default Re: Marekani ina maslahi gani kwa jumuiya ya uamusho Zanzibar?

      Quote By Ileje
      Marekani inasemekana kwa kiasi kikubwa kuifadhili jumuiya ya uamusho ya Zanzibar kwa kuipatia fedha na samani za ofisi. Hii ilijidhihirisha wazi kwa ubalozi wa nchi hiyo ikiwa ni pamoja na balozi za Uingereza na Norway kushiriki katika mazungumzo yaliyofanyika hivi karibuni baina n=ya waziri wa mambo ya ndani Dr. Nchimbi, IGP Mwema na viongozi wa kiislamu Zanzibar.

      Je nchi hizi tatu zina maslahi gani na jumuiya ya uamusho?
      Kumradhi, naomba unithibitishie hapo pekundu.
      A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people.

    6. FJM
      #5
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,174
      Rep Power : 2568
      Likes Received
      5325
      Likes Given
      4587

      Default Re: Marekani ina maslahi gani kwa jumuiya ya uamusho Zanzibar?

      Quote By Pasco
      Hazina maslahi yoyote na Jumuiya ya Uamsho bali nchi zote hizo zina maslahi na amani na utulivu wa nchi yetu kwa maslahi yao!.

      US ndiye kiranja mkuu, Ghailani alitokea Zanzibar hivyo jambo lolote litakalo hatarisha amani ya Zanzibar, Marekani lazima aingize pua, isije kuwa ni masalia ya Alqaeda!.

      Uingereza yeye ndio former colonial master wetu hivyo Tanzania na Zanzibar ni watoto wake wa kufikia lazima ijiridhishe amani inapatikana huku ili iendelee kuyafanya inayofanya Tanzania kwa amani na utulivu. Norway ina interest na amani ya kweli!.
      Pasco, ni vigumu kuwa categorical kuwa Marekani wanataka hali gani Tanzania. Marekani wakijua una kitu wanachokita haijalishi una amani na utulivu au una vita. Na maadam tumeshawaachia mpaka kwenye uvunguni basi tukae tunyolewe. Kitendo cha waziri wa nchi kuambatana na mabolozi wa nje kuongea na viongozi wa dini huko Zanzibar was rather telling. Sijui tumefikaje hapa lakini kwa hakika ule "umaskini jeuri wetu' umepotea kabisa.
      MAKAH and sunshine1 like this.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Tume ya Katiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Chumbuni-Zanzibar
      Posts : 2,686
      Rep Power : 0
      Likes Received
      538
      Likes Given
      273

      Default Re: Marekani ina maslahi gani kwa jumuiya ya uamusho Zanzibar?

      Quote By FJM
      Pasco, ni vigumu kuwa categorical kuwa Marekani wanataka hali gani Tanzania. Marekani wakijua una kitu wanachokita haijalishi una amani na utulivu au una vita. Na maadam tumeshawaachia mpaka kwenye uvunguni basi tukae tunyolewe. Kitendo cha waziri wa nchi kuambatana na mabolozi wa nje kuongea na viongozi wa dini huko Zanzibar was rather telling. Sijui tumefikaje hapa lakini kwa hakika ule "umaskini jeuri wetu' umepotea kabisa.
      LIKE LIKE, tena ndani ya 12 hours, maana vurugu zilikuwa usiku na kikao kikawa kesho yake!

    9. #7
      Ileje's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th December 2011
      Posts : 1,030
      Rep Power : 581
      Likes Received
      403
      Likes Given
      106

      Default Re: Marekani ina maslahi gani kwa jumuiya ya uamusho Zanzibar?

      Quote By leroy
      Kumradhi, naomba unithibitishie hapo pekundu.
      Habari za kuaminika kutoka ndani ya uamusho ni kuwa baadhi ya computers zinazotimika katika ofisi yao zimetolewa na ubalozi wa Marekani.

      Aidha leo asubuhi katika Star TV mwandishi maarufu wa makala Bw. Jabir amethibitisha hilo!
      Nicholas, MAKAH and Fatal5 like this.
      Never give up your right!

    10. #8
      leroy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th December 2010
      Posts : 327
      Rep Power : 587
      Likes Received
      89
      Likes Given
      94

      Default Re: Marekani ina maslahi gani kwa jumuiya ya uamusho Zanzibar?

      Ahsante.
      A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people.

    11. #9
      Magobe T's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th March 2008
      Location : I'm based in Dar es Salaam
      Posts : 2,055
      Rep Power : 1391
      Likes Received
      262
      Likes Given
      403

      Default Re: Marekani ina maslahi gani kwa jumuiya ya uamusho Zanzibar?

      Quote By FJM
      Pasco, ni vigumu kuwa categorical kuwa Marekani wanataka hali gani Tanzania. Marekani wakijua una kitu wanachokita haijalishi una amani na utulivu au una vita. Na maadam tumeshawaachia mpaka kwenye uvunguni basi tukae tunyolewe. Kitendo cha waziri wa nchi kuambatana na mabolozi wa nje kuongea na viongozi wa dini huko Zanzibar was rather telling. Sijui tumefikaje hapa lakini kwa hakika ule "umaskini jeuri wetu' umepotea kabisa.
      Watu wengine wanasema labda sembe tunayokula ndiyo inayoathiri akili zetu na namna yatu ya kufikiri. Kwa yale yaliyotokea Zanzibar mimi nawalaumu wahusika wenyewe - waliokuwa wakihurubiri na kuhamasisha watu ili wafanye kama walivyofanya. Maana tukianza kuwaingiza Wamarekani, Waingereza na Wanorwei baadaye tutaweza pia kuhamisha kuwabariki wale wanaotafuna nchi yetu usiku na mchana kwa ufisadi na kuhamishia maovu hayo kwa "wazungu". Kisha tutaanza kusema "Watanzania ni watakatifu" ila wazungu ndio wanaotuibia, ndio wanaoua albino, ndio wanaolamba fedha za serikali na halmashauri zetu, ndio wanaowapa mimba watoto wetu wa shule na ndio pia waliochoma makanisa na magari nk. "Unless we call the problem by its real name, we will not be able to identify and solve it."

    12. #10
      Uwezo Tunao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2010
      Posts : 6,882
      Rep Power : 2291
      Likes Received
      1151
      Likes Given
      1488

      Default Re: Marekani ina maslahi gani kwa jumuiya ya uamusho Zanzibar?

      ... mpaka uje uone KIPIGO CHA MMBWA MWIZI kwa kikundi cha kigaidi cha Wana-Uamsho mkuu?? Lazima ipate kuwafahamu na malengo yao hao kwanza ndi mambo mengine kuendelea. We kaa tu hapo

    13. #11
      Nicholas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 5,108
      Rep Power : 3639
      Likes Received
      1300
      Likes Given
      2150

      Default Re: Marekani ina maslahi gani kwa jumuiya ya uamusho Zanzibar?

      Quote By Ileje
      Marekani inasemekana kwa kiasi kikubwa kuifadhili jumuiya ya uamusho ya Zanzibar kwa kuipatia fedha na samani za ofisi. Hii ilijidhihirisha wazi kwa ubalozi wa nchi hiyo ikiwa ni pamoja na balozi za Uingereza na Norway kushiriki katika mazungumzo yaliyofanyika hivi karibuni baina n=ya waziri wa mambo ya ndani Dr. Nchimbi, IGP Mwema na viongozi wa kiislamu Zanzibar.

      Je nchi hizi tatu zina maslahi gani na jumuiya ya uamusho?
      Zina more to loose with terrorism than kupata maslahi. ktk biashara unaweza ongeza faida kwa kuzuia hasara bila kuongeza mauzo.
      Last edited by Nicholas; 2nd June 2012 at 00:58.
      SIMPLY THE RADICAL: I can`t wait to see the criminalization of CCM,UWT,Bunch of Policemen/women,and all wanafiki na wachumia tumbo.

    14. #12
      nngu007's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd August 2010
      Posts : 11,233
      Rep Power : 3561
      Likes Received
      3062
      Likes Given
      462

      Default Re: Marekani ina maslahi gani kwa jumuiya ya uamusho Zanzibar?

      Nani kakuambia Serikali ya Marekani ina Maslahi na Jumuia ya Uamsho? Nakwambia hata kidogo na Serikali ya Marekani

      Ikijua kuwa Makanisa yalipigwa Mabomu hiyo Jumuia na Watu wake watakwekwa kwenye kundi la Magaidi, na Marekani

      Itawaweka kwenye Black Book itafuatilia wapi hao wanapata wapi pesa; Sijui mnapata wapi hiyo habari kuwa Marekani

      Inapata Maslaki kutokana na kujihusisha na Uamsho; hata kidogo; Juzi nilikuwa State Department na hawaijui....

    15. #13
      BINARY NO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2011
      Posts : 550
      Rep Power : 484
      Likes Received
      139
      Likes Given
      63

      Default Re: Marekani ina maslahi gani kwa jumuiya ya uamusho Zanzibar?

      SERIKALI lazima iwafukuze hawa mabalozi kwani kwa kitendo cha waziri kuongozana nao hiyo ni dalili tosha kua hawa jamaa wanaendeleza sera zao za divide n rule...Mfano ni MISRI ilikuja kujulikana kua balozi ya US na wafanyakazi wake walikua wanasupport kwa kutoa fedha kwa NGOs zao ili zifanikishe adhima ikiwemo ku spy....Tukumbuke vita iliyokuepo kati ya URUSI n US those days..US kwa sasa anapenda sana kuweka military base ZENJ na km sio bara kuweka oingamizi sijui sasa wanataka kutuvunja ili watutawale zaidi na uku wao ndo kwanza wanaungana....kwanini ishu ya ndani ya nchi hawa mabalozi wanahusika na bado serikali haijachukua hatua
      MAKAH and ITEGAMATWI like this.

    16. FJM
      #14
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,174
      Rep Power : 2568
      Likes Received
      5325
      Likes Given
      4587

      Default Re: Marekani ina maslahi gani kwa jumuiya ya uamusho Zanzibar?

      Quote By Magobe T
      Watu wengine wanasema labda sembe tunayokula ndiyo inayoathiri akili zetu na namna yatu ya kufikiri. Kwa yale yaliyotokea Zanzibar mimi nawalaumu wahusika wenyewe - waliokuwa wakihurubiri na kuhamasisha watu ili wafanye kama walivyofanya. Maana tukianza kuwaingiza Wamarekani, Waingereza na Wanorwei baadaye tutaweza pia kuhamisha kuwabariki wale wanaotafuna nchi yetu usiku na mchana kwa ufisadi na kuhamishia maovu hayo kwa "wazungu". Kisha tutaanza kusema "Watanzania ni watakatifu" ila wazungu ndio wanaotuibia, ndio wanaoua albino, ndio wanaolamba fedha za serikali na halmashauri zetu, ndio wanaowapa mimba watoto wetu wa shule na ndio pia waliochoma makanisa na magari nk. "Unless we call the problem by its real name, we will not be able to identify and solve it."
      Tanzania tuna matatizo mengi sana, hilo nakubaliana na wewe kabisa. Lakini siamini kama Marekani wana dawa ya matatizo yetu maana hawana. Na sidhani ile haraka ya balozi wao kuambatana na Nchimbi kwenda Zanzibar ni kwa sababu wanawapenda sana Zanzibari na watanzania kwa ujumla.

      Kumbuka huko nyuma Tanzania ilikuwa bottom of the list ya 'wapenzi' wa Marekani kwa East Afria. Sasa nini kimebadilika ghafla mpaka tukwa number one? Wamegundua sisi ni binamu zao tuliopoteana wakati wa biashara ya utumwa au?

    17. #15
      Edward Teller's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Area 51
      Posts : 3,431
      Rep Power : 1120
      Likes Received
      570
      Likes Given
      612

      Default Re: Marekani ina maslahi gani kwa jumuiya ya uamusho Zanzibar?

      Quote By ileje
      marekani inasemekana kwa kiasi kikubwa kuifadhili jumuiya ya uamusho ya zanzibar kwa kuipatia fedha na samani za ofisi. Hii ilijidhihirisha wazi kwa ubalozi wa nchi hiyo ikiwa ni pamoja na balozi za uingereza na norway kushiriki katika mazungumzo yaliyofanyika hivi karibuni baina n=ya waziri wa mambo ya ndani dr. Nchimbi, igp mwema na viongozi wa kiislamu zanzibar. Je nchi hizi tatu zina maslahi gani na jumuiya ya uamusho?
      marekani na hizo nchi nyingine lazima ziingilie-maana wanajua wakikaa kimya hapo zenji itakuwa ni heaven nyingine ya alqaeeda na mujaheedin wengine-so lazima achukue tahadharu mapema sana-maana asipopfanya hivyo hao uamsho wote watapafanya hapo kama afghanstani-maana hawana tofauti na taliban
      “Talk slowly but think quickly”

    18. #16
      lebabu11's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2010
      Posts : 338
      Rep Power : 532
      Likes Received
      47
      Likes Given
      80

      Default Re: Marekani ina maslahi gani kwa jumuiya ya uamusho Zanzibar?

      Quote By Pasco
      Hazina maslahi yoyote na Jumuiya ya Uamsho bali nchi zote hizo zina maslahi na amani na utulivu wa nchi yetu kwa maslahi yao!.

      US ndiye kiranja mkuu, Ghailani alitokea Zanzibar hivyo jambo lolote litakalo hatarisha amani ya Zanzibar, Marekani lazima aingize pua, isije kuwa ni masalia ya Alqaeda!.

      Uingereza yeye ndio former colonial master wetu hivyo Tanzania na Zanzibar ni watoto wake wa kufikia lazima ijiridhishe amani inapatikana huku ili iendelee kuyafanya inayofanya Tanzania kwa amani na utulivu. Norway ina interest na amani ya kweli!.
      Mkuu Pasco,
      Uko sahihi kwa asilimia kubwa, Hata Norway wana interest na amani ya Tz kwa maslahi yao!

    19. #17
      ralphjn's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Posts : 116
      Rep Power : 374
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default Re: Marekani ina maslahi gani kwa jumuiya ya uamusho Zanzibar?

      Quote By FJM
      Pasco, ni vigumu kuwa categorical kuwa Marekani wanataka hali gani Tanzania. Marekani wakijua una kitu wanachokita haijalishi una amani na utulivu au una vita. Na maadam tumeshawaachia mpaka kwenye uvunguni basi tukae tunyolewe. Kitendo cha waziri wa nchi kuambatana na mabolozi wa nje kuongea na viongozi wa dini huko Zanzibar was rather telling. Sijui tumefikaje hapa lakini kwa hakika ule "umaskini jeuri wetu' umepotea kabisa.
      Hujui tumefikaje hapa?Chama tawala kimetufikisha hapa hapa tulipo.

    20. #18
      HUGO CHAVES's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th March 2011
      Posts : 669
      Rep Power : 546
      Likes Received
      95
      Likes Given
      13

      Default Re: Marekani ina maslahi gani kwa jumuiya ya uamusho Zanzibar?

      iko kitu imejificha nyuma ya pazia naomba ufafanuzi hiki kikundi SMZ inakitambua uwepo wake .je ikawaje wapewe computer na wakatulia kuna mkataba gani wa siri na hiki kikundi na je ni nani wapo kwenye hiki kikundi ,wako wangapi,wana lengo gani na tanzania tuitakayo ,.tumeona vikundi kama hivi vikiibuka kama boko haram na jinsi vinavyosumbua ,wahusika wakiangalie hiki kikundi na shughuli zake zieleweke kama wapo kwenye category ya NGO WAJISAJILI .kama ni chama cha siasa kifuate taratibu zake kwa msajili wa vyama .pia uamsho wanamuamsha nani ,na kwanini iwe ni wakati huu .huko nyuma walikuwa wapi wamelala .hakuna kuwaza sana angalia boko haram walianzaje wana tofauti gani na hawa uamsho ambao sijui wanamuasha nani na nani kawatuma kwa madhumuni yapi .

    21. #19
      Wingu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 3,975
      Rep Power : 1218
      Likes Received
      247
      Likes Given
      41

      Default Re: Marekani ina maslahi gani kwa jumuiya ya uamusho Zanzibar?

      Sijapata wahi kuona Taifa linalochukulia mambo kwa tahadhari kama Marekani.Wameona ya afghanstan na somalia yasije yakatokea tena Zanzibar watahakikisha muungano huutaka kamwe ukavunjika kwa hali na mali.Na usikute walishawasoma kitambo mpaka wakawapa computer ili wawafuatilie kile wanachokifanya.

    22. #20
      Gagnija's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th April 2006
      Posts : 2,064
      Rep Power : 1081
      Likes Received
      667
      Likes Given
      465

      Default Re: Marekani ina maslahi gani kwa jumuiya ya uamusho Zanzibar?

      Ni hofu tu wanayopata kwa kuona ule mzuzu wa yule kiongozi wa wa huo uamusho.
      Unstoppable likes this.
      If you are neutral in situations of injustice, you have chosen the side of the oppressor. Tutu



    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...