Mpaka naondoka eneo la tukio ndege hiyo ilikuwa bado haijaruhusiwa kuruka baada ya msimamizi wa uwanaja huo kutia ngumu,haikujulikana maramoja sababu ni nini ila baada ya kumhoji alisema hajui ni kampuni gani inayo husika na ndege hiyo hivyo hawezi kuiruhusu kuruka, hata baada ya msaidizi wa katibu wa raisa kupiga simu uwanjani hapo kutaka kujua sababu ya ndege hiyo kuzuiliwa kuruka bado msimamizi huyo wa uwanja aligoma katakata kuongeanae hata alipo ambiwa ni ndege iliyokuwa na wageni wa raisi msimamizi huyo hakuwa tayari kuongea na msaidizi huyo wa katibu.kwa , wonekano msimamizi huyo wa uwanja anaonekana kuwa na kiburi sana na mtu asiye jali ila inaonekana ni mwendelezo wa kukomoana.
Chanzo ni mimi mwenyewe toka ngurudoto na uwanja wa ndege wa kilimanjaro kia
nikipata habari zaidi nitawaletea.
============================== ===
update:
NDEGE IMERUHUSIWA KUONDOKA

Reply With Quote

Follow Us Here