Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ndege iliyokuwa na ujumbe toka Ivory Coast yazuiwa kuondoka uwanja wa ndege wa Kilimanjaro (KIA)

    Report Post
    Page 4 of 4 FirstFirst ... 234
    Results 61 to 80 of 80
    1. #1
      PISTO LERO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2011
      Posts : 903
      Rep Power : 0
      Likes Received
      161
      Likes Given
      14

      Default Ndege iliyokuwa na ujumbe toka Ivory Coast yazuiwa kuondoka uwanja wa ndege wa Kilimanjaro (KIA)

      Mpaka naondoka eneo la tukio ndege hiyo ilikuwa bado haijaruhusiwa kuruka baada ya msimamizi wa uwanaja huo kutia ngumu,haikujulikana maramoja sababu ni nini ila baada ya kumhoji alisema hajui ni kampuni gani inayo husika na ndege hiyo hivyo hawezi kuiruhusu kuruka, hata baada ya msaidizi wa katibu wa raisa kupiga simu uwanjani hapo kutaka kujua sababu ya ndege hiyo kuzuiliwa kuruka bado msimamizi huyo wa uwanja aligoma katakata kuongeanae hata alipo ambiwa ni ndege iliyokuwa na wageni wa raisi msimamizi huyo hakuwa tayari kuongea na msaidizi huyo wa katibu.kwa , wonekano msimamizi huyo wa uwanja anaonekana kuwa na kiburi sana na mtu asiye jali ila inaonekana ni mwendelezo wa kukomoana.

      Chanzo ni mimi mwenyewe toka ngurudoto na uwanja wa ndege wa kilimanjaro kia
      nikipata habari zaidi nitawaletea.

      ============================== ===
      update:
      NDEGE IMERUHUSIWA KUONDOKA
      Last edited by PISTO LERO; 1st June 2012 at 14:54.
      Saint Ivuga likes this.


    2. #61
      Elli's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Kijito-Upele
      Posts : 8,973
      Rep Power : 2635
      Likes Received
      2298
      Likes Given
      2067

      Default Re: Ndege iliyokuwa na ujumbe toka Ivory Coast yazuiwa kuondoka uwanja wa ndege wa Kilimanjaro (KIA)

      Labda kashtukia dili kuna mzigo usio halali humo ndani, safi sana keep it up, maana kuna watu wakishasikia tu, ni mzigo wa bosi au nimetumwa na bosi/rais/PM/ RC/DC na wengineo lazima geti lifunguliwe, ni mazoea ya kijinga sana, ukishasikia ni mkubwa tu tunanyenyekea na kuvunja kanuni na taratibu, keep it up, hamna kuwaruhusu hadi kuwe na sababu maalumu ya kufanya hivyo wasituone hatujaamka bado.

      Hata wale wanyama wetu isngekua kuogopana labda wangesalia hapa nchini ila wapuuzi fulani waliposikia ni mzigo wa kigogo fulani au kwasababu ni ndege ya jeshi wote wakanywea, pumbafu kabisa, komaaa nao ikibidi wape maji ya kunywa
      ...but what MAN is entirely without Evil intent in the Silence of his Soul???

    3. #62
      Tume ya Katiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Chumbuni-Zanzibar
      Posts : 2,813
      Rep Power : 0
      Likes Received
      564
      Likes Given
      295

      Default Re: Ndege iliyokuwa na ujumbe toka Ivory Coast yazuiwa kuondoka uwanja wa ndege wa Kilimanjaro (KIA)

      Weka sosi pliz

    4. #63
      sosoliso's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2009
      Location : Mwembekiuno
      Posts : 2,985
      Rep Power : 17996
      Likes Received
      1746
      Likes Given
      1764

      Default Re: Ndege iliyokuwa na ujumbe toka Ivory Coast yazuiwa kuondoka uwanja wa ndege wa Kilimanjaro (KIA)

      Quote By zomba
      Ki memo Ikulu mpaka Kilimanjaro Airport? kweli kuna watu na viatu.
      Yap mkuu Zomba.. Kuna viatu kweli nchi hii..

    5. #64
      Synthesizer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th February 2010
      Posts : 823
      Rep Power : 721
      Likes Received
      378
      Likes Given
      32

      Default Re: Ndege iliyokuwa na ujumbe toka Ivory Coast yazuiwa kuondoka uwanja wa ndege wa Kilimanjaro (KIA)

      Quote By isotope
      Simu ya msaidizi wa katibu ambaye ni msaidizi wa rais. Kama kuna mambo hayako sawa, hata mimi nisingeruhu hiyo ndege iruke. Hizi simu na vimemo ndo vinavyotafuna rasilimali za nchi yetu.
      Kweli kabisa. Simu bwana haina rekodi, ndio maana kina Maige wanalalamika kuonewa. Simu zipigwe toka Ikulu kwamba waruhusu wanyama watoke na kutoa vibali vya uwindaji lakini kuwajibika wawajibishwe wao. Kama una nafasi muhimu hakikisha unapata maagizo kwa maandishi yenye jina na sahihi.
      isotope likes this.

    6. #65
      Mpitagwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2012
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 942
      Rep Power : 559
      Likes Received
      329
      Likes Given
      211

      Default Re: Ndege iliyokuwa na ujumbe toka Ivory Coast yazuiwa kuondoka uwanja wa ndege wa Kilimanjaro (KIA)

      Nampa big up, hajazuia kwa sababu ya kijinga anauhakika na anachofanya na wakimfukuza atapewa kazi hiyo hiyo baada ya CDM kutwaa nchi 2015


    7. #66
      Mwanaweja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 3,520
      Rep Power : 1128
      Likes Received
      480
      Likes Given
      1065

      Default Re: Ndege iliyokuwa na ujumbe toka Ivory Coast yazuiwa kuondoka uwanja wa ndege wa Kilimanjaro (KIA)

      atende kazi yake maana siku hizi waweza kuta kuna wakubwa wansafirisha wanyama wetu kwenda nje ya nchi yuko sahihi kabisa maana sina imani ameizuia bila sababu yeyote ile kuna jambo ambalo haliko sawa

    8. #67
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default Re: Ndege iliyokuwa na ujumbe toka Ivory Coast yazuiwa kuondoka uwanja wa ndege wa Kilimanjaro (KIA)

      Mtoa mada,,,any update????

    9. #68
      Ngisibara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd January 2009
      Posts : 1,155
      Rep Power : 764
      Likes Received
      134
      Likes Given
      129

      Default Re: Ndege iliyokuwa na ujumbe toka Ivory Coast yazuiwa kuondoka uwanja wa ndege wa Kilimanjaro (KIA)

      Quote By Mwanaweja
      atende kazi yake maana siku hizi waweza kuta kuna wakubwa wansafirisha wanyama wetu kwenda nje ya nchi yuko sahihi kabisa maana sina imani ameizuia bila sababu yeyote ile kuna jambo ambalo haliko sawa

      Mkuu hata biashara ya madawa ya kulevya inawezekana ikawa dili la mkubwa wetu
      Saint Ivuga likes this.
      SEMINA ELEKEZI, Mie ntakula mpaka kulee, wewe palee na nyie paleee, Mawaziri wangu angalieni msiingiliane mpaka tutakapokutana 2015


    10. #69
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,741
      Rep Power : 10184
      Likes Received
      5679
      Likes Given
      12666

      Default Re: Ndege iliyokuwa na ujumbe toka Ivory Coast yazuiwa kuondoka uwanja wa ndege wa Kilimanjaro (KIA)

      Quote By Ngisibara
      Mkuu hata biashara ya madawa ya kulevya inawezekana ikawa dili la mkubwa wetu
      ndio maana hawakamatiki.
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    11. #70
      Kashaijabutege's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 20th October 2010
      Location : Kabuteigi
      Posts : 1,951
      Rep Power : 833
      Likes Received
      381
      Likes Given
      241

      Default Re: Ndege iliyokuwa na ujumbe toka Ivory Coast yazuiwa kuondoka uwanja wa ndege wa Kilimanjaro (KIA)

      Kuna twiga wamefichwa uvunguni. Safi sana kamanda.
      NAKUSHUKURU MUNGU KWA KUIADHIBU CCM MCHANA KWEUPE, BABA NINAKUOMBA UZIDI KUWAUMBUA, KWA KUYAWEKA WAZI MCHANA WANAYOYAFANYA USIKU. OMBI KWA MUNGU: MUNGU WEWE NI MWEZA WA YOTE, NA SIKU ZOTE UNAYASIKILIZA MAOMBI YA WAKUCHAO, NAKUOMBA UKAFUNGE NGUVU ZA GIZA ZINAZOINYEMELEA M4C; NA UVUNJE MIPANGO YOTE YA MASHETANI WALIOPO NDANI YA CHADEMA. AMINA

    12. #71
      PISTO LERO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2011
      Posts : 903
      Rep Power : 0
      Likes Received
      161
      Likes Given
      14

      Default Re: Ndege iliyokuwa na ujumbe toka Ivory Coast yazuiwa kuondoka uwanja wa ndege wa Kilimanjaro (KIA)

      Quote By Mwakalinga
      Mbona umemuhukumu bila hata ya wewe kujua sakata zima.Inaonekana sorce yako ya habari ni kutoka upande mmoja. Hapo KIA kuna uchafu unafanyika kila kukicha ,kuna ndege za Cargo kubwa mno zinatua hapo na kuondoka nishazishudia mara mbili wakati nime-land hapo na zote mbili ni za falme za kiarabu,sasa sijui kuna biashara gani na hao waarabu ili hali twajua waarabu ni wazoefu wa biashara ya pembe za ndovu tokea enzi hizo.Mengi yatajulikana Baba riz akiachia ngazi.
      hizo ndege za mwarabu hazitui kia acha kupotosha,wanakiwanja chao huka loliondo na hakuna mtandao wowote wa simu hata radio coll toka tanzania unaofanya kazi hapo.ukiingia tu kwenye hilo eneo unapokea ujumbe mfupi wa meseji ukisema karibu falme za kiarabu. hiyo ni kazi ya mzee mwinyi aliwapa mkataba wa miaka 90
      Mwakalinga Y. R likes this.

    13. #72
      PISTO LERO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2011
      Posts : 903
      Rep Power : 0
      Likes Received
      161
      Likes Given
      14

      Default Re: Ndege iliyokuwa na ujumbe toka Ivory Coast yazuiwa kuondoka uwanja wa ndege wa Kilimanjaro (KIA)

      Quote By Tume ya katiba
      Weka sosi pliz
      labda bado una wenge.fungua macho vizuri

    14. #73
      franktemu123's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd March 2011
      Posts : 94
      Rep Power : 400
      Likes Received
      26
      Likes Given
      2

      Default Re: Ndege iliyokuwa na ujumbe toka Ivory Coast yazuiwa kuondoka uwanja wa ndege wa Kilimanjaro (KIA)

      Dege limesharuhusiwa hiloooo linapaaa teh teh Chezea Ikulu wewe! huyo ndo ****** halisi. kimbmbme sasa kwa Mkuu wa Uwanja KIA, lazima wakusukumie kesi ya kubaka ukanyee gerezani tena pale GEREZA LA KARANGA MOSHI Miaka 30 kwa kubaka...Si unamkumbuka Babu sea na wanawe na ile kesi ya Prof. Mahalu acha kabisa ukitofautiana na Mkuu kwenye ishu yoyote lazima akuweke sawa. teh teh!!!!!!!

    15. #74
      Nicholas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 6,362
      Rep Power : 3893
      Likes Received
      1509
      Likes Given
      2647

      Default Re: Ndege iliyokuwa na ujumbe toka Ivory Coast yazuiwa kuondoka uwanja wa ndege wa Kilimanjaro (KIA)

      mwalimu wake wa maadili alikuwa makini, na fikra zake ni logical.Pengine darasa alilosoma halikuwa linaboa.
      SIMPLY THE RADICAL: I can`t wait to see the criminalization of CCM,UWT,Bunch of Policemen/women,and all wanafiki na wachumia tumbo.

    16. #75
      Zak Malang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2008
      Posts : 4,835
      Rep Power : 1925
      Likes Received
      187
      Likes Given
      2

      Default Re: Ndege iliyokuwa na ujumbe toka Ivory Coast yazuiwa kuondoka uwanja wa ndege wa Kilimanjaro (KIA)

      Quote By Ngisibara
      Mkuu hata biashara ya madawa ya kulevya inawezekana ikawa dili la mkubwa wetu


      Na ndiyo maana mie huwa nashangaa kwa nini serikali inakazania kuwa na airline ya taifa (national airline)? Tumeshindwa kuendesha makampuni ya mabasi, reli zote mbili lakini kwa nini tunataka lazima tuwe na national airline?

      Ni madili tu ya kutorosha nyara na mihadarati, hasa pale zinapofanya safari za ng'ambo.
      Being prolific doesnt mean you are an accomplished person

    17. #76
      Zogwale's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 10th July 2008
      Posts : 6,127
      Rep Power : 6510
      Likes Received
      1249
      Likes Given
      536

      Default Re: Ndege iliyokuwa na ujumbe toka Ivory Coast yazuiwa kuondoka uwanja wa ndege wa Kilimanjaro (KIA)

      Huyu jamaa anafanya kazi yake tena anastahili kupongezwa. Kwa kawaida kila ndege inayotegemewa kutua katika uwanja inakuwa na details zake in advance na muda kamili wa kutua. Kwa hakika ni lazima kuna walakini wa hili jambo. Mkutanoa mkubwa unafanyiaka Arusha na mambo mengi yanayofananishwa na ya kidiplomat yatafanyika ili kuficha mambo fulani hivi. I tell you stakeholders wa huu mkutano ni wengi with varied motives!!!! Tena kwa Tza mambo shwari.Tehe tehe!!!!!
      "Kama unaingia Ikulu kwa njia ya rushwa, je ni biashara gani iko huko ya kuwezesha kulipa fadhila ya rushwa hiyo???"

    18. #77
      Zogwale's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 10th July 2008
      Posts : 6,127
      Rep Power : 6510
      Likes Received
      1249
      Likes Given
      536

      Default Re: Ndege iliyokuwa na ujumbe toka Ivory Coast yazuiwa kuondoka uwanja wa ndege wa Kilimanjaro (KIA)

      Quote By franktemu123
      Dege limesharuhusiwa hiloooo linapaaa teh teh Chezea Ikulu wewe! huyo ndo ****** halisi. kimbmbme sasa kwa Mkuu wa Uwanja KIA, lazima wakusukumie kesi ya kubaka ukanyee gerezani tena pale GEREZA LA KARANGA MOSHI Miaka 30 kwa kubaka...Si unamkumbuka Babu sea na wanawe na ile kesi ya Prof. Mahalu acha kabisa ukitofautiana na Mkuu kwenye ishu yoyote lazima akuweke sawa. teh teh!!!!!!!
      Asante sana!!! Nakuahakikisha 2015 haitafika hajamfanyia kitu jamaa huyo.Tena leo ni lazima aitwe kujieleza kwa bosi. But we want heros not Maige type ambaye hata kama alilazimishwa kupakia twiga na tembo hai angekataa na ajiuzulu na kweli tungempa sifa na kumfanya mbunge wa kudumu jimboni kwake. Matokeo yake uwaziri puuu na ubunge 2015 utakuwa puu!! Bora uwatumikie wananchi siku hizi akili zimefunguka watakupa ubunge!!
      "Kama unaingia Ikulu kwa njia ya rushwa, je ni biashara gani iko huko ya kuwezesha kulipa fadhila ya rushwa hiyo???"

    19. #78
      tabu kuishi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Posts : 211
      Rep Power : 397
      Likes Received
      12
      Likes Given
      10

      Default Re: Ndege iliyokuwa na ujumbe toka Ivory Coast yazuiwa kuondoka uwanja wa ndege wa Kilimanjaro (KIA)

      Saafi sana kaka acha afanye kazi yake,angeiruhusu mngeanza kusema hafanyi kazi na wizi wenu,kila kukicha mnavusha tu mizigo,rais ndo nini kwani hiko cheo amejikabidhi mwenyewe au amekabidhiwa,hivi mkipata vyeo mnajisahau sana na kujiona watu wa kutoa maagizo yoyote mnayopenda,huo ni ushenzi amba mpaka leo unaligharimu taifa letu.Tena ole wenu hii nchi mtaikimbia acheni wanyong tule mihogo na mizizi ya kila aina iko siku mtaila nyinyi, maana mnasahau hata kama kuna kufa na mnabahati ningekuwa mchawi ningewafanya mazuzu wote

    20. #79
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default Re: Ndege iliyokuwa na ujumbe toka Ivory Coast yazuiwa kuondoka uwanja wa ndege wa Kilimanjaro (KIA)

      Imegundulika chanzo cha kukataa isipae ni NINI?????

    21. #80
      mzee wa njaa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2011
      Posts : 1,340
      Rep Power : 673
      Likes Received
      194
      Likes Given
      107

      Default Re: Ndege iliyokuwa na ujumbe toka Ivory Coast yazuiwa kuondoka uwanja wa ndege wa Kilimanjaro (KIA)

      Ikianguka lawana. Mnataka airuhusu kizembe zembe tu nyie vipi?

    Page 4 of 4 FirstFirst ... 234

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...