Ukiangalia trend ya mijala na thread mbalimbali JF na mitandao mingine ya kijamii including magazeti Nape anaonekana anawaumiza sana kichwa CDM.
Matusi , kejeli na kila aina ya shutuma, ukiziangalia kwa undani utagundua ni kwa jinsi gani dogo anawaumiza CDM. Kwa sisi tusio na vyama hii si dalili njema kwa chama makini kama CDM kuhangaika kiasi hichi na huyu dogo, mnampa umaarufu asiostahili.
Achaneni naye, anawapotezea muda mwingi sana bila sababu!
This is like childish!
Hivi Nape si yuko hatua za mwisho kabisa za kuimega ccm mapande kama ma4?
Anahusika vp na cdm tena?...kuna kiongozi wa cdm anayehangaika na nape?
"The only thing that walks back from the tomb with the mourners and refuses to be buried is the character of a man. What a man is, survives him... it can never be buried" (GENEKAI-Jamiiforums, 4th November 2010 07:32PM). [email protected]
Labda hawapasui kichwa CDM kwa kuwa yeye ndiyo anayecheza ngoma ya CDM. Kila kitu anacopy toka CDM na kukifanyia implemention. Ona operetion ya Vua Gamba, Vua Gwandwa na Vaa Uzalendo ni copy toka M4C
Operation hiyo ya nape ni maneno tupu haipo. Jamaa kazoea tu kubwabwaja.
wakati Cuf wanataka kuchukua nchi mwaka 2000 CCM walikuja na single ya kusema Cuf ni waislamu na kwa sasa wanadai sisi Chadema ni chama cha wakristo sasa CCM nacho ni cha watu gani? Watu wakajibu mashetaaaaaniiiiii.!---Wana Kigoma.
....Pamoja na kansa ya uongozi wa CCM watu wataendelea kukichagua,au watu wanaweza wakachoka na kusema potelea mbali wakachagua chama KINGINE....Julius. Kambarage. NYERERE"
Ukiangalia trend ya mijala na thread mbalimbali JF na mitandao mingine ya kijamii including magazeti Nape anaonekana anawaumiza sana kichwa CDM.
Matusi , kejeli na kila aina ya shutuma, ukiziangalia kwa undani utagundua ni kwa jinsi gani dogo anawaumiza CDM. Kwa sisi tusio na vyama hii si dalili njema kwa chama makini kama CDM kuhangaika kiasi hichi na huyu dogo, mnampa umaarufu asiostahili.
Achaneni naye, anawapotezea muda mwingi sana bila sababu!
Labda unapasua chako zaidi maumivu huanza polepole.....
Ukiangalia trend ya mijala na thread mbalimbali JF na mitandao mingine ya kijamii including magazeti Nape anaonekana anawaumiza sana kichwa CDM.
Matusi , kejeli na kila aina ya shutuma, ukiziangalia kwa undani utagundua ni kwa jinsi gani dogo anawaumiza CDM. Kwa sisi tusio na vyama hii si dalili njema kwa chama makini kama CDM kuhangaika kiasi hichi na huyu dogo, mnampa umaarufu asiostahili.
Achaneni naye, anawapotezea muda mwingi sana bila sababu!
Anawapasua magamba wenzake,maana akili yake haina tofauti na matahaira{mandondocha}ya kihindi,ambayo yanapewa kila kitu lakini hayajielewi lolote,yapo kwa ajili ya kutajirisha wengine yakitembea yanakuwa mazuzuzuzu
nape si lolote si chochote haiumizi kichwa chadema na kamwe hatoiumiza... Kama amewatuma mumwambie kashindwa... Na yeye ndo anumiaa kichwa na si punde atapasuka kichwa a kwani anacheza na moto
hayo ni maigizo.Ni kama kwa ilivyokuwa diamond ccm kutuletea watoto. ndivyo ilivyo kwa Nape kubebwa kwa dhamira ya wananchi. it will never happen till the end the word
wakati mwngine ni vizuri mtu kabla ya kukurupa kumlaumu mtu soma vizuri TAFAKARI ALICHSEMA MWENZAKO,inakuwa aibu ukikundua umemkosea!
ALIYELETA HOJA HII ANAONEKANA KUWA NA UCHUNGU WA KWELI NA CDM na hata picha hiyo hapo ona ni ya watoto tu tena chini ya miaka 18 hivyo hawatakisaidia chochote ccm! hongera SIKONGE
Mkira, asante kwa kuliona hilo,maana akili ya kawaida tu ingemfanya aelewe nini Sikonge alikuwa anamaanisha,nina uhakika akirudia tena kuiangalia hiyo picha na ujumbe wake ataweza kuconnect dots.
@RC, nafikiri Nyamizi kakujibu vizuri. Mie ndiye SIKONGE bana, ukinivamia kichwa kichwa, utashangaa kuwa unashambulia timu yako (friend's fire). Nisome vizuri na uangalie tena picha utaelewa. Kama huelewi basi jitoe JF maana si mahali pako.
Umeumbwa na UBONGO, utumie
Nyamizi, ntaku-PM baadaye. Nashukuru kwa kuliona hilo.
Ilibidi nicheke nilipomsoma RC, sio makosa yake pengine lugha ya picha ambayo umekuwa ukiitumia mara nyingi kuwakilisha ujumbe kwake inampa taabu kidogo.
Yani Nape ndo aumize kichwa CDM??! Haya ni mawazo ya delilah, kwan ss peoples hapa kwetu ni kazi tu mwendo mdundo na hatuna fear na mramba nyayo kama Nape koz anajulikana kuwa yy ni vuvuzela.
[QUOTE=Chiume;3971959]Ukiangalia trend ya mijala na thread mbalimbali JF na mitandao mingine ya kijamii including magazeti Nape anaonekana anawaumiza sana kichwa CDM.
Matusi , kejeli na kila aina ya shutuma, ukiziangalia kwa undani utagundua ni kwa jinsi gani dogo anawaumiza CDM. Kwa sisi tusio na vyama hii si dalili njema kwa chama makini kama CDM kuhangaika kiasi hichi na huyu dogo, mnampa umaarufu asiostahili.
Achaneni naye, anawapotezea muda mwingi sana bila sababu!
ww nae GAMBA?
teh,teh,teh hapa nape si anagawa pipi?na anaowahutubia umewaona?angalia hao watoto wadogo wanavyogombea pipi hadi wanataka wapigane halafu nape anacheka.Sikonge,umenifurahish a sana hujamkawiza huyu mleta mada dhaifu kumjibu kwa kutumia picha acha ahangaike nayo.
Ukiangalia trend ya mijala na thread mbalimbali JF na mitandao mingine ya kijamii including magazeti Nape anaonekana anawaumiza sana kichwa CDM.
Matusi , kejeli na kila aina ya shutuma, ukiziangalia kwa undani utagundua ni kwa jinsi gani dogo anawaumiza CDM. Kwa sisi tusio na vyama hii si dalili njema kwa chama makini kama CDM kuhangaika kiasi hichi na huyu dogo, mnampa umaarufu asiostahili.
Achaneni naye, anawapotezea muda mwingi sana bila sababu!
Huyu Nape ni mbu mdogo sana kwa CDM. Sana sana nafikiri Maige na wale mafisadi Nape anaowapasua waziwazi ndo wanawatuma hapa kuja kupoteza mwelekeo. After all CDM inajipanga ki Macro zaidi kuliko ki Micro!!!!
"Kama unaingia Ikulu kwa njia ya rushwa, je ni biashara gani iko huko ya kuwezesha kulipa fadhila ya rushwa hiyo???"
Mwanamume wa Kweli hutambulika wakati kuna challenge.... Nape is good... kwa kuwa chama chake kiko katika wakati mgumu kama he is stable.... go Nape go.
Hivi ni kweli au macho yangu?. Naona kama wote ni watoto wadogo waliohudhuria mkutano huu. Ndio zile mbinu za kuwaamuru waalimu wawarudishe watoto majumbani alafu wahudhurie mkutano wa ccm na wanafunzi wao. Haina mvuto wowote!!
Follow Us Here