Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Serikali yatimiza ahadi ya msiba wa Kanumba! Yatoa TZS 10M

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 29
    1. #1
      Ericus Kimasha's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th October 2006
      Posts : 247
      Rep Power : 1084
      Likes Received
      154
      Likes Given
      286

      Default Serikali yatimiza ahadi ya msiba wa Kanumba! Yatoa TZS 10M

      Attached Thumbnails  

    2. Study Abroad

    3. #2
      KIMBULU's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 19
      Rep Power : 362
      Likes Received
      3
      Likes Given
      1

      Default Re: Serikali yahani upya msiba wa Kanumba! Yatoa TZS 10M

      urojo huo!

    4. #3
      james chapacha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 476
      Rep Power : 454
      Likes Received
      101
      Likes Given
      24

      Default Re: Serikali yahani upya msiba wa Kanumba! Yatoa TZS 10M

      Majuzi Nape alikuwa bk kwenye msiba wasujaa wetu,sijui siri+kari ilitoa kiasi gani?

    5. #4
      Mwanawalwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 323
      Rep Power : 415
      Likes Received
      87
      Likes Given
      53

      Default Re: Serikali yatimiza ahadi ya msiba wa Kanumba! Yatoa TZS 10M

      dah hivi Michael Jackson alipofariki serikali ya Obama ilitoa fungu maana duh , nilipata tetesi kuwa serikali iligharamia mazishi ya kanumba ambapo ni shs 10/=M kwahiyo hii ni phase 2 yani jumla ni 20/=M kwa ajili ya kanumba .Our government is poor because it is misappropriating it's resources kwa wakimpa mamaye kanumba ndo nn sasa sh...t

    6. #5
      Kigogo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2007
      Location : Calabash
      Posts : 8,146
      Rep Power : 2084
      Likes Received
      1219
      Likes Given
      313

      Default Re: Serikali yatimiza ahadi ya msiba wa Kanumba! Yatoa TZS 10M

      mambo ya hovyo sana haya
      ______________________________ _
      Niko tayari kufa huku nimesimama kuliko kuishi huku nimepiga magoti....

    7. Miaka 50

    8. #6
      kelvito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Posts : 388
      Rep Power : 521
      Likes Received
      97
      Likes Given
      74

      Default Re: Serikali yatimiza ahadi ya msiba wa Kanumba! Yatoa TZS 10M

      Safi sana ccm mmetimiza ahadi yenu, Ilikuwepo kwenye ilani za chama hiyo!

    9. #7
      SONGOKA's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th March 2012
      Location : umasaini
      Posts : 136
      Rep Power : 390
      Likes Received
      58
      Likes Given
      17

      Default Re: Serikali yatimiza ahadi ya msiba wa Kanumba! Yatoa TZS 10M

      Izi pesa zimetoka katika BAJETI ipi??na matumizi yake ya awali yatakuwa replaced namna gani? kwanini zisingenunua hata darubini za kupimia marelia kule MAJITA MAKOJO-MUSOMA kuokoa maisha ya walio hai??kuna wakati natamani jazba za wazenji ingawa si nzuri.

    10. #8
      wagaba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 598
      Rep Power : 478
      Likes Received
      123
      Likes Given
      92

      Default Re: Serikali yahani upya msiba wa Kanumba! Yatoa TZS 10M

      Quote By james chapacha
      Majuzi Nape alikuwa bk kwenye msiba wasujaa wetu,sijui siri+kari ilitoa kiasi gani?
      Nape ali u beep msiba ule wa "Baba yake mzazi". Wala hajasubiri mazishi, akaenda zake kucheza golf. WW unazungumzia sirikali imetoa ngapi!!!!!!!!!!!
      "Tanzania ni ya watanzania, na watanzania wenyewe ndo sisi"

    11. #9
      1800's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2010
      Posts : 1,639
      Rep Power : 886
      Likes Received
      409
      Likes Given
      21

      Default

      Quote By Mwanawalwa
      dah hivi Michael Jackson alipofariki serikali ya Obama ilitoa fungu maana duh , nilipata tetesi kuwa serikali iligharamia mazishi ya kanumba ambapo ni shs 10/=M kwahiyo hii ni phase 2 yani jumla ni 20/=M kwa ajili ya kanumba .Our government is poor because it is misappropriating it's resources kwa wakimpa mamaye kanumba ndo nn sasa sh...t
      Kwani Obama ni M.K.W.E.R.E au amesoma alafu hakuelimika????wenzetu wanaangalia vitu vyenye tija,upuuzi huo umewahi happen in Tz tu tena awamu hii ya nne tu,mara aitwe Diamond apewe 2m ya pasaka mara 10m ya mazishi ya Kanumba,mara 10m ya pole kwa familia ya Kanumba ni watoto wangapi wana suffer na wazazi wao kujitokeza kwenye ma tv kwa kukosa laki 2 tu za matibabu?

    12. #10
      by default's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th July 2011
      Location : on my way
      Posts : 816
      Rep Power : 560
      Likes Received
      197
      Likes Given
      17

      Default Re: Serikali yatimiza ahadi ya msiba wa Kanumba! Yatoa TZS 10M

      Jamani hizi pesa zimetoka kitengo cha maafa /dharura msiwaze sana.

    13. #11
      Ringo Edmund's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2010
      Location : MDAWI
      Posts : 3,670
      Rep Power : 1360
      Likes Received
      885
      Likes Given
      586

      Default Re: Serikali yatimiza ahadi ya msiba wa Kanumba! Yatoa TZS 10M

      Wanaosema ccm haitekelezi ahadi waje hapa sasa.
      Wako wapi?
      Baada ya miaka miwili tunatekeleza tena nyingine na hatimaye tutamaliza zote hata roma haikujengwa kwa siku moja.
      Kindimbajuu likes this.
      ​kusema ni fedha na kusikilizwa ni zahabu.

    14. #12
      Mwakalinga Y. R's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 22nd October 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 2,169
      Rep Power : 972
      Likes Received
      924
      Likes Given
      2278

      Default Re: Serikali yatimiza ahadi ya msiba wa Kanumba! Yatoa TZS 10M

      Kweli serikali ya JK inashangaza na kustajabisha kama sio kusikitisha.
      " You're still my enemy tonight. But even enemies can show respect. " -Priam




    15. #13
      mashambaJr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th May 2012
      Location : Loading....
      Posts : 368
      Rep Power : 425
      Likes Received
      58
      Likes Given
      27

      Default Re: Serikali yatimiza ahadi ya msiba wa Kanumba! Yatoa TZS 10M

      Kweli magamba wameamua kuficha Mijipesa kwa kumpa Mamaye kanumba vijisenti ili watanzania muwe na Imani na Serikali yetu pia kujionesha kuwa wanajali.
      Lakini ni kwa vipi serikali imeshindwa kutumia pesa hiyo kwa kuendeleza vituo vya Afya.

      -(a big liar should have a good Memory.)

    16. #14
      SONGOKA's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th March 2012
      Location : umasaini
      Posts : 136
      Rep Power : 390
      Likes Received
      58
      Likes Given
      17

      Default Re: Serikali yatimiza ahadi ya msiba wa Kanumba! Yatoa TZS 10M

      Quote By by default
      Jamani hizi pesa zimetoka kitengo cha maafa /dharura msiwaze sana.
      neno maafa ni WINGI, sasa icho ni kifo na si maafa,

    17. #15
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,876
      Rep Power : 5053
      Likes Received
      3194
      Likes Given
      2619

      Default Re: Serikali yatimiza ahadi ya msiba wa Kanumba! Yatoa TZS 10M

      Sirikali yetu ni sikivu.

    18. #16
      BOTOPLAM's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th December 2011
      Location : OMUJINI
      Posts : 29
      Rep Power : 380
      Likes Received
      4
      Likes Given
      53

      Default Re: Serikali yatimiza ahadi ya msiba wa Kanumba! Yatoa TZS 10M

      Utashangaa Tanzania yetu! Kweli msiba uliumiza wengi, nami nikiwemo ila jana nilishangaa nilipoona Kiongozi wa serikali kwa tabasamu kubwa akitoa mil.10 CASH! Na akamuhakikishia kwamba ukitaka ulinzi, serikali itamlinda sababu serikali inalinda heshima ya kutotoa cheque feki ndo sababu za kupeleka cash na ulinzi wake (sijui Polisi au JKT au JWTZ au Mgambo wa Jiji)!
      Nikafikiria ndugu zetu waliopata mafuriko wakawekwa kwenye mahema na sasa wanalalamika kwa uchakavu, vyoo kufurika, maji kukosekana na msosi pia si wa uhakika.
      Ndiyo, Kanumba alikuwa muhimu na labda aliitangaza Tanzania zaidi ya Maige (Bw. Twiga) na Membe (eti rais mtarajiwa), lakini ingefanywa hata kwa siri katika kipindi hiki kwani walengwa ni familia ya Kanumba na si kwa matangazo mengi na kudai kwamba wametimiza ahadi! Na zile ahadi je, za MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA zimetimia? Achana na hao wasio na maisha bora wacheze ngoma mpya na bora zaidi ya kiduku inayoitwa KILIMO KWANZA na "make sure" wanaicheza kwa Nguvu Zaidi, Kasi Zaidi na Hari Zaidi bila kuuliza aliyeitunga kama kahudhuria au amemtuma mjumbe wa kuja kuwatunza!

      R.I.P Kanumba

    19. #17
      Feedback's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th March 2011
      Posts : 4,086
      Rep Power : 1244
      Likes Received
      2061
      Likes Given
      1123

      Default Re: Serikali yatimiza ahadi ya msiba wa Kanumba! Yatoa TZS 10M

      Quote By Mwakalinga
      Kweli serikali ya JK inashangaza na kustajabisha kama sio kusikitisha.
      Serikali yetu inapenda sifa kwa vijambo vidogo vidogo.
      Only in Tanzania

    20. #18
      mikonomiwili's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th January 2011
      Posts : 119
      Rep Power : 446
      Likes Received
      27
      Likes Given
      199

      Default Re: Serikali yatimiza ahadi ya msiba wa Kanumba! Yatoa TZS 10M

      Hivi hiiserikali imelogwaaaa ???? inaweza ikawa nizaidi yakulogwa .

      mbona sijasikia wale wanjeshi walio pigana vita ya idiamini walipo fariki mbona familia yao haijapewa hela mingi namna hii?
      huu ni ubaguzi . ni watuwangapi maarufu ambao wamejitolea maisha yao kwenye taifahili na familia yao haikupewa hicho kiasi chafetha.

      Serikali ya ccm ni yakishamba sijawahi pata ona . niwapi ulishawahi sikia ela zinatoka serikalini burungutu kama aliloshika huyo waziri? ni ya JK tu. Sasa hawaoni niabu wana mtafutia huyo mama mikasa na familia yake ?
      fikiri kama watu wataamua kumvamia .
      Nasema tena niserikali ya kishamba wanahimiza cheki na hila za mitandao lakini wao wana tembea na maburungutu

      niushamba na ubaguzi wahali ya juu . watu wamepigwa na mambomu na hajalipwa mpaka leo . kuna watu wanahitaji matibabu na hawasaidiwi kuna wanafunzi wana kaachini hapo kipawa wala sinje ya Dar lakini hawaoni hilo


    21. #19
      English Learner's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st January 2012
      Location : Inside the Laptop
      Posts : 251
      Rep Power : 803
      Likes Received
      268
      Likes Given
      197

      Default Re: Serikali yatimiza ahadi ya msiba wa Kanumba! Yatoa TZS 10M

      Quote By mikonomiwili
      Hivi hiiserikali imelogwaaaa ???? inaweza ikawa nizaidi yakulogwa .

      mbona sijasikia wale wanjeshi walio pigana vita ya idiamini walipo fariki mbona familia yao haijapewa hela mingi namna hii?
      huu ni ubaguzi . ni watuwangapi maarufu ambao wamejitolea maisha yao kwenye taifahili na familia yao haikupewa hicho kiasi chafetha.

      Serikali ya ccm ni yakishamba sijawahi pata ona . niwapi ulishawahi sikia ela zinatoka serikalini burungutu kama aliloshika huyo waziri? ni ya JK tu. Sasa hawaoni niabu wana mtafutia huyo mama mikasa na familia yake ?
      fikiri kama watu wataamua kumvamia .
      Nasema tena niserikali ya kishamba wanahimiza cheki na hila za mitandao lakini wao wana tembea na maburungutu

      niushamba na ubaguzi wahali ya juu . watu wamepigwa na mambomu na hajalipwa mpaka leo . kuna watu wanahitaji matibabu na hawasaidiwi kuna wanafunzi wana kaachini hapo kipawa wala sinje ya Dar lakini hawaoni hilo

      How do you find this excerpt?
      Read throughly every sentence highlightened in RED!

      Quote By OMEGA
      ..........Tukio hili linaleta hisia za ubaguzi wa Taasisi za dola na chama katika kutoa uzito kwenye majanga, matatizo na misiba ya watu wa Taifa hili. .........Hili linatuongezea huzuni na kutuongoza kuamini kuwa misiba ya watu wa maeneo nje na Dar es Salaam haigusi hisia za Rais hata kama ni ya Watu waliotoa mchango mkubwa kwa Taifa hili. ........

      Na mwisho tunamtaka Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, yeye kama Taasisi
      awe Rais wa Watanzania wote; wa Dar es Salaam na Mikoani.

    22. #20
      MwalimuZawadi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st September 2007
      Posts : 623
      Rep Power : 723
      Likes Received
      50
      Likes Given
      3

      Default Re: Serikali yatimiza ahadi ya msiba wa Kanumba! Yatoa TZS 10M

      Quote By songoka
      izi pesa zimetoka katika bajeti ipi??na matumizi yake ya awali yatakuwa replaced namna gani? Kwanini zisingenunua hata darubini za kupimia marelia kule majita makojo-musoma kuokoa maisha ya walio hai??kuna wakati natamani jazba za wazenji ingawa si nzuri.
      ...kifo (maafa)
      Sent from my Nokia rinGo using JamiiForums

    23. FemaTV & Radio
    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...