Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wana Dar es Salaam tutoe maoni yetu, ili mkutano wa CDM Dar Urudiwe baada ya Bunge Bajeti

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 24
    1. #1
      STEIN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2010
      Location : Arusha
      Posts : 1,341
      Rep Power : 714
      Likes Received
      306
      Likes Given
      156

      Default Wana Dar es Salaam tutoe maoni yetu, ili mkutano wa CDM Dar Urudiwe baada ya Bunge Bajeti

      Ndugu wana DAR,

      Mimi binafsi nawapongeza kwa jinsi ambavyo mlijitokeza siku ya tar 27 katika uwanja wa CDM Square... Lakini niseme tu binafsi niliona kama makamanda hawakupata Muda wa kutosha kuhutubia wananchi mfano mtu kama Wenje, Myika, Lema, Marando, Prof Safari, Mdee, Mpendazoe, Heche, etc... Lakini vile vile waliopewa nafasi ya kuzungumza kama kina Tundu lisu, Dr Slaa, Mbowe walitoa summary ya walichotuandalia kwa sababu ya Muda au kubanwa na ITV...

      Sasa tunaomba Operation Nyingine kupitia Uzi huu ili Baada ya Bajeti tuwe na Mkutano wenye wazungumzaji wakuu wasiopungua NANE akiwemo Tundu Lisu na Prof Safari ili watufafanulie Kisheria wapi watanzinia wa kawaida tusimame..

      Na Dr Slaa na Mbowe watuelezee sisi watu wa kawaida tufanye nini/ tafsiri ya kawaida ya mahitaji yetu kwenye Sheria...

      Maoni ya kwenye huu uzi tutaipeleka makao makuu ya CDM na kuwafikishi kina Kigaila, Mrema, Msafiri kwa ajili ya Utendaji zaidi


      Peeeppples power
      “Problems cannot be solved by the same level of thinking that created them.”“Insanity: doing the same thing over and over again and expecting different results.”" by Albert Einstein"

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      TUNTEMEKE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2009
      Location : Mombasa
      Posts : 4,504
      Rep Power : 11336
      Likes Received
      323
      Likes Given
      236

      Default Re: Wana Dar es Salaam tutoe maoni yetu, ili mkutano wa CDM Dar Urudiwe baada ya Bunge Bajeti

      Quote By STEIN
      Ndugu wana DAR,

      Mimi binafsi nawapongeza kwa jinsi ambavyo mlijitokeza siku ya tar 27 katika uwanja wa CDM Square... Lakini niseme tu binafsi niliona kama makamanda hawakupata Muda wa kutosha kuhutubia wananchi mfano mtu kama Wenje, Myika, Lema, Marando, Prof Safari, Mdee, Mpendazoe, Heche, etc... Lakini vile vile waliopewa nafasi ya kuzungumza kama kina Tundu lisu, Dr Slaa, Mbowe walitoa summary ya walichotuandalia kwa sababu ya Muda au kubanwa na ITV...

      Sasa tunaomba Operation Nyingine kupitia Uzi huu ili Baada ya Bajeti tuwe na Mkutano wenye wazungumzaji wakuu wasiopungua NANE akiwemo Tundu Lisu na Prof Safari ili watufafanulie Kisheria wapi watanzinia wa kawaida tusimame..

      Na Dr Slaa na Mbowe watuelezee sisi watu wa kawaida tufanye nini/ tafsiri ya kawaida ya mahitaji yetu kwenye Sheria...

      Maoni ya kwenye huu uzi tutaipeleka makao makuu ya CDM na kuwafikishi kina Kigaila, Mrema, Msafiri kwa ajili ya Utendaji zaidi


      Peeeppples power
      kweli kabisa.
      STEIN likes this.

    4. #3
      kelvito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Posts : 388
      Rep Power : 521
      Likes Received
      97
      Likes Given
      74

      Default Re: Wana Dar es Salaam tutoe maoni yetu, ili mkutano wa CDM Dar Urudiwe baada ya Bunge Bajeti

      Mkuu ni kweli nashangaa hata hivyo kwanini wengine wasiangeanza mapema siku ile, tulikoseshwa mwengi sana!
      Bora hata mikutano ya ccm huwa inaanza na Bonanza la nguvu!
      STEIN likes this.

    5. #4
      Losambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2011
      Location : Katikati
      Posts : 2,346
      Rep Power : 849
      Likes Received
      688
      Likes Given
      296

      Default Re: Wana Dar es Salaam tutoe maoni yetu, ili mkutano wa CDM Dar Urudiwe baada ya Bunge Bajeti

      Hiyo inaweza kuwa sahihi maana baada ya bunge la bajeti kuna matukio mengi yatakuwa yamejiri na hivyo kuhitaji ufafanuzi kidogo ukiacha haya ya kawaida.

      Nawakikishieni wabunge wa CDM wataichachafya sana serikali kutokana na mipango mingi katika bajeti ya mwaka 2011/2012 kutotekelezwa kabisa au kwa kiasi kidogo sana.
      STEIN likes this.

    6. #5
      Losambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2011
      Location : Katikati
      Posts : 2,346
      Rep Power : 849
      Likes Received
      688
      Likes Given
      296

      Default

      Quote By kelvito
      Mkuu ni kweli nashangaa hata hivyo kwanini wengine wasiangeanza mapema siku ile, tulikoseshwa mwengi sana!
      Bora hata mikutano ya ccm huwa inaanza na Bonanza la nguvu!
      Wewe unafurahia harakati zinazoonyeashwa za ukombozi au mabonaza?
      STEIN likes this.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Raia Fulani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2009
      Posts : 9,243
      Rep Power : 2620
      Likes Received
      1288
      Likes Given
      834

      Default Re: Wana Dar es Salaam tutoe maoni yetu, ili mkutano wa CDM Dar Urudiwe baada ya Bunge Bajeti

      Ni wazo jema sana. Cdm lifanyieni kazi
      STEIN likes this.
      Beware of a sucker punch

    9. #7
      Comi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 956
      Rep Power : 576
      Likes Received
      154
      Likes Given
      2

      Default Re: Wana Dar es Salaam tutoe maoni yetu, ili mkutano wa CDM Dar Urudiwe baada ya Bunge Bajeti

      Hongereni wote wenye fikra dhabiti
      STEIN likes this.

    10. #8
      Mlitika's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd March 2012
      Posts : 402
      Rep Power : 516
      Likes Received
      220
      Likes Given
      311

      Default Re: Wana Dar es Salaam tutoe maoni yetu, ili mkutano wa CDM Dar Urudiwe baada ya Bunge Bajeti

      Naunga mkono hoja
      STEIN likes this.

    11. #9
      Josephine03's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th February 2012
      Posts : 733
      Rep Power : 513
      Likes Received
      285
      Likes Given
      373

      Default Re: Wana Dar es Salaam tutoe maoni yetu, ili mkutano wa CDM Dar Urudiwe baada ya Bunge Bajeti

      JF wa Dar siku hiyo tuende na Tawi letu la CDM JF Online, sipati picha tutakavyouza sura mwezi mzima hapa JF maana watu kushadadia kitu kimoja hawajambo

    12. #10
      STEIN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2010
      Location : Arusha
      Posts : 1,341
      Rep Power : 714
      Likes Received
      306
      Likes Given
      156

      Default Re: Wana Dar es Salaam tutoe maoni yetu, ili mkutano wa CDM Dar Urudiwe baada ya Bunge Bajeti

      Quote By kelvito
      Mkuu ni kweli nashangaa hata hivyo kwanini wengine wasiangeanza mapema siku ile, tulikoseshwa mwengi sana!
      Bora hata mikutano ya ccm huwa inaanza na Bonanza la nguvu!

      Nafikiri viongozi walidhani watu wasingeweza kufika mapema... Issue nyingine ni foleni iliyokuwepo kutokana polisi kutoongoza maandamano yetu rasmi.. This time kwa sababu watu wameshajua then itawezekana kuanza mapema kabisa na kuongea muda wa TV kuyarusha moja kwa moja... Tupendekeze pia na viongozi wanaotakiwa kuhudhuria.
      kelvito likes this.
      “Problems cannot be solved by the same level of thinking that created them.”“Insanity: doing the same thing over and over again and expecting different results.”" by Albert Einstein"

    13. #11
      STEIN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2010
      Location : Arusha
      Posts : 1,341
      Rep Power : 714
      Likes Received
      306
      Likes Given
      156

      Default Re: Wana Dar es Salaam tutoe maoni yetu, ili mkutano wa CDM Dar Urudiwe baada ya Bunge Bajeti

      Quote By Raia Fulani
      Ni wazo jema sana. Cdm lifanyieni kazi
      Usiwe na Shaka uzi huu lazima utie time Pale Kinondoni kwa wakuu.
      “Problems cannot be solved by the same level of thinking that created them.”“Insanity: doing the same thing over and over again and expecting different results.”" by Albert Einstein"

    14. #12
      dubu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2011
      Posts : 2,390
      Rep Power : 958
      Likes Received
      582
      Likes Given
      143

      Default Re: Wana Dar es Salaam tutoe maoni yetu, ili mkutano wa CDM Dar Urudiwe baada ya Bunge Bajeti

      sasa hivi ni zamu ya mwembe yanga tandika kabla ya zakhem mbagala. hiyo haina tabu.
      STEIN likes this.

    15. #13
      STEIN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2010
      Location : Arusha
      Posts : 1,341
      Rep Power : 714
      Likes Received
      306
      Likes Given
      156

      Default Re: Wana Dar es Salaam tutoe maoni yetu, ili mkutano wa CDM Dar Urudiwe baada ya Bunge Bajeti

      Quote By Losambo
      Wewe unafurahia harakati zinazoonyeashwa za ukombozi au mabonaza?
      Mkuu usijali.... Bonanza kwa maana ya wangeanza wale wanasiasa wachanga/Vijana wa CDM the baadaye wakafuata viongozi wakuu wa chama... Siyo bonanza la muziki wa kizazi kipya.
      “Problems cannot be solved by the same level of thinking that created them.”“Insanity: doing the same thing over and over again and expecting different results.”" by Albert Einstein"

    16. #14
      STEIN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2010
      Location : Arusha
      Posts : 1,341
      Rep Power : 714
      Likes Received
      306
      Likes Given
      156

      Default Re: Wana Dar es Salaam tutoe maoni yetu, ili mkutano wa CDM Dar Urudiwe baada ya Bunge Bajeti

      Quote By kelvito
      Mkuu ni kweli nashangaa hata hivyo kwanini wengine wasiangeanza mapema siku ile, tulikoseshwa mwengi sana!
      Bora hata mikutano ya ccm huwa inaanza na Bonanza la nguvu!
      Mkuu Bonanza la Mziki au Wanasia wadogo/Vijana kupanda jukwaani?....
      “Problems cannot be solved by the same level of thinking that created them.”“Insanity: doing the same thing over and over again and expecting different results.”" by Albert Einstein"

    17. #15
      kelvito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Posts : 388
      Rep Power : 521
      Likes Received
      97
      Likes Given
      74

      Default Re: Wana Dar es Salaam tutoe maoni yetu, ili mkutano wa CDM Dar Urudiwe baada ya Bunge Bajeti

      Quote By Losambo
      Wewe unafurahia harakati zinazoonyeashwa za ukombozi au mabonaza?
      Mkuu usiseme ninauchungu kishenzi nilifika saa 7 kwenye mkutano wa jangwani sikutaka nikose kitu toka kwa majembe yale, Mic ziliwasumbua kishenzi hata mziki haukuwepo, sasa si bora ya bonanza la ccm, nilitaka kumsikia kuanzia diwani mpaka mwenyekiti wa chama badala yake sikutofautiana sana na walioangali kwenye tv bana!

    18. #16
      kelvito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Posts : 388
      Rep Power : 521
      Likes Received
      97
      Likes Given
      74

      Default Re: Wana Dar es Salaam tutoe maoni yetu, ili mkutano wa CDM Dar Urudiwe baada ya Bunge Bajeti

      Quote By STEIN
      Mkuu Bonanza la Mziki au Wanasia wadogo/Vijana kupanda jukwaani?....
      Nilitegemea kuona majembe mengine Future ya chama but haikuwa hivyo bana!

    19. #17
      hans79's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2011
      Posts : 1,435
      Rep Power : 754
      Likes Received
      140
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Josephine03
      JF wa Dar siku hiyo tuende na Tawi letu la CDM JF Online, sipati picha tutakavyouza sura mwezi mzima hapa JF maana watu kushadadia kitu kimoja hawajambo
      Weye nawe lakini kwa yale tuyafanyayo hapa JF kweli twastahili pongezi, na uzinduzi utasaidia kujenga chama zaidi.Hata uongozi wa CHADEMA utatambua ya kuwa wanaJF wapo pamoja na kila jambo la maendeleo kichama.

    20. #18
      STEIN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2010
      Location : Arusha
      Posts : 1,341
      Rep Power : 714
      Likes Received
      306
      Likes Given
      156

      Default Re: Wana Dar es Salaam tutoe maoni yetu, ili mkutano wa CDM Dar Urudiwe baada ya Bunge Bajeti

      Quote By dubu
      sasa hivi ni zamu ya mwembe yanga tandika kabla ya zakhem mbagala. hiyo haina tabu.
      Tunasisitiza sana... Angalau na sisi Dar tupate kama wiki mmoja ya kukaa na viongozi wa CDM Mtaa kwa Mtaa ili kuweka msisitizo kwenye swala la Katiba Mpya maana mikona watu wengi huwa wanauliza kwa DAR Msimamo wao ni upi...

      Kama sijasahau kuna Mambo kama Matano aliyasema LISU Pate CDM Square aka Jangwani.
      1. Tunapoenda kwenye mchakato wa Katiba Mpya tufahhamu TZ ni Muungano wa Nchi Ngapi? Marais Wangapi? na Amiri Jeshi Mkuu wanga?

      2. Maswala gani yawepo kwenye Muungani?
      3. Madaraka ya Rais yaweje? etc....
      “Problems cannot be solved by the same level of thinking that created them.”“Insanity: doing the same thing over and over again and expecting different results.”" by Albert Einstein"

    21. #19
      Godlisten Masawe's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 20th July 2011
      Location : Hapa Hapa
      Posts : 607
      Rep Power : 0
      Likes Received
      220
      Likes Given
      2877

      Default Re: Wana Dar es Salaam tutoe maoni yetu, ili mkutano wa CDM Dar Urudiwe baada ya Bunge Bajeti

      Quote By STEIN
      Nafikiri viongozi walidhani watu wasingeweza kufika mapema... Issue nyingine ni foleni iliyokuwepo kutokana polisi kutoongoza maandamano yetu rasmi.. This time kwa sababu watu wameshajua then itawezekana kuanza mapema kabisa na kuongea muda wa TV kuyarusha moja kwa moja... Tupendekeze pia na viongozi wanaotakiwa kuhudhuria.
      STEIN
      wazo lako ni zuri sana lakini kuhandaa mkutano kama ule wa Jangwani ni gharama kubwa sana kamanda, tukisema urushwe LIVE na tv ndio usiseme kabisa, mm nafikiri sisi wananchi wa dsm tuangalie namna ya kuhugharamia huyu mkutano na matangazo, kufanya hivi tutakipunguzia mzigo chama chetu ktk operesheni zao nyingine sehemu mbalimbali za nchi, mawazo yangu makamanda.
      STEIN likes this.

    22. #20
      STEIN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2010
      Location : Arusha
      Posts : 1,341
      Rep Power : 714
      Likes Received
      306
      Likes Given
      156

      Default Re: Wana Dar es Salaam tutoe maoni yetu, ili mkutano wa CDM Dar Urudiwe baada ya Bunge Bajeti

      Quote By muchembe
      stein
      wazo lako ni zuri sana lakini kuhandaa mkutano kama ule wa jangwani ni gharama kubwa sana kamanda, tukisema urushwe live na tv ndio usiseme kabisa, mm nafikiri sisi wananchi wa dsm tuangalie namna ya kuhugharamia huyu mkutano na matangazo, kufanya hivi tutakipunguzia mzigo chama chetu ktk operesheni zao nyingine sehemu mbalimbali za nchi, mawazo yangu makamanda.
      wadau wako tayari kuchangia walau mkutano mmoja... Cha msingi tupate taarifa mapema tu..
      “Problems cannot be solved by the same level of thinking that created them.”“Insanity: doing the same thing over and over again and expecting different results.”" by Albert Einstein"

    23. Study Abroad
    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...