Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mwenyekiti wa UVCCM Tabora ahamia CHADEMA!

    Report Post
    Page 2 of 5 FirstFirst 1234 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 98
    1. #1
      HYGEIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 20th December 2011
      Location : Moshi
      Posts : 1,440
      Rep Power : 4494
      Likes Received
      633
      Likes Given
      645

      Default Mwenyekiti wa UVCCM Tabora ahamia CHADEMA!

      Leo saa kumi jioni Star Tv kwenye kipindi chake cha 'Vidokezo vya Habari' kumetokeza habari kwamba Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Tabora amejiunga na Chadema.


      Ama kweli M4C inashika kasi kubwa.
      Tunamsubiri mpendwa wetu Nape Nauye ambaye ameshindwa kututhibitishia hapa JF uanachama wake wa ccm. Cross the floor and welcome Nape.CDM is your sweet home!
      MGENI RASMI: CCM OYEEEEEE!
      WANANCHI: HAITOKIIIII. HAITOKI!
      (Kwa Hisani ya Wanamtwara)

    2. Miaka 50

    3. #21
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,171
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      776
      Likes Given
      721

      Default

      Quote By zubedayo_mchuzi
      habari za kizushi hzi
      teh!teh!......hapo kwenye red baadae urudi usema kama ni habari za kuaminika....umesikia wewe Gamba
      webondo likes this.

    4. #22
      zubedayo_mchuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2011
      Posts : 3,343
      Rep Power : 1058
      Likes Received
      588
      Likes Given
      43

      Default

      Quote By HYGEIA
      Leo saa kumi jioni Star Tv kwenye kipindi chake cha 'Vidokezo vya Habari' kumetokeza habari kwamba Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Tabora amejiunga na Chadema.


      Ama kweli M4C inashika kasi kubwa.
      Tunamsubiri mpendwa wetu Nape Nauye ambaye ameshindwa kututhibitishia hapa JF uanachama wake wa ccm. Cross the floor and welcome Nape.CDM is your sweet home!
      Magazeti ya udakuzi

    5. #23
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,159
      Rep Power : 24268
      Likes Received
      4670
      Likes Given
      2294

      Default Re: Mwenyekiti UVCCM TABORA AHAMIA CHADEMA

      CHADEMA tumejipanga kuchukua nchi 2015.
      "Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."

    6. #24
      M-bongo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : Tabora Town
      Posts : 332
      Rep Power : 639
      Likes Received
      21
      Likes Given
      1

      Default Re: Mwenyekiti UVCCM TABORA AHAMIA CHADEMA

      Tatizo lenu kukurupuka, Mkiti wa vijana wa mkoa wa Tabora anaitwa Robert Elieza Kamoga pia ni mwenyekiti wa Halmshauri ya wilaya ya Sikonge, hajahama CCM wala hana wazo hakuna Mkiti yeyote wa vijana aliyehama si tu wa MKoa hata wilaya wenyeviti wote wa wilaya na mkoa bado ni wanachama hai wa CCM! acheni cheap politics

    7. #25
      stephot's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st March 2012
      Location : DSM
      Posts : 774
      Rep Power : 584
      Likes Received
      211
      Likes Given
      586

      Default Re: Mwenyekiti UVCCM TABORA AHAMIA CHADEMA

      Dah huko CCM inaonakena hakukaliki,anyways ngoja tuone mwisho wa hili game.

    8. FemaTV & Radio

    9. #26
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,159
      Rep Power : 24268
      Likes Received
      4670
      Likes Given
      2294

      Default Re: Mwenyekiti UVCCM TABORA AHAMIA CHADEMA

      Quote By zubedayo_mchuzi
      Magazeti ya udakuzi
      Hata habari ya Millya kuhama ilikuwa kwenye magazeti ya udakuzi
      "Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."

    10. #27
      Ciril's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th January 2011
      Posts : 1,971
      Rep Power : 880
      Likes Received
      243
      Likes Given
      19

      Default

      Quote By HYGEIA
      Leo saa kumi jioni Star Tv kwenye kipindi chake cha 'Vidokezo vya Habari' kumetokeza habari kwamba Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Tabora amejiunga na Chadema.


      Ama kweli M4C inashika kasi kubwa.
      Tunamsubiri mpendwa wetu Nape Nauye ambaye ameshindwa kututhibitishia hapa JF uanachama wake wa ccm. Cross the floor and welcome Nape.CDM is your sweet home!
      Mpaka ifike 2015 ccm watakuwa wamepinduka kichwa chini miguu juu,Peoplesssssssssssss

    11. #28
      zubedayo_mchuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2011
      Posts : 3,343
      Rep Power : 1058
      Likes Received
      588
      Likes Given
      43

      Default

      Quote By Ruhazwe JR
      teh!teh!......hapo kwenye red baadae urudi usema kama ni habari za kuaminika....umesikia wewe Gamba
      Patasimama daima

    12. #29
      Katavi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 31st August 2009
      Location : Lyamba Lya Mfipa
      Posts : 19,575
      Rep Power : 16764
      Likes Received
      2481
      Likes Given
      1845

      Default Re: Mwenyekiti UVCCM TABORA AHAMIA CHADEMA

      Hawa sio mamluki kweli! Maana ccm wana mbinu bado....

    13. #30
      M-bongo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : Tabora Town
      Posts : 332
      Rep Power : 639
      Likes Received
      21
      Likes Given
      1

      Default Re: Mwenyekiti UVCCM TABORA AHAMIA CHADEMA

      Nimeongea na Mkiti wa vijana wa ccm mkoa wa Tabora sasa hivi habari hizo si kweli ni uzushi wa hali ya juu anaye bisha aseme nimpe namba ya kamoga ambae ndie mkiti wa mkoa aongee nae. rubish !

    14. #31
      Katavi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 31st August 2009
      Location : Lyamba Lya Mfipa
      Posts : 19,575
      Rep Power : 16764
      Likes Received
      2481
      Likes Given
      1845

      Default

      Quote By M-bongo
      Tatizo lenu kukurupuka, Mkiti wa vijana wa mkoa wa Tabora anaitwa Robert Elieza Kamoga pia ni mwenyekiti wa Halmshauri ya wilaya ya Sikonge, hajahama CCM wala hana wazo hakuna Mkiti yeyote wa vijana aliyehama si tu wa MKoa hata wilaya wenyeviti wote wa wilaya na mkoa bado ni wanachama hai wa CCM! acheni cheap politics
      Kwa hiyo source ya mtoa mada ni ya uongo?

    15. #32
      zubedayo_mchuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2011
      Posts : 3,343
      Rep Power : 1058
      Likes Received
      588
      Likes Given
      43

      Default

      Quote By M-bongo
      Tatizo lenu kukurupuka, Mkiti wa vijana wa mkoa wa Tabora anaitwa Robert Elieza Kamoga pia ni mwenyekiti wa Halmshauri ya wilaya ya Sikonge, hajahama CCM wala hana wazo hakuna Mkiti yeyote wa vijana aliyehama si tu wa MKoa hata wilaya wenyeviti wote wa wilaya na mkoa bado ni wanachama hai wa CCM! acheni cheap politics
      Nilikuwa nasubiri wamtaje jina niwachane hapa.wote wanaruka ruka.mi nimeongeo mwnykit mkoa hakuna isue ya namna hii

    16. #33
      hans79's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2011
      Posts : 1,468
      Rep Power : 760
      Likes Received
      143
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By MAFILILI
      Huyo kaamua KUVUA GAMBA mwenyewe baada ya MELI YETU YA CCM haitaki kuendelea nao wasio wasafi
      Nani msafi kwenye nyinyiemu labda hajazaliwa, wote mnanuka rushwa.

    17. #34
      Kiganyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2012
      Posts : 1,162
      Rep Power : 983
      Likes Received
      708
      Likes Given
      400

      Default Re: Mwenyekiti UVCCM TABORA AHAMIA CHADEMA

      Quote By M-bongo
      Tatizo lenu kukurupuka, Mkiti wa vijana wa mkoa wa Tabora anaitwa Robert Elieza Kamoga pia ni mwenyekiti wa Halmshauri ya wilaya ya Sikonge, hajahama CCM wala hana wazo hakuna Mkiti yeyote wa vijana aliyehama si tu wa MKoa hata wilaya wenyeviti wote wa wilaya na mkoa bado ni wanachama hai wa CCM! acheni cheap politics
      Mkuu punguza jazba!

      Tueleze polepole tutakuelewa, yawezekana mtoa taarifa kakosea!

    18. #35
      zubedayo_mchuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2011
      Posts : 3,343
      Rep Power : 1058
      Likes Received
      588
      Likes Given
      43

      Default

      Quote By M-bongo
      Nimeongea na Mkiti wa vijana wa ccm mkoa wa Tabora sasa hivi habari hizo si kweli ni uzushi wa hali ya juu anaye bisha aseme nimpe namba ya kamoga ambae ndie mkiti wa mkoa aongee nae. rubish !
      Kaka hawa wanakurupuka wamezoea maigizo muda wote.

    19. #36
      Katavi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 31st August 2009
      Location : Lyamba Lya Mfipa
      Posts : 19,575
      Rep Power : 16764
      Likes Received
      2481
      Likes Given
      1845

      Default

      Quote By M-bongo
      Nimeongea na Mkiti wa vijana wa ccm mkoa wa Tabora sasa hivi habari hizo si kweli ni uzushi wa hali ya juu anaye bisha aseme nimpe namba ya kamoga ambae ndie mkiti wa mkoa aongee nae. rubish !
      Asante kwa ufafanuzi...

    20. #37
      zubedayo_mchuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2011
      Posts : 3,343
      Rep Power : 1058
      Likes Received
      588
      Likes Given
      43

      Default

      Quote By Kiganyi
      Mkuu punguza jazba!

      Tueleze polepole tutakuelewa, yawezekana mtoa taarifa kakosea!
      Hakuna si kakosea,bange mbaya

    21. #38
      Royals's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th November 2011
      Posts : 1,001
      Rep Power : 579
      Likes Received
      215
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Mromboo
      Ndugu yangu Hygea tuwe makini na hawa watu!!!!!!!!!!!!!! ila kwasababu ni kijana sina tatizo sana, ila tunapofikia kupokea njaa njaa kama shibuda tuwe makini sana. CDM ni tegemeo kubwa kuleta mabadiliko TZ. Ahsante kwa taarifa mkuu.
      Na ukizingatia kuwa hawa ni jamii moja na akina mashibuda ndo kabisa hawaaminiki.

    22. #39
      hans79's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2011
      Posts : 1,468
      Rep Power : 760
      Likes Received
      143
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By M-bongo
      Nimeongea na Mkiti wa vijana wa ccm mkoa wa Tabora sasa hivi habari hizo si kweli ni uzushi wa hali ya juu anaye bisha aseme nimpe namba ya kamoga ambae ndie mkiti wa mkoa aongee nae. rubish !
      Kama umewasiliana nae, weka mawasiliano yake hapa ili tujue upi mkweli kati yako na mleta mada?

    23. #40
      Royals's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th November 2011
      Posts : 1,001
      Rep Power : 579
      Likes Received
      215
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Mromboo
      Ndugu yangu Hygea tuwe makini na hawa watu!!!!!!!!!!!!!! ila kwasababu ni kijana sina tatizo sana, ila tunapofikia kupokea njaa njaa kama shibuda tuwe makini sana. CDM ni tegemeo kubwa kuleta mabadiliko TZ. Ahsante kwa taarifa mkuu.
      Na ukizingatia kuwa hawa ni jamii moja na akina mashibuda ndo kabisa hawaaminiki.

    Page 2 of 5 FirstFirst 1234 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...