Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Picha za ziara ya Nape kuimarisha chama Bukoka

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 66
    1. EMT
      #1
      EMT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2010
      Location : Mahuta
      Posts : 8,896
      Rep Power : 61726
      Likes Received
      7174
      Likes Given
      6434

      Default Picha za ziara ya Nape kuimarisha chama Bukoka



      Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akiwasili na ujumbe wake kwenye Uwanja wa ndege wa Bukoba, kwa ajili ya ziara ya siku moja ya kikazi mkoani Kagera ambako pamoja na shughuli nyingine alifungua Baraza la Vijana wa CCM, Wilaya ya Missenyi mkoani humo.



      Nape na viongozi waliompokea wakipita katika paredi la Vijana wa CCM



      Nape akikata utepe kuingia kwenye uwanja wa Mashujaa, kuzindua Baraza hilo.



      Vijana wa baraza la Misenyi wakimsikiliza Nape



      Nape akiagana na vijana hao.



      Kisha Nape akicheza gofu kwenye viwanja vya mchezo huo vya Dioniz Malizni (kulia) nje kidogo ya mji wa Bukoba wakati wa ziara yake ya kuimarisha chama.



      Nape na ziara yake Bukoba ya kuimarisha chama.



      Nape akirudi Dar baada ya ziara yake ya kuimarisha chama Bukoba
      “Wanaotaka kuhashua wanatoa rushwa. Wanaotaka kuhashukwa nao wanataka rushwa. Hahashukwi mtu bila rushwa, na mtu hahashui bila rushwa na hapo ndipo tatizo lilipo.” - Mie mwenyewe.

    2. Miaka 50

    3. #2
      William Mshumbusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Posts : 324
      Rep Power : 509
      Likes Received
      184
      Likes Given
      0

      Default Re: Picha za ziara ya Nape kuimarisha chama Bukoka

      Hongera nape nimependa mbinu zako Mwaka 2015 gombea Uraisi utapata tu.

      Sisiemu wanakuonea wivu kwanini hamkukodi magari mlete watu kwenye mkutano

      Ilo shada la maua nimelipenda lafanana na lililokuwa kwenye mazish ya kanumba
      Idimulwa, Sangarara and MAPE2012 like this.

    4. #3
      Tume ya Katiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Chumbuni-Zanzibar
      Posts : 2,678
      Rep Power : 0
      Likes Received
      538
      Likes Given
      273

      Default Re: Picha za ziara ya Nape kuimarisha chama Bukoka

      we mchukua picha kwani hakuagana na watu wengine zaidi ya hao mabinti?

    5. #4
      Fredrick Sanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2011
      Location : Kijitonyama
      Posts : 2,982
      Rep Power : 2589
      Likes Received
      637
      Likes Given
      776

      Default Re: Picha za ziara ya Nape kuimarisha chama Bukoka

      Duhh! umati wa kutisha.
      mkurugenzi1 and Idimulwa like this.
      We shall overcome, righteousness shall always prevail.

    6. #5
      buyegiboseba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Posts : 535
      Rep Power : 510
      Likes Received
      139
      Likes Given
      39

      Default Re: Picha za ziara ya Nape kuimarisha chama Bukoka

      Kijani siku hizi zinavaliwa kwa kificho,naamini baada tu ya kikao vijana hao walibadili nguo fasta kukwepa kuchekwa mitaani
      Chilipamwao and Idimulwa like this.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      ESAM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th March 2011
      Posts : 662
      Rep Power : 678
      Likes Received
      171
      Likes Given
      62

      Default Re: Picha za ziara ya Nape kuimarisha chama Bukoka

      Hao vijana au ... mbona wazee?

    9. #7
      buyegiboseba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Posts : 535
      Rep Power : 510
      Likes Received
      139
      Likes Given
      39

      Default Re: Picha za ziara ya Nape kuimarisha chama Bukoka

      Quote By EMT


      Vijana wa baraza la Misenyi wakimsikiliza Nape
      Ni vijana ama na wazee? Coz wengi wanaonekana aged
      sweetlady and RICARDO KAKA like this.

    10. #8
      Lyimo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 1,799
      Rep Power : 1526
      Likes Received
      796
      Likes Given
      450

      Default Re: Picha za ziara ya Nape kuimarisha chama Bukoka

      Nimeona jeshi la GREEN GUARD likipiga saluti.
      Idimulwa likes this.
      "Wisdom is not a product of schooling, but of the lifelong attempt to acquire it"

    11. #9
      Safari_ni_Safari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Location : Kibaruani
      Posts : 11,944
      Rep Power : 24143
      Likes Received
      4658
      Likes Given
      2637

      Default Re: Picha za ziara ya Nape kuimarisha chama Bukoka

      Hii ndege iko sawasawa kweli?

      Titans, Sangarara and Professa like this.

      Soki Ozali Mwasi Yaka, Soki Ozali Mobali Koya Te


    12. #10
      mizambwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2008
      Posts : 1,438
      Rep Power : 975
      Likes Received
      367
      Likes Given
      1808

      Default Re: Picha za ziara ya Nape kuimarisha chama Bukoka

      Yaani mkutano huu umehudhuriwa na watu wachache hivi!!!!!!!!

      Hivi huu uwanja pia nao unaitwa CCM SQUIRE???

      AMA KWELI CCM imekwisha,
      pamoja na kbeba watu kwenye malori na kuwagawia ubwabwa bado watu wamegoma kushiriki!!!!!!!!


      MIZAMBWA
      NABII MTARAJIWA!!!
      sweetlady likes this.
      SASA NIMEAMINI KUWA TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA!!!!, TUANDAE KABURI LA KUIZIKA MWAKA 2015

    13. #11
      Kibanga Ampiga Mkoloni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2007
      Location : Here! here!
      Posts : 4,772
      Rep Power : 1629
      Likes Received
      1186
      Likes Given
      1701

      Default Re: Picha za ziara ya Nape kuimarisha chama Bukoka

      Quote By ESAM
      Hao vijana au ... mbona wazee?
      For the Holy Quran says in Sura 42, verse 41: 'All those who fight when oppressed incur no guilt, but Allah shall punish the oppressor, Come the day.

    14. #12
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,159
      Rep Power : 24268
      Likes Received
      4671
      Likes Given
      2295

      Default Re: Picha za ziara ya Nape kuimarisha chama Bukoka

      CCM na wananchama
      CHADEMA na wananchi wa Tanzania
      Kaaazi kweli kweli!
      Crashwise, MBUTAIYO and sweetlady like this.
      "Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."

    15. #13
      Manumbu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2009
      Location : Close to U
      Posts : 1,127
      Rep Power : 724
      Likes Received
      259
      Likes Given
      760

      Default Re: Picha za ziara ya Nape kuimarisha chama Bukoka

      inataka moyo wa kiuendawazimu kuishabikia CCM siku hizi!
      sweetlady likes this.
      "Falling Down does not mean being Buried" - Manumbu on 1st June 2011

    16. #14
      Yetuwote's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 22nd July 2010
      Posts : 190
      Rep Power : 486
      Likes Received
      41
      Likes Given
      28

      Default Re: Picha za ziara ya Nape kuimarisha chama Bukoka

      Walio mpokea, ndio waliopiga gwaride, ndio walio hudhuria kikao na wale wale ndio waliocheza nae gofu na kumuaga pia.
      Idimulwa likes this.

    17. #15
      Babuu Rogger's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th November 2011
      Posts : 234
      Rep Power : 426
      Likes Received
      35
      Likes Given
      2

      Default Re: Picha za ziara ya Nape kuimarisha chama Bukoka



      Mi nimeipenda hii, dah! jamaa anapigiwa saluti!!!!!!!!!!! ama kweli ubosi nouma.
      THERE AIN'T NO HIDING PLACE FROM THE FATHER OF CREATION.

    18. #16
      lukindo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th March 2010
      Posts : 1,575
      Rep Power : 781
      Likes Received
      415
      Likes Given
      481

      Default Re: Picha za ziara ya Nape kuimarisha chama Bukoka

      Quote By EMT


      Kisha Nape akicheza gofu kwenye viwanja vya mchezo huo vya Dioniz Malizni (kulia) nje kidogo ya mji wa Bukoba wakati wa ziara yake ya kuimarisha chama.



      Nape na ziara yake Bukoba ya kuimarisha chama.
      hizi ndio nimezipenda zaidi na ndizo zinaweza kuelezea vizuri kilichompeleka huko!
      Hongera mzee Malinzi, nadhani hiyo golf course itakuwa ni ya kwanza kwa Kanda ya Ziwa


    19. #17
      Mwana Mtoka Pabaya's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 22nd April 2012
      Posts : 3,078
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1398
      Likes Given
      403

      Default Re: Picha za ziara ya Nape kuimarisha chama Bukoka

      NAshauri wafungwa waanze kuvaa nguo za kijani na njano ili magereza yazoee occupants wake wa kuanzia 2016 na kuendelea

    20. #18
      lukindo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th March 2010
      Posts : 1,575
      Rep Power : 781
      Likes Received
      415
      Likes Given
      481

      Default Re: Picha za ziara ya Nape kuimarisha chama Bukoka

      Quote By Yetuwote
      Walio mpokea, ndio waliopiga gwaride, ndio walio hudhuria kikao na wale wale ndio waliocheza nae gofu na kumuaga pia.
      hii nchi imefika pabaya! Nape anaenda na ndege ya kukodi!?

    21. #19
      Eng. Y. Bihagaze's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 8th September 2011
      Location : Czech(but now in DAR)
      Posts : 766
      Rep Power : 5116
      Likes Received
      583
      Likes Given
      111

      Default

      Quote By EMT


      Nape akirudi Dar baada ya ziara yake ya kuimarisha chama Bukoba
      Niulize swali nisiulize?.. Watu ULIZAAAA
      JE ANGANI KUNAKAMATA MTANDAO GANIII!!!
      Jibu........
      EMT likes this.

    22. #20
      zumbemkuu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 11th September 2010
      Location : street dweller
      Posts : 5,319
      Rep Power : 1998
      Likes Received
      2114
      Likes Given
      7794

      Default Re: Picha za ziara ya Nape kuimarisha chama Bukoka

      dah! kweli nape anakubalika kuliko hata CCM yenyewe, cheki umati ulivyosheheni maelfu ya wanachama na wapenzi wa CCM!
      "watakaotubeza na kututukana wasameheni wanahitaji ukombozi wa fikra" Mh.G.Lema

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...