Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Picha za ziara ya Nape kuimarisha chama Bukoka

    Report Post
    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 21 to 40 of 66
    1. EMT
      #1
      EMT's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 13th January 2010
      Location : Mahuta
      Posts : 8,912
      Rep Power : 0
      Likes Received
      7198
      Likes Given
      6448

      Default Picha za ziara ya Nape kuimarisha chama Bukoka



      Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akiwasili na ujumbe wake kwenye Uwanja wa ndege wa Bukoba, kwa ajili ya ziara ya siku moja ya kikazi mkoani Kagera ambako pamoja na shughuli nyingine alifungua Baraza la Vijana wa CCM, Wilaya ya Missenyi mkoani humo.



      Nape na viongozi waliompokea wakipita katika paredi la Vijana wa CCM



      Nape akikata utepe kuingia kwenye uwanja wa Mashujaa, kuzindua Baraza hilo.



      Vijana wa baraza la Misenyi wakimsikiliza Nape



      Nape akiagana na vijana hao.



      Kisha Nape akicheza gofu kwenye viwanja vya mchezo huo vya Dioniz Malizni (kulia) nje kidogo ya mji wa Bukoba wakati wa ziara yake ya kuimarisha chama.



      Nape na ziara yake Bukoba ya kuimarisha chama.



      Nape akirudi Dar baada ya ziara yake ya kuimarisha chama Bukoba

    2. RukaaJuu Final

    3. #21
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,514
      Rep Power : 19750
      Likes Received
      5443
      Likes Given
      3640

      Default Re: NAPE afafanua ziara yake ya Bukoba na mazishi ya Dr. Kyaruzi.

      Baba Lulu yeye na mapaja ya kinadada tu!!....

      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    4. #22
      Ciril's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th January 2011
      Posts : 1,971
      Rep Power : 880
      Likes Received
      244
      Likes Given
      19

      Default

      Quote By Mungi
      CCM na wananchama
      CHADEMA na wananchi wa Tanzania
      Kaaazi kweli kweli!
      Asante mkuu kwa kunitangulia.

    5. Awo
      #23
      Awo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2010
      Posts : 433
      Rep Power : 549
      Likes Received
      158
      Likes Given
      36

      Default Re: Picha za ziara ya Nape kuimarisha chama Bukoka

      Ndege ililipiwa na nani? Malinzi? Just thinking aloud!

    6. #24
      Ciril's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th January 2011
      Posts : 1,971
      Rep Power : 880
      Likes Received
      244
      Likes Given
      19

      Default

      Hiii ndio style ya Nape na ccm yake kuimarisha chama.!!!!!!!!! no commment.

    7. #25
      Trustme's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2011
      Posts : 505
      Rep Power : 525
      Likes Received
      94
      Likes Given
      27

      Default Re: Picha za ziara ya Nape kuimarisha chama Bukoka



      Yan we ulishaona ndege inaenda mbele wao wanaangalia nyuma! ndo CCM ilikufia hivyo, wanachama wake wote hawaoni mbele wanakoenda, wao wanashushwa tu paaa mmefika, hata kama kwenye tope, korongo au shimo!
      A successful man is one who makes more money than his wife can spend.
      A successful woman is one who can find such a man.

    8. Miaka 50

    9. #26
      mtume pauli's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th March 2012
      Posts : 44
      Rep Power : 372
      Likes Received
      6
      Likes Given
      1

      Default Re: Picha za ziara ya Nape kuimarisha chama Bukoka

      Quote By Trustme
      Yan we ulishaona ndege inaenda mbele wao wanaangalia nyuma! ndo CCM ilikufia hivyo, wanachama wake wote hawaoni mbele wanakoenda, wao wanashushwa tu paaa mmefika, hata kama kwenye tope, korongo au shimo!
      duh hivi kweli inawezekana jamani? tutoane ushamba. na je huwa angani simu zinapatikana kweli? nipeni jibu.
      palalisote likes this.

    10. #27
      MIRIJA IKATWE's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 136
      Rep Power : 410
      Likes Received
      12
      Likes Given
      126

      Default Re: Picha za ziara ya Nape kuimarisha chama Bukoka

      Mbona watu wachaccccche

      Huo i mkoa gani ambao bado kuna ssm

    11. #28
      kichomiz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 4,053
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      652
      Likes Given
      80

      Default

      Quote By zumbemkuu
      dah! kweli nape anakubalika kuliko hata CCM yenyewe, cheki umati ulivyosheheni maelfu ya wanachama na wapenzi wa CCM!
      Acha kuchekesha watu.

    12. #29
      democratic's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2011
      Posts : 1,602
      Rep Power : 819
      Likes Received
      278
      Likes Given
      52

      Default Re: Picha za ziara ya Nape kuimarisha chama Bukoka

      naona siasa imekuwa chungu wana mpango wa kuigeuza ccm kuwa klabu ya gofu.mwenyekitiatakuwa malinzi
      Mwanahakij likes this.

    13. #30
      kichomiz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 4,053
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      652
      Likes Given
      80

      Default

      Quote By mtume pauli
      duh hivi kweli inawezekana jamani? tutoane ushamba. na je huwa angani simu zinapatikana kweli? nipeni jibu.
      Za CCM zinapatikana ila zingine hazipatikani.
      Idimulwa likes this.

    14. #31
      Mohamedi Mtoi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th December 2010
      Location : Lushoto - Kwemakame.
      Posts : 2,068
      Rep Power : 24552
      Likes Received
      3154
      Likes Given
      357

      Default

      Quote By Matola
      Baba Lulu yeye na mapaja ya kinadada tu!!....

      Duuh! Jamaa mpaka viti pia wanavifisadi? Ama kweli nyinyi emu ni noumer.

    15. #32
      dubu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2011
      Posts : 2,396
      Rep Power : 960
      Likes Received
      583
      Likes Given
      143

      Default

      Quote By Safari_ni_Safari
      Hii ndege iko sawasawa kweli?

      mnasafili kama kwenye mtumbwi. hahahaaa...

    16. #33
      dubu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2011
      Posts : 2,396
      Rep Power : 960
      Likes Received
      583
      Likes Given
      143

      Default

      Quote By Matola
      Baba Lulu yeye na mapaja ya kinadada tu!!....

      hahahahahahahahahaa...nmeipend a hii. inaonekana mikono yake mizito. anapapasa..duh...!!

    17. #34
      Ndebile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2011
      Posts : 1,227
      Rep Power : 669
      Likes Received
      251
      Likes Given
      45

      Default

      Quote By William Mshumbusi
      Hongera nape nimependa mbinu zako Mwaka 2015 gombea Uraisi utapata tu.

      Sisiemu wanakuonea wivu kwanini hamkukodi magari mlete watu kwenye mkutano

      Ilo shada la maua nimelipenda lafanana na lililokuwa kwenye mazish ya kanumba
      Kihaya- naipenda sana lugha hii kwasababu moja: huwezi kuichakachua na kuficha radha yake!

    18. #35
      junior2008's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th April 2009
      Posts : 512
      Rep Power : 615
      Likes Received
      38
      Likes Given
      1

      Default Re: Picha za ziara ya Nape kuimarisha chama Bukoka

      Quote By Manumbu
      inataka moyo wa kiuendawazimu kuishabikia CCM siku hizi!
      Nimeipenda hiyo mkuu!!

    19. #36
      mwenyenchi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th November 2011
      Posts : 179
      Rep Power : 416
      Likes Received
      22
      Likes Given
      58

      Default Re: Picha za ziara ya Nape kuimarisha chama Bukoka

      Kaenda kutalii, kakosa la kufanya/kuongea hapa mjini baada ya dhoruba ya M4C
      Kuchekacheka na mabinti, kudanganya wazee (?vijana) na kucheza gofu per diem imeingia!
      Zidumu fikra za baba Riz-One, CCM hoyeeeeee!
      Crashwise likes this.

    20. #37
      mwana wa africa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 430
      Rep Power : 496
      Likes Received
      56
      Likes Given
      4

      Default Re: Picha za ziara ya Nape kuimarisha chama Bukoka

      Quote By Kibanga Ampiga MKoloni
      nape akifungua mkutano wa vijana!

    21. #38
      Crashwise's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Safarini
      Posts : 13,122
      Rep Power : 14288
      Likes Received
      4013
      Likes Given
      3271

      Default Re: Picha za ziara ya Nape kuimarisha chama Bukoka

      Alienda kujenga chama au kikosi chao cha mauwaji kinachojulikama kwa Movement For Killing baadhi a kazi aza karibu ni huko Arumeru na Igunga kama mna bisha niweke picha hapa.....
      Mungi likes this.
      Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.... Malcolm X Nasubiri 'breaking news... '





    22. #39
      chante's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th March 2011
      Posts : 154
      Rep Power : 445
      Likes Received
      25
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Safari_ni_Safari
      Hii ndege iko sawasawa kweli?

      nimewaza sana hata mimi,
      inaonekana abiria wanaangalia walikotoka...ni kama katika dala dala kukalia burnsen burner..

    23. #40
      hashycool's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2010
      Location : network search....
      Posts : 4,957
      Rep Power : 1457
      Likes Received
      559
      Likes Given
      141

      Default Re: Picha za ziara ya Nape kuimarisha chama Bukoka

      hii si vakesheni au!
      sweetlady likes this.
      hivi vrusi vya H.I.V na wewe nani mchokozi?

    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...