Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Anne Kilango awavaa CHADEMA...

    Report Post
    Page 1 of 9 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 171
    1. #1
      mzee wa njaa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2011
      Posts : 1,340
      Rep Power : 670
      Likes Received
      194
      Likes Given
      107

      Default Anne Kilango awavaa CHADEMA...

      • Asisitiza damu kutomwagika 2015
      • Awwaonya wanaotoa lugha chafu dhidi ya JK


      Mbunge wa Same Mashariki, Anne Kilango amewashukia baadhi ya viongozi wa Chadema wanaojipitisha jimboni kwake na kutoa kauli za kuhatarisha amani iwapo hawatashinda katika uchaguzi wa Mwaka 2015.

      Source: Gazeti la Uhuru: Mei 28, 2012.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,732
      Rep Power : 10179
      Likes Received
      5675
      Likes Given
      12666

      Default re: Anne Kilango awavaa CHADEMA...

      huyu mama anaweweseka ..mbunge gani huna facebook twitter wala ngugu zake ..huyu mama ni mjima mambo yake yote ni ya ki-local ..pesa ya kiwanda cha tangawizi kaila barabara mbovu jimbo lake halina barabara ya lami hata moja anashinda kwa mumewe mze3e malecela keshalisahau jimbo lake huyu anaweza hata asifike 2015 kwa jinsi watu walivyomchoka tayari

      hospitali zinatotegemewa ni za katoliki
      Mbwambo, Nyunyu, Dingswayo and 6 others like this.
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    4. #3
      Josephine03's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th February 2012
      Posts : 733
      Rep Power : 514
      Likes Received
      285
      Likes Given
      373

      Default re: Anne Kilango awavaa CHADEMA...

      Naona mwaka huu mkorogo utadunda

    5. #4
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,086
      Rep Power : 12252
      Likes Received
      6015
      Likes Given
      6851

      Default re: Anne Kilango awavaa CHADEMA...

      anasumbuliwa na PMS
      nhassall likes this.
      .....Ana sifa zote, nzuri na mbaya!!!

    6. #5
      kalokolaVIII's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th June 2011
      Posts : 299
      Rep Power : 468
      Likes Received
      145
      Likes Given
      429

      Default re: Anne Kilango awavaa CHADEMA...

      ana akili fupi na ndogo kama za william malecela na dead-man walking john samuel malecela(small letters intended!!!!) na ndio maana wanaelewana sana...akili za mkorogo.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Swahilian's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th April 2009
      Location : Dar es salaam
      Posts : 423
      Rep Power : 597
      Likes Received
      14
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Saint Ivuga
      huyu mama anaweweseka ..mbunge gani huna facebook twitter wala ngugu zake ..huyu mama ni mjima mambo yake yote ni ya ki-local ..pesa ya kiwanda cha tangawizi kaila barabara mbovu jimbo lake halina barabara ya lami hata moja anashinda kwa mumewe mze3e malecela keshalisahau jimbo lake huyu anaweza hata asifike 2015 kwa jinsi watu walivyomchoka tayari

      hospitali zinatotegemewa ni za katoliki
      Kazi anayo kwa MAMA KABOYOKA..
      Saint Ivuga likes this.

    9. #7
      Janjaweed's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2010
      Posts : 3,620
      Rep Power : 1129
      Likes Received
      1390
      Likes Given
      1541

      Default re: Anne Kilango awavaa CHADEMA...

      Quote By Saint Ivuga
      huyu mama anaweweseka ..mbunge gani huna facebook twitter wala ngugu zake ..huyu mama ni mjima mambo yake yote ni ya ki-local ..pesa ya kiwanda cha tangawizi kaila barabara mbovu jimbo lake halina barabara ya lami hata moja anashinda kwa mumewe mze3e malecela keshalisahau jimbo lake huyu anaweza hata asifike 2015 kwa jinsi watu walivyomchoka tayari

      hospitali zinatotegemewa ni za katoliki
      kafulia.........
      Kama Vipi nipotezee tu; ntakuboa....

    10. #8
      Nteko Vano's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2012
      Location : Dar es salaam
      Posts : 428
      Rep Power : 450
      Likes Received
      90
      Likes Given
      26

      Default re: Anne Kilango awavaa CHADEMA...

      Hajakata tamaa tu

    11. #9
      DOUGLAS SALLU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2009
      Posts : 3,598
      Rep Power : 1286
      Likes Received
      315
      Likes Given
      907

      Default re: Anne Kilango awavaa CHADEMA...

      Hivi zile Tsh. 200,000,000/- alizotoa Jeethu Patel kwenye arusi ya Anne Kilango na John Samwel Malecela zilikuwa mchango au mkopo? Ana mengi ya kutueleza huyu mama. Najua anasumbuliwa na kihoro cha ndoto yake ya kuwa first lady kuyeyuka kama barafu juani.
      FREDOMFIGHTER and wagaba like this.

    12. #10
      nndondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2010
      Posts : 618
      Rep Power : 688
      Likes Received
      147
      Likes Given
      1

      Default re: Anne Kilango awavaa CHADEMA...

      mnafiki mkubwa huyu mama, hebu kwanza atuonyeshe sahihi yake kwenye list ya Kabwe Zitto, kama haipo na anyamaze milele.

      Kujikomba kwa JK sasa akitolewa kauli za matusi kwani JK ni hati miliki yake? anatia aibu amedunda kweli kweli, UWT kakutana na mkali sofia kapigwa dafrau maana kazoea majungu, cha ajabu hata kwenye nyumba ya mzee baada ya kugeuka kero kero na kujaribu kwa nguvu kufunja uhusiano mzuri wa mzee na familia yake kagonga mwamba sasa, alishapelekwa polisi na binti mkubwa wa mzee kwa ruhusa ya mzee, alishajaribu kutaka kuchakachua nyumba ya mzee na marehemu mmewe ya pale sea view, na kunahabari kwamba hata viwanja vya marehemu mama Nezerina Malecela vya kawe alishapitisha mguu huko.

      Huku upareni tupeni habari za kiwanda cha tangawizi, huyu mwanasiasa changudoa apeleke ushenzi wake huko huko jimboni kwake kama anaweza, toeni haya mamluki kujikomba kote huku hata uDC hajapewa kazi kushinda na william kupanga mikakat ya kuimaliza first family ya mzee, hamuwezi ng'o watanzania tunawaangalia na kuwafuatilia

    13. #11
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,689
      Rep Power : 1913
      Likes Received
      1592
      Likes Given
      676

      Default re: Anne Kilango awavaa CHADEMA...

      Quote By DOUGLAS SALLU
      Hivi zile Tsh. 200,000,000/- alizotoa Jeethu Patel kwenye arusi ya Anne Kilango na John Samwel Malecela zilikuwa mchango au mkopo? Ana mengi ya kutueleza huyu mama. Najua anasumbuliwa na kihoro cha ndoto yake ya kuwa first lady kuyeyuka kama barafu juani.
      Ndio anatumia kubabulia huo USO

    14. #12
      Njoka Ereguu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Posts : 503
      Rep Power : 459
      Likes Received
      167
      Likes Given
      30

      Default re: Anne Kilango awavaa CHADEMA...

      Kwa ujumla haendi na wakati na hasomi alama za nyakati, kama anataka kuendelea kukamata hilo jimbo avuwe gamba avae gwanda mapema kabla hakijanuka. Baadaye hatapata wa kumlilia tumetimiza wajibu wetu kumshauri.
      Kiwi likes this.

    15. #13
      Mjenda Chilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2011
      Posts : 769
      Rep Power : 554
      Likes Received
      237
      Likes Given
      3

      Default

      [QUOTE=nndondo;3953243]mnafiki mkubwa huyu mama, hebu kwanza atuonyeshe sahihi yake kwenye list ya kabwe zito, kama haipo na anyamaze milele, kujikomba kwa JK sasa akitolewa kauli za matusi kwani JK ni hati miliki yake? anatia aibu amedunda kweli kweli, UWT kakutana na mkali sofia kapigwa dafrau maana kazoea majungu, cha ajabu hata kwenye nyumba ya mzee baada ya kugeuka kero kero na kujaribu kwa nguvu kufunja uhusiano mzuri wa mzee na familia yake kagonga mwamba sasa,alishapelekwa polisi na binti mkubwa wa mzee kwa ruhusa ya mzee, alishajaribu kutaka kuchakachua nyumba ya mzee na marehemu mmewe ya pale sea view, na kunahabari kwamba hata viwanja vya marehemu mama Nezerina Malecela vya kawe alishapitisha mguu huko. Huku upareni tupeni habari za kiwanda cha tangawizi, huyu mwanasiasa changudoa apeleke ushenzi wake huko huko jimboni kwake kama anaweza, toeni haya mamluki kujikomba kote huku hata uDC hajapewa kazi kushinda na william kupanga mikakat ya kuimaliza first family ya mzee, hamuwezi ng'o watanzania tuna

      Wamjua vema, hv huyu Wiliam kaibukia wapi? no wonder ni mpenda sifa sana. Tulimfahamu Mkwawi na Senyangwa RIP)

    16. #14
      Muke Ya Muzungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th June 2009
      Posts : 1,904
      Rep Power : 3856
      Likes Received
      177
      Likes Given
      31

      Default re: Anne Kilango awavaa CHADEMA...

      Quote By mzee wa njaa
      • Asisitiza damu kutomwagika 2015



      • Awwaonya wanaotoa lugha chafu dhidi ya JK


      Mbunge wa Same Mashariki, Anne Kilango amewashukia baadhi ya viongozi wa Chadema wanaojipitisha jimboni kwake na kutoa kauli za kuhatarisha amani iwapo hawatashinda katika uchaguzi wa Mwaka 2015.

      Source: Gazeti la Uhuru: Mei 28, 2012.
      Mama mkwe wangu ana mambo kweli. Ni bora akawapelekea Ikumbo na naki hizo hela tokwa kwa Patel kuliko kuwaacha wanaye wauze vitumbua minnessota. Kale kafupi Ikumbo naye nasikia anataka kuingia siasa baada ya mjamaica wake kafumaniwa akipewa tigo. Siye yetu macho tusubiri tuone. sidhani huyu mama atathubutu kugombe atena kwa maana kashfa za binti zake na zake mwenyewe zitamuandama sana

    17. #15
      W. J. Malecela's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th March 2009
      Posts : 4,511
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2029
      Likes Given
      1819

      Default re: Anne Kilango awavaa CHADEMA...

      [QUOTE=Mjenda Chilo;3953311]
      Quote By nndondo
      mnafiki mkubwa huyu mama, hebu kwanza atuonyeshe sahihi yake kwenye list ya kabwe zito, kama haipo na anyamaze milele, kujikomba kwa JK sasa akitolewa kauli za matusi kwani JK ni hati miliki yake? anatia aibu amedunda kweli kweli, UWT kakutana na mkali sofia kapigwa dafrau maana kazoea majungu, cha ajabu hata kwenye nyumba ya mzee baada ya kugeuka kero kero na kujaribu kwa nguvu kufunja uhusiano mzuri wa mzee na familia yake kagonga mwamba sasa,alishapelekwa polisi na binti mkubwa wa mzee kwa ruhusa ya mzee, alishajaribu kutaka kuchakachua nyumba ya mzee na marehemu mmewe ya pale sea view, na kunahabari kwamba hata viwanja vya marehemu mama Nezerina Malecela vya kawe alishapitisha mguu huko. Huku upareni tupeni habari za kiwanda cha tangawizi, huyu mwanasiasa changudoa apeleke ushenzi wake huko huko jimboni kwake kama anaweza, toeni haya mamluki kujikomba kote huku hata uDC hajapewa kazi kushinda na william kupanga mikakat ya kuimaliza first family ya mzee, hamuwezi ng'o watanzania tuna

      Wamjua vema, hv huyu Wiliam kaibukia wapi? no wonder ni mpenda sifa sana. Tulimfahamu Mkwawi na Senyangwa RIP)
      - Wenzako wanajadili siasa, wewe umetumwa na agenda tofauti kabisa na maneno yako yanakushitaki, sikiliza kama haya maneno ni kweli basi waliokutuma wasingetakiwa kuishi kwa wasi wasi! ha! ha! ha!, kama haya yote ni kweli then kelele za nini, aliyekwambia ninatafuta u-DC ni nani huyo?

      - Mmezoea uchawi sasa mmekutana na watu wasioamini uchawi mnahangaika, ha! ha! ha!, wewe mwenyewe hapo unasaidiwa vipi huna kwenu? ha! ha! ha!, sasa wanakupa wali wa bure ndio wanakutuma kuja kutukana watu humu, halafu akili yako ndogo sana unasema maneno yanayotokushitaki mwenyewe kwamba wamekutuma!

      - By THE WAY, MKITOKA KWA WACHAWI WENU MSIKOSE KUPITIA KULE Super Malecela Blog kumekucha sana, moto wa kuotea mbaali ndio mtajibeba na nilikotokea! ha! ha! ha! ha!, kumbe sifa zangu zinawatesa, hapana sizitafuti zinakuja, nimefungua blog kabla hata haijaisha tayari watu 4200 kwa siku, mimi nafanya vitu vyangu sifa zinakuja!! ha! ha! ha! ha! ila kuimbilia kwenye mablog sasa mmefika mbali itawala wenyewe! ha! ha! ha! karibuni sana ila msikimbie!



      William John Samwel Malecela. Le Big Shooow!!
      Last edited by W. J. Malecela; 29th May 2012 at 05:12.

    18. #16
      Gang Chomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : hell
      Posts : 5,035
      Rep Power : 1723
      Likes Received
      971
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Saint Ivuga
      huyu mama anaweweseka ..mbunge gani huna facebook twitter wala ngugu zake ..huyu mama ni mjima mambo yake yote ni ya ki-local ..pesa ya kiwanda cha tangawizi kaila barabara mbovu jimbo lake halina barabara ya lami hata moja anashinda kwa mumewe mze3e malecela keshalisahau jimbo lake huyu anaweza hata asifike 2015 kwa jinsi watu walivyomchoka tayari

      hospitali zinatotegemewa ni za katoliki

      Anatumia A\C ya Facebook ya mwanawe wa kiume Le Mutuz William Malecela.
      W. J. Malecela likes this.

    19. #17
      W. J. Malecela's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th March 2009
      Posts : 4,511
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2029
      Likes Given
      1819

      Default re: Anne Kilango awavaa CHADEMA...

      Quote By Gang Chomba
      Anatumia A\C ya Facebook ya mwanawe wa kiume Le Mutuz William Malecela.
      - Wacha hizo mimi nipo mitandaoni hata kabla hajaingia popote, wacha hizo sitaki kugusa mjadala wenu kwa sababu kwangu ni irelelvant, last time mlisema haya haya akawashinda, kama kawaida mmeanza tena sio worthy ila kwa wasiojua, nilitaka tu kumjibu huyu mtu aliyetumwa hapo juu, lakini sina shida na huu mjadala huwa ninashikiri mijadala serious sio kama huu!

      William.
      Lyimo and Saint Ivuga like this.

    20. #18
      STIDE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st September 2011
      Posts : 803
      Rep Power : 555
      Likes Received
      269
      Likes Given
      0

      Default re: Anne Kilango awavaa CHADEMA...

      Wiliam!! Kwenye bandiko lako hapo juu sikuona pointi yoyote zaidi ya MIPASHO NA KUJINADI KUWA WEWE NI MCHAWI NA UNAUJUA VYEMA UCHAWI!!

      Willy!! Mtu ukishafikia hatua ya kugombea nyadhifa ktk jamii, unatakiwa kuongeza ujazo wa BUSARA ili uwe kioo cha jamii!! Mambo mengine unapuuzia hata kama yanapain, ama unajibu kibusara zaidi ili kujijengea heshima!! Tumia zaidi kichwa Willy!!

      Hapa napata tabu kidogo kuelewa ilikuwajekuwaje ukapata nafasi ya kugombea EALA japo ulishindwa!!!

    21. #19
      genekai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2010
      Location : Loitering!
      Posts : 7,540
      Rep Power : 2088
      Likes Received
      1089
      Likes Given
      1575

      Default re: Anne Kilango awavaa CHADEMA...

      Source: Gazeti la Uhuru. Siongezi kitu ila kumbukeni "Debe tupu............?"

    22. #20
      genekai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2010
      Location : Loitering!
      Posts : 7,540
      Rep Power : 2088
      Likes Received
      1089
      Likes Given
      1575

      Default re: Anne Kilango awavaa CHADEMA...

      Source: Gazeti la Uhuru. Siongezi kitu ila kumbukeni "Debe tupu............?"

    Page 1 of 9 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...