- Asisitiza damu kutomwagika 2015
- Awwaonya wanaotoa lugha chafu dhidi ya JK
Mbunge wa Same Mashariki, Anne Kilango amewashukia baadhi ya viongozi wa Chadema wanaojipitisha jimboni kwake na kutoa kauli za kuhatarisha amani iwapo hawatashinda katika uchaguzi wa Mwaka 2015.
Source: Gazeti la Uhuru: Mei 28, 2012.

Reply With Quote




Follow Us Here