Makanisa zaidi na mali za wakristo zazidi kuteketezwa leo yamechomwa matatu.
Source chanel10 habari
Huku ni kushindwa kwa selikali ya muungano kwani swala la ulinzi na usalama ni la muungano.
Sasa makanisa Zanzibar yalindwe kama ikulu
huu ni mwanzo wa harakati za waislamu tanzania unaokusudia kutuletea selikali za kidini na wanaamini viongozi wakuu Raisi muungano, Makamu raisi visiwani makamu wote mawaziri wa ulinzi na mambo ya ndani
tutegemee haya swala la mahakama ya kadhi

Reply With Quote

MEANS; DOING THE BEST YOU CAN WITH WHAT YOU HAVE.


Follow Us Here