Re: Makanisa zaidi Zanzibari yachomwa moto. Limo RC

By
kaburungu
Mkuu unaposema makanisa yanachomwa na infiltrators wanaodaiwa kuwa ni CCM,, Je hii ni baada ya kufanya utafiti ukagundua hilo?
Au unaongozwa na hisia binafsi kuhalalisha hoja yako,, kumbuka no research no right to,,,,,!
Na unaposema ishu ya msingi ya Z'bar huru unamaanisha kuwa Z'bar haiko huru hivyo iko kwenye harakati za ukombozi kutafuta uhuru.........
Januari 1964 , Nyere aliivamia zanzibar na kuwakamata viongozi wake na kuwaweka katika jela za Tanganyika kabla ya Muungano wa April 1964. Viongozi hao waliendelea kusota jela za Tanganyika mpaka miaka ya 70s alipoamua kuwatoa , Muda wote huo dunia ilikuwa kimya kwa vile mvamizi alikuwa ni mkristu.
Jee hapo kuna Muungano ??? Hapo kuna uhuru wa Wazanzibari????
In the book, "The Changing Face of the Priesthood," the Rev. Donald B. Cozzens suggests that the priesthood is, or is becoming, a gay profession
Follow Us Here