Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Makanisa zaidi Zanzibari yachomwa moto. Limo RC

    Report Post
    Page 3 of 6 FirstFirst 12345 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 106
    1. #1
      William Mshumbusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Posts : 361
      Rep Power : 521
      Likes Received
      189
      Likes Given
      0

      Default Makanisa zaidi Zanzibari yachomwa moto. Limo RC

      Makanisa zaidi na mali za wakristo zazidi kuteketezwa leo yamechomwa matatu.
      Source chanel10 habari

      Huku ni kushindwa kwa selikali ya muungano kwani swala la ulinzi na usalama ni la muungano.

      Sasa makanisa Zanzibar yalindwe kama ikulu

      huu ni mwanzo wa harakati za waislamu tanzania unaokusudia kutuletea selikali za kidini na wanaamini viongozi wakuu Raisi muungano, Makamu raisi visiwani makamu wote mawaziri wa ulinzi na mambo ya ndani

      tutegemee haya swala la mahakama ya kadhi
      Mgelukila likes this.


    2. #41
      Chuma Chakavu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2011
      Location : where i am
      Posts : 1,197
      Rep Power : 653
      Likes Received
      383
      Likes Given
      292

      Default Re: Makanisa zaidi Zanzibari yachomwa moto. Limo RC

      Quote By mzaire View Post
      Mkuu sema utavosema pamba utavopamba lakini khabari ndo ileile HATUUTAKI MUUNGANO.

      Uhusiano wa kanisa na muungano upo mkubwa sana, kama si huu muungano Zanzibar tusingalikuwa na utitiri wa makanisa na mabaa na madanguro mpaka vichochoroni, lakini Mkapa (LTLLH) kafanya juhudi kubwa kuhakikisha Zenji hasa mwaka 1995-2004 wameletwa Watanganyika wakristo ili kujaza makanisa hayo na kujenga mengine zaidi.

      Na mmeona nyinyi wenyewe khabari kuu zenu ni makanisa yamechomwa moto tuu, hamjaona la kuandika zaidi ya hilo kwa mfano hao askari wanavopiga mabomu mpaka watoto wa shule hii sio khabari au haina uzito, wacheni Chuki zenu Watanganyika na kujifanya hamjui tulitakalo Wazanzibari/

      Pia siku hizi kuna mpango maalum wa kuwaleta Watanganyika wakristo siku za weekend ili kujaza makanisa ya Z'bar ili waonekane wengi, Source ni mchungaji Henry wa kanisa la Mkunazini

      Hizo propaganda zenu za makanisa na ukristo wenu sisi hauna faida kwetu hapa Zanzibar, tutaendelea na harakati kama kawa za uhuru wa Zenji mpaka kieleweke.

      Mkituita alqaida, au mashetani, au mazuzu, au wajinga au vyovyote vile sisi hatujali almuhimu Zanzibar kwanza kelele zenu baadae.

      Na atakaeshi Z'bar aishi kwa heshima zote za Z'bar, lakini yote hayo ya kanisa na ukristo yatakuja baada ya uhuru wetu na tutaamua makanisa mangapi yawepo Zenji sio kila kona mutuwekee fujo zenu za miziki.
      Akhsante kwa ufafanuzi kwa kuwa maelezo yako yanapigia mstari kuwa UISLAM NI DINI YA FUJO ISIYOJALI UHURU WA KUABUDU WA DINI NYINGINE, uislam hauna hoja zenye mantiki,kuaminika na kukubalika ili kuvutia wasiouamini na ndo maana inatumia nguvu,vitisho na fujo ili kupata au kubakiza waumini ndani ya imani.
      Imani inatakiwa ipatikane thru convincing/persuasion and not by using force, wakristo hawajatumia nguvu kushawishi watu bali hoja na matendo yenye ushawishi, uislam kama ni dini ya kweli,thabiti na yenye nguvu ya Mungu kama sio mungu ina hofu nini kuhusu waumini wake ambao hawashikiwi upanga shingoni ili kufata imani nyingine?
      Dini ya uislam inaleta shaka kwa kuwa badala ya kulindwa na Mungu inalindwa na wanadamu...it's very sad!
      LIFE IS LIKE A DISCO,NO MATTER HOW THE MUSIC CHANGES,YOU JUST KEEP DANCING!!

    3. #42
      thatha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 7,281
      Rep Power : 0
      Likes Received
      239
      Likes Given
      1

      Default Re: Makanisa zaidi Zanzibari yachomwa moto. Limo RC

      Quote By sweke34 View Post
      ndiyo mwamsho wenyewe huo...
      JUMLA ya watu 30 wakiwemo wanaodaiwa kuwa viongozi wawili wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar, leo walifikishwa mahakamani chini ya ulinzi mkali na kusomewa mashitaka ya uzembe, uzururaji na uvunjifu wa amani

      Shitaka jengine walilosomewa mahakamani chini ya Hakimu Mohammed Ali Mohammed Shein hapo ni pamoja na kufanya mkusanyiko usivyo halali ambapo Mbarouk Said Khalfan (45) Mkaazi wa Taveta Meli nne na Mussa Juma Issa (57) Mkaazi wa Makadara wote wakaazi wa Mjini Zanzibar.

      Valentine Andrew Katema, wakikabiliwa na mashitaka ya kufanya kitendo kinachoweza kuleta uvunjifu wa amani, ambao walishitakiwa chini ya kifungu cha 74 (1) (b) cha sheria namba 6/2004 sheria za Zanzibar TA

      DUH. KUMBE TAFAUTI TULIVYORIPOTIWA NA VYOMBO VINGI VYA HABARI.
      Vurugu hizi hata waumini wa kikiristo walihusika?

    4. #43
      Mnusaji's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th February 2012
      Location : Ndala
      Posts : 24
      Rep Power : 374
      Likes Received
      4
      Likes Given
      12

      Default Re: Makanisa zaidi Zanzibari yachomwa moto. Limo RC

      Tuendako si shwari

    5. #44
      Dilekeni's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 30
      Rep Power : 370
      Likes Received
      8
      Likes Given
      31

      Default Re: Makanisa zaidi Zanzibari yachomwa moto. Limo RC

      Quote By William Mshumbusi View Post
      Makanisa zaidi na mali za wakristo zazidi kuteketezwa leo yamechomwa matatu.
      Source chanel10 habari

      Huku ni kushindwa kwa selikali ya muungano kwani swala la ulinzi na usalama ni la muungano.

      Sasa makanisa Zanzibar yalindwe kama ikulu

      huu ni mwanzo wa harakati za waislamu tanzania unaokusudia kutuletea selikali za kidini na wanaamini viongozi wakuu Raisi muungano, Makamu raisi visiwani makamu wote mawaziri wa ulinzi na mambo ya ndani

      tutegemee haya swala la mahakama ya kadhi
      hahaha,,,,wala hutupi tabu na posts zako...we know..una chuki binafsi ya kuzaliwa dhidi ya waislam...! yaan wee jamaa ni ***** sana...utakufa kwa sonono moyon dhid yetu

    6. #45
      thatha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 7,281
      Rep Power : 0
      Likes Received
      239
      Likes Given
      1

      Default Re: Makanisa zaidi Zanzibari yachomwa moto. Limo RC

      Quote By sweke34 View Post
      ndiyo mwamsho wenyewe huo...

      Valentine Andrew Katema, wakikabiliwa na mashitaka ya kufanya kitendo kinachoweza kuleta uvunjifu wa amani, ambao walishitakiwa chini ya kifungu cha 74 (1) (b) cha sheria namba 6/2004 sheria za Zanzibar TA


    7. #46
      Chuma Chakavu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2011
      Location : where i am
      Posts : 1,197
      Rep Power : 653
      Likes Received
      383
      Likes Given
      292

      Default Re: Makanisa zaidi Zanzibari yachomwa moto. Limo RC

      Quote By Gavana View Post
      hapo ndio pa kujiuliza maana uamsho wapo siku zote na hapajatokea kitu. hivi vijikanisa vimekuja kuleta fitina kwani havina wafuasi na kukitokezea jambo dogo tu utawasikia kanisa limechomwa moto. wanayachoma wenyewe ili waonekane wakristo wanaonewa Zanzibar.
      Makanisa yapo Zanzibar zaidi ya miaka 200 na hatujasikia kuguswa kanisa lolote lakini baada ya kuingia hivi vikanisa uchwara ndio tunasikia makanisa kuchomwa
      je na hayo maandamano ya kisingizio cha kupinga muungano yalikuwepo siku zote?
      Hao wakristo wachome makanisa yao wenyewe ili waonekane wanaonewa ili iwe nini? ili wapate faida gani?
      Huna hoja hapa ila ni kupindisha ukweli ambao tayari ushadhihiri.
      Unaposema uamsho ulikuwepo siku zote na mbona hawakushambulia makanisa huo ni upuuzi, kwani nchi inapokuwa na jeshi itakuwa iko vitani kila siku? au mpaka pale itakapobidi? itaingia vitani aidha nchi ikivamiwa au itakapoamua kuvamia kwa makusudi kama walivofanya hawa mahayawani uamsho...MAANINA ZAO!
      Last edited by Chuma Chakavu; 28th May 2012 at 23:59.
      LIFE IS LIKE A DISCO,NO MATTER HOW THE MUSIC CHANGES,YOU JUST KEEP DANCING!!

    8. #47
      ma2mbo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 478
      Rep Power : 464
      Likes Received
      88
      Likes Given
      9

      Default

      Quote By Kiziwi View Post
      Acha udini rais sio JOHN mlivyozea ya Mwembechai na ya Pemba mauji ya waislam. rais hapokei WITO WA MAASKOFU.
      Thubutu!!labda kama maaskofu hawajataka...we mwenyewe unajua kabisa Maaskofu wanawapuuza tu na utoto wenu...neno moja tu na Znz inageuka jivu.

    9. #48
      EBENEZA MT's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th July 2011
      Posts : 236
      Rep Power : 450
      Likes Received
      34
      Likes Given
      5

      Default Re: Makanisa zaidi Zanzibari yachomwa moto. Limo RC

      Tahabiiiiiiiiiiri.

    10. #49
      thatha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 7,281
      Rep Power : 0
      Likes Received
      239
      Likes Given
      1

      Default Re: Makanisa zaidi Zanzibari yachomwa moto. Limo RC

      Quote By ma2mbo View Post
      Thubutu!!labda kama maaskofu hawajataka...we mwenyewe unajua kabisa Maaskofu wanawapuuza tu na utoto wenu...neno moja tu na Znz inageuka jivu.
      kwa utawala huu wa JK? au wa Mkapa na mwalimu? kama huu jaribuni uone?

    11. 911 is offline
      911
      #50
      911's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd August 2008
      Posts : 496
      Rep Power : 651
      Likes Received
      52
      Likes Given
      313

      Default Re: Makanisa zaidi Zanzibari yachomwa moto. Limo RC

      How long shall they kill our prophetsWhile we stand aside and look? OohSome say it's just a part of itWe've got to fullfil the book

    12. #51
      ma2mbo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 478
      Rep Power : 464
      Likes Received
      88
      Likes Given
      9

      Default

      Quote By Kiziwi View Post
      kwa utawala huu wa JK? au wa Mkapa na mwalimu? kama huu jaribuni uone?
      wanawapuuza...si unajua ukijibishana na mwendawazimu!?
      We mwenyewe unaujua muziki.

    13. #52
      Gavana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th July 2008
      Posts : 7,345
      Rep Power : 1905
      Likes Received
      716
      Likes Given
      437

      Default Re: Makanisa zaidi Zanzibari yachomwa moto. Limo RC

      Quote By kaburungu View Post
      Mkuu unaposema makanisa yanachomwa na infiltrators wanaodaiwa kuwa ni CCM,, Je hii ni baada ya kufanya utafiti ukagundua hilo?
      Au unaongozwa na hisia binafsi kuhalalisha hoja yako,, kumbuka no research no right to,,,,,!
      Na unaposema ishu ya msingi ya Z'bar huru unamaanisha kuwa Z'bar haiko huru hivyo iko kwenye harakati za ukombozi kutafuta uhuru.........

      Januari 1964 , Nyere aliivamia zanzibar na kuwakamata viongozi wake na kuwaweka katika jela za Tanganyika kabla ya Muungano wa April 1964. Viongozi hao waliendelea kusota jela za Tanganyika mpaka miaka ya 70s alipoamua kuwatoa , Muda wote huo dunia ilikuwa kimya kwa vile mvamizi alikuwa ni mkristu.

      Jee hapo kuna Muungano ??? Hapo kuna uhuru wa Wazanzibari????
      In the book, "The Changing Face of the Priesthood," the Rev. Donald B. Cozzens suggests that the priesthood is, or is becoming, a gay profession

    14. #53
      Gavana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th July 2008
      Posts : 7,345
      Rep Power : 1905
      Likes Received
      716
      Likes Given
      437

      Default Re: Makanisa zaidi Zanzibari yachomwa moto. Limo RC

      In the book, "The Changing Face of the Priesthood," the Rev. Donald B. Cozzens suggests that the priesthood is, or is becoming, a gay profession

    15. #54
      Tume ya Katiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Chumbuni-Zanzibar
      Posts : 2,838
      Rep Power : 0
      Likes Received
      565
      Likes Given
      295

      Default Re: Makanisa zaidi Zanzibari yachomwa moto. Limo RC

      Quote By Gavana View Post
      haya makanisa ya kifedhuli yako znz???


      Gay Friendly Churches in Africa


      Kenya 1 church
      Trinity Church Of Christ Nairobi City United Church of Christ
      Nigeria 1 church
      MCC Okigwe Okigwe MCC
      South Africa 16 churches
      MCC Good Hope Cape Town MCC
      The Full Family Church Bloemfontein Non-denominational
      Agapé Revelation Church Boksburg Non-denominational
      Beth-Haran Boksburg Non-denominational
      GCC Doorenfontein Non-denominational
      Word of Life MCC Durban MCC
      Deo Gloria Family Church KZN Durban Non-denominational
      Real Life Church Jeffreys Bay Non-denominational
      Hope and Unity MCC Johannesburg MCC
      Reformerende Kerk Jhb Johannesburg Non-denominational
      Die Kapel Melville Non-denominational
      Beth-Haran Ministries Potchefstroom Non-denominational
      Eastside Community Church Pretoria Interdenominational
      Glorious Light MCC Pretoria MCC
      Agallia Ministries Pretoria Non-denominational, Pentecostal
      Reforming Church Pretoria Non-denominational
      Tanzania 1 church
      Pentecostal Evangelistic Church Mbeya Non-denominational
      Uganda 1 church
      Integrity Uganda unknown (see web site) Anglican
      Kason Church Kabale Non-denominational


      Mungu wangu,

      kumbe tanganyika kuna kanisa limesharidhia.

      Tusubiri gharika, bora uwe chini ya ardhi kuliko hali ilivyo sasa.
      kutomuunga mkono mchungaji au padre mnafiki, mpika majungu, mfitini, anaendesha kanisa kwa maono ya hawara yake, mkabila, ndumilakuwili haimanishi kwamba nimelihasi kanisa-mwampamba

    16. RMA is offline
      RMA
      #55
      RMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th October 2010
      Posts : 410
      Rep Power : 523
      Likes Received
      87
      Likes Given
      0

      Default Re: Makanisa zaidi Zanzibari yachomwa moto. Limo RC

      CCM wanajua upepo wa kisiasa unawaendea vibaya. Sasa wana ajenda ya siri ya kutumia kikundi ya uamsho Zanzibar ili kupandikiaza mtafaruku wa kidini ili wapate support ya waislam!! Wanawategeshea viongozi wa kanisa watoe matamko ili hayo matamko yawe sababu ya kuchochea vurugu!!! Watanzania kuweni macho na njama za CCM!! Mungu ibariki Tanzania!!

    17. #56
      MATESLAA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2011
      Location : KINONDONI STUDIO
      Posts : 1,252
      Rep Power : 647
      Likes Received
      62
      Likes Given
      32

      Default Re: Makanisa zaidi Zanzibari yachomwa moto. Limo RC

      Wamechoma rc sasa wamechokoza moto ngoja ifike kesho

    18. #57
      Bigirita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Under a mango tree
      Posts : 11,353
      Rep Power : 3065
      Likes Received
      3110
      Likes Given
      4232

      Default

      Quote By silent lion View Post
      Bullshit all of it. Makanisa yanachomwa na infiltrators wanaodaiwa kuwa ni wa CCM ili kudivert attention ya watu ili jambo hili liwe la kidini na ishu ya msingi ya zanzibar Huru isijadiliwe
      I hear it now!!
      Semeni basi kwa uwazi na ukweli!!

    19. #58
      Bigirita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Under a mango tree
      Posts : 11,353
      Rep Power : 3065
      Likes Received
      3110
      Likes Given
      4232

      Default

      Quote By Gavana View Post
      Januari 1964 , Nyere aliivamia zanzibar na kuwakamata viongozi wake na kuwaweka katika jela za Tanganyika kabla ya Muungano wa April 1964. Viongozi hao waliendelea kusota jela za Tanganyika mpaka miaka ya 70s alipoamua kuwatoa , Muda wote huo dunia ilikuwa kimya kwa vile mvamizi alikuwa ni mkristu.

      Jee hapo kuna Muungano ??? Hapo kuna uhuru wa Wazanzibari????
      Kwa hiyo dunia ni ya wakristo??!!

      Pambafu kabisa!!
      Dini za wapuuzi hawa ndo mnashoboka nazo mpaka mbapoteza utu!????

    20. #59
      MAMMAMIA's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 25th February 2008
      Location : Near You
      Posts : 3,794
      Rep Power : 3261
      Likes Received
      1496
      Likes Given
      1206

      Default Re: Makanisa zaidi Zanzibari yachomwa moto. Limo RC

      Quote By mzaire View Post
      Mkuu sema utavosema pamba utavopamba lakini khabari ndo ileile HATUUTAKI MUUNGANO.

      Uhusiano wa kanisa na muungano upo mkubwa sana, kama si huu muungano Zanzibar tusingalikuwa na utitiri wa makanisa na mabaa na madanguro mpaka vichochoroni, lakini Mkapa (LTLLH) kafanya juhudi kubwa kuhakikisha Zenji hasa mwaka 1995-2004 wameletwa Watanganyika wakristo ili kujaza makanisa hayo na kujenga mengine zaidi.

      Na mmeona nyinyi wenyewe khabari kuu zenu ni makanisa yamechomwa moto tuu, hamjaona la kuandika zaidi ya hilo kwa mfano hao askari wanavopiga mabomu mpaka watoto wa shule hii sio khabari au haina uzito, wacheni Chuki zenu Watanganyika na kujifanya hamjui tulitakalo Wazanzibari/

      Pia siku hizi kuna mpango maalum wa kuwaleta Watanganyika wakristo siku za weekend ili kujaza makanisa ya Z'bar ili waonekane wengi, Source ni mchungaji Henry wa kanisa la Mkunazini

      Hizo propaganda zenu za makanisa na ukristo wenu sisi hauna faida kwetu hapa Zanzibar, tutaendelea na harakati kama kawa za uhuru wa Zenji mpaka kieleweke.

      Mkituita alqaida, au mashetani, au mazuzu, au wajinga au vyovyote vile sisi hatujali almuhimu Zanzibar kwanza kelele zenu baadae.

      Na atakaeshi Z'bar aishi kwa heshima zote za Z'bar, lakini yote hayo ya kanisa na ukristo yatakuja baada ya uhuru wetu na tutaamua makanisa mangapi yawepo Zenji sio kila kona mutuwekee fujo zenu za miziki.
      Muislamu yeyote na akili zake timamu hawezi kutamka kauli kama hizi zako. Naamini wapo Waislamu wengi hapa wanaooana haya kusikia maneno haya yamesemwa na mtu anayejiita Muislamu. Ikiwa kweli umfuasi wa dini, kiongozi wenu wa dini hakuwahi kuwanyanyasa watu wa dini nyengine, kinyume chake alifanya suluhu nawe na wakawa wanaishi pamoja watu wa dini zote bila bughudha.

      Kubwa ninalowaambieni, "MMELIKOROGA, JITAYARISHENI KULINYWA". Dhambi zenu zitawaandama daima hata hapo baada ya kupata hicho mnachodai.
      "JF - SAUTI YA WASIO NA SAUTI ............ na wapayukaji"

    21. #60
      lidoda's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th April 2008
      Posts : 215
      Rep Power : 612
      Likes Received
      51
      Likes Given
      23

      Default Re: Makanisa zaidi Zanzibari yachomwa moto. Limo RC

      Quote By mzaire View Post
      Mkuu sema utavosema pamba utavopamba lakini khabari ndo ileile HATUUTAKI MUUNGANO.

      Uhusiano wa kanisa na muungano upo mkubwa sana, kama si huu muungano Zanzibar tusingalikuwa na utitiri wa makanisa na mabaa na madanguro mpaka vichochoroni, lakini Mkapa (LTLLH) kafanya juhudi kubwa kuhakikisha Zenji hasa mwaka 1995-2004 wameletwa Watanganyika wakristo ili kujaza makanisa hayo na kujenga mengine zaidi.

      Na mmeona nyinyi wenyewe khabari kuu zenu ni makanisa yamechomwa moto tuu, hamjaona la kuandika zaidi ya hilo kwa mfano hao askari wanavopiga mabomu mpaka watoto wa shule hii sio khabari au haina uzito, wacheni Chuki zenu Watanganyika na kujifanya hamjui tulitakalo Wazanzibari/

      Pia siku hizi kuna mpango maalum wa kuwaleta Watanganyika wakristo siku za weekend ili kujaza makanisa ya Z'bar ili waonekane wengi, Source ni mchungaji Henry wa kanisa la Mkunazini

      Hizo propaganda zenu za makanisa na ukristo wenu sisi hauna faida kwetu hapa Zanzibar, tutaendelea na harakati kama kawa za uhuru wa Zenji mpaka kieleweke.

      Mkituita alqaida, au mashetani, au mazuzu, au wajinga au vyovyote vile sisi hatujali almuhimu Zanzibar kwanza kelele zenu baadae.

      Na atakaeshi Z'bar aishi kwa heshima zote za Z'bar, lakini yote hayo ya kanisa na ukristo yatakuja baada ya uhuru wetu na tutaamua makanisa mangapi yawepo Zenji sio kila kona mutuwekee fujo zenu za miziki.
      Mbona ktk fukwe zone za ZNZ zimejaa utitili wa mahoteli ya wazungu ambao wanauza bia mbona hazishambuliwi??

    Page 3 of 6 FirstFirst 12345 ... LastLast

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...