Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Makamu Mwenyekiti Bavicha umemsikia Shibuda?

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 22
    1. #1
      Seif al Islam's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Posts : 1,078
      Rep Power : 538
      Likes Received
      261
      Likes Given
      393

      Default Makamu Mwenyekiti Bavicha umemsikia Shibuda?

      Wakati jamii ya wanamabadiliko ikiendelea kujitahidi kusahau uchafu na madudu yaliyozungumzwa na John Shibuda juzijuzi hapa kwenye kikao cha nec cha CCM akikihusisha Chama cha Demokrasia na Maendeleo na ukabila na ukanda na utetezi wa hovyo kabisa na unaofedhehesha Baraza la Vijana na CHADEMA kwa ujumla alioutoa Makamu Mwenyekiti Bavicha Juliana Shonza, mbunge huyo ameibuka tena na kashfa nyingine akiwaita wapinzani kuwa ni machokoraa akidai hawana malezi ya kisiasa.

      Haya anayasema katika kipindi hiki ambacho upinzani nchini umeonyesha kukomaa na kujipanga vyema kutwaa dola.kadhalikka haya anayasema wakati chama chake cha CHADEMA kinaendelea na oparesheni za kujijenga mkioani. Kwa mantiki hiyo Shibuda anawatusi wapinzani wote nchini na kuwaita machokoraa akiwamo Juliana Shonza aliyeibuka bila hoja wala mashiko kumtetea mtu huyu mpuuzi.

      Najuliza kama Juliana yupo na amedhalilishwa kama alivyodai shibuda kadhalilishwa na heche na yeye leo amedhalilishwa kwa kuitwa choko angeibuka tena na kutoa tamko kaili la kulaani matusi ya shibuda.
      Paxman likes this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Njaare's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2010
      Posts : 568
      Rep Power : 660
      Likes Received
      92
      Likes Given
      167

      Default Re: Makamu mwenyekiti bavicha umemsikia shibuda?una la kusema tena/

      Huyu binti alikuwa anajiuza CCM

    4. #3
      Havizya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 776
      Rep Power : 515
      Likes Received
      156
      Likes Given
      60

      Default Re: Makamu mwenyekiti bavicha umemsikia shibuda?una la kusema tena/

      We Nashonza wee, unanu akuhopeye? Amanda gasogoye.

    5. #4
      Wingu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 3,973
      Rep Power : 1217
      Likes Received
      247
      Likes Given
      41

      Default Re: Makamu mwenyekiti bavicha umemsikia shibuda?una la kusema tena/

      Mshahara jamani safari hii wamenikata mpaka aibu nitatoboza kweli.Ahh kumbe mambo ya shibuda wacha nikanunue dagaa

    6. #5
      mamajack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 1,153
      Rep Power : 583
      Likes Received
      275
      Likes Given
      71

      Default Re: Makamu mwenyekiti bavicha umemsikia shibuda?una la kusema tena/

      huyo dada,ki ukweli mie sikuwahi kumjua,ila nilimuona jangwani akiwa kama mdudu aliyetengwa actually hakuwa na amani,and all the time alikuwa mwenyewemwenyewe kitu ambacho kwa makamanda sio cha kawaida.
      naamin atapata watu wa kumnunua ili aendelee na kauli zake za kifisadi hizo,kwanza namshangaa sana huyo mdada,kama anataka kujulikana si afanye kazi zenye matunda kwa chama ili tumuone,yaweza kuwa ni partina wa shibuda kabissssa,la sivyo kauli ya mwenyekiti itafanya kazi!

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Feedback's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th March 2011
      Posts : 4,089
      Rep Power : 1245
      Likes Received
      2064
      Likes Given
      1123

      Default Re: Makamu mwenyekiti bavicha umemsikia shibuda?una la kusema tena/

      Quote By mamajack
      huyo dada,ki ukweli mie sikuwahi kumjua,ila nilimuona jangwani akiwa kama mdudu aliyetengwa actually hakuwa na amani,and all the time alikuwa mwenyewemwenyewe kitu ambacho kwa makamanda sio cha kawaida.
      naamin atapata watu wa kumnunua ili aendelee na kauli zake za kifisadi hizo,kwanza namshangaa sana huyo mdada,kama anataka kujulikana si afanye kazi zenye matunda kwa chama ili tumuone,yaweza kuwa ni partina wa shibuda kabissssa,la sivyo kauli ya mwenyekiti itafanya kazi!
      Kwenye bold, kama kauli yake ilikuwa ni ya bahati mbaya lazima atakuwa anajuta, maana hiyo ni psychological (tosha) torture kwake hasa ikizingatiwa ni mwanamke.
      Only in Tanzania

    9. #7
      The Infamous's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2009
      Posts : 653
      Rep Power : 641
      Likes Received
      80
      Likes Given
      112

      Default Re: Makamu Mwenyekiti Bavicha umemsikia Shibuda?

      kuna tofauti kati ya neno chokoraa na choko...hayana maana sawa.

    10. #8
      frema 120's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st January 2012
      Posts : 1,059
      Rep Power : 1004
      Likes Received
      276
      Likes Given
      66

      Default Re: Makamu Mwenyekiti Bavicha umemsikia Shibuda?

      alikuwaga hawala yangu nikamtema ni kiburi sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, nilishanga kuwa kiongoziiiiiii.....

    11. #9
      Elli's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Kijito-Upele
      Posts : 8,513
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2102
      Likes Given
      1839

      Default Re: Makamu Mwenyekiti Bavicha umemsikia Shibuda?

      kwani ana mume?

    12. #10
      Losambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2011
      Location : Katikati
      Posts : 2,346
      Rep Power : 850
      Likes Received
      688
      Likes Given
      296

      Default Re: Makamu Mwenyekiti Bavicha umemsikia Shibuda?

      Haya ndiyo matokeo ya kuwa na mabwana magamba na wewe upo upinzani, yule Shosa hopeless kabisq nq hili ateteeee.

      Hakika biashara kichaa zipo nyingi sana, lakini biashara kichaa kubwa kuliko zote ni kupenda usipopendwa, haijalishi hata kama ni mkeo!!!!!

    13. #11
      Losambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2011
      Location : Katikati
      Posts : 2,346
      Rep Power : 850
      Likes Received
      688
      Likes Given
      296

      Default Re: Makamu Mwenyekiti Bavicha umemsikia Shibuda?

      Quote By Elli
      kwani ana mume?
      Ampate wapi mwanamke kizabina bina kama yule?

      Hakika biashara kichaa zipo nyingi sana, lakini biashara kichaa kubwa kuliko zote ni kupenda usipopendwa, haijalishi hata kama ni mkeo!!!!!

    14. #12
      Froida's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Posts : 3,744
      Rep Power : 1317
      Likes Received
      720
      Likes Given
      147

      Default Re: Makamu Mwenyekiti Bavicha umemsikia Shibuda?

      Jamani achane kudhalilisha Jinsia ya Kike ,kama yeye ana tatizo kama kiongozi basi asulubiwe kama kiongozi hayo mambo mengine musitudhalilishe wanawake ni ya kwake binafsi ana bwana hana anajiuza hajiuzi ana kiburi hana ni mambo yake binafsi sisi tuangalie hali halisi ya kiuongozi je alifanya vyema nitasema alikosea nadhani kupitia hasira ya wananchi atajua anatakiwa kuwa mfano kama kiongozi
      zululima and fikirikwanza like this.

    15. #13
      TANMO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Tanzagiza
      Posts : 5,046
      Rep Power : 7769
      Likes Received
      1808
      Likes Given
      3439

      Default Re: Makamu Mwenyekiti Bavicha umemsikia Shibuda?

      CHADEMA its time to join our hands and stand together. Huu mkanganyiko juu ya Shibuda usitufanye tukakosa uvumilivu na tukajikuta tunavuana nguo hadharani. Bila kujali kama huyo dada amekosea nashauri aendelee kuheshimiwa huku akielekezwa kwa staha. Tukimdhalilisha kwa kumuita kilaza au hajaolewa kumbukeni kuwa tunajidhalilisha wenyewe kama chama.. Tafakari

    16. #14
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,670
      Rep Power : 10166
      Likes Received
      5653
      Likes Given
      12666

      Default Re: Makamu Mwenyekiti Bavicha umemsikia Shibuda?

      Pombe za CLUB MAISHA zimemharibu shibuda
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    17. #15
      The Priest's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th December 2010
      Location : Kimanzichana
      Posts : 989
      Rep Power : 625
      Likes Received
      186
      Likes Given
      155

      Default Re: Makamu Mwenyekiti Bavicha umemsikia Shibuda?

      Haka kabinti kalikuwa udsm pale 1st year wakati namaliza,nikashangaa sana kusikia eti naye ni kiongozi cdm,inabidi cdm wawe makini sana na hawa vihiyo wa vyuoni.
      U can't connect the dots looking forward,U can only connect the dots looking backwards-Jobs

    18. #16
      fikirikwanza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Posts : 642
      Rep Power : 497
      Likes Received
      149
      Likes Given
      17

      Default Re: Makamu Mwenyekiti Bavicha umemsikia Shibuda?

      Mapambano lazima yashinde hitirafu za mipango yetu kabla hatujashinda; alitaka kupima umma wenye nguvu na nguvu ya umma kipi kinatangulia.

    19. #17
      Henge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2009
      Posts : 5,440
      Rep Power : 1674
      Likes Received
      918
      Likes Given
      1673

      Default Re: Makamu mwenyekiti bavicha umemsikia shibuda?una la kusema tena/

      Quote By mamajack
      huyo dada,ki ukweli mie sikuwahi kumjua,ila nilimuona jangwani akiwa kama mdudu aliyetengwa actually hakuwa na amani,and all the time alikuwa mwenyewemwenyewe kitu ambacho kwa makamanda sio cha kawaida.
      naamin atapata watu wa kumnunua ili aendelee na kauli zake za kifisadi hizo,kwanza namshangaa sana huyo mdada,kama anataka kujulikana si afanye kazi zenye matunda kwa chama ili tumuone,yaweza kuwa ni partina wa shibuda kabissssa,la sivyo kauli ya mwenyekiti itafanya kazi!
      MBONA HAKUTAMBULISHWA TUMUONE, daa hii si haki ilitakiwa wamtambulishe!
      TUKIWAKAMATA MAFISADI NCHI ITAYUMBA by PINDA

    20. #18
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,675
      Rep Power : 1910
      Likes Received
      1574
      Likes Given
      676

      Default Re: Makamu Mwenyekiti Bavicha umemsikia Shibuda?

      Nasikia kimeshaingia ndoa zaidi ya tano kinaachika kwasababu ya uzabinazabina

    21. #19
      democratic's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2011
      Posts : 1,602
      Rep Power : 819
      Likes Received
      278
      Likes Given
      52

      Default Re: Makamu Mwenyekiti Bavicha umemsikia Shibuda?

      wanasema eti kana ngoma sijui ni kweli?

    22. SG8
      #20
      SG8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th December 2009
      Location : DSM
      Posts : 2,553
      Rep Power : 4176
      Likes Received
      771
      Likes Given
      730

      Default Re: Makamu mwenyekiti bavicha umemsikia shibuda?una la kusema tena/

      Quote By Mzinga
      Mshahara jamani safari hii wamenikata mpaka aibu nitatoboza kweli.Ahh kumbe mambo ya shibuda wacha nikanunue dagaa
      Kumbe wewe umepata hata huo kidogo MKuu Mzinga?
      "Tumefika hapa kutokana na udhaifu wa Rais Kikwete,Uzembe wa Bunge na Upuuzi wa CCM"

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...