Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kwa hili la CDM jangwani kweli Dar ina wenyewe

    Report Post
    Page 1 of 10 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 185
    1. #1
      GeniusBrain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : CHADEMA Makao Makuu
      Posts : 3,829
      Rep Power : 1148
      Likes Received
      188
      Likes Given
      0

      Default Kwa hili la CDM jangwani kweli Dar ina wenyewe

      Tathmini ya kisayansi ya mkutano wa cdm jangwani ni kama ifuatavyo :
      • Imedhihirika kweli DAR KUNA WENYEWE na si kama Arusha, kwani kwa idadi ya watu , Dar ina watu wengi kuliko Arusha , ila Arusha kwenye mikutano ya cdm watu wengi hujitokeza kuliko hata wale walioonekana jangwani pale kwenye kile ‘kijiumati’ japokuwa matangazo yalikuwa mengi. Hii yadhihirisha Dar ina wenyewe, na wengi wetu ni wakuja si wana Dar kindaki ndaki
      • Mbowe adhihirisha ni mgeni na historia ya Dar. Uwanja wa Jangwani anaujua historia yake? Ni jambo la kushangaza na kustaajabisha kuuita uwanja wa jangwani ni ‘cdm square’. Wenye hadhi hiyo ni wakazi wa Dar wenye kuujua asili ya uwanja ule, mtu km Mbowe wakuja hadhi hiyo ameipata wapi? Ni jambo la ajabu na kustaajabisha
      • Cdm kwa dar mambo ni magumu sana, tuliambiwa kwenye kwenye magazeti (na sijui km ni kweli) kuwa kwa arusha na yenye watu wachache kuzidi Dar watu 10,000 walirudisha kadi, ila kwa Dar na yenye watu wengi zaidi ya Arusha ni 3100 tu. Ndio narudia kusema Dar ina wenyewe sio mji wa kuvamia vamia tu

      Kwa haya machache yaonyesha wazi cdm kwa Dar mna kazi ya ziada, Dar ina wenyewe sio km Arusha. Na wengi waliojitokeza kwenye ule mkutano 80% ni wakuja si wana Dar kindaki ndaki.
      zomba, Rejao and Maundumula like this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Join Date : 1st December 2011
      Location : Kisukuru
      Posts : 1,142
      Rep Power : 606
      Likes Received
      345
      Likes Given
      303

      Default Re: Kwa hili la cdm jangwani kweli Dar ina wenyewe

      Nimefurahi kuona kuwa na wewe ulifuatilia yaliyojiri pale CDM SQUARE.
      Kumbukumbu ya umati kama ule uliona lini hapo jangwani ya ZAMANI (CDM SQUARE) kama si enzi za Papa John wa II.
      Sijui lakini kama unalijua hili maana unaonekana huna lolote unalojua.
      "Ikulu ni mahala PATAKATIFU,
      mimi sikuchaguliwa kuja kupageuza kuwa pango la wala RUSHWA."
      By J.K. NYERERE.

  • #3
    Senator p's Avatarstyle="display:none;visibility:hidden;" data-cfsrc="images/icons/icon1.png" alt="Default" />
    Nimefurahi kuona kuwa na wewe ulifuatilia yaliyojiri pale CDM SQUARE.
    Kumbukumbu ya umati kama ule uliona lini hapo jangwani ya ZAMANI (CDM SQUARE) kama si enzi za Papa John wa II.
    Sijui lakini kama unalijua hili maana unaonekana huna lolote unalojua.
    mwambie gamba hlo,litajulia wap?linasubr lifatwe na mafuso ya magamba kama mzgo ili lipelekwe.

  • #4
    Ishina's Avatar
    Senior Member Array
    Join Date : 27th December 2011
    Location : Mtaani
    Posts : 151
    Rep Power : 404
    Likes Received
    50
    Likes Given
    147

    Default Re: Kwa hili la cdm jangwani kweli Dar ina wenyewe

    Mwaka huu mmeshikwa pabaya! Umekazania Dar kuna Wenyewe, sasa wenyewe ndo kina nani?!
    Acha kuwa na mawazo magando wewe, nijuavyo mimi Dar ya sasa sio ya kipindi kile Taifa linapata uhuru kutoka kwa mkoloni, ambapo asilimia kubwa walikuwa Wazaramo and the likes. Dar ya sasa ina-mchanganyiko wa watu (makabila) kila aina na kutoka kila pembe ya nchi kuanzia Wazaramo, Wasukuma, wadengereko, waha, wachaga etc. Single yenu mliyotoa ya u-Kaskazini imeanza kuchuja nini?! mmekuja na Single nyingne ya 'Dar kuna Wenyewe'?!. Baada ya hii single ya sasa, mtakuja na single gani?! Mbona kipindi hiki tutasikia mengi.
    Hii ni dalili ya kushikwa sehemu mbaya na magamba yamepata moto.
    ......''Nobody can hurt me without my permission'' - Mahatma Gandhi

  • #5
    GeniusBrain's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 3rd November 2010
    Location : CHADEMA Makao Makuu
    Posts : 3,829
    Rep Power : 1148
    Likes Received
    188
    Likes Given
    0

    Default Re: Kwa hili la cdm jangwani kweli Dar ina wenyewe

    Quote By Kyaiyembe
    Nimefurahi kuona kuwa na wewe ulifuatilia yaliyojiri pale CDM SQUARE.
    Kumbukumbu ya umati kama ule uliona lini hapo jangwani ya ZAMANI (CDM SQUARE) kama si enzi za Papa John wa II.
    Sijui lakini kama unalijua hili maana unaonekana huna lolote unalojua.
    Kampeni za ccm zakufunga wakati wa uchaguzi wa 2010 watu uwanja ule walijaa kuliko haw a wa cdm , nilishangaa kuona jangwani uwanja una gap kubwa sana japokuwa matangazo mliyafanya kwa nguvu sana. Duh kweli cdm Dar hamna lenu, napendekeza makao makuu ya cdm yahamie arusha


  • #6
    Jabulani's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 26th March 2009
    Location : Kituo cha Polisi Jamii
    Posts : 2,978
    Rep Power : 1371
    Likes Received
    827
    Likes Given
    254

    Default Re: Kwa hili la cdm jangwani kweli Dar ina wenyewe

    Kuna mijitu bado ina mawazo kuwa Dar ni yao! Endeleeni na uzaramo wenu, wajanja wanakuja na kukamata viwanja na kuporomosha majengo, nyie mnakazana kusema hao ni wakuja huku mkiwa mmewauzia viwanja!
    Kamanda wa Polisi Jamii - Kanda Maalumu

  • #7
    Benaire's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 13th December 2011
    Posts : 1,309
    Rep Power : 637
    Likes Received
    188
    Likes Given
    0

    Reply With Quote Re: Kwa hili la cdm jangwani kweli Dar ina wenyewe

    Utaendelea kujisifu wa dar kindaki ndaki....wenzio tunatoka mkoa tunapiga business dar..tunajenga mikocheni....tunatanua kwenye viwanja high classic....tunakuacha temeke,keko magurumbasi na bendera ya CCM....Nyumba zetu,unakuja kupigia picha......sanasana utauza nyumba na kusogea kongowe...mwana kindaki ndaki huyo...we mjanja kweli....kumbe unajua dar imejengwa na kindaki ndaki?
    Kayabwe likes this.

  • #8
    Said Bagaile's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 23rd June 2011
    Posts : 539
    Rep Power : 508
    Likes Received
    206
    Likes Given
    11

    Default Re: Kwa hili la cdm jangwani kweli Dar ina wenyewe

    Kweli umepungukiwa na Haya. Pamoja na kufaidika na CCM, lakini weka Akiba ndugu yangu. Watu zaidi ya Elfu tatu kurudisha kadi za CCM pale Chadema Square wewe kwako ni Poa tu! Wenzio Nape na nduguze toka Mkutano ule wa pale Chadema Square siku hizi kwenye Dinner yao, Vidonge vya Usingizi ni sehemu ya Diet, wewe unaona poa tu!
    Dear Lord, help me be the kind of person my Dog thinks I am.

  • #9
    Eddie's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 28th November 2008
    Posts : 378
    Rep Power : 610
    Likes Received
    65
    Likes Given
    4

    Default Re: Kwa hili la cdm jangwani kweli Dar ina wenyewe

    Quote By GeniusBrain
    Tathmini ya kisayansi ya mkutano wa cdm jangwani ni kama ifuatavyo :
    • Imedhihirika kweli DAR KUNA WENYEWE na si kama Arusha, kwani kwa idadi ya watu , Dar ina watu wengi kuliko Arusha , ila Arusha kwenye mikutano ya cdm watu wengi hujitokeza kuliko hata wale walioonekana jangwani pale kwenye kile ‘kijiumati’ japokuwa matangazo yalikuwa mengi. Hii yadhihirisha Dar ina wenyewe, na wengi wetu ni wakuja si wana Dar kindaki ndaki
    • Mbowe adhihirisha ni mgeni na historia ya Dar. Uwanja wa Jangwani anaujua historia yake? Ni jambo la kushangaza na kustaajabisha kuuita uwanja wa jangwani ni ‘cdm square’. Wenye hadhi hiyo ni wakazi wa Dar wenye kuujua asili ya uwanja ule, mtu km Mbowe wakuja hadhi hiyo ameipata wapi? Ni jambo la ajabu na kustaajabisha
    • Cdm kwa dar mambo ni magumu sana, tuliambiwa kwenye kwenye magazeti (na sijui km ni kweli) kuwa kwa arusha na yenye watu wachache kuzidi Dar watu 10,000 walirudisha kadi, ila kwa Dar na yenye watu wengi zaidi ya Arusha ni 3100 tu. Ndio narudia kusema Dar ina wenyewe sio mji wa kuvamia vamia tu

    Kwa haya machache yaonyesha wazi cdm kwa Dar mna kazi ya ziada, Dar ina wenyewe sio km Arusha. Na wengi waliojitokeza kwenye ule mkutano 80% ni wakuja si wana Dar kindaki ndaki.
    Maneno yako twayyyib! kale kajiumati wengi wao ni mafundi gereji waliobebwa na malori ya wachaga kutoka kigogo dampo, tabata, mabaamedi wa Sinza, wauza kitimoto wa kimara, mbezi, na ubungo.

    Hawa Chadema kweli wageni mjini hawajawahi kuona jangwa linavyojazwa? ule ulikuwa mkutano wa Injili tu ndio maana kulikuwa na makapu ya sadaka Lema anakusanya, mkutano wa siasa sadaka za nini?
    Reply With Quotestyle="display:none;visibility:hidden;" data-cfsrc="template/JamiV1/default/misc/progress.gif" alt="" /> Reply With Quote

  • #10
    Bigirita's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 12th February 2007
    Location : Under a mango tree
    Posts : 11,275
    Rep Power : 3046
    Likes Received
    3061
    Likes Given
    4155

    Default Re: Kwa hili la cdm jangwani kweli Dar ina wenyewe

    * LOVE COMES NATURALLY; HATE IS TAUGHT.....by nngu007 wa JF

  • #11
    DALLAI LAMA's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 8th March 2012
    Posts : 2,859
    Rep Power : 893
    Likes Received
    697
    Likes Given
    0

    Default Re: Kwa hili la cdm jangwani kweli Dar ina wenyewe

    Mtaendelea kuliwa na kauli ya dar ina wenyewe.ccm mpaka wajaze uwanja huo wa chadema square mpaka wamlete 50cent

  • #12
    Mark Francis's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 19th November 2010
    Location : Ubungo, DSM
    Posts : 439
    Rep Power : 582
    Likes Received
    209
    Likes Given
    45

    Default Re: Kwa hili la cdm jangwani kweli Dar ina wenyewe

    GeniusBrain, nafikiri hujatafakari haya;


    1. Kati ya wazawa na wakuja, akina nani wengi? Kama ni wakuja, basi CDM ina mtaji mkubwa lakini kama ni wazawa bac hoja yako ina mashiko.
    2. Jina la uwanja linaweza kubadilika muda wowote, kwa sababu jina la JANGWANI halina uhusiano na historia yeyote ya jiji hili. Hivyo, jina la "CDM square" linawezekana.
    3. Pia huwezi ku-conclude kwa kuangalia mkutano wa CDM pekee, subiri waandae CUF au CCM kwa matangazo kama yale yale, bila kubeba watu kwa magari kutoka sehemu mbali mbali afu uone watu wangapi watahudhuria na wangapi watarudisha kadi za vyama vingine afu ndo uje na conclusion sahihi.


    TAFAKARI UPYA
    "Better to be hurt by the truth than comforted with a lie"

  • #13
    DALLAI LAMA's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 8th March 2012
    Posts : 2,859
    Rep Power : 893
    Likes Received
    697
    Likes Given
    0

    Default Re: Kwa hili la cdm jangwani kweli Dar ina wenyewe

    Mtaendelea kuliwa na kauli ya dar ina wenyewe.ccm mpaka wajaze uwanja huo wa chadema square mpaka wamlete 50cent,mmezoea kuupotosha ukweli na magamba yenu

  • #14
    vangiling'ombe's Avatar
    Senior Member Array
    Join Date : 2nd April 2012
    Posts : 102
    Rep Power : 381
    Likes Received
    24
    Likes Given
    8

    Default Re: Kwa hili la cdm jangwani kweli Dar ina wenyewe

    SOMA HII AMEANDIKA GAMBA MWENZIO. LABDA ITAKUSAIDIA KIDOGO. KARNE YA 21 UNAONGELEA WATU???
    KOSA LA CCM:
    Ukiangalia vizuri, CCM haina uwezo wa kubaki madarakani miaka mitatu ijayo; ukiangalia vema CCM haiko madarakani hata sasa: Ukiangalia kwa umakini CCM haiko madarakani tangu miaka kadhaa iliyopita!!
    Hivi inakuwaje wanaCCM wamegeukia kuangalia tuvitu tudogo dogo na kudhani hiyo itakuwa style ya kujijenga? CCM ya sasa iantumia style ya kutafuta makosa yanayofanywa na CDM halafu kinacapitalize humo wakati hiyo ni style ilitumiwa na CDM miaka 10 au 15 iliyopita... Hiki ni kichekesho yaani "Dereva anakuwa Konda na Mpiga debe anakuwa dereva basi lile lile"
    CCM ya Nape ni mzigo kwa taifa; wanachama wanaotumika humu FB na janga la CCM na wafuatiliaji wa masuala ya siasa wanaweza kusema wazi CCM imekuwa kero kuanzia mtaani hadi mtandaoni.
    CCM haina pa kujirekebisha maana imeshafikia "point of no return" lazima "ibiringite"; imejiua yenyewe na kila anayejaribu kuiokoa ndo anaiua zaidi. Eti CCM ni ya kuangalia ruzuku ya CDM? CCM ya kuangalia eti watu wamebebwa kwenye mikutano wakati kila mtu kaona wamekwenda kwa miguu? Huu ni upuuzi ambao miaka 20 baadaye mtajuta kwa nini hamkutumia akili!
    Kuna wanaojiona wasafi ndani ya chama; ni kweli tunataka waadilifu; lakini uadilifu CCM ni msamiati tulioufuta kwa makusudi ili kubakiza misamiati michache. Kuna wanaojiona ndo wazalendo sana; wakati wameshindwa hata kulifanya gazeti la Mzalendo (sijui) kama bado lipo. Kama umeua gazeti la Mzalendo wewe unawezaje kuwa Mzalendo? CCM yangu inakufa huku bado naipenda, na nawaona wanoiua lakini hawagusiki maana wanaishi dunia nyingine ukiwagusa wewe si mzalendo.
    CDM wameanzisha "Opereshen Vua Gamba, Vaa Gwanda" ETi kuna operesheni "Vua Gamba na Gwanda, Vaa Uzalendo" Huu ni utoto ambao hata mwanangu XTINA hawezi thubutu kufanya. Nani atawaamini? Mna hela ngapi kukodi mafuso na kununua wali kwa ajili ya watu mtakaowaleta mkutanoni? Mna nini kipya cha kusema wakati mmeshindwa kutekeleza maagizo ya mikutano yenu, mtaweza ya mitaani? Kweli Nape una utani na Chama changu CCM!
    Mambo ya kulindana yatafika mwisho wake; lakini kuendelea kumlinda Nape ni kuua chama. Nape atupishe maana chuki yake dhidi ya CCM haijaisha na ameamua kuiua akiwa ndani baada ya kushindwa kutoka nje. Na Nape ukitoka CCM utakuwa ni mtu usiye na lolote na angalau CCM itasonga mbele hata kama si kwa mwendo mrefu. Ninakuambia haya kwa sababu siku zako za kukaa ndani ya CCM zinahesabika na huna ujanja wa kuzizuia. Muiache CCM ife natural death, msiiaccelate ufaji wake.


    seniorgeek and Chuma Chakavu like this.

  • #15
    omujubi's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 6th December 2011
    Location : Bumbire Island
    Posts : 1,628
    Rep Power : 702
    Likes Received
    669
    Likes Given
    1686

    Default Re: Kwa hili la cdm jangwani kweli Dar ina wenyewe

    Quote By GeniusBrain
    Tathmini ya kisayansi ya mkutano wa cdm jangwani ni kama ifuatavyo :
    • Imedhihirika kweli DAR KUNA WENYEWE na si kama Arusha, kwani kwa idadi ya watu , Dar ina watu wengi kuliko Arusha , ila Arusha kwenye mikutano ya cdm watu wengi hujitokeza kuliko hata wale walioonekana jangwani pale kwenye kile ‘kijiumati’ japokuwa matangazo yalikuwa mengi. Hii yadhihirisha Dar ina wenyewe, na wengi wetu ni wakuja si wana Dar kindaki ndaki
    • Mbowe adhihirisha ni mgeni na historia ya Dar. Uwanja wa Jangwani anaujua historia yake? Ni jambo la kushangaza na kustaajabisha kuuita uwanja wa jangwani ni ‘cdm square’. Wenye hadhi hiyo ni wakazi wa Dar wenye kuujua asili ya uwanja ule, mtu km Mbowe wakuja hadhi hiyo ameipata wapi? Ni jambo la ajabu na kustaajabisha
    • Cdm kwa dar mambo ni magumu sana, tuliambiwa kwenye kwenye magazeti (na sijui km ni kweli) kuwa kwa arusha na yenye watu wachache kuzidi Dar watu 10,000 walirudisha kadi, ila kwa Dar na yenye watu wengi zaidi ya Arusha ni 3100 tu. Ndio narudia kusema Dar ina wenyewe sio mji wa kuvamia vamia tu

    Kwa haya machache yaonyesha wazi cdm kwa Dar mna kazi ya ziada, Dar ina wenyewe sio km Arusha. Na wengi waliojitokeza kwenye ule mkutano 80% ni wakuja si wana Dar kindaki ndaki.
    wewe na Mzee Akilimali wa Yanga inaonekana mawazo yenu na akili vinafanana, asante kwa kututuknana. Ndio maana wengine tueamua kubakia huku kwetu na M4C mkiikataa itashika kasi kutokea huku huku!

    AZIMIO and Cha Moto like this.

  • #16
    ketwas's Avatar
    Senior Member Array
    Join Date : 27th December 2010
    Posts : 191
    Rep Power : 464
    Likes Received
    26
    Likes Given
    2

    Default Re: Kwa hili la cdm jangwani kweli Dar ina wenyewe

    wale wa kufunga kampeni walibebwa na malori hawa wa chadema hakuna hata mmoja aliyebebwa na malori,hata sisimizi wenyewe hakuna hata mmoja aliye kanyagwa kutokana na ule umati kutulia na kusikiliza mambo ya msingi wa taifa letu
    omujubi likes this.

  • #17
    mamajack's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 21st May 2012
    Posts : 1,153
    Rep Power : 583
    Likes Received
    275
    Likes Given
    71

    Default Re: Kwa hili la cdm jangwani kweli Dar ina wenyewe

    pole mwehu wa ccm.cdm hawana usafiri wa kukusanya watu kama wafanyavyo mafisadi.
    wele ulotuona pale ni wana dar tunajua tulifanyalo sio wewe kibaraka mkubwa wakati huna lolote ujualo.
    wajua wizi tu weye,jingine huna,na kama msimu huu hukupata shukurani yako kutoka kwa ******,basi imekula kwako,umesahauluka maana hatitatokea tena.

  • #18
    GeniusBrain's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 3rd November 2010
    Location : CHADEMA Makao Makuu
    Posts : 3,829
    Rep Power : 1148
    Likes Received
    188
    Likes Given
    0

    Default Re: Kwa hili la cdm jangwani kweli Dar ina wenyewe

    Quote By Ishina
    Mwaka huu mmeshikwa pabaya! Umekazania Dar kuna Wenyewe, sasa wenyewe ndo kina nani?!
    Acha kuwa na mawazo magando wewe, nijuavyo mimi Dar ya sasa sio ya kipindi kile Taifa linapata uhuru kutoka kwa mkoloni, ambapo asilimia kubwa walikuwa Wazaramo and the likes. Dar ya sasa ina-mchanganyiko wa watu (makabila) kila aina na kutoka kila pembe ya nchi kuanzia Wazaramo, Wasukuma, wadengereko, waha, wachaga etc. Single yenu mliyotoa ya u-Kaskazini imeanza kuchuja nini?! mmekuja na Single nyingne ya 'Dar kuna Wenyewe'?!. Baada ya hii single ya sasa, mtakuja na single gani?! Mbona kipindi hiki tutasikia mengi.
    Hii ni dalili ya kushikwa sehemu mbaya na magamba yamepata moto.
    Dar in a wenyewe hili halina ubishi, hata mwalimu alipokuja dar alilitambua hili, na yeye mwalimu alijijua ni wakuja na si mkazi wa dar mwenye asili yake. wengine wapo ndio ila si wenye dar, ni wakuja wa dar

  • #19
    Kimbito nyama's Avatar
    Senior Member Array
    Join Date : 10th April 2012
    Posts : 156
    Rep Power : 390
    Likes Received
    38
    Likes Given
    19

    Default Re: Kwa hili la CDM jangwani kweli Dar ina wenyewe

    Acha kuchezea Sayansi wewe! unasema tathmini ya kisayansi wakati kila ulichoweka ni porojo? umesema Dar ina watu wengi kuliko Arusha. kisayansi ningetegemea uweke figures DSM...., Arusha.......

    Pia umesema wakazi wa Dar wanajua historia ya Uwanja, ungedokeza hata kidogo au 'quote' historia hiyo.

    Arusha Watu 10,000 walirudisha kadi, Dar 3100, una data za watu ambao bado wana kadi za CCM Arusha kabla ya hizo 10,000 kurudishwa na Dar kabla ya hizo 3100 kurudishwa? Hiyo ndiyo analysis ya kisayansi ambayo ungeweza kufanya.

  • #20
    GeniusBrain's Avatar
    JF Senior Expert Member Array
    Join Date : 3rd November 2010
    Location : CHADEMA Makao Makuu
    Posts : 3,829
    Rep Power : 1148
    Likes Received
    188
    Likes Given
    0

    Default Re: Kwa hili la cdm jangwani kweli Dar ina wenyewe

    Quote By mamajack
    pole mwehu wa ccm.cdm hawana usafiri wa kukusanya watu kama wafanyavyo mafisadi.
    wele ulotuona pale ni wana dar tunajua tulifanyalo sio wewe kibaraka mkubwa wakati huna lolote ujualo.
    wajua wizi tu weye,jingine huna,na kama msimu huu hukupata shukurani yako kutoka kwa ******,basi imekula kwako,umesahauluka maana hatitatokea tena.

    Wewe waonyesha ni wale wale wakuja wa dar, km kin a Mbowe, Slaa, Mnyika nk asili yao ni kaskazini si Dar, na ww umo kwenye kundi hilo. Wote wa kuja mnajulikana tu, inawauma sana kusikia Dar in a wenyewe na ndicho mlicho kipata pale jangwani

  • Page 1 of 10 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...