Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kwa hili la CDM jangwani kweli Dar ina wenyewe

    Report Post
    Page 4 of 10 FirstFirst ... 23456 ... LastLast
    Results 61 to 80 of 185
    1. #1
      GeniusBrain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : CHADEMA Makao Makuu
      Posts : 3,809
      Rep Power : 1143
      Likes Received
      187
      Likes Given
      0

      Default Kwa hili la CDM jangwani kweli Dar ina wenyewe

      Tathmini ya kisayansi ya mkutano wa cdm jangwani ni kama ifuatavyo :
      • Imedhihirika kweli DAR KUNA WENYEWE na si kama Arusha, kwani kwa idadi ya watu , Dar ina watu wengi kuliko Arusha , ila Arusha kwenye mikutano ya cdm watu wengi hujitokeza kuliko hata wale walioonekana jangwani pale kwenye kile ‘kijiumati’ japokuwa matangazo yalikuwa mengi. Hii yadhihirisha Dar ina wenyewe, na wengi wetu ni wakuja si wana Dar kindaki ndaki
      • Mbowe adhihirisha ni mgeni na historia ya Dar. Uwanja wa Jangwani anaujua historia yake? Ni jambo la kushangaza na kustaajabisha kuuita uwanja wa jangwani ni ‘cdm square’. Wenye hadhi hiyo ni wakazi wa Dar wenye kuujua asili ya uwanja ule, mtu km Mbowe wakuja hadhi hiyo ameipata wapi? Ni jambo la ajabu na kustaajabisha
      • Cdm kwa dar mambo ni magumu sana, tuliambiwa kwenye kwenye magazeti (na sijui km ni kweli) kuwa kwa arusha na yenye watu wachache kuzidi Dar watu 10,000 walirudisha kadi, ila kwa Dar na yenye watu wengi zaidi ya Arusha ni 3100 tu. Ndio narudia kusema Dar ina wenyewe sio mji wa kuvamia vamia tu

      Kwa haya machache yaonyesha wazi cdm kwa Dar mna kazi ya ziada, Dar ina wenyewe sio km Arusha. Na wengi waliojitokeza kwenye ule mkutano 80% ni wakuja si wana Dar kindaki ndaki.
      zomba, Rejao and Maundumula like this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #61
      sheiza's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th September 2010
      Posts : 184
      Rep Power : 474
      Likes Received
      28
      Likes Given
      15

      Default

      Quote By GeniusBrain
      Wakuja mwingine huyo, utujibu tu ulikuja kwa usafiri gani wa treni, fuso, basi au nn ? na ilikuwa wakati wa kampeni gani, za mwenge, uhuru au nn ?
      walianza ooh wadini..wakaja ooh kaskazini iyo..imeingia jijini wanaanza ooh WAKUJA wale..mwisho wa siku mnasema cdm inawagawa watz lakini mnaweza kujipima kwa maneno yenu na kauli zenu..hata ivyo kwani wanaopiga kura za dar ni wakazi wa maneromango,vikindu, kimanzichana,mkuranga au ni wakazi wa jiji(wakuja)?..acha kujidanganya..kujifariji gani kumekaa hivyo..

    4. #62
      Mimibaba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2009
      Posts : 3,162
      Rep Power : 1530
      Likes Received
      756
      Likes Given
      591

      Default Re: Kwa hili la cdm jangwani kweli Dar ina wenyewe

      Quote By GeniusBrain
      Kampeni za ccm zakufunga wakati wa uchaguzi wa 2010 watu uwanja ule walijaa kuliko haw a wa cdm , nilishangaa kuona jangwani uwanja una gap kubwa sana japokuwa matangazo mliyafanya kwa nguvu sana. Duh kweli cdm Dar hamna lenu, napendekeza makao makuu ya cdm yahamie arusha
      Ni kweli mafuso yalileta watu wengi si uliyaona? Mbaya zaidi gharama za kuwaleta watu zilitokana na kodi yetu tukiwemo tusio na chama cho chote. Ila niliona kama tarehe 26/5/2012 watu walitembea kwa mguu kuelekea jangwani. Sidhani kuwa wewe ulikwenda kwa miguu yako; nahisi ulitumia gari ya serikali yenye namba bandia.
      Ukweli utakuweka huru daima

    5. #63
      chamgema12's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 17
      Rep Power : 363
      Likes Received
      1
      Likes Given
      36

      Default Re: Kwa hili la cdm jangwani kweli Dar ina wenyewe

      Quote By Jabulani
      Kuna mijitu bado ina mawazo kuwa Dar ni yao! Endeleeni na uzaramo wenu, wajanja wanakuja na kukamata viwanja na kuporomosha majengo, nyie mnakazana kusema hao ni wakuja huku mkiwa mmewauzia viwanja!
      ukweli mtupu kaka!

    6. #64
      mang'ang'a's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 316
      Rep Power : 499
      Likes Received
      64
      Likes Given
      9

      Default Re: Kwa hili la CDM jangwani kweli Dar ina wenyewe

      Quote By GeniusBrain
      Tathmini ya kisayansi ya mkutano wa cdm jangwani ni kama ifuatavyo :
      • Imedhihirika kweli DAR KUNA WENYEWE na si kama Arusha, kwani kwa idadi ya watu , Dar ina watu wengi kuliko Arusha , ila Arusha kwenye mikutano ya cdm watu wengi hujitokeza kuliko hata wale walioonekana jangwani pale kwenye kile ‘kijiumati’ japokuwa matangazo yalikuwa mengi. Hii yadhihirisha Dar ina wenyewe, na wengi wetu ni wakuja si wana Dar kindaki ndaki
      • Mbowe adhihirisha ni mgeni na historia ya Dar. Uwanja wa Jangwani anaujua historia yake? Ni jambo la kushangaza na kustaajabisha kuuita uwanja wa jangwani ni ‘cdm square’. Wenye hadhi hiyo ni wakazi wa Dar wenye kuujua asili ya uwanja ule, mtu km Mbowe wakuja hadhi hiyo ameipata wapi? Ni jambo la ajabu na kustaajabisha
      • Cdm kwa dar mambo ni magumu sana, tuliambiwa kwenye kwenye magazeti (na sijui km ni kweli) kuwa kwa arusha na yenye watu wachache kuzidi Dar watu 10,000 walirudisha kadi, ila kwa Dar na yenye watu wengi zaidi ya Arusha ni 3100 tu. Ndio narudia kusema Dar ina wenyewe sio mji wa kuvamia vamia tu

      Kwa haya machache yaonyesha wazi cdm kwa Dar mna kazi ya ziada, Dar ina wenyewe sio km Arusha. Na wengi waliojitokeza kwenye ule mkutano 80% ni wakuja si wana Dar kindaki ndaki.


      Ulichotumia kufikiri ungetumia kwa mambo mengine uchumi wako ungeimarika isue za DIDAS

    7. #65
      Babuu Rogger's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th November 2011
      Posts : 234
      Rep Power : 425
      Likes Received
      35
      Likes Given
      2

      Default Re: Kwa hili la cdm jangwani kweli Dar ina wenyewe

      Quote By geniusbrain
      cdm bana badala yakujibu hoja wanabaki wanalalamika km mwenyekiti wao pale jangwani, analia lia weeee polisi wamuonee huruma na tume ya katiba iwaonee huruma. Na ww tena hapa unamuiga na ww unalia , tukusaidiaje?
      gamba wewe, hata ufanye nini limegoma kuvuka na unaswampa nalo tu, hamuwezi kusalimika tumeshawabamba.

      M4c kama kawa kama dawa.
      THERE AIN'T NO HIDING PLACE FROM THE FATHER OF CREATION.

    8. Miaka 50

    9. #66
      samstevie's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th November 2011
      Posts : 195
      Rep Power : 419
      Likes Received
      31
      Likes Given
      14

      Default Re: Kwa hili la CDM jangwani kweli Dar ina wenyewe

      Huyu jamaa hata simsomi...hata hao anaowaita wakuja si ni Watanzania kama yeye anavyojiita wa Dar kindakindaki au naye ni mzanzibari mwingine huyu. Tuwekee thread yenye utashi watu wachangie na sii huu upuuzi.
      '' The socialism I believe in is everyone working for each other, everyone having a share of the rewards. It's the way I see football, the way I see life.'' By Bill Shankly

    10. #67
      GeniusBrain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : CHADEMA Makao Makuu
      Posts : 3,809
      Rep Power : 1143
      Likes Received
      187
      Likes Given
      0

      Default Re: Kwa hili la CDM jangwani kweli Dar ina wenyewe

      Quote By KISAKA MORIS
      jamani naomba huyu jamaa aelewe kuwa nchi hii kila mtu anaruhusiwa kuishi na kuweka makazi yake popote kwa kufuata kanuni na taratibu zilizopo bila kuvunja sheria,,,,wakazi wa dar ni wengi sana ila na asilimia kubwa siyo wazaliwa wa pale lakini hao wanahaki ya kupiga kura kama wamejiandikishia huko,,,,, cdm hawakufanya mkutano wakiwatafuta wazawa wa dar kama ingekuwa hivyo ila walikutana na watu wote bila kuhoji huyu mtu ni mzaliwa wa wapi, tukiangalia hivyo hata arusha siyo wakazi wote ni wazawa wa arusha watu wametoka sehemu mbalimbali kutafuta maisha jambo ambalo haliwazuii kuhudhuria mikutano ya siasa kama mwandishi anavyotaka kutuaminisha.

      Idadi ya watu waliojitokeza pale tunasema ni wakazi wa dar kwakuwa mkutano ule ulifanyikia mkoa huo naomba mwandishi kama uliumia sana usitake kuanzisha vijisababu visivyo na msingi,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, ,,,sikutegemea kama kuna mtu anaweza sema sehemu au mkoa fulani "una wenyewe" nchi hii ni mali ya kila mtu kama ni hivyo mbona watu wanaomiliki asilimia kubwa ya maeneo ya dar siyo wazawa??????? Tena inawezekana wewe huna hata hatua moja ya kijisehemu cha kukuzikia tu. Ndugu zangu tumpuuze huyu mtu sana
      Wenye dar , nakupa assignment watafute wakina Mzee iddi simba, wakina mzee sykes nk watakupa habari za wenye dar. Ww ni wa kuja tu, na hakuna sehemu tanzania hii isiyokuwa na wenyewe, usijiaibishe kwa kutojua hilo.

    11. #68
      GeniusBrain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : CHADEMA Makao Makuu
      Posts : 3,809
      Rep Power : 1143
      Likes Received
      187
      Likes Given
      0

      Default Re: Kwa hili la CDM jangwani kweli Dar ina wenyewe

      Quote By samstevie
      Huyu jamaa hata simsomi...hata hao anaowaita wakuja si ni Watanzania kama yeye anavyojiita wa Dar kindakindaki au naye ni mzanzibari mwingine huyu. Tuwekee thread yenye utashi watu wachangie na sii huu upuuzi.
      Na mkianzisha siasa za majimbo, itabidi mwende mliko tok a kwani hatutahitaji wakuja wa dar

    12. #69
      GeniusBrain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : CHADEMA Makao Makuu
      Posts : 3,809
      Rep Power : 1143
      Likes Received
      187
      Likes Given
      0

      Default Re: Kwa hili la cdm jangwani kweli Dar ina wenyewe

      Quote By Babuu Rogger
      gamba wewe, hata ufanye nini limegoma kuvuka na unaswampa nalo tu, hamuwezi kusalimika tumeshawabamba.

      M4c kama kawa kama dawa.
      Enheeeeeee na ww nae umekuja kuimba taarabu km wenzako badala yakujibu cha maana, hv man matatizo gani nyie watu , au ndio hali ngumu ya maisha inafanya mpaka uwezo wenu wakufikiri mdogo kiasi hiki ?

    13. #70
      GeniusBrain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : CHADEMA Makao Makuu
      Posts : 3,809
      Rep Power : 1143
      Likes Received
      187
      Likes Given
      0

      Default Re: Kwa hili la CDM jangwani kweli Dar ina wenyewe

      Quote By mang'ang'a
      Ulichotumia kufikiri ungetumia kwa mambo mengine uchumi wako ungeimarika isue za DIDAS
      Wale wale km wengine, kweli cdm ni chama cha wahuni, wote ngonjera tu ngonjera tu hakuna hata anae jibu kwa hoja zenye mashiko

    14. #71
      GeniusBrain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : CHADEMA Makao Makuu
      Posts : 3,809
      Rep Power : 1143
      Likes Received
      187
      Likes Given
      0

      Default Re: Kwa hili la CDM jangwani kweli Dar ina wenyewe

      Quote By sheiza
      walianza ooh wadini..wakaja ooh kaskazini iyo..imeingia jijini wanaanza ooh WAKUJA wale..mwisho wa siku mnasema cdm inawagawa watz lakini mnaweza kujipima kwa maneno yenu na kauli zenu..hata ivyo kwani wanaopiga kura za dar ni wakazi wa maneromango,vikindu, kimanzichana,mkuranga au ni wakazi wa jiji(wakuja)?..acha kujidanganya..kujifariji gani kumekaa hivyo..
      Najua hii kitu inawauma sana kusemwa ni wakuja ila ni hali halisi , ww dar ulikujaje ?

    15. #72
      Mpenda Kwao's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th April 2008
      Location : Dar es salaam
      Posts : 165
      Rep Power : 597
      Likes Received
      12
      Likes Given
      79

      Default Re: Kwa hili la cdm jangwani kweli Dar ina wenyewe

      Kweli huna unalolijua kama member mmoja alivyosema. Bila kumung'unya maneno, ingekuwa CCM haikuchakachua matokeo kule Segerea CDM ingekuwa na majimbo mangapi Dar na CCM ingebaki na mangapi?



      Quote By GeniusBrain
      Kampeni za ccm zakufunga wakati wa uchaguzi wa 2010 watu uwanja ule walijaa kuliko haw a wa cdm , nilishangaa kuona jangwani uwanja una gap kubwa sana japokuwa matangazo mliyafanya kwa nguvu sana. Duh kweli cdm Dar hamna lenu, napendekeza makao makuu ya cdm yahamie arusha

    16. #73
      Mafie PM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th March 2011
      Posts : 1,213
      Rep Power : 660
      Likes Received
      182
      Likes Given
      1212

      Default Re: Kwa hili la CDM jangwani kweli Dar ina wenyewe

      Quote By GeniusBrain
      Tathmini ya kisayansi ya mkutano wa cdm jangwani ni kama ifuatavyo :
      • Imedhihirika kweli DAR KUNA WENYEWE na si kama Arusha, kwani kwa idadi ya watu , Dar ina watu wengi kuliko Arusha , ila Arusha kwenye mikutano ya cdm watu wengi hujitokeza kuliko hata wale walioonekana jangwani pale kwenye kile ‘kijiumati’ japokuwa matangazo yalikuwa mengi. Hii yadhihirisha Dar ina wenyewe, na wengi wetu ni wakuja si wana Dar kindaki ndaki
      • Mbowe adhihirisha ni mgeni na historia ya Dar. Uwanja wa Jangwani anaujua historia yake? Ni jambo la kushangaza na kustaajabisha kuuita uwanja wa jangwani ni ‘cdm square’. Wenye hadhi hiyo ni wakazi wa Dar wenye kuujua asili ya uwanja ule, mtu km Mbowe wakuja hadhi hiyo ameipata wapi? Ni jambo la ajabu na kustaajabisha
      • Cdm kwa dar mambo ni magumu sana, tuliambiwa kwenye kwenye magazeti (na sijui km ni kweli) kuwa kwa arusha na yenye watu wachache kuzidi Dar watu 10,000 walirudisha kadi, ila kwa Dar na yenye watu wengi zaidi ya Arusha ni 3100 tu. Ndio narudia kusema Dar ina wenyewe sio mji wa kuvamia vamia tu

      Kwa haya machache yaonyesha wazi cdm kwa Dar mna kazi ya ziada, Dar ina wenyewe sio km Arusha. Na wengi waliojitokeza kwenye ule mkutano 80% ni wakuja si wana Dar kindaki ndaki.
      WASI KWA MANENO YAKO KAMA ULE UMATI WOTE NI WA WAHAMIAJI WA DAR, ELEWENI TAYARI MMESHAUPOTEZA MJI. wATU WENGI VILE WAWEZAJIGAMBA KUWA SIYO WATU WA DAR? AU KWAKUWA WALE WAZEE WA DAR WA KAHAWA HAWAKUWEPO? UMEWASAHAU WALE MKULU ANAOPENDA KUWAITA NA KUONGEA NAO?

    17. #74
      Join Date : 17th February 2012
      Posts : 1,427
      Rep Power : 0
      Likes Received
      153
      Likes Given
      4

      Default Re: Kwa hili la CDM jangwani kweli Dar ina wenyewe

      wengine ni wadau wa ccm lakini huu ni upuuzi wa ajabu..mwana ccm halisi hana siasa za kibaguzi kama wewe.nyie ndio wale wana uamsho nini??

    18. #75
      Mkwe21's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 912
      Rep Power : 759
      Likes Received
      212
      Likes Given
      165

      Default Re: Kwa hili la CDM jangwani kweli Dar ina wenyewe

      Basically hii ni Makala ya kujifariji!! Kwani watu wengi walivyosikia ni live coverage Hawakuweza kufika jangwani kutokana na Jiografia ya dsm!! Ila msg sent!! Usafiri wa public dar ni kero ndio maana hata baadhi ya watu Hawakufanikiwa kufika

    19. #76
      mizambwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2008
      Posts : 1,436
      Rep Power : 974
      Likes Received
      367
      Likes Given
      1805

      Default Re: Kwa hili la CDM jangwani kweli Dar ina wenyewe

      Quote By GeniusBrain
      Wenye dar , nakupa assignment watafute wakina Mzee iddi simba, wakina mzee sykes nk watakupa habari za wenye dar. Ww ni wa kuja tu, na hakuna sehemu tanzania hii isiyokuwa na wenyewe, usijiaibishe kwa kutojua hilo.

      Asili ya DSM ni Wazaramo, sasa hawa wazee uliowataja ni Kabila ipi vile.

      Mwenzio sijajuagaaa!!!!!


      KIMBUNGA iNAKUJA!!!!!!!


      MIZAMBWA
      NABII MTARAJWIA
      SASA NIMEAMINI KUWA TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA!!!!, TUANDAE KABURI LA KUIZIKA MWAKA 2015

    20. #77
      GeniusBrain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : CHADEMA Makao Makuu
      Posts : 3,809
      Rep Power : 1143
      Likes Received
      187
      Likes Given
      0

      Default Re: Kwa hili la CDM jangwani kweli Dar ina wenyewe

      Quote By Mkwe21
      Basically hii ni Makala ya kujifariji!! Kwani watu wengi walivyosikia ni live coverage Hawakuweza kufika jangwani kutokana na Jiografia ya dsm!! Ila msg sent!! Usafiri wa public dar ni kero ndio maana hata baadhi ya watu Hawakufanikiwa kufika
      Mtasema mengi tu, ila ukweli lazima tuuseme, hakuna sehemu nchi hii isiyo na wenyewe, sasa nyie tukiwaambia hilo mnasema ubaguzi

    21. #78
      Kyaiyembe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st December 2011
      Location : Kisukuru
      Posts : 1,136
      Rep Power : 604
      Likes Received
      345
      Likes Given
      303

      Default Re: Kwa hili la cdm jangwani kweli Dar ina wenyewe

      Quote By Ishina
      Mwaka huu mmeshikwa pabaya! Umekazania Dar kuna Wenyewe, sasa wenyewe ndo kina nani?!
      Acha kuwa na mawazo magando wewe, nijuavyo mimi Dar ya sasa sio ya kipindi kile Taifa linapata uhuru kutoka kwa mkoloni, ambapo asilimia kubwa walikuwa Wazaramo and the likes. Dar ya sasa ina-mchanganyiko wa watu (makabila) kila aina na kutoka kila pembe ya nchi kuanzia Wazaramo, Wasukuma, wadengereko, waha, wachaga etc. Single yenu mliyotoa ya u-Kaskazini imeanza kuchuja nini?! mmekuja na Single nyingne ya 'Dar kuna Wenyewe'?!. Baada ya hii single ya sasa, mtakuja na single gani?! Mbona kipindi hiki tutasikia mengi.
      Hii ni dalili ya kushikwa sehemu mbaya na magamba yamepata moto.
      Hii single yao inadhihirisha kuwa sasa tumewaingiza uvunguni mwao. Kama Gaddafi alivyofikishwa kwao Sirte,
      Subiri kifo cha aibu kama cha huyo huyo Muammar Gaddaf.
      "Ikulu ni mahala PATAKATIFU,
      mimi sikuchaguliwa kuja kupageuza kuwa pango la wala RUSHWA."
      By J.K. NYERERE.

    22. #79
      GeniusBrain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : CHADEMA Makao Makuu
      Posts : 3,809
      Rep Power : 1143
      Likes Received
      187
      Likes Given
      0

      Default Re: Kwa hili la CDM jangwani kweli Dar ina wenyewe

      Quote By mizambwa
      Asili ya DSM ni Wazaramo, sasa hawa wazee uliowataja ni Kabila ipi vile.

      Mwenzio sijajuagaaa!!!!!


      KIMBUNGA iNAKUJA!!!!!!!


      MIZAMBWA
      NABII MTARAJWIA
      Hivi hata kusoma hujui mkuu ? nimekuambia nakupa assignment, au hujui maana ya neon hilo?

    23. #80
      jigoku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Posts : 1,417
      Rep Power : 996
      Likes Received
      356
      Likes Given
      536

      Default Re: Kwa hili la CDM jangwani kweli Dar ina wenyewe

      Wana bodi nashauri tujenge utamaduni wa kupima thread zinazoletwa hapa jukwaani,maana watu kama huyu anaejiita Geniusbrain,sioni alichopost zaidi ya utumbo tu,kuendelea kujibizana na mtu kama huyu anaeweza kukiogopa na kukikimbia kivuli chake ni kupoteza muda wetu wakuu,jitu kama hili ni la kuachana nalo,kama haoni kinachoendelea na wala hasikii,wala hasikii hata harufu basi asubiri kusimuliwa japo huenda napo asisikie.na kwa kauli za mtu kama huyu kamwe hazina athari kwetu zaidi ni athari kwake

    Page 4 of 10 FirstFirst ... 23456 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...