Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kwa hili la CDM jangwani kweli Dar ina wenyewe

    Report Post
    Page 3 of 10 FirstFirst 12345 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 185
    1. #1
      GeniusBrain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : CHADEMA Makao Makuu
      Posts : 3,827
      Rep Power : 1148
      Likes Received
      188
      Likes Given
      0

      Default Kwa hili la CDM jangwani kweli Dar ina wenyewe

      Tathmini ya kisayansi ya mkutano wa cdm jangwani ni kama ifuatavyo :
      • Imedhihirika kweli DAR KUNA WENYEWE na si kama Arusha, kwani kwa idadi ya watu , Dar ina watu wengi kuliko Arusha , ila Arusha kwenye mikutano ya cdm watu wengi hujitokeza kuliko hata wale walioonekana jangwani pale kwenye kile ‘kijiumati’ japokuwa matangazo yalikuwa mengi. Hii yadhihirisha Dar ina wenyewe, na wengi wetu ni wakuja si wana Dar kindaki ndaki
      • Mbowe adhihirisha ni mgeni na historia ya Dar. Uwanja wa Jangwani anaujua historia yake? Ni jambo la kushangaza na kustaajabisha kuuita uwanja wa jangwani ni ‘cdm square’. Wenye hadhi hiyo ni wakazi wa Dar wenye kuujua asili ya uwanja ule, mtu km Mbowe wakuja hadhi hiyo ameipata wapi? Ni jambo la ajabu na kustaajabisha
      • Cdm kwa dar mambo ni magumu sana, tuliambiwa kwenye kwenye magazeti (na sijui km ni kweli) kuwa kwa arusha na yenye watu wachache kuzidi Dar watu 10,000 walirudisha kadi, ila kwa Dar na yenye watu wengi zaidi ya Arusha ni 3100 tu. Ndio narudia kusema Dar ina wenyewe sio mji wa kuvamia vamia tu

      Kwa haya machache yaonyesha wazi cdm kwa Dar mna kazi ya ziada, Dar ina wenyewe sio km Arusha. Na wengi waliojitokeza kwenye ule mkutano 80% ni wakuja si wana Dar kindaki ndaki.
      zomba, Rejao and Maundumula like this.

    2. RukaaJuu Final

    3. #41
      mizambwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2008
      Posts : 1,439
      Rep Power : 975
      Likes Received
      368
      Likes Given
      1811

      Default Re: Kwa hili la cdm jangwani kweli Dar ina wenyewe

      Quote By Ishina
      Mwaka huu mmeshikwa pabaya! Umekazania Dar kuna Wenyewe, sasa wenyewe ndo kina nani?!
      Acha kuwa na mawazo magando wewe, nijuavyo mimi Dar ya sasa sio ya kipindi kile Taifa linapata uhuru kutoka kwa mkoloni, ambapo asilimia kubwa walikuwa Wazaramo and the likes. Dar ya sasa ina-mchanganyiko wa watu (makabila) kila aina na kutoka kila pembe ya nchi kuanzia Wazaramo, Wasukuma, wadengereko, waha, wachaga etc. Single yenu mliyotoa ya u-Kaskazini imeanza kuchuja nini?! mmekuja na Single nyingne ya 'Dar kuna Wenyewe'?!. Baada ya hii single ya sasa, mtakuja na single gani?! Mbona kipindi hiki tutasikia mengi.
      Hii ni dalili ya kushikwa sehemu mbaya na magamba yamepata moto.


      Huyu GAMBA bila shaka anaposema DSM in wenyewe anamaanisha WALE WAZEE WA DSM AMBAO raisi KIKWETE ANAKWENDAGA KUWAPAGA UDAKU, NA KUOMBA USHAURI WA KUONGOZA NCHI.


      Sasa CDM wameamua kuiita Jangwani kuwa ni CDM SQUARE

      Ikiwezekana kwa kujibu mapigo CCM nao waitishe mkutano kama ule wa juzi tuone watafika wangapi!!!!!!

      ili wabadilishe paitwe CCM SQUARE;

      Juzi hakukuwa na FUSO lililowabeba wana CDM, bali kila mtu alijitegemea kwa uchungu wa nchi na mapenzi kwa CDM.

      Ingelikuwa ni mkutano wa CCM, pale wangeletwa na MAFUSO kutoka Lindi na Mtwara ili uwanja ujae.


      WANA-CCM JUZI WALITAMANI KUZIMIA, WENGINE WALIKATAA KUFUATILIA HATA ITV eti wamekunywa maji ya Bendera!!!




      MIZAMBWA
      NABII MTARAJIWA!!!
      Ishina likes this.
      SASA NIMEAMINI KUWA TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA!!!!, TUANDAE KABURI LA KUIZIKA MWAKA 2015

    4. #42
      luckman's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th October 2010
      Posts : 945
      Rep Power : 631
      Likes Received
      151
      Likes Given
      20

      Default Re: Kwa hili la cdm jangwani kweli Dar ina wenyewe

      Quote By GeniusBrain
      Jibu hoja sio kulalamika kama mwenyekiti wako ww, unalia lia sana na waonekana wapenda kulia kulia ntakuja kukubembeleza mpaka ulale
      reply zako zinaonesha kabisa huna akili!unafaa kuimba taarabu make mipasho inakufaa!what do u want to tell us, i was there, we had a good number of people who came by themself, no free bus or fuso like u used to fool people!we locked the city, 2015 u will remember my words!

    5. #43
      GeniusBrain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : CHADEMA Makao Makuu
      Posts : 3,827
      Rep Power : 1148
      Likes Received
      188
      Likes Given
      0

      Default Re: Kwa hili la cdm jangwani kweli Dar ina wenyewe

      Quote By mizambwa

      Huyu GAMBA bila shaka anaposema DSM in wenyewe anamaanisha WALE WAZEE WA DSM AMBAO raisi KIKWETE ANAKWENDAGA KUWAPAGA UDAKU, NA KUOMBA USHAURI WA KUONGOZA NCHI.


      Sasa CDM wameamua kuiita Jangwani kuwa ni CDM SQUARE

      Ikiwezekana kwa kujibu mapigo CCM nao waitishe mkutano kama ule wa juzi tuone watafika wangapi!!!!!!

      ili wabadilishe paitwe CCM SQUARE;

      Juzi hakukuwa na FUSO lililowabeba wana CDM, bali kila mtu alijitegemea kwa uchungu wa nchi na mapenzi kwa CDM.

      Ingelikuwa ni mkutano wa CCM, pale wangeletwa na MAFUSO kutoka Lindi na Mtwara ili uwanja ujae.


      WANA-CCM JUZI WALITAMANI KUZIMIA, WENGINE WALIKATAA KUFUATILIA HATA ITV eti wamekunywa maji ya Bendera!!!




      MIZAMBWA
      NABII MTARAJIWA!!!
      Hujajibu chochote kwenye hoja zaidi ya nyimbo hizo za taarabu, unafaa sana kujiunga na Jahazi ww, na hivi huna kazi ntakusaidia wakupe hii kazi yakuimba.

    6. #44
      Paxman's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2010
      Location : MIT
      Posts : 1,067
      Rep Power : 1130
      Likes Received
      383
      Likes Given
      598

      Default Re: Kwa hili la CDM jangwani kweli Dar ina wenyewe

      Ni Upepo tu thread hii inapita tu!
      "....It was dawning on me that I was giving my son the same advice my parents had given me. The world around us has changed, but the advice hasn't...."
      ...Robert T. Kiyosaki

    7. cr9
      #45
      cr9's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 13th October 2010
      Posts : 112
      Rep Power : 459
      Likes Received
      16
      Likes Given
      1

      Default Re: Kwa hili la CDM jangwani kweli Dar ina wenyewe

      We jidanganye tu ILA ITAFAHAMIKA TU endelea kujiliwaza na hizo statistics zako wakati wenzako wakiendelea kuvua magamba na kuvaa magwanda

    8. Miaka 50

    9. #46
      GeniusBrain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : CHADEMA Makao Makuu
      Posts : 3,827
      Rep Power : 1148
      Likes Received
      188
      Likes Given
      0

      Default Re: Kwa hili la cdm jangwani kweli Dar ina wenyewe

      Quote By luckman
      reply zako zinaonesha kabisa huna akili!unafaa kuimba taarabu make mipasho inakufaa!what do u want to tell us, i was there, we had a good number of people who came by themself, no free bus or fuso like u used to fool people!we locked the city, 2015 u will remember my words!
      Nimekuuliza hujajibu, ww dar ulikujaje ? jibu basi mbona unakimbia kimbia

    10. #47
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,206
      Rep Power : 2625
      Likes Received
      3000
      Likes Given
      13653

      Default Re: Kwa hili la cdm jangwani kweli Dar ina wenyewe

      Quote By GeniusBrain
      Wenye dar yetu na sio wakuja wa dar, haya endelea
      basi hakika hawa unaowaita wakuja wamewashika pabaya.
      kumbe ule mkutano umewaumiza roho sana??
      "Serikalii hii ni IMPOTENT kuanzia yule wa juu hadi walioko chini" by Dr. Slaa

    11. #48
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,206
      Rep Power : 2625
      Likes Received
      3000
      Likes Given
      13653

      Default Re: Kwa hili la CDM jangwani kweli Dar ina wenyewe

      Quote By njiwa


      naunga mkono hoja! jangwani ile wakifunga CCM inajaa hadi inatema! utawasikia wapinzani ohh wamebebwa na malori..
      aisee unatia huruma kijana.
      "Serikalii hii ni IMPOTENT kuanzia yule wa juu hadi walioko chini" by Dr. Slaa

    12. #49
      GeniusBrain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : CHADEMA Makao Makuu
      Posts : 3,827
      Rep Power : 1148
      Likes Received
      188
      Likes Given
      0

      Default Re: Kwa hili la cdm jangwani kweli Dar ina wenyewe

      Quote By Daudi mchambuzi
      basi hakika hawa unaowaita wakuja wamewashika pabaya.
      kumbe ule mkutano umewaumiza roho sana??
      Wenye dar yetu wala hawatunyimi usingizi, subirini 2015 . Kwa ww wakuja wa dar ndio mnao babaika

    13. #50
      Waberoya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd August 2008
      Location : Busia-Uganda
      Posts : 5,948
      Rep Power : 1742
      Likes Received
      1518
      Likes Given
      2835

      Default Re: Kwa hili la cdm jangwani kweli Dar ina wenyewe

      Quote By Eddie
      Maneno yako twayyyib! kale kajiumati wengi wao ni mafundi gereji waliobebwa na malori ya wachaga kutoka kigogo dampo, tabata, mabaamedi wa Sinza, wauza kitimoto wa kimara, mbezi, na ubungo.

      Hawa Chadema kweli wageni mjini hawajawahi kuona jangwa linavyojazwa? ule ulikuwa mkutano wa Injili tu ndio maana kulikuwa na makapu ya sadaka Lema anakusanya, mkutano wa siasa sadaka za nini?
      Kwani Lema amekuwa shemasi tangu alipoondolewa ubunge??
      You are not supposed to be so blind with patrotism that you cant face reality. Wrong is wrong no matter who says it. Malcom X

    14. #51
      Ringo Edmund's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2010
      Location : MDAWI
      Posts : 3,671
      Rep Power : 1361
      Likes Received
      885
      Likes Given
      586

      Default Re: Kwa hili la CDM jangwani kweli Dar ina wenyewe

      badili hilo jina hulitendei haki.
      ​kusema ni fedha na kusikilizwa ni zahabu.

    15. #52
      Waberoya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd August 2008
      Location : Busia-Uganda
      Posts : 5,948
      Rep Power : 1742
      Likes Received
      1518
      Likes Given
      2835

      Default Re: Kwa hili la CDM jangwani kweli Dar ina wenyewe

      Quote By njiwa


      naunga mkono hoja! jangwani ile wakifunga CCM inajaa hadi inatema! utawasikia wapinzani ohh wamebebwa na malori..
      si mnawalisha watu pilau na kuwawekea taarabu na akina kapteni komba?? bongo fleva usiseme ...watoto wote wa mjini lazima waje..ha ha ha!
      mizambwa, FREDOMFIGHTER and Ishina like this.
      You are not supposed to be so blind with patrotism that you cant face reality. Wrong is wrong no matter who says it. Malcom X

    16. #53
      mizambwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2008
      Posts : 1,439
      Rep Power : 975
      Likes Received
      368
      Likes Given
      1811

      Default Re: Kwa hili la cdm jangwani kweli Dar ina wenyewe

      Quote By GeniusBrain
      Hujajibu chochote kwenye hoja zaidi ya nyimbo hizo za taarabu, unafaa sana kujiunga na Jahazi ww, na hivi huna kazi ntakusaidia wakupe hii kazi yakuimba.

      Umeona eeeeeeee!!!!!!!!

      Taarabu wanaimba CCm na John Komba.

      NA BADO HUU NI UPEPO tu UKIPITA INAKUJA MVUA KUBWA KULIKO MLIYOSHUHUDIA PALE CDM SQUARE Juzi.

      Kabla ya mwaka 2015 CCM wote mtafunga ofisi, yuheri atakayebaki wa mwisho kwani atarithi mali zote za CCM.

      KIMBUNGA INAKUJA SUBIRINI!!!!!!!!!!!!!!!!!!!



      MIZAMBWA
      NABII MTARAJIWA!!!
      SASA NIMEAMINI KUWA TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA!!!!, TUANDAE KABURI LA KUIZIKA MWAKA 2015

    17. #54
      Waberoya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd August 2008
      Location : Busia-Uganda
      Posts : 5,948
      Rep Power : 1742
      Likes Received
      1518
      Likes Given
      2835

      Default Re: Kwa hili la cdm jangwani kweli Dar ina wenyewe

      Quote By GeniusBrain
      Wenye dar yetu wala hawatunyimi usingizi, subirini 2015 . Kwa ww wakuja wa dar ndio mnao babaika
      wewe GB asante umenifurahisha sana leo kwa thread yako ya utani! LOL!

      hivi huyu Mnyika ni mbunge wa wapi? na waliomchagua si ni watu wa dar?? mdee je? au nyie wenyeji wa dar jijini DSM mko sehemu gani hasa?
      mizambwa and FREDOMFIGHTER like this.
      You are not supposed to be so blind with patrotism that you cant face reality. Wrong is wrong no matter who says it. Malcom X

    18. #55
      Kaitampunu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2011
      Location : Kwenye Corner
      Posts : 665
      Rep Power : 512
      Likes Received
      138
      Likes Given
      198

      Default Re: Kwa hili la cdm jangwani kweli Dar ina wenyewe

      Quote By GeniusBrain
      Kampeni za ccm zakufunga wakati wa uchaguzi wa 2010 watu uwanja ule walijaa kuliko haw a wa cdm , nilishangaa kuona jangwani uwanja una gap kubwa sana japokuwa matangazo mliyafanya kwa nguvu sana. Duh kweli cdm Dar hamna lenu, napendekeza makao makuu ya cdm yahamie arusha
      Ndugu, unajua maana ya hiyo ID yako? Si ni kweli mnasombaga watu kwenye mikutano yenu? Mnawekewaga vizigiti na polisi kama CDM? Umeongelea siku kufunga kampeni, je siku ya kufungua ilikuwaje? Mkutano wa juzi kumbuka ni mkutano wa kwanza kwa Dar. Mpaka leo kila mtu anaongelea huo mkutano wa juzi ikiwa ni pamoja na kujilaumu kutohudhuria. Ukiitshwa mwingine ndo utapata majibu sahihi.

    19. #56
      NINSIMA's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 7
      Rep Power : 361
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Kwa hili la CDM jangwani kweli Dar ina wenyewe

      Haohao
      Quote By GeniusBrain
      Tathmini ya kisayansi ya mkutano wa cdm jangwani ni kama ifuatavyo :
      • Imedhihirika kweli DAR KUNA WENYEWE na si kama Arusha, kwani kwa idadi ya watu , Dar ina watu wengi kuliko Arusha , ila Arusha kwenye mikutano ya cdm watu wengi hujitokeza kuliko hata wale walioonekana jangwani pale kwenye kile ‘kijiumati’ japokuwa matangazo yalikuwa mengi. Hii yadhihirisha Dar ina wenyewe, na wengi wetu ni wakuja si wana Dar kindaki ndaki
      • Mbowe adhihirisha ni mgeni na historia ya Dar. Uwanja wa Jangwani anaujua historia yake? Ni jambo la kushangaza na kustaajabisha kuuita uwanja wa jangwani ni ‘cdm square’. Wenye hadhi hiyo ni wakazi wa Dar wenye kuujua asili ya uwanja ule, mtu km Mbowe wakuja hadhi hiyo ameipata wapi? Ni jambo la ajabu na kustaajabisha
      • Cdm kwa dar mambo ni magumu sana, tuliambiwa kwenye kwenye magazeti (na sijui km ni kweli) kuwa kwa arusha na yenye watu wachache kuzidi Dar watu 10,000 walirudisha kadi, ila kwa Dar na yenye watu wengi zaidi ya Arusha ni 3100 tu. Ndio narudia kusema Dar ina wenyewe sio mji wa kuvamia vamia tu

      Kwa haya machache yaonyesha wazi cdm kwa Dar mna kazi ya ziada, Dar ina wenyewe sio km Arusha. Na wengi waliojitokeza kwenye ule mkutano 80% ni wakuja si wana Dar kindaki ndaki.
      Hao unao waita wakuja ndio watakao ikomboa Dar kutoka mikononi mwa magamba na kwa kuanzia wameanza na majimbo ya Ubungo na Kawe.

    20. #57
      sheiza's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th September 2010
      Posts : 184
      Rep Power : 475
      Likes Received
      28
      Likes Given
      15

      Default Re: Kwa hili la CDM jangwani kweli Dar ina wenyewe

      kitu kikubwa nilichojifunza ni kuwa cdm members wana roho mbaya sana..sisi wote ni watz.. na kawaida binadamu mwenzio akipata matatizo unatakiwa umfariji..tofauti na cdm members wao wamekuwa wauaji..wana ccm wamekuwa wakijitahidi kujifariji kutokana na umauti unaowanyemelea kwani imethibitika hiyo kansa hawaponi tena..lakini cdm wamezidi kuwaimbia wimbo wa kifo..mi nadhani sasa cdm ifikie kuacha kuwasakama wana ccm ili ukifika muda wa wao kurest in peace wasitafute chanzo maana wanachosubiri ni saa tu..

    21. #58
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,514
      Rep Power : 19791
      Likes Received
      4314
      Likes Given
      1290

      Default Re: Kwa hili la CDM jangwani kweli Dar ina wenyewe

      kweli ccm wameshikwa pabaya.

    22. #59
      KISAKA MORIS's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Posts : 367
      Rep Power : 430
      Likes Received
      30
      Likes Given
      42

      Default Re: Kwa hili la CDM jangwani kweli Dar ina wenyewe

      jamani naomba huyu jamaa aelewe kuwa nchi hii kila mtu anaruhusiwa kuishi na kuweka makazi yake popote kwa kufuata kanuni na taratibu zilizopo bila kuvunja sheria,,,,wakazi wa dar ni wengi sana ila na asilimia kubwa siyo wazaliwa wa pale lakini hao wanahaki ya kupiga kura kama wamejiandikishia huko,,,,, cdm hawakufanya mkutano wakiwatafuta wazawa wa dar kama ingekuwa hivyo ila walikutana na watu wote bila kuhoji huyu mtu ni mzaliwa wa wapi, tukiangalia hivyo hata arusha siyo wakazi wote ni wazawa wa arusha watu wametoka sehemu mbalimbali kutafuta maisha jambo ambalo haliwazuii kuhudhuria mikutano ya siasa kama mwandishi anavyotaka kutuaminisha.

      Idadi ya watu waliojitokeza pale tunasema ni wakazi wa dar kwakuwa mkutano ule ulifanyikia mkoa huo naomba mwandishi kama uliumia sana usitake kuanzisha vijisababu visivyo na msingi,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, ,,,sikutegemea kama kuna mtu anaweza sema sehemu au mkoa fulani "una wenyewe" nchi hii ni mali ya kila mtu kama ni hivyo mbona watu wanaomiliki asilimia kubwa ya maeneo ya dar siyo wazawa??????? Tena inawezekana wewe huna hata hatua moja ya kijisehemu cha kukuzikia tu. Ndugu zangu tumpuuze huyu mtu sana

    23. #60
      Capt Tamar's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2011
      Posts : 1,713
      Rep Power : 1037
      Likes Received
      415
      Likes Given
      1

      Default Re: Kwa hili la CDM jangwani kweli Dar ina wenyewe

      Sawa kabisa bwana Gb,kwa hiyo arusha kadi 10000,Dar-3100,endelea kuhesabu M4c bado inaendelea.

    Page 3 of 10 FirstFirst 12345 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...