Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

    Report Post
    Page 1 of 20 12311 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 389
    1. #1
      W. J. Malecela's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th March 2009
      Posts : 4,511
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2029
      Likes Given
      1819

      Default Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      ki.

      Mwenyekiti wa Chama cha kuwakomboa wananchi, anapotumia magari kama ya watawala, inasema nini kuhusu huu ukombozi? VX8, tena sio moja, Wasaidizi, Dreva, MABENDERA, KUCHELEWA KUFIKA UWANJANI, bado hajashika nchi, je akishika tutegemee nini tofauti, maana haya si ndio ya kawaida kwa watawala? Kwenye kuvaa kombati sawa lakini mengine hayo mbona sawa na watawala?

      - NAOMBA KUTOA HOJA, MAANA WAKOMBOZI KINA CASTRO, CHE GUEVARA, MAO, NA SAVIMBI HATUKUWAONA NA MA-VX8, AU WASAIDIZI AU NI UKOMBOZI TOFAUTI?

      - KUONGOZA SI NI MFANO ZAIDI? MUNGU AIBARIKI TANZANIA!


      William.
      Attached Thumbnails  
      Last edited by W. J. Malecela; 28th May 2012 at 11:29.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,708
      Rep Power : 10173
      Likes Received
      5668
      Likes Given
      12666

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Tunakuheshimu sana Willie kama hoja za nguvu zimekushinda sema ..kwa staili hii ya hoja hafifu unajishushia hadhi




      COMPARE NA MGOMBEA UBUNGE WA EAST AFRIKA



      nitupie picha ya mbunge wa ccm mwenye ki vitz
      Last edited by Saint Ivuga; 28th May 2012 at 12:16.
      Ogah, Jasusi, BAK and 34 others like this.
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    4. #3
      Pokola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th July 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 485
      Rep Power : 546
      Likes Received
      51
      Likes Given
      76

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      You are very myopic William. Unafit sana kule facebook.
      Kigogo, Tuandamane, Yo Yo and 5 others like this.
      Watanzania ikimbieni Rushwa!!

    5. #4
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,708
      Rep Power : 10173
      Likes Received
      5668
      Likes Given
      12666

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Quote By Pokola
      You are very myopic William. Unafit sana kule facebook.
      kule wanampigia makofi ukimponda ana ku unfriend
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    6. #5
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,315
      Rep Power : 1200
      Likes Received
      1184
      Likes Given
      1560

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Yaani hapa umeongea kishambenga kweli kweli, Tunaomba utuwekee na za mwalimu pia sababu hata yeye alipigana kwenye mazingira magumu sana, Au kwa vile yeye alifrustrate issues za mzee, ha ha ha mha mha mha haa, unafiki bwana.
      Last edited by Sangarara; 28th May 2012 at 14:45.
      BAK, Tuandamane, Yo Yo and 2 others like this.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      TaiJike's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2011
      Posts : 1,156
      Rep Power : 607
      Likes Received
      387
      Likes Given
      347

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Yaani nawe toka uchemshe kwenye ile ya AM akili haifanyi kazi tena umelewa na nini mkuu?
      Yo Yo likes this.
      * Nitashangaa kama hawa Watanzania watakataa kuasi. Kwanini wasiasi? * - Julius Kambarage Nyerere


    9. #7
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,176
      Rep Power : 1951
      Likes Received
      2994
      Likes Given
      13624

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Wivu hukaa kifuani kwa mtu mjinga.
      Tuandamane likes this.

    10. #8
      DALLAI LAMA's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 8th March 2012
      Posts : 2,831
      Rep Power : 0
      Likes Received
      697
      Likes Given
      0

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Ndo maana unastahili hali ya upedezhee ulonayo kama kinje...hufai siasa.unajipendekeza wakti uteuzi ushapita.utaihama nchi 2015 kutokana na jina lako surname yenye laana ya mwalimu.period
      Tuandamane likes this.

    11. #9
      Kimbunga's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Kisiwani Juma
      Posts : 7,478
      Rep Power : 6168
      Likes Received
      3054
      Likes Given
      1017

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Quote By Saint Ivuga
      Tunakuheshimu sana Willie kama hoja za nguvu zimekushinda sema ..kwa staili hii ya hoja hafifu unajishushia hadhi







      nitupie picha ya mbunge wa ccm mwenye ki vitz
      Mnyika ni tofauti na watawala na ni tofauti na wengi CDM! Mnyika ni Mnyika kwa hoja na kwa matendo. Big up Mnyika, ugomvi wangu na Mnyika umebaki kwenye posho tu. Akiungana na Zitto basi amemaliza.
      CCM na CDM vyote ni vyama vya siasa vinavyoongozwa na wanasiasa; tofauti yao kubwa ni moja kwamba kimoja kina dola kingine kinataka kushika dola.

    12. #10
      hoyce's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th October 2010
      Posts : 478
      Rep Power : 530
      Likes Received
      106
      Likes Given
      1

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Hakuna anayechukia mtu yeyote kuwa na gari zuri la thamani, bali kinachogomba ni kutumia fedha za umma kufanya hivyo. Ndo maana hatuhoji magari yako binafsi, wala hatuna sababu ya kuhoji gari binafsi la Mbowe.
      Mbalamwezi, Tuandamane and jcb like this.

    13. #11
      thatha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 5,024
      Rep Power : 0
      Likes Received
      227
      Likes Given
      1

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Quote By W. J. Malecela


      Mwenyekiti wa Chama cha kuwakomboa wananchi, anapotumia magari kama ya watawala, inasema nini kuhusu huu ukombozi? VX8, tena sio moja, Wasaidizi, Dreva, MABENDERA, KUCHELEWA KUFIKA UWANJANI, bado hajashika nchi, je akishika tutegemee nini tofauti, maana haya si ndio ya kawaida kwa watawala? Kwenye kuvaa kombati sawa lakini mengine hayo mbona sawa na watawala?

      - NAOMBA KUTOA HOJA, MAANA WAKOMBOZI KINA CASTRO, CHE GUEVARA, MAO, NA SAVIMBI HATUKUWAONA NA MA-VX8, AU WASAIDIZI AU NI UKOMBOZI TOFAUTI?

      - KUONGOZA SI NI MFANO ZAIDI? MUNGU AIBARIKI TANZANIA!


      William.

      William usichanganye mambo, yanayolalamikiwa na wananchi ni matumizi mabaya ya kodi zao kwenye mambo yasiyokuwa na umuhimu wowote kwa maisha na ustawi wa walipa kodi. Hapo hata kama umeona ma-VX V8 ni kwamba hayajanunuliwa kwa fedha za walipa kodi wa TZ, mafuta na gharama za matengenezo(maintenance) hazitokani na hazina yetu. Umeona jinsi ambavyo wanaaminika kiasi cha kuweza kuwachangisha watu kwenye mikutano yao, jaribuni na nyinyi kuomba michango ya wananchi kama mtapata hata thumni.
      Asprin and MARKYAO like this.

    14. #12
      Bikira Wa Kiume's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th December 2011
      Location : Rock City
      Posts : 154
      Rep Power : 407
      Likes Received
      26
      Likes Given
      10

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Huyu mwanzisha maadandiye yule aliyekuwa mgombea ubunge wa Afrika mashariki na akakosa?. Kama ndo yeye jina la Bwana lihimidiwe maana kwa pumba hizi sijui kama angeweza kweli kuitetea nchi yake. Poor him
      Cha Moto likes this.
      YESU NI MUNGU na ALLAH NI SHETANI

    15. #13
      Saas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2011
      Posts : 270
      Rep Power : 455
      Likes Received
      74
      Likes Given
      57

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      I never knew you were this empty headed and very shallow upstairs...huko unakosema kuchelewa kufika uwanjani sielewi una mantiki gani maana naona ni porojo kama za kwenye vijiwe vya kuuza kawa pale kariakoo labda kama na wewe umeanza kukaa kwenye hivyo vijiwe sawa.

      Kama msafara wa Mbowe ungefika baada ya saa kumi ambapo mkutano ndio ulipaswa kuanza then ningekuelewa lakini walifika before saa kumi which was okay.

      Ulitaka Mbowe atembelee Bajaj?? VX8 inahusiana vipi na ukombozi? Fikra zako ni finyu sana unapigia kelele VX ya Mbowe wakati Serikali ya CCM ina magari yenye thamani ya trilioni 4.

      Narudia tena very shallow thread and thinking
      Tuandamane likes this.

    16. #14
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,533
      Rep Power : 1263
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      28

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      huyu jamaa inabidi awe na msafara wa magari coz knowing ccm wanaweza wakamdedisha...
      Tuandamane likes this.
      Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde

      One man's good fortune is another man's misfortune


    17. #15
      W. J. Malecela's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th March 2009
      Posts : 4,511
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2029
      Likes Given
      1819

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Quote By Kimbunga
      Mnyika ni tofauti na watawala na ni tofauti na wengi CDM! Mnyika ni Mnyika kwa hoja na kwa matendo. Big up Mnyika, ugomvi wangu na Mnyika umebaki kwenye posho tu. Akiungana na Zitto basi amemaliza.



      - Mkuu tizama nyumba aliyokuwa anaishi Savimbi!, huyo ni msaidizi amekuja kuchukua ujumbe tu, sio ma-vx8, mabendera, madereva tizama ukombozi hapo ndio maisha yake hayo juu, umemuona savimbi hapo mwenye kombati!


      William.

    18. #16
      Kimbunga's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Kisiwani Juma
      Posts : 7,478
      Rep Power : 6168
      Likes Received
      3054
      Likes Given
      1017

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Quote By W. J. Malecela


      Mwenyekiti wa Chama cha kuwakomboa wananchi, anapotumia magari kama ya watawala, inasema nini kuhusu huu ukombozi? VX8, tena sio moja, Wasaidizi, Dreva, MABENDERA, KUCHELEWA KUFIKA UWANJANI, bado hajashika nchi, je akishika tutegemee nini tofauti, maana haya si ndio ya kawaida kwa watawala? Kwenye kuvaa kombati sawa lakini mengine hayo mbona sawa na watawala?

      - NAOMBA KUTOA HOJA, MAANA WAKOMBOZI KINA
      CASTRO, CHE GUEVARA, MAO, NA SAVIMBI HATUKUWAONA NA MA-VX8, AU WASAIDIZI AU NI UKOMBOZI TOFAUTI?

      - KUONGOZA SI NI MFANO ZAIDI? MUNGU AIBARIKI TANZANIA!


      William.
      Hao walikuwa ni wakombozi waliokuwa wakitaka kuwakomboa wanyonywaji toka kwa wanyonyaji. Walikuwa wakiishi misituni na walikuwa na mitutu ya bunduki wakiwindana na wanyonyaji. Hawa wengine wanataka utawala kuwaondoa watawala waliopo. Wao wana nafasi ya kutembea na kutamalaki hadharani siwezi kuwalinganisha na akina Moises Samora Machel.
      CCM na CDM vyote ni vyama vya siasa vinavyoongozwa na wanasiasa; tofauti yao kubwa ni moja kwamba kimoja kina dola kingine kinataka kushika dola.

    19. #17
      Maundumula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 4,920
      Rep Power : 3095
      Likes Received
      1340
      Likes Given
      5654

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Hizo V8 zimekaa kama zile za kutoka dubai USED, sio mbaya sana.
      Dingswayo, Fighter and stephot like this.

    20. #18
      kastarehe's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th January 2012
      Posts : 231
      Rep Power : 416
      Likes Received
      38
      Likes Given
      57

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Quote By W. J. Malecela


      Mwenyekiti wa Chama cha kuwakomboa wananchi, anapotumia magari kama ya watawala, inasema nini kuhusu huu ukombozi? VX8, tena sio moja, Wasaidizi, Dreva, MABENDERA, KUCHELEWA KUFIKA UWANJANI, bado hajashika nchi, je akishika tutegemee nini tofauti, maana haya si ndio ya kawaida kwa watawala? Kwenye kuvaa kombati sawa lakini mengine hayo mbona sawa na watawala?

      - NAOMBA KUTOA HOJA, MAANA WAKOMBOZI KINA CASTRO, CHE GUEVARA, MAO, NA SAVIMBI HATUKUWAONA NA MA-VX8, AU WASAIDIZI AU NI UKOMBOZI TOFAUTI?

      - KUONGOZA SI NI MFANO ZAIDI? MUNGU AIBARIKI TANZANIA!


      William.
      Mbaazi ikishindwa kutoa maua husingizia jua!!
      Kila wakati binadamu anatakiwa awe na ustaarabu wa fikra. Mawazo ya kutumwa au kutumiwa huharibu UTU wa mtu hata angekuwa msomi. Nini maada ya thread hii for heaven's sake!!
      Mnama likes this.

    21. #19
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,342
      Rep Power : 7768
      Likes Received
      1545
      Likes Given
      1793

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Quote By Saint Ivuga
      kule wanampigia makofi ukimponda ana ku unfriend
      Yaa, uko sahihi nakumbuka wakati anagombea Ubunge EA nilitofautiana naye aka niunfriend baada ya harakati za Ubunge kwisha akaniomba tena urafiki. Hii mbaya sana mtu kuwa kinyume nawe kwa hoja unamkataa urafiki.

    22. #20
      saimon111's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th April 2012
      Posts : 157
      Rep Power : 390
      Likes Received
      22
      Likes Given
      225

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      point of correction hayo magari ya CHADEMA walinunua wananchi na mengine kwa njia ya misaada sio kwa hela ya chama......alaf kama point ni magari wabunge wa Magamba mbona wanamagari mpaka ya million 800

    Page 1 of 20 12311 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...