Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

    Report Post
    Page 2 of 20 FirstFirst 123412 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 389
    1. #1
      W. J. Malecela's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th March 2009
      Posts : 4,511
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2029
      Likes Given
      1819

      Default Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      ki.

      Mwenyekiti wa Chama cha kuwakomboa wananchi, anapotumia magari kama ya watawala, inasema nini kuhusu huu ukombozi? VX8, tena sio moja, Wasaidizi, Dreva, MABENDERA, KUCHELEWA KUFIKA UWANJANI, bado hajashika nchi, je akishika tutegemee nini tofauti, maana haya si ndio ya kawaida kwa watawala? Kwenye kuvaa kombati sawa lakini mengine hayo mbona sawa na watawala?

      - NAOMBA KUTOA HOJA, MAANA WAKOMBOZI KINA CASTRO, CHE GUEVARA, MAO, NA SAVIMBI HATUKUWAONA NA MA-VX8, AU WASAIDIZI AU NI UKOMBOZI TOFAUTI?

      - KUONGOZA SI NI MFANO ZAIDI? MUNGU AIBARIKI TANZANIA!


      William.
      Last edited by W. J. Malecela; 28th May 2012 at 11:29.

    2. FemaTV & Radio

    3. #21
      Kimbunga's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Kisiwani Juma
      Posts : 7,476
      Rep Power : 6168
      Likes Received
      3043
      Likes Given
      1016

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Quote By W. J. Malecela
      Attachment 54787


      - Mkuu tizama nyumba aliyokuwa anaishi Savimbi!, huyo ni msaidizi amekuja kuchukua ujumbe tu, sio ma-vx8, mabendera, madereva tizama ukombozi hapo ndio maisha yake hayo juu, umemuona savimbi hapo mwenye kombati!


      William.
      Mkuu ulitaka Savimbi akaishi jumba la kifahari huko Luanda akiwa na mitutu huku watawala wakimuangalia tu! Hayo hapo juu ndio maisha ya wakombozi wote. Ninachokisema ni kwamba hapa hakuna wakombozi ila watu wanaotaka kuwaondoa watawala ili wao watawale. Mtu kuitwa mkombozi si mchezo. Mara nyingi wakombozi huwa si wanasiasa japokuwa wakishakomboa wengine hugeuka na kuwa wanasiasa wa hovyo kabisa!
      CCM na CDM vyote ni vyama vya siasa vinavyoongozwa na wanasiasa; tofauti yao kubwa ni moja kwamba kimoja kina dola kingine kinataka kushika dola.

    4. #22
      Mvaa Tai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2009
      Location : Ngudu, Mwanza
      Posts : 3,414
      Rep Power : 1179
      Likes Received
      1396
      Likes Given
      911

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Quote By W. J. Malecela
      Attachment 54787


      - Mkuu tizama nyumba aliyokuwa anaishi Savimbi!, huyo ni msaidizi amekuja kuchukua ujumbe tu, sio ma-vx8, mabendera, madereva tizama ukombozi hapo ndio maisha yake hayo juu, umemuona savimbi hapo mwenye kombati!


      William.
      Nilikuwa sifahamu Kwamba Willy ni kilaza wa uzito huu. Unajua hayo ma Vx ni old model ambayo hata mtu wa kawaida tu anayo na isitoshe huwezi ukamfananisha Mbabe wa vita Savimbi na Mbowe. Hili jamaa kumbe kubwa jinga hivi.
      Asprin, Yo Yo, Bigirita and 6 others like this.
      Mnang'oa meno ya Tembo ili mukayauze, mnang'oa meno na Kucha za Watanzania wasio na hatia ili iweje?

    5. #23
      lukindo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th March 2010
      Posts : 1,575
      Rep Power : 781
      Likes Received
      415
      Likes Given
      481

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Quote By W. J. Malecela
      Attachment 54787


      - Mkuu tizama nyumba aliyokuwa anaishi Savimbi!, huyo ni msaidizi amekuja kuchukua ujumbe tu, sio ma-vx8, mabendera, madereva tizama ukombozi hapo ndio maisha yake hayo juu, umemuona savimbi hapo mwenye kombati!


      William.
      nyumba anamoishi Kony umewahi kuiona!?
      nadhani cdm na UNITA ni vitu viwili tofauti labda ikibidi huko tuendako vimaweza kufanana, achana na milinganisho isiyoendeana!
      Mvaa Tai likes this.

    6. #24
      kanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Posts : 725
      Rep Power : 568
      Likes Received
      288
      Likes Given
      409

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Akili ya Wiliam ni sawa na mtoto njiti.Bado anaendelea kukua ubongo
      lukindo and mathematics like this.

    7. #25
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,339
      Rep Power : 7766
      Likes Received
      1543
      Likes Given
      1792

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Uko sahihi mkuu! Nampongeza sana Mnyika Hana Makuu kaka wa watu. Kusema ukweli Kama wanapiga kelele Viongozi wa Serikali wanunue Magari ya chini wao walitakiwa kuwa mfano wa kutumia hayo Magari hata Kama wanatumia kwa fedha zao. Tuone maisha Yao halisi Na wala si kuwatupia mawe wenzao.
      Asprin likes this.

    8. Miaka 50

    9. #26
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,175
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2994
      Likes Given
      13624

      Default

      Quote By W. J. Malecela
      Attachment 54787 - Mkuu tizama nyumba aliyokuwa anaishi Savimbi!, huyo ni msaidizi amekuja kuchukua ujumbe tu, sio ma-vx8, mabendera, madereva tizama ukombozi hapo ndio maisha yake hayo juu, umemuona savimbi hapo mwenye kombati! William.
      Hii reference ni irrelevant, haihitaji degree kujua kuwa savimbi,che na wengine uliowataja hawaendani totally na mbowe or whoever in cdm. Think the big picture bwana mdogo, speak sense you creature.
      Last edited by Daudi Mchambuzi; 28th May 2012 at 12:19.
      lukindo likes this.

    10. #27
      Saas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2011
      Posts : 270
      Rep Power : 455
      Likes Received
      74
      Likes Given
      57

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Quote By W. J. Malecela
      Attachment 54787


      - Mkuu tizama nyumba aliyokuwa anaishi Savimbi!, huyo ni msaidizi amekuja kuchukua ujumbe tu, sio ma-vx8, mabendera, madereva tizama ukombozi hapo ndio maisha yake hayo juu, umemuona savimbi hapo mwenye kombati!


      William.
      Wewe banaa hata kujieleza haujui ndio maana walikupiga chini kwenye Ubunge EAC....kwahiyo unataka nyumba aliyoishi Savimbi ndio Mbowe waishi hivyo hivyo ni sawa sawa uwe na hela mfukoni badala ya kupanda daladala eti unatembea kama kielelezo cha kubana nauli...
      lukindo likes this.

    11. #28
      Wingu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 3,973
      Rep Power : 1217
      Likes Received
      247
      Likes Given
      41

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Cheza na V8 wewe muulize waziti mkuu wako Pinda alibana akaachia.Hiyo kitu kwenye makorongo hapana sikia.Ushawahi panda wewe hutakaa ukakataa ukipewa.

    12. #29
      Kimbunga's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Kisiwani Juma
      Posts : 7,476
      Rep Power : 6168
      Likes Received
      3043
      Likes Given
      1016

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Quote By saimon111
      point of correction hayo magari ya CHADEMA walinunua wananchi na mengine kwa njia ya misaada sio kwa hela ya chama......alaf kama point ni magari wabunge wa Magamba mbona wanamagari mpaka ya million 800
      Mkuu saimon111 hapo ndipo mnapokosea! CDM isijlinganishe ama kujifananisha na CCM. CDM si inataka kuleta mambo tofauti na yanayofanywa na CCM basi ianze kuonyesha hivyo. Kama kweli wanapinga matumizi ya magari manono huko serikalini na kwamba wakiingia watayapiga marufuku basi waanze wao kutumia gari ndogo ili nasi tupate kuwaamini kwamba kweli wakifika huko watageuza mambo. Hivi kama mtu hayupo serikalini lakini anatumia magari makubwa kama ya serikali unategemea akiingia serikalini ndio aache V8 VX achukue RAV4!

      Hata kama yalinunuliwa na pesa za michango. Ina maana CDM haina vipaumbele vingine?
      Fighter likes this.
      CCM na CDM vyote ni vyama vya siasa vinavyoongozwa na wanasiasa; tofauti yao kubwa ni moja kwamba kimoja kina dola kingine kinataka kushika dola.

    13. #30
      Ngongo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th September 2008
      Location : Mlima Meru
      Posts : 4,862
      Rep Power : 1975
      Likes Received
      2331
      Likes Given
      3010

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Heshima kwenu wanajamvi,

      Mkuu W J M kauliza swali zuri sana bahati mbaya hapewi majibu ana ambulia kejeli na viroja.Wanajamvi wenzangu tuitendee haki JF kama huna uwezo wa kujibu hoja kaa pembeni magauzi ya kweli yatafanikiwa ikiwa tutakubali kukosolewa na kujisahihisha.

      CDM leo ni chama cha upinzani kesho kinaweza kuwa chama tawala mambo yanayotendwa na viongozi wake leo yanatoa mwanga wakipewa dola watatutendea nini !.

      Tunapinga kwa nguvu zetu zetu serekali ya CCM iachane na matumizi ya magari ya kifahari bahati mbaya mbadala wa CCM naye anatumia magari ya kifahari ?.

    14. #31
      NewOrder's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 270
      Rep Power : 888
      Likes Received
      108
      Likes Given
      89

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Quote By W. J. Malecela


      Mwenyekiti wa Chama cha kuwakomboa wananchi, anapotumia magari kama ya watawala, inasema nini kuhusu huu ukombozi? VX8, tena sio moja, Wasaidizi, Dreva, MABENDERA, KUCHELEWA KUFIKA UWANJANI, bado hajashika nchi, je akishika tutegemee nini tofauti, maana haya si ndio ya kawaida kwa watawala? Kwenye kuvaa kombati sawa lakini mengine hayo mbona sawa na watawala?

      - NAOMBA KUTOA HOJA, MAANA WAKOMBOZI KINA CASTRO, CHE GUEVARA, MAO, NA SAVIMBI HATUKUWAONA NA MA-VX8, AU WASAIDIZI AU NI UKOMBOZI TOFAUTI?

      - KUONGOZA SI NI MFANO ZAIDI? MUNGU AIBARIKI TANZANIA!


      William.
      William,

      Ninakuchukia kwa mambo mawili na nitayaeleza hata kama hutokubaliana na mimi. Ninachotaka si wewe kuyakubali, bali kuyasikia tu, itatosha.

      a) Unafiki.
      Last week ulitetea wabunge (watunga sheria) na mahitaji yao yasiyokuwa kama ya watu wengine. Ukatetea malazi yao, posho na hata kusema wajengewe hostel. Leo unadhani si sahihi kwa Kiongozi wa Upinzani Bungeni na mtunga sheria na kiongozi wa chama kikuu cha upinzani, kuwa VX V8, kuchelewa na kadhalika. Nilidhani hoja yako ni kuwa Tanzania hii hakuna VX V8 wala watu hawachelewi mikutanoni. Mimi na wewe tumeona hata wanaosingizia!!

      b) Wivu.
      Una wivu sana na hawa viongozi. Punguza!!!
      Asprin, Ndibalema and Mende0 like this.

    15. #32
      bibliography's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th May 2011
      Posts : 270
      Rep Power : 459
      Likes Received
      38
      Likes Given
      2

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      mbowe anahela zake sasa asitumie gari alizonazo kisa nini?huoni ni bora kuwa na viongozi matajiri before hawajaingia ikulu kuliko kua na viongozi maskini wakiingia ikulu wanatufanya kama anavyofanya mukulu

    16. #33
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,339
      Rep Power : 7766
      Likes Received
      1543
      Likes Given
      1792

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Quote By hoyce
      Hakuna anayechukia mtu yeyote kuwa na gari zuri la thamani, bali kinachogomba ni kutumia fedha za umma kufanya hivyo. Ndo maana hatuhoji magari yako binafsi, wala hatuna sababu ya kuhoji gari binafsi la Mbowe.
      Jaman twende mbele turudi nyuma.... Mtu nyumbani atumie gari la kifahari akienda ofisini Na gari la chini, hii si kweli kabisaaaa tunadanganyana tu kwa sababu ni CHADEMA, sometimes tunakuwa hadi vipofu,tunajifanya hatujali. Tumwone baba wa taifa alikuwa wa kawaida kabisa though alikuwa raisi. Tuache unafiki kama unahubiri ujamaa unatakiwa kuishi kijamaa, wao wapende Magari ya ufahari hafu wakidai Serikali isitumie nosense, i unafiki wa Hali ya juu. Kiongozi unatakiwa kuwa mfano bhana kwa kile unachokiamini.

    17. #34
      1800's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2010
      Posts : 1,647
      Rep Power : 889
      Likes Received
      411
      Likes Given
      21

      Default

      Quote By Kimbunga
      Hao walikuwa ni wakombozi waliokuwa wakitaka kuwakomboa wanyonywaji toka kwa wanyonyaji. Walikuwa wakiishi misituni na walikuwa na mitutu ya bunduki wakiwindana na wanyonyaji. Hawa wengine wanataka utawala kuwaondoa watawala waliopo. Wao wana nafasi ya kutembea na kutamalaki hadharani siwezi kuwalinganisha na akina Moises Samora Machel.
      Mkuu umeniwahi,ila thanks a lot for a useful comment!Mkuu Willie sometime its better to remain silent,otherwise unaweza kuwafanya wana jamvi washawishike kua uwezo wako wa kujenga hoja hauna tofauti na ndugu J Komba,kitu ambayo si nzuri kwa wewe kijana mwenye malengo ya kisiasa!mfano ulioutoa haupo relevant kabisa
      lukindo likes this.

    18. #35
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,339
      Rep Power : 7766
      Likes Received
      1543
      Likes Given
      1792

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Quote By mapogolo
      William usichanganye mambo, yanayolalamikiwa na wananchi ni matumizi mabaya ya kodi zao kwenye mambo yasiyokuwa na umuhimu wowote kwa maisha na ustawi wa walipa kodi. Hapo hata kama umeona ma-VX V8 ni kwamba hayajanunuliwa kwa fedha za walipa kodi wa TZ, mafuta na gharama za matengenezo(maintenance) hazitokani na hazina yetu. Umeona jinsi ambavyo wanaaminika kiasi cha kuweza kuwachangisha watu kwenye mikutano yao, jaribuni na nyinyi kuomba michango ya wananchi kama mtapata hata thumni.
      Vipi matumizi ya hayo Magari yanatokana Na ruzuku? Au michango yenu mnayotoa? Si Viongozi wa juu wa chama?

    19. #36
      Mende0's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th February 2012
      Location : Magogoni
      Posts : 1,396
      Rep Power : 645
      Likes Received
      399
      Likes Given
      93

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      VX ya mtumba hiyo Willie isikupe shida Ze Baharia
      Bajeti ya maskini tajiri haiwezi

    20. #37
      Kimbunga's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Kisiwani Juma
      Posts : 7,476
      Rep Power : 6168
      Likes Received
      3043
      Likes Given
      1016

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Quote By Maundumula
      Hizo V8 zimekaa kama zile za kutoka dubai USED, sio mbaya sana.
      Mkuu Maundumula ni kweli inaonekana kama used lakini unaonaje kama wangeingia pale na RAV4 ama gari zingine ndogo na kuwaambia wananchi kwamba sisi tukiingia madarakani tutatumia magari kama haya. Najua huenda wananchi wangepandisha munkari na kuyashambulia Ma V8 ya serikali lakini ujumbe ungekuwa sawia. Sasa wewe unasema unapinga matumizi ya magari ya kifahari ilihali wewe unayo?

      Mkuu unaikumbuka ile Suzuki ESCUDO nyeusi ya CDM iliyokuwa pale makao makuu; naona siku hizi imetelekezwa Kimara watu wanatumia ma V8 (GX na VX), ESCUDO ya nini tena!!!
      Asprin, Ngongo, Fighter and 1 others like this.
      CCM na CDM vyote ni vyama vya siasa vinavyoongozwa na wanasiasa; tofauti yao kubwa ni moja kwamba kimoja kina dola kingine kinataka kushika dola.

    21. #38
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,339
      Rep Power : 7766
      Likes Received
      1543
      Likes Given
      1792

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Quote By Kimbunga
      Mkuu saimon111 hapo ndipo mnapokosea! CDM isijlinganishe ama kujifananisha na CCM. CDM si inataka kuleta mambo tofauti na yanayofanywa na CCM basi ianze kuonyesha hivyo. Kama kweli wanapinga matumizi ya magari manono huko serikalini na kwamba wakiingia watayapiga marufuku basi waanze wao kutumia gari ndogo ili nasi tupate kuwaamini kwamba kweli wakifika huko watageuza mambo. Hivi kama mtu hayupo serikalini lakini anatumia magari makubwa kama ya serikali unategemea akiingia serikalini ndio aache V8 VX achukue RAV4!

      Hata kama yalinunuliwa na pesa za michango. Ina maana CDM haina vipaumbele vingine?
      Tuko pamoja mkuu! Hoja yangu nami imekaa hapo. Shida ya humu ndani CHADEMA haikosei hata kidogo. Tunaipenda mpaka upofu.
      Asprin and saimon111 like this.

    22. #39
      mukama talemwa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th June 2011
      Posts : 84
      Rep Power : 417
      Likes Received
      9
      Likes Given
      4

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Quote By W. J. Malecela


      Mwenyekiti wa Chama cha kuwakomboa wananchi, anapotumia magari kama ya watawala, inasema nini kuhusu huu ukombozi? VX8, tena sio moja, Wasaidizi, Dreva, MABENDERA, KUCHELEWA KUFIKA UWANJANI, bado hajashika nchi, je akishika tutegemee nini tofauti, maana haya si ndio ya kawaida kwa watawala? Kwenye kuvaa kombati sawa lakini mengine hayo mbona sawa na watawala?

      - NAOMBA KUTOA HOJA, MAANA WAKOMBOZI KINA CASTRO, CHE GUEVARA, MAO, NA SAVIMBI HATUKUWAONA NA MA-VX8, AU WASAIDIZI AU NI UKOMBOZI TOFAUTI?

      - KUONGOZA SI NI MFANO ZAIDI? MUNGU AIBARIKI TANZANIA!


      William.
      Aisee nilikuwa nadhani ni mtu wa kuchambua mambo kumbe kwa ili uliloleta hapa nimegundua hakuna kitu,maana wapigania ukombozi uliowataja niwaenzi zipi?Mfano mzuri nikwaba ata nyerere wakati wanaaza kupigania uhuru walitumia LandRover,Bedfod na magari ya enzi hizo,hadi anaachia madaraka alikuwa anatumia MercidesBenz.
      Huyu Mbowe ni kiongozi wa kitaifa kwahiyo kutumia gari kama hilo siyo kosa hata kidogo.kwani hata wanaolalamikia magari ya kifahari hawaongelei ya Ikulu wa ya Waziri Mkuu ila kinachosikitisha hayohayo magari kila kiongozi ndio analotumia Ma DC,RC wakurugenzi wa halmashauri na wakuu wote wa idara za Serikali hayo ndio magari yao hiyo siyo sawa.

    23. #40
      Saharavoice's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 30th August 2007
      Posts : 2,139
      Rep Power : 1026
      Likes Received
      379
      Likes Given
      473

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Quote By Sangarara
      Yaani hapa umeongea kishambenga kweli kweli.
      Au naye kaingizwa kwenye ileee payrol ya kina.....N
      Just joking tu.
      A conclusion is the place where you got tired of thinking



    Page 2 of 20 FirstFirst 123412 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...