Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

    Report Post
    Page 12 of 20 FirstFirst ... 21011121314 ... LastLast
    Results 221 to 240 of 389
    1. #1
      W. J. Malecela's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th March 2009
      Posts : 4,511
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2029
      Likes Given
      1819

      Default Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      ki.

      Mwenyekiti wa Chama cha kuwakomboa wananchi, anapotumia magari kama ya watawala, inasema nini kuhusu huu ukombozi? VX8, tena sio moja, Wasaidizi, Dreva, MABENDERA, KUCHELEWA KUFIKA UWANJANI, bado hajashika nchi, je akishika tutegemee nini tofauti, maana haya si ndio ya kawaida kwa watawala? Kwenye kuvaa kombati sawa lakini mengine hayo mbona sawa na watawala?

      - NAOMBA KUTOA HOJA, MAANA WAKOMBOZI KINA CASTRO, CHE GUEVARA, MAO, NA SAVIMBI HATUKUWAONA NA MA-VX8, AU WASAIDIZI AU NI UKOMBOZI TOFAUTI?

      - KUONGOZA SI NI MFANO ZAIDI? MUNGU AIBARIKI TANZANIA!


      William.
      Last edited by W. J. Malecela; 28th May 2012 at 11:29.

    2. FemaTV & Radio

    3. #221
      Ndibalema's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2008
      Location : Mbagala
      Posts : 6,549
      Rep Power : 1990
      Likes Received
      1598
      Likes Given
      1594

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Hivi huyu mwanzisha mada ndiye yule yule aliyewahi kuanzisha thread ya Watu kumpinga JK Washngton DC?
      "Makalio ya sufuria hayaogopi moto"

    4. #222
      umsolopagaz's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 73
      Rep Power : 373
      Likes Received
      11
      Likes Given
      17

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Quote By W. J. Malecela
      ki.

      Mwenyekiti wa Chama cha kuwakomboa wananchi, anapotumia magari kama ya watawala, inasema nini kuhusu huu ukombozi? VX8, tena sio moja, Wasaidizi, Dreva, MABENDERA, KUCHELEWA KUFIKA UWANJANI, bado hajashika nchi, je akishika tutegemee nini tofauti, maana haya si ndio ya kawaida kwa watawala? Kwenye kuvaa kombati sawa lakini mengine hayo mbona sawa na watawala?

      - NAOMBA KUTOA HOJA, MAANA WAKOMBOZI KINA CASTRO, CHE GUEVARA, MAO, NA SAVIMBI HATUKUWAONA NA MA-VX8, AU WASAIDIZI AU NI UKOMBOZI TOFAUTI?

      - KUONGOZA SI NI MFANO ZAIDI? MUNGU AIBARIKI TANZANIA!


      William.
      ...was savimbi mkombozi too? kamanda, toka, toka uende ukafanye rejea ya historia, kisha rudi tena...

    5. #223
      umsolopagaz's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 73
      Rep Power : 373
      Likes Received
      11
      Likes Given
      17

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Quote By Mwasi
      Willy umeulizwa swali zuri kwa kweli na umepoint kitu cha muhimu sana, labda tu umekosea kulinganisha CDM na Savimbi, CDM wanatakiwa kulifanyia kazi swala hili. CDM waanze kujitofautisha na CCM kwa kutuonyesha kwa mifano jinsi watakavyoweza kubana matumizi ya serikali pindi tukiwakabidhi hii nchi. Tofauti na hapo mwenyekiti anafanya kazi nzuri. Viva mwenyekiti!
      .....marehemu, captain thomas sankara wa bukina faso anaweza kutoa somo zuri, namna kiongozi wa umma,anaeongoza umma, anavyoishi....

    6. #224
      Ndjabu Da Dude's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2008
      Posts : 2,440
      Rep Power : 11661
      Likes Received
      305
      Likes Given
      138

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Quote By W. J. Malecela
      ki.

      Mwenyekiti wa Chama cha kuwakomboa wananchi, anapotumia magari kama ya watawala, inasema nini kuhusu huu ukombozi? VX8, tena sio moja, Wasaidizi, Dreva, MABENDERA, KUCHELEWA KUFIKA UWANJANI, bado hajashika nchi, je akishika tutegemee nini tofauti, maana haya si ndio ya kawaida kwa watawala? Kwenye kuvaa kombati sawa lakini mengine hayo mbona sawa na watawala?

      - NAOMBA KUTOA HOJA, MAANA WAKOMBOZI KINA CASTRO, CHE GUEVARA, MAO, NA SAVIMBI HATUKUWAONA NA MA-VX8, AU WASAIDIZI AU NI UKOMBOZI TOFAUTI?

      - KUONGOZA SI NI MFANO ZAIDI? MUNGU AIBARIKI TANZANIA!


      William.
      Analogy zako zimekosa kabisa maana kama "GDNP per capiter". Hii ni cheap shot against Mbowe tu.
      Kumlinganisha Mbowe na Gandhi, halafu baadaye unakimbilia kwa Savimbi wapi kwa wapi mkuu. Wee bozo kweli.

    7. #225
      Kubwajinga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd January 2008
      Location : Ilala, Tanzania 10001
      Posts : 1,638
      Rep Power : 706
      Likes Received
      72
      Likes Given
      128

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Quote By W. J. Malecela
      ki.

      Mwenyekiti wa Chama cha kuwakomboa wananchi, anapotumia magari kama ya watawala, inasema nini kuhusu huu ukombozi? VX8, tena sio moja, Wasaidizi, Dreva, MABENDERA, KUCHELEWA KUFIKA UWANJANI, bado hajashika nchi, je akishika tutegemee nini tofauti, maana haya si ndio ya kawaida kwa watawala? Kwenye kuvaa kombati sawa lakini mengine hayo mbona sawa na watawala?

      - NAOMBA KUTOA HOJA, MAANA WAKOMBOZI KINA CASTRO, CHE GUEVARA, MAO, NA SAVIMBI HATUKUWAONA NA MA-VX8, AU WASAIDIZI AU NI UKOMBOZI TOFAUTI?

      - KUONGOZA SI NI MFANO ZAIDI? MUNGU AIBARIKI TANZANIA!


      William.
      William,
      Umegusia kitu muhimu sana hapa. Mara kwa mara sikubaliani na wewe kwa hoja zako za kupigia debe CCM, lakini hapa nafikiri umejitahidi kuleta hoja ya kitaifa.

      Binafsi sidhani kama CDM watamchagua Mbowe kuwa mgombea wao maana kwangu sioni kama ana sifa za kuwa raisi, lakini hapa inaonyesha wazi kabisa utawala wake ungekuwaje? Ni vema kwa CDM kuliangalia hili na mengine mengi ambayo yameiharibu CCM.

      Kwa Wana JF, ni vema tukaacha kupiga tu makofi kwa CDM, Upinzani au kumtukana yeyote anayeikosoa CDM. Tukosoe yeyote yule tunayeona haitendei haki nchi yetu. Vyama vya siasa tunaweza kubadilisha vikienda mrama lakini nchi yetu ikiharibiwa hatuna pa kwenda. Wake up you Tanzanians.

    8. Study Abroad

    9. #226
      W. J. Malecela's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th March 2009
      Posts : 4,511
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2029
      Likes Given
      1819

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Quote By Mlalahoi
      Mkuu,nilishakushauri huko nyuma lakini nadhani umeamua kupuuza ushauri wangu.Ulipata wazo la kuwania kuwawakilisha Watanzaniakupitia ubunge wa EAC.Aidha kwa bahati mbaya au kwa maandalizi duni,ukashindwa.Lakini pamoja na kushindwa,umefanikiwa kutangaza jina lako,na laiti kama una malengo ya siasa huko mbeleni,hapo ulipoishia pangewezakukusaidia sana.

      So far,nakuona kama mtu uliyechangayikiwa.Baadhi ya mambo unayoandika hayakusaidii hata chembe.Huun ulikuwa wakati mzuri wa kuongea na kufanya mambo ya busara ili Watanzania watambue kuwa angalau nawe ni miongoni mwa hazina za taifa (kikubwa ni matendo si maneno matupu-especially maneno yenyewe yakiwa hayana mantiki na yametawaliwa na chuki ya KWANINI HUYU NA SI MIE).

      Umefanya wazo la maana kuanzisha blogu.Awali nilitarajia mambo kadhaa ya msingi bloguni hapo lakini so far imegeuka uwanja wa kuwatangaza mabinti na udaku.Sir,that's way too low kwa mtu wa calibre yako.Kama signature ya Invisible inavyosema ficha ujinga wako onyesha busara zako.Publicity ni kitu kizuri lakini ikiwa misused inaweza kukuodnoa kabisa hata pale kidogo ulipofikia.

      Watanzania wanachohitaji ni ukombozi.Ukiletwa na mtembea kwa miguu,sawa.Ukiletwa kwa mtumia bajaji,sawa.Ukiletwa kwa mtumia kibito,sawa.Na kama mwendesha Vogue atatuletea ukombozi,tatizo lipo wapi?Mbona hukulalamika Nape alipoenda Bukoba kwa ndege?

      Japo natambua utapuuza tena-na pengine kukasirika-bado narejea kukushauri ujitahidi kupata muda wa kutosha kupumzisha akili.Siasa za Bongo ni tofauti sana ukiziangalia kutoka nje na kuzilinganisha na hali halisi 'mtaani.' Taratibu zama za kujali "huyu mtoto wafulani"zinaanza kuyoyoma (na mfano wa karibuni sio wewe tu bali hata yalomkuta Sioi huko Arumeru Mashariki).

      I hope you'll put common sense in front of emotions
      - Unajua kuna wakati huwa ninafikiri nilikuonea kuku-delete kule FB, lakini kila ukiandika pumba zako hapa ninapata faraja sana kwamba sikukosea, kwamba huwa unedna kwenye blogu yangu ni maajbu sana kwa mtu ambaye kila wakati unadai sina uwezo mkuwa wa kufikiri! ha! ha! ha! ha!

      - Akili yan gu ipo sawa sawa ndio maana niliamua kuondokana na utumwa wa hirai huko Ughaibuni na kuja nyumbani kujumuika na wananchi wenzangu kujenga taifa letu, badala ya kukaa huko na kulia lia kila siku, aliyechanganyikiwa ni yule anyedai mwingine amechanganyikiwa na bado anaenda kwenye blogu ya aliyechanganyikiwa na yeye ni mzima! ha! ha! ha! yale yale ya mwizi kuamini wengine wote ni wezi kama yeye! ha! ha! ha!

      - The New Super blogu, nitakwambia siri behind the scene wanao ongoza kwa kuingia kule ni watu kutoka hapa JF, wakifuatiwa na Facebook, sasa tuna average 4100 peoples a day bado hatujaisha ni siku 10 mtupo hewani, so tupo vizuri na wananchi wanatupa feedback ahhhhhhh they love it, tunachanganya kila kitu, siasa, udaku, warembo, mamen, you name it utapata kule, Otheriwse pole sana naona leo nimewashika pazuri sana mkono kwenye kunde na kwenye nyama, ukombozi mnataka na VX8 mnataka, ha! ha! haviendi pamoja!

      - Ngoja nikupe darasa kuhusu commonsense, ukiona mtu amevua nguo huvui nguo na kumkimbiza kama unavyofanya hapa unaachana naye, wengi hapa mmelia sana kwamba sina uwezo wa kufikiri! ha! ha! ha! page karibu 10 sasa kwa ajili ya thread iliyoanzishwa na mtu asiye na uwezo mkubwa wa kufikiri? ha! ha! ha! ha! ha!

      - Hivi unajua baada ya Jangwani ilifanyika sherehe kubwa sana nyumbani kwa Mwenyekiti? Ulialikwa? Alilipia nani ile sherehe kubwa vile? Sherehe ya nini hasa kufurahia kuja kujionyesha na ma-VX8? Wewe amuka wewe!


      William.
      Waberoya likes this.

    10. #227
      Rufiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th June 2006
      Posts : 1,572
      Rep Power : 976
      Likes Received
      280
      Likes Given
      49

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Hivi kweli Savimbi aliyewakata watu mikono na kuwaua, leo hii watu wanamwona role model? Kweli, tembea ujionee.

    11. #228
      W. J. Malecela's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th March 2009
      Posts : 4,511
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2029
      Likes Given
      1819

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Quote By Rufiji
      Hivi kweli Savimbi aliyewakata watu mikono na kuwaua, leo hii watu wanamwona role model? Kweli, tembea ujionee.
      - Tunajali mazuri yake, aliweza kuishi kama mkombozi wa wananchi, sio kama mwenyekiti wenu na ma-vx8, Idd Amin hakuwa model lakini alinunua jengo la Uganda House New York mpaka leo ni fahari ya Uganda!!


      William.

    12. #229
      Mkwawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th June 2011
      Location : Kalenga
      Posts : 608
      Rep Power : 3562
      Likes Received
      692
      Likes Given
      383

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      [QUOTE=W. J. Malecela;

      - Hivi unajua baada ya Jangwani ilifanyika sherehe kubwa sana nyumbani kwa Mwenyekiti? Ulialikwa? Alilipia nani ile sherehe kubwa vile? Sherehe ya nini hasa kufurahia kuja kujionyesha na ma-VX8? Wewe amuka wewe!


      William.[/QUOTE]
      willy
      nashindwa kukuelewa Kabisa, nahisi una issue binafsi na mwenyekiti wa CDM . Hivi ukiwa kiongozi unatakiwa uishi maisha gani? Jasho la Kweli linalipa na kazi hulipa sasa Kama Mbowe Kafanya sherehe Kubwa nyumbani kwake Hilo ni swala binafsi, Kama kachinja mbuzi Mia hilo ni maisha yake binafsi, Kama kaalika marafiki Zake wote Sioni kwa nini uwe na hasira kiasi hicho. Nahisi kuna jambo linakusumbua au una hasira na mafanikio binafsi ya Mbowe. JF ibaki JF bifu zitafutiwe sehemu nyingine.

      Siamini kama Willy umefikia kiwango hicho cha kushindwa kuonanisha matumizi mabovu ya fedha za umma na maisha ya mtu binafsi. Hakuna mzazi anataka watoto wake waishi kimasikini awe wawe na mafanikio ya kimasikini. Kama una hoja ilete na uache majungu. Kama unaamini Mwenyekiti wa CDM hawezi kufanya sherehe nyumbani kwake kwa fedha zake tuambie.

      Kama unaamini mwenyekiti wa CDM hana uwezo binafsi wa fedha tuambie, zaidi ya hapo ni majungu, wivu, fitina, na ukosefu wa kuanisha matatizo ya mtanzania na ufisadi unaofanywa na watawala wetu wanaokusanya kodi zetu. Vyuo vikuu tunavyojenga na shule tunazopeleka watoto wetu na uchumi tunaotaka kujenga sio wa kumfanya mtanzania mnyonge na omba omba au wa kushangaa watu wakila vizuri au wakiishi maisha bora , tunataka wawe washiriki wa maisha bora na miundu mbinu ya kisasa.
      Last edited by Mkwawa; 29th May 2012 at 05:23.
      W. J. Malecela likes this.
      Nilijitoa mhanga kwa watu wangu; watoeni watawala wadhalimu na mafisadi kwa ustawi wa nchi yetu.

    13. #230
      W. J. Malecela's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th March 2009
      Posts : 4,511
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2029
      Likes Given
      1819

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Quote By Chief Mkwawa
      willy
      nashindwa kukuelewa Kabila, nahisi una una issue binafsi na mwenyekiti wa CDM . Hivi ukiwa kiongozi unatakiwa uishi maisha gaini? Jasho la Kelli linalipa na kazi helipa sasanqua Kama Mbowe Katanga sherehe Kubwa nyumbani kwake Hilo in swala binafsi, Kama kachina mbuzi Mia halo in maisha yaks binafsi, Kama kaalika marafiki Zane wrote Sioni kwa nini use na hasira kiasi hicho. Nahisi kuna jambo linakusumbua au una hasira na mafanikio binafsi ya Mbowe. JF ibaki JF bifu zits futiwe sehemu nyingine.
      - Mbowe is my good friend, ila kwenye taifa hatuna urafiki nazungumzia nasa na ufahari kwa wakombozi huwa ni mwiko, wewe unazungumzima nini sijakuelewa?

      William

    14. #231
      Havizya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 773
      Rep Power : 513
      Likes Received
      156
      Likes Given
      60

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Wiliam baharia, hakika shabiki, mpenzi, mwanachama wa ccm, ambaye ni kijana kama wewe yahitaji awe na akili kama ya maiti! Umerogwa na kuambukizwa uccm na Babako{JUMANNE} jina la kusaka madaraka alopewa na waarabu kwa ufadhili wa pesa. Kuna mambo yakupasayo kuyafanya hufanyi, bali kila siku ni kujua chadema leo wanafanya nini, wamekula nini, au wamejamba ushuzi gani n.k. Una bichwa kubwa na umbille kubwa lililokosa square, ubongo wa shomolo. Unasipidi kubwa ya kuzeeka kuliko umri wako. Gharaghabhaho!

    15. #232
      mgeni wenu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd January 2012
      Posts : 1,157
      Rep Power : 890
      Likes Received
      578
      Likes Given
      0

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      William kaka unatuaibisha sasa,taratiibuu naanza kukudharau

    16. #233
      Candid Scope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 7,602
      Rep Power : 15259
      Likes Received
      3727
      Likes Given
      2862

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!



      Ndugu William Malecela, Mheshimiwa Mbowe alisharudisha Shangingi serikalini ambalo alikabidhiwa kama kiongozi wa kambi ya upinzani.

      Gari unayoiona ni ya kununua kutoka pesa zake za mfukoni, hakuna pesa ya mlipa kodi iliyotumika, na hakuna pesa ya mlipa kodi inayotumika kwa ajili ya mafuta na matengenezo.

      Mbowe ni kama Sabodo anayetumia utajiri wake kwa manufaa ya watanzania, tofauti na viongozi toka CCM wanaopora rasilimali za taifa, viwanja vya mipira vilivyojengwa kwa nguvu za wananchi, majengo kadhaa yaliyokuwa mali ya umma kama umoja wa vijana, na kuiingiza serikali kwenye gharama kubwa kununua magari ghali kwa ajili ya kutembelea.

      Hakuna siyejua kwamba Mbowe ni mfanyabiashara, na ana uwezo wa kuwa na gari kama hiyo. Hata magari yanayotumika kwenye kampeni alinunua kwa pesa zake kisha kuweka utaratibu wa kurudishiwa taratibu, na magari hayo yanasaidia sana katika mikutano hakuna kuhangaika kutengeneza majukwaa ya muda kwani majukwaa wanayo wanatembea nayo po pote waendapo.

      Misafara ya viongozi wa Chadema hutumia mashangingi ambayo ni ya wabunge waliyopata kwa mkopo na wanayalipia yakiwa ni magari yao. Hapo umenipata?

      Jaribu kujenga hoja kwa misingi yenye kuakisi ukweli, kwani kwa hili tukuambie dhahiri umechepuka na kugusa pasipo kweli, labda ungesema ni magari ya Chama, lakini Mbowe hutumia gari yake binafsi.

    17. #234
      mfereji maringo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th November 2010
      Posts : 843
      Rep Power : 599
      Likes Received
      138
      Likes Given
      47

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Siasa za nape umezianza. Lini? Kweli ccm hakuna mwenye afadhali

    18. #235
      Gang Chomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : hell
      Posts : 5,022
      Rep Power : 1720
      Likes Received
      964
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By W. J. Malecela
      ki.

      Mwenyekiti wa Chama cha kuwakomboa wananchi, anapotumia magari kama ya watawala, inasema nini kuhusu huu ukombozi? VX8, tena sio moja, Wasaidizi, Dreva, MABENDERA, KUCHELEWA KUFIKA UWANJANI, bado hajashika nchi, je akishika tutegemee nini tofauti, maana haya si ndio ya kawaida kwa watawala? Kwenye kuvaa kombati sawa lakini mengine hayo mbona sawa na watawala?

      - NAOMBA KUTOA HOJA, MAANA WAKOMBOZI KINA CASTRO, CHE GUEVARA, MAO, NA SAVIMBI HATUKUWAONA NA MA-VX8, AU WASAIDIZI AU NI UKOMBOZI TOFAUTI?

      - KUONGOZA SI NI MFANO ZAIDI? MUNGU AIBARIKI TANZANIA!


      William.
      Hata Hayati Nyerere aliyaona hayo mapema sana na ndio maana alipigana mpaka mwisho na akahakikisha bwana Jumanne S. Malecela haingii ikulu.

      Endapo J4 angeruhusiwa kuingia ikulu basi ni wazi kuwa Taifa na rasilimali zake zoote kwa sasa zingekuwa chini ya mwarabu.

    19. #236
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,065
      Rep Power : 12248
      Likes Received
      6011
      Likes Given
      6836

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Quote By Waberoya
      Mkuu haiondoi hoja yake, wala haijajibu hoja yake

      kwa swalli hili utakuta wananchi wote wanyonge wanaodanganywa na kupumbazwa watamuunga mkono Willy! na wote utawapima akili!!

      Matola changanya akili zako....Hoja ya willy ni ngumu na mbaya sana kwa washabiki wa mageuzi

      dalili za mvua ni mawingu, unafikiri Mbowe akiwa rais au waziri mkuu ndio atapiga marufuku matumizi ya magari ya kifahari


      Matola mchana wa saa sita tunaona jua! na kamwe hatusemi ule mwezi.....hoja ya willy in other words in ku-alert hata wewe kuwa CDM ina dalili zote za kirusi CCM!!! ikishika madaraka itafanya yale yale ya CCM sasa , na haitakuwa ukombozi bali substitution!!!!
      Wabs,

      Naomba nitofautiane na wewe mkuu,

      Sijasoma vitabu ya Gadhi ila nimeangalia simema, kuna vitu vinaitwa priviledge, kila mmoja ana vyake kutokana na chaguo, wakati, mazingira na morals.... wakati ule penetration ya Gandhi ilikua "kuwa mmoja wao" katika namna ambayo india ilikua na ipo hadi leo, cultural.... tunachoona kwenye dress code ni ndivyo ilivyo hadi leo maeneo core kama Kerala (india)

      Nyerere, alivaa kombat, au ngwabi au chon lai, alipanda magari ya kifahari sana kuliko wote wakati ule na hata ukiangalia documentaries za akina Che, Fidel, Lincoln na wengine, bado kuna choices za priviledges ambazo hata akina mfalme daudi, Selemani na hata wanazuoni wa kiislam walikua nazo (hapa namuondoa Osama)

      Tukija hata kwenye kalcha yetu......... mswaihi marekani anaeza kununua "rim kabla hata ya gari, bongo pia ananunua gari kabla hata hajajua atalala wapi........ ni tamaduni, na tamaduni hizi zina-associate na power, na power ndio sumaku ya followers, kwahiyo hatuwezi kulinganisha yasiyolinganishika kutokana na themes na context ya mambo na wakati

      Leo hii Yesu angekuwepo, si ajabu angeenda saluni kupunguza sharubu, angeenda kwa Maumba kushona Tuxedo na angekua na IPAD

      Lets open our eyes na kuangalia what drove our historic leaders to power, respect and infulence

      Ukimuangalia dalai Lama unajifunza mengi sana kuhusu priorities na priviledges to influence powers
      Waberoya likes this.
      .....Ana sifa zote, nzuri na mbaya!!!

    20. #237
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,065
      Rep Power : 12248
      Likes Received
      6011
      Likes Given
      6836

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Quote By Gang Chomba
      Hata Hayati Nyerere aliyaona hayo mapema sana na ndio maana alipigana mpaka mwisho na akahakikisha bwana Jumanne S. Malecela haingii ikulu.

      Endapo J4 angeruhusiwa kuingia ikulu basi ni wazi kuwa Taifa na rasilimali zake zoote kwa sasa zingekuwa chini ya mwarabu.
      NI kweli GC

      ila pamoja na hayo, JK alitumia Rolls Royce, BEnzi, Ngege nk za serikali, kirungu, suti nk vyake etc

      Ila lazima tukubali pia kwamba William ni total reflection ya Jumanne............ ni wazee wa kukurupuka na kukosa vision
      .....Ana sifa zote, nzuri na mbaya!!!

    21. #238
      JokaKuu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st July 2006
      Posts : 6,818
      Rep Power : 2965
      Likes Received
      2412
      Likes Given
      3484

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      ..kiungo kati ya mwanasiasa na wananchi/wapiga kura wake ni IMANI/TRUST, pamoja na ujumbe wa matumaini kwa wale anaowaongoza/anaotaka kuwaongoza.

      ..ukiona Mbowe anatembelea magari hayo na wanachama wake hawalalamiki ujue ni kwasababu wamemuamini kwamba anafanya na kusimamia yale waliyomtuma.

      ..CCM wanalalamikiwa na wananchi kuhusu matumizi ya magari ya kifahari kwasababu wananchi hawaridhiki na utendaji kazi wa CCM. hata sasa hivi CCM wakiamua kutumia bajaji bado wananchi wanaweza wasiridhike kutokana na rekodi ya miaka 30+ ya utawala mbovu.

      ..Mwalimu Nyerere alikuwa anaishi msasani kwenye beach house na wakati mwingine akiendeshwa kwenye benzi ya milango mitatu, Sokoine amefariki akiwa amepakiwa kwenye benzi high class ya wakati huo. wananchi hawakulalamikia matumizi ya Mwalimu na Sokoine kwasababu waliwaamini.

      ..pia siyo lazima kiongozi awe masikini ili aweze "ku-connect" na wananchi/wapiga kura masikini. JF Kennedy alizaliwa kwenye familia ya kitajiri lakini aliweza kukubaliwa na wapiga kura ambao wengi wao alikuwa amewazidi kiukwasi. Wananchi walimpa kura Kennedy kutokana na ujumbe wake wa matumaini kwa wananchi wote wa Marekani.

      ..labda unajiuliza kwanini CCM wanaumiwa wanapotanua na ma-VX wakati CDM r given a free pass. Jibu ni kwamba CCM wanachongewa na kuwepo kwao madarakani kwa muda mrefu bila kuwa na chochote cha maana cha kuonyesha, pamoja na masuala ya rushwa na ufisadi vilivyotamalaki ndani ya chama hicho.
      Chapakazi likes this.

    22. #239
      kookolikoo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2012
      Posts : 1,931
      Rep Power : 749
      Likes Received
      280
      Likes Given
      144

      Default

      Quote By umsolopagaz
      ...was
      savimbi mkombozi
      too? kamanda, toka, toka uende ukafanye rejea ya historia, kisha rudi
      tena...
      savimbi ni gaidi aliyeingia msituni baada ya kushindwa uchaguzi. CDM
      wako kwenye jumuia wakihamasisha wanaouona ni ukombozi toka kwa wafujaji
      wa mali za umma na mafisadi!

    23. #240
      Kigogo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2007
      Location : Calabash
      Posts : 8,159
      Rep Power : 2086
      Likes Received
      1222
      Likes Given
      313

      Default Re: Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

      Quote By Ngongo
      Heshima kwenu wanajamvi,

      Mkuu W J M kauliza swali zuri sana bahati mbaya hapewi majibu ana ambulia kejeli na viroja.Wanajamvi wenzangu tuitendee haki JF kama huna uwezo wa kujibu hoja kaa pembeni magauzi ya kweli yatafanikiwa ikiwa tutakubali kukosolewa na kujisahihisha.

      CDM leo ni chama cha upinzani kesho kinaweza kuwa chama tawala mambo yanayotendwa na viongozi wake leo yanatoa mwanga wakipewa dola watatutendea nini !.

      Tunapinga kwa nguvu zetu zetu serekali ya CCM iachane na matumizi ya magari ya kifahari bahati mbaya mbadala wa CCM naye anatumia magari ya kifahari ?.
      hawezi kupewa majibu ya maana wakati yeye mwenyewe na baba yake wanaishi maisha hayo hayo...mzee wake anaumwa badala ya kutibiwa hapa anakwenda USA? William kama sio kuwa mkubwa humu jamvini nakuhakikishia kwa jinsi ulivonichefua ungeoga matusi leo na BAN nipewe tu..lakini ndo hivo kwa kuwa wewe mkubwa humu basi unakuwa kama Rooney yaani usiguswe unanyoosha mikono kwa refa....haya bana ...mungu yupo lakini
      ______________________________ _
      Niko tayari kufa huku nimesimama kuliko kuishi huku nimepiga magoti....

    24. Miaka 50
    Page 12 of 20 FirstFirst ... 21011121314 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...