Mwenyekiti wa Chama cha kuwakomboa wananchi, anapotumia magari kama ya watawala, inasema nini kuhusu huu ukombozi? VX8, tena sio moja, Wasaidizi, Dreva, MABENDERA, KUCHELEWA KUFIKA UWANJANI, bado hajashika nchi, je akishika tutegemee nini tofauti, maana haya si ndio ya kawaida kwa watawala? Kwenye kuvaa kombati sawa lakini mengine hayo mbona sawa na watawala?
- NAOMBA KUTOA HOJA, MAANA WAKOMBOZI KINA CASTRO, CHE GUEVARA, MAO, NA SAVIMBI HATUKUWAONA NA MA-VX8, AU WASAIDIZI AU NI UKOMBOZI TOFAUTI?
- KUONGOZA SI NI MFANO ZAIDI? MUNGU AIBARIKI TANZANIA!
William.
Last edited by W. J. Malecela; 28th May 2012 at 11:29.
''chini ya umakamu mwenyekiti wa john malecela ndie alianzisha mpango wa kuiba kura za walalahoi kupitia chaguzi ndogo na hii laana haitatoka ndani ya familia maana watanzania wengi wamedhurumiwa haki zao sasa wewe ni zao la mafisadi na mwenyekiti wa chadema hana kashfa yoyote ya kuhujumu uchumi kila biashara yake ni halali lakini malecela unaona hata medali ya miaka 50 ya uhuru hakupata kitu kuonesha hujuma alizoasisi ndani ya chama.'' said by KIV of JF
My take:hii familia inalaana ya kisiasa
Mbele Mungu nyuma Mungu katikati CHADEMA by Gwankaja Gwakilingo waJF
Mwenyekiti wa Chama cha kuwakomboa wananchi, anapotumia magari kama ya watawala, inasema nini kuhusu huu ukombozi? VX8, tena sio moja, Wasaidizi, Dreva, MABENDERA, KUCHELEWA KUFIKA UWANJANI, bado hajashika nchi, je akishika tutegemee nini tofauti, maana haya si ndio ya kawaida kwa watawala? Kwenye kuvaa kombati sawa lakini mengine hayo mbona sawa na watawala?
- NAOMBA KUTOA HOJA, MAANA WAKOMBOZI KINA CASTRO, CHE GUEVARA, MAO, NA SAVIMBI HATUKUWAONA NA MA-VX8, AU WASAIDIZI AU NI UKOMBOZI TOFAUTI?
- KUONGOZA SI NI MFANO ZAIDI? MUNGU AIBARIKI TANZANIA!
William.
sitaki kuamini kama una ufinyu wa kufikiria kama Jumanne!!
Narrow minded people discuss people,common minded people discuss events great minded people discuss ideas!!!
Ndugu zangu wana Jamvi mimi siamini katika kurudi tulikotoka, ninaamini katika kwenda mbele kwa nyanja zote. Siamini katika kurudi kwenye 504 au Peugeot katika ulimwengu ambao una magari ya kisasa zaidi na hata ndege. Tatizo letu si matumizi ya magari ya kifahali hata kidogo. Siamini kwamba kiongozi wa nchi atasafiria gari iliyochoka au ya bei ndogo isiyo na uhakika wa usalama wake in 21 century eti kwa madai ya kupunguza matumizi huu utakuwa ujinga na ujima. Mbiu yangu ni kuwa hao viongozi tunaowaamini na kuwapa vifaa vya kisasa ikiwemo usafiri washiriki kikamilifu kuinua hali ya uchumi wa nchi ili watu wengi zaidi wawe na uwezo wao binafsi wa kumiliki aina ya vifaa hivi, sio kurudishwa mwaka 47. Kujibu hoja ya Willy, tunataka CDM waingie madaraka kwa sababu tu wanaaminiwa kuwa na majibu ya matumizi bora ya raslimali za nchi katika kuinua uchumi wa nchi yetu.
Sasa ni sahihi nchi hii kubatizwa jina jipya FISADISTAN 'The Land of The Corrupt'"- Zitto Kabwe.
- Jamani tuwe wakweli hapa nani ni mkombozi wa mwenzake, mwenye hii nyumba au mwenye ile VX8? Leo sitaki maneno mengi sana nipo kipicha zaidi! ha! ha! ha! ha!
William.
Willy,
Mwenye hii nyumba anatakiwa akombolewe ili naye awe na uwezo wa kununua V8 sio adidimie zaidi kama jina la ule mji wetu wa Idodomia
Sasa ni sahihi nchi hii kubatizwa jina jipya FISADISTAN 'The Land of The Corrupt'"- Zitto Kabwe.
Nauliza kwa nia njema kabisa jamani, hivi yule kiongozi aliyebadilisha DINI ili apate misaada toka kwa akina Fulani aweze kugombea Post ya Juu kabisa alikua anaitwa nani vile? Hivi hii haikua stage ya juu kabisa ya Uroho na Ulafi uliokubuhu? kuna ulafi kama huuu tena hadi wa kufikia kuikana Imani yako kisa mshiko? Dunia hii ya leo tungemfananisha na Yule msanii sijui anaitwa nani yule, hivyo Bwana Willy acha kuamsha mambo yaliyoanza kusahaulika, si kwamba hatuoni, hapana tunamheshimu sana Mzee, maana naamini hata hapo ulipo na kwajili ya fedha ambazo nyingi ziliibwa kutoka kodi za ndugu zetu? Au umesahau kitu kilichotkea kwa Ndugu yangu mmoja pale Alipopata post mbili kipindi kile, yaani alikua mtu wa serikali na Chama akitokea kwene ualimu?
Unakumbuka kilichotokea kwake? Mlimvua madaraka yake yote mkasahau kuwa anafamilia? alikua akiishi Area D na mlimtimua miaka ya mwanzoni mwa Tisini? Apumzike kwa amani Mzee J. Hivyo Kaka kuwa mpole, subiri nilie kwanza, tulikua tunamtegemea sana, hakua mwizi, alikua mkweli ila kwa fitna na chuki za CCM akatimuliwa pale alipokua amesema ukweli, Pumzika kwa Amani baba, naamini siku ipo na siku inakuja mtayalipa haya yote, kilio chetu na familia ile kiemfika juu sana, ni kweli hatuna uwezo tena hata wa ku-appeal lakini natamani angefufuka leo hii aione CCM.
Nashindwa kuendelea kuandika, ntarudi tena, na kumbuka hii ni mara ya ngapi nakuonya tena kwa kukusihi kuwa acha kuandika mambo ambayo unajikweza bure kwa kukanyaga na kutonesha migongo ya wengi ambayo uliitumia kama ngazi ya kufikia hapo ulipo? Ni nani CCM atasimama kuistahimili siku ile ya Hukumu? sikulaumu wewe ila naulumu mfumo, uliowapenda nyie na kuiacha familia ya wengine kwene mateso haya, hivi mnajua hata kaburi lake lilipo? mnfahamu hata alipozikwa? CCM imejaa damu, haya kwaherini kwa sasa
huyu william baada ya kupigwa chini ktk kinyang'anyiro cha ubunge wa EA na akili yake ishazuzuka, hata vioja vyake ktk fb havina mashiko kabisa ni mademu tu ndo wachangiaji wake, na anavyohaha sasa hivi kafungua kablog hajui kuna blog zaidi ya buku tano hapa bongo, what's up nyingi anadhani hapa us, my take rudi USA uendelee kusomea ubaharia zaidi ndo unakufaa siasa ina wenyewe, na siku hizi haturithishani vyeo
Jamani Wana GTs, mimi hutofautiana na William sana! Lakini kwa hili Ana hoja, tena hoja inayohitaji majibu na si matusi na blah blah!
Kama kweli chadema Ina Ia kila siku na matumizi mabaya ndani ya serikali, na kwamba, serikali ikipunguza matumizi, specifically kuancha kununua magari ya kifahari, hili sore twalijua...kwa Nini basi isitende inayoyahubiri? Tena ilipaswa kuanzia kwa mwenyekiti... Kumbukeni vyama vya siasa vilivyo na wa Inge hupewa ruzuku na serikali, sore tunajua hela ya serikali ni kodi ya wananchi!
Sasa basi kwa nini chadema nao watumie magari haya ya kifahari? Tujadili kama great thinkers and not otherwise...matusi hayasaidii, sana sana yanadhalilisha JF. Leteni hoja...
24th May 2012 06:29 #1 JF Senior Expert Member Array
Join Date : 15th March 2009
Posts : 3,231
Rep Power : 5583
Likes Received1617
Likes Given1601
Posho za Wabunge na Maisha ya Dodoma
- Heshima mbele JF, hivi karibuni nilikuwa Dodoma hili la Wabunge na posho limenishitua sana ukizingatia kwamba nilikuwa mmoja wa wananchi waliopinga sana Wabunge kuongezewa posho, there I was in Dodoma, hotel ya hadhi ya wabunge ni Dodoma hotel, bei ya chini sana kwa chumba ni Sh. 65,000 kwa siku; ukienda mtaani ni sh. 50,000 kwa siku, I mean bado wabunge hawajala na ku-deal na wananchi kutoka majimbo yao ambao humiminika kila siku Wabunge wanapokuwa Dodoma, kuwalilia shida za binafsi.
- Serikali itafute suluhisho la hili tatizo kwa sababu ni tatizo, tunaawaacha wabunge in an open field ya kupokea rushwa, nimeona Wabunge wengine wakiishi sehemu ambazo ni very dangerous kwa kiongozi wa taifa tunayemtegemea kuishi, halafu unakuta magazeti yakifurahia mbunge apigwa mapanga, mbunge aibiwa, I mean as taifa we have to do something, nchi nyingi Duniani, infact hata Zambia tu Serikali imewajengea Special Hostel wabunge wake kwenye maeneo ya viwanja vya bunge kupunguza hili tatizo la posho, I mean kwa hali niliyoiona hili tatizo halikwepeki ni lazima lizungumzike.
- Nilichojifunza kule Dodoma ni kwamba wengi wa Wabunge waliokuwa wanapinga posho ni wale wenye uwezo mkubwa sana kipesa kwamba hata hawahitaji hiyo posho ya sh. 70,000 kwa siku maana kwao ni peanuts na ni wachache sana, ninasema hii hoja ijadiliwe tena, tunawaweka wabunge wengi pagumu sana kimaishana hata kutuongoza.
William John Samwel Malecela @DSM City!
Last edited by W. J. Malecela; 24th May 2012 at 07:09.
William usichanganye mambo, yanayolalamikiwa na wananchi ni matumizi mabaya ya kodi zao kwenye mambo yasiyokuwa na umuhimu wowote kwa maisha na ustawi wa walipa kodi. Hapo hata kama umeona ma-VX V8 ni kwamba hayajanunuliwa kwa fedha za walipa kodi wa TZ, mafuta na gharama za matengenezo(maintenance) hazitokani na hazina yetu. Umeona jinsi ambavyo wanaaminika kiasi cha kuweza kuwachangisha watu kwenye mikutano yao, jaribuni na nyinyi kuomba michango ya wananchi kama mtapata hata thumni.
Ile RUZUKU wanayopewa CHADEMA kila mwezi siyo KODI zetu? Ama Mkuu hauesabu kuwa hiyo ruzuku kuwa inatokana na kodi za Wanainchi?
- Mkuu tizama nyumba aliyokuwa anaishi Savimbi!, huyo ni msaidizi amekuja kuchukua ujumbe tu, sio ma-vx8, mabendera, madereva tizama ukombozi hapo ndio maisha yake hayo juu, umemuona savimbi hapo mwenye kombati!
William.
ungekuwa unatumia akili ungeshanyamaza mpaka dk hii
- Mkuu ahsante sana kwa kuonyesha bei, sasa naomba uonyeshee bei ya gari la Mwenyekiti na bei ya hii pembeni nyumba ya Savimbi, wote si wapigania uhuru wa wananchi, sasa iweje mambo sio sawa mkuu wangu?
William.
William, hivi hujui kuwa Tanzania ni nchi huru?. kinachotokea sasa ni kuwa vyama vya siasa vina gombea kuendesha dola, na hii ni ishara moja ya kukomaa kidemokrasia ndani ya Tanzania kutoka uhuru tuliokwisha upata angalau mongo mitano iliyopita
Wewe ni mwanasiasa, tena juzi tu uligombea ubunge, kumbe hujui bado kuwa Tanzania ni nchi huru. aidha nionavyo mimi ni kuwa kama unaamini kuwa vyama vya siasa vinatafuta uhuru wa Tanzania basi unaidharau serikali iliyopo madarakani kuwa si serikali huru. chukua muda kaka wa kusoma na hata ujifunze namna ya kutoa mawazo, aidha maoni haya ya watu usiyapuuze kwani waweza pata cha kukusaidia ktk safari yako ya siasa.
WAKUU WJM ANAWEZA AKAWA NA MAANA NZURI SEMA AINA YA MIFANO YAKE NDO INAPELEKEA MWENYE BUSARA YEYOTE APINGANE NAE,KWA WAKATI HUU KUWAFANANISHA CDM o MBOWE ET AL NA AKINA SAVIMBI,CHE NA WA KARIBA HIYO MBONA HAILETI MAANA ?
TUSEME SAWA ANATUMIA V8 VX SAWA NAFIKIRI TUJIULIZE KALIPATA KWA UFISADI AU THEN TWAWEZA ANZA MJADALA VINGINEVYO TUTAPIGA POROJO BASI.
Follow Us Here