Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mapungufu niliyoyaona pale Jangwani - muhimu CHADEMA kuyafanyia kazi

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 53
    1. #1
      Kurunzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st July 2009
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 1,934
      Rep Power : 885
      Likes Received
      381
      Likes Given
      135

      Default Mapungufu niliyoyaona pale Jangwani - muhimu CHADEMA kuyafanyia kazi

      Jana nilikuwa mmoja wa wahudhuriaji wa mkutano pale Jagwani wa M4C, ukiacha kasoro chache lakini umati wa watu hasa vijana ulikuwa na mkubwa sana, pia nilipata fursa ya kutembea kwa mąndamano kuwasindikiza viongozi kwenye ofisi za chama toka viwanja vya Jagwani (CDM SQUARE) mpaka makao makuu ya chama pale kinondoni, lengo langu la kushiriki maandamano hayo nilitaka kujua je umati hatima yao itakuwa nini na je wakifika pale Makao makuu ya chama watafanya nini vijana wamekuwa na hamasa kuu hivi?

      Hayo ndiyo mambo ambayonilitaka kupata majibu yake na kwa jibu moja ni kwamba watu hasa vijana wanataka mabadiliko na wapotayari kwa mabadiliko huwezi amini kila kijana niliona anachukuwa no. ya viongozi zilizotangazwa kwa wanaotaka kufungua matawi nilifurahi kuona watu wameliitikia kwa hamasa.

      Lakini pamoja na hayo kunamapungufu muhimu sana ambayo nimeyaona na CDM wanatakiwa kuyafanyia kazi, nitayataja machache hapa:

      1. Pamoja na muda ulikuwa finyu wa viongozi kuzungumza lakini kuna mambo ambayo hayakupangwa kwa utaratibu uliopangiliwa vema mathalani ni pale Dr. Slaa alipomtaka na kumsihi mwenyekiti kama Kiongozi wa upinzani Bungeni na kama waziri mkuu kivuli pamoja na kabineti mambo ambayo wanatakiwa wayafanyie kazi wakiwa Bungeni kwani yamekuwa kero kwa wananchi mathalani Slaa alimtaka Mbowe ashughulikie suala la watu kunyanyaswa na polisi binafsi sikusikia Mbowe akisema amesikia na atayafanyia kazi kuyafanyia kazi.

      2. Nilitegemea kupitia tungepewa tadhini japo kidogo juu ya kampeni hii M4C na vua gamba vaa gwanda imekuwa na mafakio kiasi gani, nilitegemea hata kupata tąrifa fupi ya viongozi wa Dar. tathini ya Chama hapa dar. mathalani tuna matawi mangapi, wanachama wangapi nini mahitaji yetu na kadhalika.

      3. Nilitegeme kupata hata salamu toka kwa wageni wa vyama rafiki angalau mmoja angepewa nafai ya kuzungumza akatupa hata exposure za wenzetu hapo niliona mmekuwa so conservative.

      4. Mc alifanya kazi nzuri sana ya uhamasishaji sijajua jina lake lakini alivaa ovyo sana sawa inawekana ni msanii lakini angalau angevaa sare za chama au kwa njia nyingine nadhifu lakini alionekana kama aliitwa tu kuja kufanya kazi ya u-mc tu.

      Ni hayo tu.

    2. Study Abroad

    3. #2
      Malipesa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd August 2011
      Posts : 300
      Rep Power : 451
      Likes Received
      30
      Likes Given
      209

      Default re: Mapungufu niliyoyaona pale Jangwani - muhimu CHADEMA kuyafanyia kazi

      Una uhuru wa kutoa maoni.
      Ndibalema likes this.

    4. #3
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,666
      Rep Power : 1908
      Likes Received
      1563
      Likes Given
      676

      Default re: Mapungufu niliyoyaona pale Jangwani - muhimu CHADEMA kuyafanyia kazi

      no comment

    5. ALF
      #4
      ALF's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 94
      Rep Power : 428
      Likes Received
      16
      Likes Given
      0

      Default re: Mapungufu niliyoyaona pale Jangwani - muhimu CHADEMA kuyafanyia kazi

      Uliosema wataweza kuyafanyia kazi.
      Je walipotanga mkutano wa jangwani walisema watazungumzia M4C na katiba mpya au tathimini ya M4C?. Kumbuka tangu izinduliwe Arusha, D.S.M ndio mkoa wa pili sasa tathimini yanini wakati hata robo au nusu ya mikoa hawajafika?.

      Labda nikuulize kwanini unafikiri Mh. Tundu lisu alikuwa mzungumzaji wa kwanza, Dr. Slaa akafuata na baadae Mh. Mbowe? Na hukumuona Mbowe alikuwa anaandika wakatia Dr. Slaa anazungumza?..,

    6. #5
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,171
      Rep Power : 2887
      Likes Received
      776
      Likes Given
      721

      Default re: Mapungufu niliyoyaona pale Jangwani - muhimu CHADEMA kuyafanyia kazi

      mbona unazungumzia hitimisho wakati M4C ndio kwanza ipo kwenye introduction?....subiria majumuisho,kuhusu wagen kupewa muda pale walikua wanacheza na time na polisiccm walikua wanakula timing ikizidi hata dk 5 tu,wanatia timu ingawaje wasingeweza muzic

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Kurunzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st July 2009
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 1,934
      Rep Power : 885
      Likes Received
      381
      Likes Given
      135

      Default

      Quote By Ruhazwe JR
      Kuhusu wagen kupewa muda pale walikua wanacheza na time na polisiccm walikua wanakula timing ikizidi hata dk 5 tu,wanatia timu ingawaje wasingeweza muzic
      Lakini Mkutano ulianza saa nane.

    9. #7
      Arvin sloane's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Posts : 884
      Rep Power : 572
      Likes Received
      130
      Likes Given
      40

      Default Re: Mapungufu niliyoyaona pale Jangwani - muhimu CHADEMA kuyafanyia kazi

      Haya wamekusikia watarekebisha hyo.

    10. #8
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,634
      Rep Power : 10158
      Likes Received
      5646
      Likes Given
      12664

      Default Re: Mapungufu niliyoyaona pale Jangwani - muhimu CHADEMA kuyafanyia kazi

      umesomeka
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    11. #9
      Kurunzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st July 2009
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 1,934
      Rep Power : 885
      Likes Received
      381
      Likes Given
      135

      Default

      Quote By ALF
      Uliosema wataweza kuyafanyia kazi.
      Je walipotanga mkutano wa jangwani walisema watazungumzia M4C na katiba mpya au tathimini ya M4C?. Kumbuka tangu izinduliwe Arusha, D.S.M ndio mkoa wa pili sasa tathimini yanini wakati hata robo au nusu ya mikoa hawajafika?.

      Labda nikuulize kwanini unafikiri Mh. Tundu lisu alikuwa mzungumzaji wa kwanza, Dr. Slaa akafuata na baadae Mh. Mbowe? Na hukumuona Mbowe alikuwa anaandika wakatia Dr. Slaa anazungumza?..,
      Japo angeseama atayafanyia kazi na ametake note kwani si wote waliona anatakenote.

    12. #10
      SAMRICH1's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 26th July 2011
      Posts : 1,235
      Rep Power : 0
      Likes Received
      205
      Likes Given
      128

      Default Re: Mapungufu niliyoyaona pale Jangwani - muhimu CHADEMA kuyafanyia kazi

      unajua kiukweli hauwezi fanya kitu na kukava sehemu zote izo ni dosari ndogo sana kaka tupo katika mapambano mambo ya dosari ambazo hazina tija haina haja ya kuyazungumzia cha muhimu tuzungumzie ni jinsi gani tutaikomboa nchi yetu ya tanzania kutoka katika mikono ya wazungu weusi wa kikoloni kwa mtu mwenye akili na mwenye busara atazingatia haya ila kama una kichwa cha kuku subiri kukatwa 2015

    13. #11
      Henge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2009
      Posts : 5,440
      Rep Power : 1674
      Likes Received
      918
      Likes Given
      1673

      Default

      Mkuu bila kusahau vyombo vya music na vipaza sauti tafadhali vilekebishwe vilisumbua sana!

    14. #12
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,839
      Rep Power : 7367
      Likes Received
      6151
      Likes Given
      22267

      Default Re: Mapungufu niliyoyaona pale Jangwani - muhimu CHADEMA kuyafanyia kazi

      Mkuu Kurunzi, hongera kwa kuwa bold na kuleta ukosoaji wa CDM in a constructive criticism. Sisi tuliofanya hivyo kule nyuma, tuliishia kutukanwa!.

      Pia nawapongeza wana Chadema kwa yote, they are growing up for the better! This time hawajatukana!.

      Amini msiamini, critique ndio inayojenga chama imara kuliko pongezi za sifa na mapambio!.

      Pasco.
      Ogah, Mimibaba, Thesi and 3 others like this.

    15. #13
      Mimibaba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2009
      Posts : 3,148
      Rep Power : 1527
      Likes Received
      754
      Likes Given
      590

      Default Re: Mapungufu niliyoyaona pale Jangwani - muhimu CHADEMA kuyafanyia kazi

      Quote By Ribosome
      Kuna siasa uliyoiona jana, mie niliona usanii tu, kipi cha maana kilichokuwepo?

      Cha maana huna uwezo hata wakujitanabahi
      Ukweli utakuweka huru daima

    16. #14
      thatha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 4,976
      Rep Power : 0
      Likes Received
      224
      Likes Given
      1

      Default Re: Mapungufu niliyoyaona pale Jangwani - muhimu CHADEMA kuyafanyia kazi

      yaa nakubaliana na moja la mc kuwa ovyo,kiukweli mi sikuamini kama yule ni mc.

    17. #15
      Mwana Mtoka Pabaya's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 22nd April 2012
      Posts : 3,078
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1396
      Likes Given
      403

      Default Re: Mapungufu niliyoyaona pale Jangwani - muhimu CHADEMA kuyafanyia kazi

      Quote By Kurunzi
      Lakini Mkutano ulianza saa nane.
      Uanze saa nane au saa mbili, nyie hamna uwezo wa kutupangia ratiba. Kwanza hivyo mnavyoviita vyama rafiki ndio vipi?

      Yale ni mapambano sio protokali za kutambulishana na kupigiana makofi, kwani Mbatia si kafanya mkutano wake kule Mtwara juzi, mbona hamkuhoji kwa nini hakutambulisha wapinzani wengine (as if Mbatia naye ni mpinzani).

      Sema shida yenu ni kwamba lazima mpekue pekue weeee mpk mpate jambo la kukosoa kwa jinsi msivyo na haya. Tafuteni mengine, haya mliyoorodhesha hapa ni utumbo mpana.
      KOMBESANA likes this.

    18. #16
      Marire's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st May 2012
      Posts : 2,207
      Rep Power : 954
      Likes Received
      598
      Likes Given
      0

      Default Re: Mapungufu niliyoyaona pale Jangwani - muhimu CHADEMA kuyafanyia kazi

      No 4 ndio ya kufanyia kazi hayo mengine hayana mshiko m4c ndio inaanza na matawi ndio kwanza tathimini ya nini?

    19. #17
      TUMBIRI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2011
      Posts : 1,856
      Rep Power : 3633
      Likes Received
      1114
      Likes Given
      283

      Default Re: Mapungufu niliyoyaona pale Jangwani - muhimu CHADEMA kuyafanyia kazi

      Hadha Min Fadhil Rhabi - Hizi ni Rehema za Mwenyezi Mungu

    20. #18
      kichomiz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 4,053
      Rep Power : 1231
      Likes Received
      652
      Likes Given
      80

      Default

      Quote By ugali wa asubuhi
      yaa nakubaliana na moja la mc kuwa ovyo,kiukweli mi sikuamini kama yule ni mc.
      Utu si mavazi,na utendaji kazi si mavazi,Weredi na kujituma ndi vitu muhimu,
      Tafuta kasoro nyingine.

    21. #19
      naggy's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th April 2011
      Posts : 42
      Rep Power : 416
      Likes Received
      31
      Likes Given
      13

      Default

      uko sahihi kamanda. mimi pia napenda wawe wanatangaza hela zinazopatikana wakipitisha mchango. ni hela ya umma hiyo,wapenda mageuz.

    22. #20
      Josephine03's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th February 2012
      Posts : 733
      Rep Power : 513
      Likes Received
      285
      Likes Given
      373

      Default

      Quote By Ribosome
      Kuna siasa uliyoiona jana, mie niliona usanii tu, kipi cha maana kilichokuwepo?
      Nilichokiona ni watu 3000 wamebadili gamba kutokana na so called Usanii. Yaani hapa uko kituko mpaka basi embu tupishe pipooooooz

    23. Miaka 50
    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...