Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: CHADEMA, umati wa Jangwani si nguvu ya chama! Ni kuchoka kwa vijana

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 70
    1. #1
      Profesa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Location : Anywhere in Africa
      Posts : 510
      Rep Power : 750
      Likes Received
      219
      Likes Given
      322

      Default CHADEMA, umati wa Jangwani si nguvu ya chama! Ni kuchoka kwa vijana

      Nimepita jangwani na nikatulia kwenye Luninga yangu nikifuatilia hotuba kem kema nzuri zenye mvuto za viongozi wa CDM. Pamoja na kufurahishwa na mengi yaliyozungumwa, kuna mambo kadhaa ambayo ningependa njiyaseme:

      1. Ule umati kwa kiasi kikubwa ni wa vijana ambao wengi wanashauku kubwa ya mabadiliko, tena ya haraka maana ndoto zao hazilingani na hali halisi ya mambo. hawahawa ndio wanaoweza kuigeuka CDM iwapo haitatimiza matarajio yao. Wakipata mwingine mwenye kuwa na mvutop na hamasa, hawasiti kuelekea kwake!

      2. Nimekerwa na matumizi mabaya ya muda, ni vema waandaaji wakawa wanajua watu ambao hata kama sio wasemaji wakuu, wanapaswa kuandaliwa muda wa kutosha kutokana na hoja zao kuwa moto kama akina Mh Tundu Lisu. Kumlazimisha Mh Tundulisu kutumia dk 5 ukijua fika hoja zake zina mchango mzito tu na msukumo kwa yale mnayokusudia ni udhalilishaji kwani atakapotumia muda mwingi zaidi, mnaionekana poor kwenye time management. Ama sivyo muwe mna uhakika hahitaji muda mwingi kiasi hicho maana hawezi katisha hoja.

      3. Hamkuweza kuleta hamasa hasa katika kuvua gamba na kuvaa gwanda, hilo zoezi lingekuwa la kwanza mapema na Wasemaji wakuuu ndio wakamalizia kutoa hotuba.

      4. Nimefurahishwa sana na uhamasishaji wa kufungua matawi, ila, pamoja na kuwa hilo ni jambo muhimu kuliko yote, bado hamkulipa uzito wa kutosha na ufafanuzi unaoeleweka, kama mtizamaji ni rahisi kufikiri Matawi hayana utaratibu yanafunguliwa tu popote na kwa idadi ya watu wowote. Sawa si vema kuleta urasimu ila ni jambo ambalo mngelihamasisha vya kutosha na kutoa ufafanuzi wa jinsi matawi yanavyoweza kukipa nguvu chama, nadhani hilo hamlioni. Uhai wa Chama chochote ni matawi imara yanayochangia kwenye ngazi za juu, na si umati unao=hang out of structure. Mnahitaji huo mfumo kama mnakusudia kuendesha serikali pamoja na mambo mengine.

      Kila la kheri mnaleta changamoto nzuri kwa chama chetu cha CCM.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      People's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2011
      Posts : 269
      Rep Power : 476
      Likes Received
      16
      Likes Given
      0

      Default Re: Chadema umati wa jangwani si nguvu ya chama ni kuchoka kwa vijana

      Mtazamo mbovu! Vijana na wananchi kwa ujumla kweli wamechoka na li chama lenu lenye mfumo mbovu.Kwa upande mwingine nguvu ya chama,ushawishi wa chama,mvuto wa chama,mfumo mzuri wa chama,sera nzuri za chama(CDM) ndizo zilizopelekea na bado zitapelekea vijana na hata wazee wengi kuhudhuria mikutano ya m4c.
      jembe la kigoma likes this.

    4. #3
      MpendaCHADEMA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd March 2012
      Posts : 52
      Rep Power : 371
      Likes Received
      8
      Likes Given
      2

      Default Re: CHADEMA, umati wa Jangwani si nguvu ya chama! Ni kuchoka kwa vijana

      chadema mwagia maji magamba yalainike!
      NGOWILE likes this.

    5. #4
      kapotolo's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th September 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 2,407
      Rep Power : 1195
      Likes Received
      1282
      Likes Given
      392

      Default Re: CHADEMA, umati wa Jangwani si nguvu ya chama! Ni kuchoka kwa vijana

      Waambie CUF au NCCM Mageuzi waitishe mkutano Jangwani, angalia mahudhurio then uje useme ni kuchoka kwa vijana au Chadema ina Nguvu.
      sweetlady and Mr.mzumbe like this.
      Kiongozi shupavu hawezi kutumia mabavu kuongoza, ni kiongozi dhaifu tu ndio atatumia mabavu kuficha udhaifu wake - Jenerali Ulimwengu

    6. #5
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,159
      Rep Power : 24268
      Likes Received
      4670
      Likes Given
      2294

      Default Re: CHADEMA, umati wa Jangwani si nguvu ya chama! Ni kuchoka kwa vijana

      Poor reasoning

    7. Miaka 50

    8. #6
      Shardcole's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th January 2012
      Posts : 4,393
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1032
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Profesa
      Nimepita jangwani na nikatulia kwenye Luninga yangu nikifuatilia hotuba kem kema nzuri zenye mvuto za viongozi wa CDM. Pamoja na kufurahishwa na mengi yaliyozungumwa, kuna mambo kadhaa ambayo ningependa njiyaseme:

      1. Ule umati kwa kiasi kikubwa ni wa vijana ambao wengi wanashauku kubwa ya mabadiliko, tena ya haraka maana ndoto zao hazilingani na hali halisi ya mambo. hawahawa ndio wanaoweza kuigeuka CDM iwapo haitatimiza matarajio yao. Wakipata mwingine mwenye kuwa na mvutop na hamasa, hawasiti kuelekea kwake!

      2. Nimekerwa na matumizi mabaya ya muda, ni vema waandaaji wakawa wanajua watu ambao hata kama sio wasemaji wakuu, wanapaswa kuandaliwa muda wa kutosha kutokana na hoja zao kuwa moto kama akina Mh Tundu Lisu. Kumlazimisha Mh Tundulisu kutumia dk 5 ukijua fika hoja zake zina mchango mzito tu na msukumo kwa yale mnayokusudia ni udhalilishaji kwani atakapotumia muda mwingi zaidi, mnaionekana poor kwenye time management. Ama sivyo muwe mna uhakika hahitaji muda mwingi kiasi hicho maana hawezi katisha hoja.

      3. Hamkuweza kuleta hamasa hasa katika kuvua gamba na kuvaa gwanda, hilo zoezi lingekuwa la kwanza mapema na Wasemaji wakuuu ndio wakamalizia kutoa hotuba.

      4. Nimefurahishwa sana na uhamasishaji wa kufungua matawi, ila, pamoja na kuwa hilo ni jambo muhimu kuliko yote, bado hamkulipa uzito wa kutosha na ufafanuzi unaoeleweka, kama mtizamaji ni rahisi kufikiri Matawi hayana utaratibu yanafunguliwa tu popote na kwa idadi ya watu wowote. Sawa si vema kuleta urasimu ila ni jambo ambalo mngelihamasisha vya kutosha na kutoa ufafanuzi wa jinsi matawi yanavyoweza kukipa nguvu chama, nadhani hilo hamlioni. Uhai wa Chama chochote ni matawi imara yanayochangia kwenye ngazi za juu, na si umati unao=hang out of structure. Mnahitaji huo mfumo kama mnakusudia kuendesha serikali pamoja na mambo mengine.

      Kila la kheri mnaleta changamoto nzuri kwa chama chetu cha CCM.
      shule za kata@work
      sweetlady and webondo like this.

    9. #7
      Raia Fulani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2009
      Posts : 9,250
      Rep Power : 2622
      Likes Received
      1291
      Likes Given
      834

      Default Re: CHADEMA, umati wa Jangwani si nguvu ya chama! Ni kuchoka kwa vijana

      Kama ulikuwa mbele ya runinga na hukuelewa basi tukuombee tu. Hoja ya muda umechemsha. Mrema alisema atampunguzia dk 5 wala si kumpa dk5! Kadhalika kwa mazingira yale ni ngumu kama utakavyo. Hoja ya wahudhuriaji ni dhaifu sana. Nilikuwa frontline kabisa. Watu wanakwenda pale kwa mapenzi na si nyie mnaosuburia kwenye runinga. Umeme ungekatika ungepata muda wa kusema hayo? Suala la kufungua matawi mkiti alitoa maelezo na namba za simu kwa ajili ya maelekezo zaidi. Akazirudia tena na tena. We Profesa wa wapi?

      Si kila kitu ni cha kukosolewa kiholela tu maana yote uliyokosoa, mkuu majibu yake yalikuwa ndani yako kama ungeamua kuwa makini.
      sweetlady and Thanda like this.

    10. #8
      Ronal Reagan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 2,627
      Rep Power : 958
      Likes Received
      615
      Likes Given
      256

      Default Re: CHADEMA, umati wa Jangwani si nguvu ya chama! Ni kuchoka kwa vijana

      Ok. ok. ok....professor. Je nani kawachosha hao vijana?
      Ni nani hajawatimizia ndoto zao?
      Una ushahidi gani na kuchoka kwao?

      Mods: Inabidi sasa mfikirie kuwawekea nyinyiem jukwaa lao. Hawako ktk viwango stahiki kushiriki ligi hii!

    11. #9
      mfereji maringo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th November 2010
      Posts : 843
      Rep Power : 599
      Likes Received
      138
      Likes Given
      47

      Default Re: CHADEMA, umati wa Jangwani si nguvu ya chama! Ni kuchoka kwa vijana

      Magamba hatuyataki full stop
      sweetlady likes this.

    12. #10
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14620
      Likes Received
      2841
      Likes Given
      1961

      Default Re: CHADEMA, umati wa Jangwani si nguvu ya chama! Ni kuchoka kwa vijana

      Researchers have found that low self-esteem and materialism are not just a correlation, but also a causal relationship where low self esteem increases materialism, and materialism can also create low self-esteem.

      Most of us want more income so we can consume more. Yet as societies become richer, they do not become happier.
      Statistically people have more things than they did 50 years ago.

      Soma zaidi: http://www.jamiiforums.com/habari-na...ml#post3941843

    13. #11
      mfereji maringo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th November 2010
      Posts : 843
      Rep Power : 599
      Likes Received
      138
      Likes Given
      47

      Default Re: CHADEMA, umati wa Jangwani si nguvu ya chama! Ni kuchoka kwa vijana

      Professor pole niliskia ulilazwa india umesharudi?
      Au sio prof maji marefu? Maana post yako imekaa kimajimarefu majimarefu
      sweetlady and Thanda like this.

    14. #12
      Froida's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Posts : 3,742
      Rep Power : 1317
      Likes Received
      719
      Likes Given
      146

      Default Re: CHADEMA, umati wa Jangwani si nguvu ya chama! Ni kuchoka kwa vijana

      Mkutano wa jana ulionyesha kwamba Chadema ni ya rika zote na jinsia zote japo vijana walikuwa wengi zaidi kama ilivyo hali halisi vijana na watoto ni zaidi ya asilimia sitini kwa hiyo katika hali ya kawaida watakuwa wengi

      Nilichojifunza kwenye eneo nililokuwa nimesimama nikisikiliza michango ya chini chini kutoka kwa wananchi ni kwamba sasa basi wote tuseme CCm bye bye wengi walikuwa wanasisitiza umuhimu wa kubadilisha watawala kwa sababu wanasema CCM wameishiwa uwezo ,wengi walikuwa wanasema hata aje nani ndani ya CCM kwa mfumo walionao hawawezi kuitoa nchi kwenye lindi la umaskini

      Nakubaliana na wewe swala la kuwaeleza wananchi jinsi bora ya kuanzisha matawi. na namna bora ya wananchi kuchangia juhudi za kukieneza chama
      Hamasa zilizokuwepo uwanjani watu wamenifurahisha kila aliyekuwepo pale alionyesha anajua amefuata nini
      Godlisten Masawe and Thanda like this.

    15. #13
      Maishamapya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : Dar, Tanzania
      Posts : 899
      Rep Power : 612
      Likes Received
      214
      Likes Given
      262

      Default Re: Chadema umati wa jangwani si nguvu ya chama ni kuchoka kwa vijana

      Quote By People
      Mtazamo mbovu! Vijana na wananchi kwa ujumla kweli wamechoka na li chama lenu lenye mfumo mbovu.Kwa upande mwingine nguvu ya chama,ushawishi wa chama,mvuto wa chama,mfumo mzuri wa chama,sera nzuri za chama(CDM) ndizo zilizopelekea na bado zitapelekea vijana na hata wazee wengi kuhudhuria mikutano ya m4c.
      Mwenye akili ya wastani tu anaweza kujua kati yako na profesa nani ana mtazamo mbovu. profesa amejitahidi kutoa 'positive criticism'. Mimi ni mwanachama wa CDM, nina umri zaidi ya miaka 50 na nilikuwepo Jangwani. Kwa haraka haraka wenye umri kama wangu walikuwa kama asilimia 5 tu. On one hand this is a good thing - CDM kinakubalika na kizazi kipya; but on the other hand it is a challenge - Will CDM meet their expectations. Most are in colleges and soon will be in streets hunting for jobs. Hivyo kama matarajio yao hayatatimizwa wanaweza kuigeka CDM. Mimi sioni ubovu wowote katika kauli hiyo. Maana sote wanaCDM tunaijua. Ni tahadhari ambayo tunapaswa kuifanyia kazi kutoka sasa kabla hatujaingia ikulu 2015.

      Shida ya muda ni kwamba walitaka watu wote walioko jukwaani waonekane kwenye luninga. Wangeweza kuwa wameanza saa 9 kwa salamu mbalimbali na kisha saa 10 wakaendelea na mambo mengine kama kuvua magamba, harakati za kufungua matawi, na baadaye hotuba. Hoja nyingine zote za mtoa post zinajitosheleza.

      Anayekubali kukosolewa ana maisha marefu. Kifo cha ccm ni kwa sababu ya kukataa hoja zinazoikosoa. Tusiruhusu upofu huo uingie CDM.
      Adili, Anselm and Thanda like this.
      "Even a fool is thought wise if he keeps silent, and discerning if he holds his tongue" (Prov 17:28 NIV)

    16. #14
      Maishamapya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : Dar, Tanzania
      Posts : 899
      Rep Power : 612
      Likes Received
      214
      Likes Given
      262

      Default Re: CHADEMA, umati wa Jangwani si nguvu ya chama! Ni kuchoka kwa vijana

      Quote By Mungi
      Poor reasoning
      Mungi, taratibu Mkuu ... Humu JF wewe ni mmojawapo ya watu ninaowaheshimu sana.

      Mimi naona mtoa mada ametoa mchango mzuri kama tutauangalia positively. Hapo hata hakusema juu ya wanawake kutokuwepo wengi. Mimi ni mwanaCDM na nilikuwepo Jangwani. Wanawake kadhaa wabunge waliopewa nafasi kusalimu waligusia suala la wanawake kujivua gamba. Hii ilitokana na uchache wao katika mahudhurio.
      Adili likes this.
      "Even a fool is thought wise if he keeps silent, and discerning if he holds his tongue" (Prov 17:28 NIV)

    17. #15
      MR.SILVER's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 287
      Rep Power : 428
      Likes Received
      78
      Likes Given
      337

      Default Re: CHADEMA, umati wa Jangwani si nguvu ya chama! Ni kuchoka kwa vijana

      Mmezoea semina za siku zima mtua anaongea masaa ...pangilia unachosema in 5min pitch ni muda wa kutosha sana ili kila mmoja aongee ukizingatia kila mmoja ana influence tofauti kwa watu.

      Si mnaona waoenda kuongeana wazee a dar es salaam masaa mengi point zakutafuta
      sweetlady, MSOROPOGAS and Thanda like this.

    18. #16
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14620
      Likes Received
      2841
      Likes Given
      1961

      Default Re: CHADEMA, umati wa Jangwani si nguvu ya chama! Ni kuchoka kwa vijana

      Ule ulikuwa ni uigizaji na kila mmoja alipewa muda mchache aoneshe kipaji chake cha maigizo. Kwi kwi kwi teh teh teh.

      CSS - Chadema Star Search!

      Kipi zaidi ya maigizo kilichokuwepo pale, ipi ni hoja ya maana iliyo-ongelewa, sijaiona!

    19. #17
      Losambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2011
      Location : Katikati
      Posts : 2,346
      Rep Power : 849
      Likes Received
      688
      Likes Given
      296

      Default Re: CHADEMA, umati wa Jangwani si nguvu ya chama! Ni kuchoka kwa vijana

      Profesa ni ukweli kuwa wanaoisupport wengi CDM ni vijana ambao una hofu kesho wanaweza kuigeuka CDM endapo matarajio yao hayatimizwa.

      Ni kweli lakini tiba ya hili ni ndogo, ni kuwapa ukweli wafuasi wako wa wapi ulioikuta nchi na kuweka wazi mipango yako ya kuwatoa hapo na kweli kufanikisha.

      Kama utafanikisha hakuna mtu ambaye atashindwa kuona juhudi zako na kukubali. Nadhani chuki kubwa ya CCM ni kukumbatia uovu na serikali yake kutowajibika.

      Serikali inayowajibika inaleta matumaini kwa wananchi.
      Maishamapya likes this.

    20. #18
      sammosses's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2011
      Location : Shinyanga
      Posts : 905
      Rep Power : 603
      Likes Received
      167
      Likes Given
      238

      Default Re: CHADEMA, umati wa Jangwani si nguvu ya chama! Ni kuchoka kwa vijana

      Strategically it seems Professor was in good manner,but CDM must stick in a point to build the concrete of the party and ignore some pointless, then taking the good good point for the seek of party and Tanzanian.

      Watu ni kweli wamekata tamaa kwani hata Sir Issack Newton aliwahi kusema 'For every action and reactions are equal and opposite"sasa basi ni wakati wa CDM kutobweteka na kuvimba kichwa,watu wamekata tamaa na maisha hakuna mwanga mpya unaoonekana mbele yao zaid ya CDM,its there time to face challenges to distinguish between CDM and CCM.

      Na hakuna wakati CDM inatakiwa kufanya kazi kubwa kama sasa kwa kuonyesha kwa vitendo nguvu ya umma inaweza hata kufanya shughuli za kimaendeleo kwa kuwashirikisha katika shughuli mbalimbali za kujenga uchumi kivitendo kama kilivyokuwa TANU wakati wa mwanzo wa uhuru.Nuguvu hii isiishie kwenye Tahrir square only,itumike kuwa mobilize watu kujenga uchumi kwa nguvu zao na umoja wao ili ile dhana ya tumeanza na Mungu na tutamaliza na Mungu iwe na mashiko,kwani hata Mungu alisema asiye fanya kazi na asile.

    21. #19
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14620
      Likes Received
      2841
      Likes Given
      1961

      Default Re: CHADEMA, umati wa Jangwani si nguvu ya chama! Ni kuchoka kwa vijana

      Quote By sammosses
      Strategically it seems Professor was in good manner,but CDM must stick in a point to build the concrete of the party and ignore some pointless, then taking the good good point for the seek of party and Tanzanian.

      Watu ni kweli wamekata tamaa kwani hata Sir Issack Newton aliwahi kusema 'For every action and reactions are equal and opposite"sasa basi ni wakati wa CDM kutobweteka na kuvimba kichwa,watu wamekata tamaa na maisha hakuna mwanga mpya unaoonekana mbele yao zaid ya CDM,its there time to face challenges to distinguish between CDM and CCM.

      Na hakuna wakati CDM inatakiwa kufanya kazi kubwa kama sasa kwa kuonyesha kwa vitendo nguvu ya umma inaweza hata kufanya shughuli za kimaendeleo kwa kuwashirikisha katika shughuli mbalimbali za kujenga uchumi kivitendo kama kilivyokuwa TANU wakati wa mwanzo wa uhuru.Nuguvu hii isiishie kwenye Tahrir square only,itumike kuwa mobilize watu kujenga uchumi kwa nguvu zao na umoja wao ili ile dhana ya tumeanza na Mungu na tutamaliza na Mungu iwe na mashiko,kwani hata Mungu alisema asiye fanya kazi na asile.
      Kwani lazima uandike Kiingereza kama kinakupiga chenga?

      Mlianza na mungu yupi?

    22. #20
      Maishamapya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : Dar, Tanzania
      Posts : 899
      Rep Power : 612
      Likes Received
      214
      Likes Given
      262

      Default Re: CHADEMA, umati wa Jangwani si nguvu ya chama! Ni kuchoka kwa vijana

      Quote By Losambo
      Profesa ni ukweli kuwa wanaoisupport wengi CDM ni vijana ambao una hofu kesho wanaweza kuigeuka CDM endapo matarajio yao hayatimizwa.

      Ni kweli lakini tiba ya hili ni ndogo, ni kuwapa ukweli wafuasi wako wa wapi ulioikuta nchi na kuweka wazi mipango yako ya kuwatoa hapo na kweli kufanikisha.

      Kama utafanikisha hakuna mtu ambaye atashindwa kuona juhudi zako na kukubali. Nadhani chuki kubwa ya CCM ni kukumbatia uovu na serikali yake kutowajibika.

      Serikali inayowajibika inaleta matumaini kwa wananchi.
      Great thinking!
      "Even a fool is thought wise if he keeps silent, and discerning if he holds his tongue" (Prov 17:28 NIV)

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...