Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Usajili wa wanachama wa tawi jipya la CHADEMA Online

    Report Post
    Page 4 of 11 FirstFirst ... 23456 ... LastLast
    Results 61 to 80 of 218
    1. #1
      lutayega's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2012
      Posts : 618
      Rep Power : 488
      Likes Received
      170
      Likes Given
      67

      Default Usajili wa wanachama wa tawi jipya la CHADEMA Online

      Katiba ya CHADEMA inaruhusu kuanzisha tawi dogo la CHADEMA endapo wanachama wafikapo 30 watapatikana, katika JamiiForums naamini kuna wapenzi wa CHADEMA zaidi ya 30 hivyo tunaruhsiwa kuanzisha tawi letu.

      Hivyo basi kwa wale waliopo tayari naomba waweke majina yao kwenye huu uzi ili nifanye mawasiliano tuweze kuanzisha tawi letu. Pia naomba mpendekeze tawi letu liitwe jina gani

      ifuatayo ni orodha ya wanachama ambao wameshajitokeza mpaka muda huu. usajili bado unaendelea

      1.Lutayega
      2.Godwinnko
      3.Eliceco
      4.Hans79 ( ELIAS KOLIWAKA) email: [email protected]
      5. Ukweli mtupu
      6.
      TUMBIRI,(ametangaza na nia ya kugombea uenyekiti)
      7.Kuku dume
      8.mungi
      9. Kalyovatipi
      10. only83(amependekeza jina la CHADEMA tawi la jamii forum)
      11. 1800
      12. Havizya
      13. Kabembe
      14. Bongolala-amependekeza jina la(J Bongolala-JF branch ) anagombea nafasi ya accountant
      15. STK ONE, (natangaza nia ya kugombea U - KATIBU MWENEZI)
      16. Salma2015
      17. Atabase Agaya.
      18. Tume ya katiba(anatangaza na nia ya kugombea nafasi ya mwenyekiti wa tawi
      19.ibange
      20.mahoza
      21.tume ya katiba(katangaza kugombea uenyekiti wa tawi)
      22.kajunju

      23. Sheshejr, (mjumbe wa mkutano mkuu wa tawi)
      24.Kingungwe
      25. Uncle Rukus
      26. 23.Sabung'ori Mang'ang'a(natangaza nia ya kugombea nafasi ya mtunza hazina wa tawi)
      27. maoniyangu
      28. Aaron 0768497592
      29. Han'some.(anapendekeza jina la hazina janani
      29. mrdash1
      30. palalisote
      31. maoniyangu
      32. Vaspanya
      33. Gitwa
      34. Kagame ( Jina la tawi napendekeza liitwe cdm great thinker branch)
      35.. Tangopori
      36.MBUMBUMBU intelligent(Mi ntagombea uratibu wa matukio kama kuna cheo hicho)Jina la tawi liwe CHADEMA MTANDAONI
      37.bibliography
      38.Gracious
      39.Libaba
      40.Nyengo--(Atagombea-Msemaji mkuu wa Tawi)
      41.Ishina
      42.MAMMAMIA (Napendekeza jina Tawi liwe [email protected] )
      43.mwana fandey
      44.saint ivuga(nitagombea uenyekiti)
      45. Frafajo
      46. mbundenali
      47. Dosama. (Naomba liitwe M4C Online)
      48. William bramwel
      49. Ritchie
      50. Mfereji maringo
      51. Welu (mwanachama)
      52. Eraldius. Mwanachama. [email protected]
      53.njiwa(Mkuu tume ya katiba)
      54. micro E coli.nitagombea ujumbe wa tawi.
      55.ngoni85
      56.Mponjori(iitwe chadema tawi la jamiiforums!)
      57. Ziroseventytwo
      58.omusilanga
      59.mawaiba(Tawi: Chadema Jamvini.)
      60.nairobifly
      61.Rasib
      62.ntamaholo
      63.hoyce
      64.comi
      65. frema 120 najipendekeza kama mjumbe
      66.Apolonary(nitagombea nafasi ya kitibu wa propaganda.)
      67.shardcore
      68. Benaire(Jina.....JF M4C.)
      69. Dark City(CHADEMA ONLINE)
      70. Mpenda pombe
      71. mnyazo
      71. Mwenyenguvu
      72.chieth
      78. Mbilimbili.
      79. Mamndenyi. mjumbe kamati ya ufundi.
      80. Kambajeck. Natangaza kugombea UKATIBU
      81. Codon
      82. peoples power
      83. mareche natangaza kugombea nafasi ya mjumbe wa mkutano mkuu wa tawi
      84.andrewk
      85.mareche natangaza kugombea nafasi ya mjumbe wa mkutano mkuu wa tawi
      87.Swagatwende
      88.Prisoner 46664 hapo (nahitaji nafasi ya ukaguzi mkuu wa mahesabu ya tawi)....
      89.Kirode, mwanachama wa kawaida
      90.mpangamji(membership jina laTawi liwe Chadema Online
      91.dingswayo
      92. Alfred Daud Pigangoma
      93.Navy SEAL
      94. Gagurito-Mkurugenzi wa Mambo ya Ndani na Propaganda wa Tawi.
      95.mkono lubaza
      96.dingswayo
      97.chante nitagombea katibu wa itikadi na uenezi wa tawi...
      98.Bobuk(mjumbe mkutano mkuu)
      99.kodem(natangaza nia kugombea mwenyekiti msaidiz)
      100.mamadou
      101. Ciril Kimat
      102. Ndakilawe... Mnisajili kwa jina la EMMANUEL WILLBARD
      103. Mercyless: [email protected](Jina la tawi: CDM JF BRANCH)
      104.pstar01884
      105.Jackson kanene(nitagombea kuwa katibu mwenezi wa tawi'
      106. BITENDE.nipeni cheo kama cha Rwakatare but mimi ntakuwa wa tawi





      UPDATES
      Mpaka muda huu kama mnavyoona hapo juu orodha inaruhu kuanzisha tawi ila tawi haliwezianzishwa bila uongozi, kwa kuzingatia demokrasia na kutokana na ushauri wa baadhi ya wanachama mi nitakuwa mwenyekiti wa muda, na wanachama wote waliokwishajisajili na wale wanaoendelea kujisajiri munaombwa kupendekeza majina ya watu watakao ingia kwenye kamati ya uchaguzi mwisho wa kupendekeza majina utatangazwa baadae, zoezi litakalofuata baada ya kupata majina nikuwapigia kura ili kupata tume huru ambayo itaendesha uchaguzi.
      Fomu za nafasi mbalimbali za uongozi wa tawi zitaanza kutolewa baada ya tume ya uchaguzi kupatikana, pia ratiba ya kampeni itatangazwa hapo baadae, ila kwa wenye nia ya kugombea mnaruhusiwa kuweka CV zenu. asanteni
      Last edited by lutayega; 27th May 2012 at 12:56.

    2. RukaaJuu Final

    3. #61
      lutayega's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2012
      Posts : 618
      Rep Power : 488
      Likes Received
      170
      Likes Given
      67

      Default Re: Usajili wa wanachama wa tawi jipya la CHADEMA Online

      usajili unaendelea, na unaruhusiwa kupendekeza wajumbe wa tume ya uchaguzi ya uongozi wa tawi
      Last edited by lutayega; 27th May 2012 at 01:57.

    4. #62
      STK ONE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2011
      Location : Mpanda, Katavi Region
      Posts : 628
      Rep Power : 499
      Likes Received
      176
      Likes Given
      44

      Default Re: Usajili wa wanachama wa tawi jipya la CHADEMA Online

      LUTAYEGA utakuwa umelala, kuna ujumbe wako kwenye PM. Jaribu kuufuatilia kama wazo litakuwa zuri basi lifanyie kazi. Me naangusha, I have to work up early in morning kusoma, next monday kuna UE. Gd night to all of you.
      HERI UKIMWI KULIKO CCM....BUT THE END IS ON THE WAY.....

    5. #63
      lutayega's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2012
      Posts : 618
      Rep Power : 488
      Likes Received
      170
      Likes Given
      67

      Default Re: Usajili wa wanachama wa tawi jipya la CHADEMA Online

      Quote By STK ONE
      Mwenyekiti ungoza mchakato wa kupata viongozi wa muda.
      mkuu mi naona tusubili kidogo kwa kuwa wanachama wanazidi kujitokeza hivyo tuendelee kwanza na usajili baada ya usajili tutapendekeza tume ya uchaguzi kwaajili ya kuongoza uchaguzi ili kupata uongozi

    6. #64
      lutayega's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2012
      Posts : 618
      Rep Power : 488
      Likes Received
      170
      Likes Given
      67

      Default Re: Usajili wa wanachama wa tawi jipya la CHADEMA Online

      Quote By STK ONE
      LUTAYEGA utakuwa umelala, kuna ujumbe wako kwenye PM. Jaribu kuufuatilia kama wazo litakuwa zuri basi lifanyie kazi. Me naangusha, I have to work up early in morning kusoma, next monday kuna UE. Gd night to all of you.
      Nimekupata mkuu, ushauri wako ni mzuri na ninaufanyia kazi

    7. #65
      mbumbumbu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th December 2010
      Location : Nyasamba, Shinyanga vijijini
      Posts : 471
      Rep Power : 523
      Likes Received
      75
      Likes Given
      13

      Default Re: Usajili wa wanachama wa tawi jipya la CHADEMA Online

      Jamani nisisahaulike.. Lutayega na mi nimo.. Jina la tawi liwe CHADEMA MTANDAONI coz hakuna mtandao mwingine kama JF so haitakuwa general.

      Mi ntagombea uratibu wa matukio kama kuna cheo hicho.

      MBUMBUMBU intelligent!

    8. Miaka 50

    9. #66
      bibliography's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th May 2011
      Posts : 270
      Rep Power : 460
      Likes Received
      38
      Likes Given
      2

      Default Re: Usajili wa wanachama wa tawi jipya la CHADEMA Online

      bibliography

    10. #67
      Gracious's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2011
      Location : Republic of Tanganyika
      Posts : 643
      Rep Power : 597
      Likes Received
      304
      Likes Given
      405

      Default Re: Usajili wa wanachama wa tawi jipya la CHADEMA Online

      Gracious.Au nimechelewa?
      palalisote likes this.
      "Peace under Poverty-This Scenario is only found in Tanzania,the friend of Tripolitania"

    11. #68
      Libaba's Avatar
      Member Array
      Join Date : 12th December 2010
      Posts : 51
      Rep Power : 438
      Likes Received
      12
      Likes Given
      3

      Default Re: Usajili wa wanachama wa tawi jipya la CHADEMA Online

      Muongeze na Libaba kweny saf ya wapambanaji

    12. #69
      lutayega's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2012
      Posts : 618
      Rep Power : 488
      Likes Received
      170
      Likes Given
      67

      Default Re: Usajili wa wanachama wa tawi jipya la CHADEMA Online

      Quote By Gracious
      Gracious.Au nimechelewa?
      hujachelewa mkuu

    13. #70
      lutayega's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2012
      Posts : 618
      Rep Power : 488
      Likes Received
      170
      Likes Given
      67

      Default Re: Usajili wa wanachama wa tawi jipya la CHADEMA Online

      Kwa wale ambao bado mpo macho usajili unaendelea ila mimi kwa sasa naelekea kitandani, tutaonana asubuhi. usiku mwema makamand

    14. #71
      nyengo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th October 2010
      Posts : 243
      Rep Power : 487
      Likes Received
      31
      Likes Given
      11

      Default Re: Usajili wa wanachama wa tawi jipya la CHADEMA Online

      Nyengo---Msemaji mkuu wa Tawi

    15. #72
      Ishina's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th December 2011
      Location : Mtaani
      Posts : 151
      Rep Power : 404
      Likes Received
      50
      Likes Given
      147

      Default Re: Usajili wa wanachama wa tawi jipya la CHADEMA Online

      Ishina na yeye awepo tafadhari...
      ......''Nobody can hurt me without my permission'' - Mahatma Gandhi

    16. #73
      MAMMAMIA's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 25th February 2008
      Location : Near You
      Posts : 3,794
      Rep Power : 3257
      Likes Received
      1496
      Likes Given
      1206

      Default Re: Usajili wa wanachama wa tawi jipya la CHADEMA Online

      MAMMAMIA mwanachama mpya.
      Napendekeza jina Tawi liwe [email protected]
      "JF - SAUTI YA WASIO NA SAUTI ............ na wapayukaji"

    17. #74
      Chamwau's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th January 2012
      Posts : 43
      Rep Power : 379
      Likes Received
      7
      Likes Given
      26

      Default Re: Usajili wa wanachama wa tawi jipya la CHADEMA Online

      23.mwana fandey

    18. #75
      Chamwau's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th January 2012
      Posts : 43
      Rep Power : 379
      Likes Received
      7
      Likes Given
      26

      Default

      [QUOTE=lutayega;3941630][COLOR=#3e3e3e][FONT=Tahoma]ifuatayo ni orodha ya wanachama ambao wameshajitokeza mpaka muda huu. usajili bado unaendelea .Mwana fandeyM

    19. #76
      Kibanga Ampiga Mkoloni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2007
      Location : Here! here!
      Posts : 4,800
      Rep Power : 1636
      Likes Received
      1195
      Likes Given
      1702

      Default Re: Usajili wa wanachama wa tawi jipya la CHADEMA Online

      Duh, Magwanda @ work,
      kwa nini manpenda kumtisha NAPE?
      For the Holy Quran says in Sura 42, verse 41: 'All those who fight when oppressed incur no guilt, but Allah shall punish the oppressor, Come the day.

    20. #77
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,740
      Rep Power : 10181
      Likes Received
      5676
      Likes Given
      12666

      Default Re: Usajili wa wanachama wa tawi jipya la CHADEMA Online

      nimo na mimi

    21. #78
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,740
      Rep Power : 10181
      Likes Received
      5676
      Likes Given
      12666

      Default Re: Usajili wa wanachama wa tawi jipya la CHADEMA Online

      nitagombea uenyekiti

    22. #79
      frafajo's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 9th May 2012
      Posts : 9
      Rep Power : 356
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By lutayega
      ifuatayo ni orodha ya wanachama ambao wameshajitokeza mpaka muda huu. usajili bado unaendelea
      1.Lutayega
      2.Godwinnko
      3.Eliceco
      4.Hans79 ( ELIAS KOLIWAKA) email: [email protected]
      5. Ukweli mtupu
      6. TUMBIRI,(ametangaza na nia ya kugombea uenyekiti)
      7.Kuku dume
      8.mungi
      9. Kalyovatipi
      10. only83(amependekeza jina la CHADEMA tawi la jamii forum)
      11. 1800
      12. Havizya
      13. Kabembe
      14. Bongolala-amependekeza jina la(J Bongolala-JF branch ) anagombea nafasi ya accountant
      15. STK ONE, (natangaza nia ya kugombea U - KATIBU MWENEZI)
      16. Salma2015
      17. Atabase Agaya.
      18. Tume ya katiba(anatangaza na nia ya kugombea nafasi ya mwenyekiti wa tawi
      19.ibange
      20.mahoza
      21.tume ya katiba(katangaza kugombea uenyekiti wa tawi)
      22.kajunju
      23 Frafajo

    23. #80
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,740
      Rep Power : 10181
      Likes Received
      5676
      Likes Given
      12666

      Default Re: Usajili wa wanachama wa tawi jipya la CHADEMA Online

      vote for saint ivuga mwenyekiti wa tawi

    Page 4 of 11 FirstFirst ... 23456 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...