Kamanda wetu Mbowe katangaza kuanzia leo uwanja wa jangwani palipofanyika mkutano leo pataitwa Chadema square.
Sehemu ya umati uliohudhuria
Kamanda wetu Mbowe katangaza kuanzia leo uwanja wa jangwani palipofanyika mkutano leo pataitwa Chadema square.
Sehemu ya umati uliohudhuria
Chadema Square!!
"Never argue with stupid people, they will drag you down to their level and then beat you with experience" Mark Twain
Yes!Chadema Square!!
Nimeipenda hii mkuu
imekaa vizuri hiyo
Chezea nguvu ya umma wewe; utaumia
Yap kuanzia leo pale ni jangwani ni CHADEMA SQUARE.
big up Mbowe kamanda wa anga.
Hahaha...
CHADEMA SQUARE! Hiyo imepitishwa....
Kuanzia leo Jangwani pataitwa Kanda ya kaskazini square, nadhani hii imekaa vizuri kwa wale waNapelism.
Mnajua jna la jangwani limetokana na nini? Tuachieni historia yetu.
kweli bana..
peopleeeeez
Wana Yanga hatujakubaliana na hilo. mnataka sasa tuwe Yanga ya chadema skuwea hatujakubali hilo. hamjajua sie ni CCM eeh...
1. HARNESS THE POWER OF CHANGE, 2. FACE REALITY!, 3. MANAGING LESS IS MANAGING BETTER
4. CREATE A VISION AND THEN GET OUT OF THE WAY
Akimaanisha nn?
Haina mshiko kakosea maboya.
Chadema square for real.
Yanga tumeafiki, ni "chadema skweya". Kuanzia leo jina hilo limepita, yaani vinega tulijaa hakunaga
Mr Sugu nae kasema kutamka
sisiem unajijumuisha na wewe hivyo tuwe tunawaita NYINYIEM.
.
New name tutali2mia patakuwa kama pale misri tahariri! Mambo mazuri hayo, ccm hawawezi kuujaza hata wakisomba watu na malori.
Pipoz powaaaaaaaaaaaaaaaaaaa....Dar hiyo taratibu inaponyoka mikononi mwa magamba.
Alutta continua! continua!
Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action
Follow Us Here