Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Bango la VodaCom la Kuchangia M4C lina Walakini

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 74
    1. #1
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 5,969
      Rep Power : 1642
      Likes Received
      1129
      Likes Given
      409

      Default Bango la VodaCom la Kuchangia M4C lina Walakini

      Tizama hii picha.



      Nafikiri hata ITV walishtukia wakawa wanaimulika sana.


      Tuijadili au tuipotezee, lakini hii ni pure conspiracy theory.
      Gwaje and Paxman like this.
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      shizukan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th January 2011
      Posts : 1,160
      Rep Power : 843
      Likes Received
      533
      Likes Given
      219

      Default Re: Bango la VodaCom la Kuchangia M4C lina Walakini

      Mwenye akili atajua nini cha kufanya. Mwaka wa balaa kwa magamba huu.
      "You know you are in Tanzania whenyour president believes traffic jam is anindicator of development!" Dr. Wilbrod Peter Slaa

    4. #3
      Gwaje's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 213
      Rep Power : 475
      Likes Received
      34
      Likes Given
      389

      Default Re: Bango la VodaCom la Kuchangia M4C lina Walakini

      hii ni alama freemason na sio ushindi
      Tata and Thanda like this.

    5. #4
      Leonard Robert's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2011
      Posts : 4,247
      Rep Power : 1262
      Likes Received
      522
      Likes Given
      175

      Default Re: Bango la VodaCom la Kuchangia M4C lina Walakini

      ushindi LAZIMA CHADEMA KWETU KUZURI

    6. #5
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14620
      Likes Received
      2841
      Likes Given
      1961

      Default Re: Bango la VodaCom la Kuchangia M4C lina Walakini

      Vodacom = Rostam Aziz

      He is a true king maker. Hakwepeki.

      Vodacom Tanzania Partnership

      Vodacom Tanzania was licensed in Tanzania with its local partners Planetel Communications holding 36% and Caspian Construction holding 16%. Later Planetel decreased its stake to 16%, while Caspian’s increased to 19%.

      A representative of Caspian on the Vodacom Tanzania board is businessman Rostam Aziz,

    7. Miaka 50

    8. #6
      Endeleaaa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Posts : 556
      Rep Power : 705
      Likes Received
      125
      Likes Given
      43

      Default Re: Bango la VodaCom la Kuchangia M4C lina Walakini

      freemason mnaijua au mnasema tu
      Kigogo likes this.
      1. HARNESS THE POWER OF CHANGE, 2. FACE REALITY!, 3. MANAGING LESS IS MANAGING BETTER
      4. CREATE A VISION AND THEN GET OUT OF THE WAY

    9. #7
      kitero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st February 2012
      Location : Kaskazini
      Posts : 516
      Rep Power : 468
      Likes Received
      97
      Likes Given
      48

      Default Re: Bango la VodaCom la Kuchangia M4C lina Walakini

      Kila anachofanya adui yako utakitafutia sababu kionekane kinamatatizo.Mlianza na udini mkaja ukabila mkaja ukanda sasaivi mnakuja na song jipya la freemason.Mlisha chelewa

    10. #8
      WISTON MWINUKA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th April 2012
      Posts : 72
      Rep Power : 370
      Likes Received
      2
      Likes Given
      1

      Default Vodacom ya rostam na janja ya m-pesa kwa cdm

      Rostam Aziz anadaiwa kumiliki Hisa ndani ya kampuni iitwayo VODACOM,Sasa nashangaa leo kuona Vodacom inaanza kutumiwa na CDM kuchangisha fedha za chama kwa ajili ya safari mikoa ya kusini!Naogopa kwa sababu nadhani isije ikawa unakataa kula kinyesi halafu unakula wadudu walao kinyesi.
      Kidogo chetu likes this.

    11. #9
      Havizya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 775
      Rep Power : 514
      Likes Received
      156
      Likes Given
      60

      Default Re: Vodacom ya rostam na janja ya m-pesa kwa cdm

      Chadema haihitaji hata senti tano yako wewe, mkeo, babako na wengine wote wanaokuunga mkono. Gamba zito wewe! Chadema itachangiwa na sisi tunaohitaji mabadiliko Tanzania. M4C

    12. #10
      hans79's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2011
      Posts : 1,468
      Rep Power : 760
      Likes Received
      143
      Likes Given
      0

      Default Re: Vodacom ya rostam na janja ya m-pesa kwa cdm

      hakuna mwenyewe kutubu asiyesamehewa, hata vitani ukinyosha mikono juu unasamehewa.

    13. #11
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14620
      Likes Received
      2841
      Likes Given
      1961

      Default Re: Vodacom ya rostam na janja ya m-pesa kwa cdm

      Baniani mbaya kiatu chake dawa.

      Rostam ni king maker, hakwepeki.

    14. #12
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 5,969
      Rep Power : 1642
      Likes Received
      1129
      Likes Given
      409

      Default Re: Vodacom ya rostam na janja ya m-pesa kwa cdm

      Quote By WISTON MWINUKA
      Rostam Aziz anadaiwa kumiliki Hisa ndani ya kampuni iitwayo VODACOM,Sasa nashangaa leo kuona Vodacom inaanza kutumiwa na CDM kuchangisha fedha za chama kwa ajili ya safari mikoa ya kusini!Naogopa kwa sababu nadhani isije ikawa unakataa kula kinyesi halafu unakula wadudu walao kinyesi.
      machoko mko wengi tu, ila saa imeshafika ambapo hamtasalia hata mmoja.
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    15. #13
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14620
      Likes Received
      2841
      Likes Given
      1961

      Default Re: Vodacom ya rostam na janja ya m-pesa kwa cdm

      Quote By Havizya
      Chadema haihitaji hata senti tano yako wewe, mkeo, babako na wengine wote wanaokuunga mkono. Gamba zito wewe! Chadema itachangiwa na sisi tunaohitaji mabadiliko Tanzania. M4C
      Kwi kwi kwi teh teh teh. Inauhitaji mtandao tu wa Rostam, au sio?

    16. #14
      Atabase Agaya's Avatar
      Member Array
      Join Date : 7th December 2011
      Posts : 87
      Rep Power : 393
      Likes Received
      24
      Likes Given
      76

      Default

      Quote By WISTON MWINUKA
      Rostam Aziz anadaiwa kumiliki Hisa ndani ya kampuni iitwayo VODACOM,Sasa nashangaa leo kuona Vodacom inaanza kutumiwa na CDM kuchangisha fedha za chama kwa ajili ya safari mikoa ya kusini!Naogopa kwa sababu nadhani isije ikawa unakataa kula kinyesi halafu unakula wadudu walao kinyesi.
      Vua gamba vaa gwanda!

    17. #15
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14620
      Likes Received
      2841
      Likes Given
      1961

      Default Re: Vodacom ya rostam na janja ya m-pesa kwa cdm

      Vodacom = Rostam

      Halafu kuna binti Makamba pale, mmemsahau?

      Nna uhakika mlienda kuonana nae, maana PR ya voda bila kumuona yeye haijawa.

    18. #16
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14620
      Likes Received
      2841
      Likes Given
      1961

      Default Re: Vodacom ya rostam na janja ya m-pesa kwa cdm

      Quote By Ng'wanangwa
      machoko mko wengi tu, ila saa imeshafika ambapo hamtasalia hata mmoja.
      Vodacom Tanzania Partnership

      Vodacom Tanzania was licensed in Tanzania with its local partners Planetel Communications holding 36% and Caspian Construction holding 16%. Later Planetel decreased its stake to 16%, while Caspian’s increased to 19%


      A representative of Caspian on the Vodacom Tanzania board is businessman Rostam Aziz,

    19. #17
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 5,969
      Rep Power : 1642
      Likes Received
      1129
      Likes Given
      409

      Default Re: Bango la VodaCom la Kuchangia M4C lina Walakini

      Quote By kitero
      Kila anachofanya adui yako utakitafutia sababu kionekane kinamatatizo.Mlianza na udini mkaja ukabila mkaja ukanda sasaivi mnakuja na song jipya la freemason.Mlisha chelewa
      wewe naona tunaongea lugha moja lakini hatuongei lugha moja.

      nachosema mimi ni mwanachadema kwa maana ya mwanachama wa chadema.

      picha zilizoko kwenye bango siziafiki. kama itawapendeza makamanda wangu ngazi husika wahakikishe baadhi ya picha zinaondolewa. mimi binafsi sizitaki kwa sababu ni kuwatafutia magamba mwanya wa kusema uzushi wao.
      Taja likes this.
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    20. #18
      NG'OMBE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th March 2011
      Posts : 290
      Rep Power : 437
      Likes Received
      60
      Likes Given
      125

      Default Re: Vodacom ya rostam na janja ya m-pesa kwa cdm

      Usije sababisha Vodacom wakafunga vilago, maana tutawashawishi watanzania waisusie kampuni hii. Jaribu kutofautisha biashara na siasa.
      We know next and Thanda like this.

    21. #19
      The Invincible's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2006
      Location : Online
      Posts : 1,945
      Rep Power : 1057
      Likes Received
      169
      Likes Given
      0

      Default Re: Bango la VodaCom la Kuchangia M4C lina Walakini

      Hata mimi nimeishtukia hiyo alama ya shetani. Kwa sisi tunaofahamu mambo ya ughaibuni (West), hiyo ni alama ya shetani.

      Mmmhhh!!!!!
      Watanzania mbumbumbu wamemchagua raisi dhaifu ajenge taifa la watu wasiojiamini, 2010/2015 - Tafakari

    22. #20
      Aristides Pastory's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th February 2012
      Posts : 347
      Rep Power : 436
      Likes Received
      58
      Likes Given
      0

      Default Re: Bango la VodaCom la Kuchangia M4C lina Walakini

      Kama wewe unaamini kuhusu FREEMASONS usituvuruge...

      CHADEMA ni chama cha wapenda maendeleo na mabadiliko.

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...