Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Bango la VodaCom la Kuchangia M4C lina Walakini

    Report Post
    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 41 to 60 of 74
    1. #1
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 5,991
      Rep Power : 1647
      Likes Received
      1136
      Likes Given
      417

      Default Bango la VodaCom la Kuchangia M4C lina Walakini

      Tizama hii picha.

      Attachment 54676

      Nafikiri hata ITV walishtukia wakawa wanaimulika sana.


      Tuijadili au tuipotezee, lakini hii ni pure conspiracy theory.
      Gwaje and Paxman like this.
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    2. RukaaJuu Final

    3. #41
      Jack G's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th May 2012
      Posts : 27
      Rep Power : 360
      Likes Received
      7
      Likes Given
      18

      Default Re: Cdm = freemasonry?

      Quote By elly_black
      Sina knowledge yoyote ya ufreemason so kuhusu habari hizo naweza kukubali au kukata.
      That's right elly-black, am not condemning anybody either. Just tabling this for further discussion. It's an information era, shouldnt leave any stone unturned. I am quite impressed by the cdm's innovations and zeal tho
      Change is the law of life. And those who look only to the past or present are certain to miss the future –J. F. Kennedy

    4. FJM
      #42
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,179
      Rep Power : 2569
      Likes Received
      5331
      Likes Given
      4587

      Default Re: Cdm = freemasonry?

      Hii mijadala ya freemasonary inakinaisha sasa. Na kwa kadri ninavyosoma maandiko mbalimbali hasa magazeti yatu ndivyo naona bado tuna shida sana kwenye upande wa elimu. Kuna gazeti moja linaitwa TAZAMA. Kwa muda sasa wamekuwa wanaandika juu huu upuuzi. Nasema upuuzi maana ukisoma alichoandika huyo mwandishi utajiuliza amefika darasa la ngapi? Very primitive thinking.

      Just becuase kikindi fulani wanatumia alama fulani basi na wewe ukitumia alama hiyo unakuwa mmoja wa kikundi hicho? Hivi ni kweli mtu hawezi kuweka vidole vyake kama ilivyo kwenye picha na bado asiwe freemason? Au hairuhusiwi kufanya hivyo mpaka uwe mwanachama na freemason? Labda nitoe mfano. Auguston Lyatonga Mrema anavaa kofia ambayo kwa kawaida huvaliwa na watu wa dini ya kiislam. Lakini Mrema ni mkristo. Je, kwa kuvaa hiyo kofia automatically anakuwa muislam?

    5. #43
      palalisote's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th August 2010
      Location : WA HAPAHAPA
      Posts : 2,083
      Rep Power : 2043
      Likes Received
      941
      Likes Given
      3858

      Default Re: Cdm = freemasonry?

      mbona tangazo mnaliona lina walakini mbona hamuulizi mnapopewa visa au master cards?
      FJM likes this.

    6. #44
      Tume ya Katiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Chumbuni-Zanzibar
      Posts : 2,690
      Rep Power : 0
      Likes Received
      542
      Likes Given
      273

      Default Re: Cdm = freemasonry?

      11, 13 and 33: The Illuminati / Freemason Signature


      Endeleeni kushabikia wafanyabiashara Mtajikuta mpo sokoni.

    7. #45
      Tume ya Katiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Chumbuni-Zanzibar
      Posts : 2,690
      Rep Power : 0
      Likes Received
      542
      Likes Given
      273

      Default Re: Cdm = freemasonry?

      Quote By FJM

      Just becuase kikindi fulani wanatumia alama fulani basi na wewe ukitumia alama hiyo unakuwa mmoja wa kikundi hicho?
      Mkuu wangu hebu irekebishe hoja yako, Unafikili kwa nini chama kitumie alama hiyo? kwani hakuna alama nyingine?
      Jack G likes this.

    8. Miaka 50

    9. #46
      Jack G's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th May 2012
      Posts : 27
      Rep Power : 360
      Likes Received
      7
      Likes Given
      18

      Default Re: Cdm = freemasonry?

      Quote By FJM
      Hii mijadala ya freemasonary inakinaisha sasa. Na kwa kadri ninavyosoma maandiko mbalimbali hasa magazeti yatu ndivyo naona bado tuna shida sana kwenye upande wa elimu. Kuna gazeti moja linaitwa TAZAMA. Kwa muda sasa wamekuwa wanaandika juu huu upuuzi. Nasema upuuzi maana ukisoma alichoandika huyo mwandishi utajiuliza amefika darasa la ngapi? Very primitive thinking.

      Just becuase kikindi fulani wanatumia alama fulani basi na wewe ukitumia alama hiyo unakuwa mmoja wa kikundi hicho? Hivi ni kweli mtu hawezi kuweka vidole vyake kama ilivyo kwenye picha na bado asiwe freemason? Au hairuhusiwi kufanya hivyo mpaka uwe mwanachama na freemason? Labda nitoe mfano. Auguston Lyatonga Mrema anavaa kofia ambayo kwa kawaida huvaliwa na watu wa dini ya kiislam. Lakini Mrema ni mkristo. Je, kwa kuvaa hiyo kofia automatically anakuwa muislam?
      Ni kweli, that's why i said may be real may be coincidence. I have a feeling there's a lot more going on around us without our clear understanding. However, we can't stop discussing, anythg is possible
      Change is the law of life. And those who look only to the past or present are certain to miss the future –J. F. Kennedy

    10. #47
      nyengo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th October 2010
      Posts : 243
      Rep Power : 487
      Likes Received
      31
      Likes Given
      11

      Default Re: Cdm = freemasonry?

      Mmmm!!! Lakini CDM imeanza mbali. Kilitwa chama cha Wachaga, mara chama cha matajiri, mara chama cha wakristo, mara chama cha wadini, mara chama cha.......malizia majina yote. Na sasa mmekuja na freemasonnry. Mpaka kufika 2015, CDM watakuwa na majina mangapi???
      FJM and Elizabeth Dominic like this.

    11. #48
      Jack G's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th May 2012
      Posts : 27
      Rep Power : 360
      Likes Received
      7
      Likes Given
      18

      Default Re: Cdm = freemasonry?

      Quote By nyengo
      Mmmm!!! Lakini CDM imeanza mbali. Kilitwa chama cha Wachaga, mara chama cha matajiri, mara chama cha wakristo, mara chama cha wadini, mara chama cha.......malizia majina yote. Na sasa mmekuja na freemasonnry. Mpaka kufika 2015, CDM watakuwa na majina mangapi???
      Hahahahaha, Nimeipenda hiyo Nyengo. Ukiona hivyo ujue kina mashiko. Ukiona tai wamekusanyika mahali ujue pana mzoga si bure.
      Change is the law of life. And those who look only to the past or present are certain to miss the future –J. F. Kennedy

    12. #49
      WAHEED SUDAY's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2011
      Posts : 2,846
      Rep Power : 2972
      Likes Received
      479
      Likes Given
      318

      Default Re: Cdm = freemasonry?

      Ongeeni sana lakini dawa yenu nimpaka 2015 mtakuwa mmetota
      Just a charcoal, don't expect anything white

    13. #50
      Jumakidogo's Avatar
      R I P Array
      Join Date : 16th July 2009
      Location : DOM & DAR
      Posts : 1,868
      Rep Power : 1177
      Likes Received
      390
      Likes Given
      42

      Default

      Quote By Tume ya katiba
      11, 13 and 33: The Illuminati / Freemason Signature


      Endeleeni kushabikia wafanyabiashara Mtajikuta mpo sokoni.
      May 26 = 5+2+6=?
      Jack G likes this.

    14. #51
      Jumakidogo's Avatar
      R I P Array
      Join Date : 16th July 2009
      Location : DOM & DAR
      Posts : 1,868
      Rep Power : 1177
      Likes Received
      390
      Likes Given
      42

      Default

      Quote By Jack G
      I followed the rally on ITV, that stuff somehow disturbed me too. I ignored it though, thought it was just a visual error. I have not done much research, i hesitate to make tough comments. However, for curiosity, there could be smthg connecting to the 111333 m-pesa number issued, Plz check out 4urselves: 11, 13 and 33: The Illuminati / Freemason Signature
      Cheers
      Mkutano jangwani M4C may 26 inakuja hivi. May 26 = 5+2+6=?
      Jack G likes this.

    15. #52
      STIDE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st September 2011
      Posts : 805
      Rep Power : 556
      Likes Received
      270
      Likes Given
      0

      Default Re: Cdm = freemasonry?

      Duh!! Hapa mi nashindwa kuelewa, hivi watu wengine ubongo wao ni sawa na senene!!?

    16. #53
      Msambaa mkweli's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st December 2011
      Posts : 152
      Rep Power : 403
      Likes Received
      26
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Jack G
      1. Suspicious signs in M-Pesa bango:

      Attachment 54697

      2. Something suspicious too about the 111333 M-Pesa number issued, unless if it's a mere coincidence. Plz try ths link: http://www.theforbiddenknowledge.com...n_sig.htm&nbsp

      Kwanza vua Gamba kisha vaa Gwanda, Hivi umejiuliza baba riz amekwenda Marekani kufanya? Obama amekubali ndoa ya jinsia moja (ushetani) muda mfupi anamualika baba riz kwenye G8 toka lini Tz tukawa member, eti kuboresha kilimo tz au kuchukua ardhi ya tz kwa kivuli cha kilimo. HAWA NDIO FREEMANSON. wanaitana kwenye G8. Upo?

    17. #54
      Mzito Kabwela's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : MPUMBULI
      Posts : 7,243
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1087
      Likes Given
      7

      Default

      Quote By Ribosome
      Hujui kama Mbowe ni mwanachama?
      Mwenyekiti Mstaafu wa CCM -BWM
      Mwenyekiti wa sasa wa CCM- JMK
      Kada maarufu wa CCM -Reginald Mengi
      Kada maarufu wa CCM- Chande
      Balozi Nsekela-Kada mzito wa CCM

      hawa ni baadhi ya watu wanaotajwa kuwa wana freemasons, ni makada waliokubuhu wa CCM!

    18. #55
      Kidogo chetu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2009
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 478
      Rep Power : 578
      Likes Received
      53
      Likes Given
      130

      Default Re: Vodacom ya rostam na janja ya m-pesa kwa cdm

      Quote By WISTON MWINUKA
      Rostam Aziz anadaiwa kumiliki Hisa ndani ya kampuni iitwayo VODACOM,Sasa nashangaa leo kuona Vodacom inaanza kutumiwa na CDM kuchangisha fedha za chama kwa ajili ya safari mikoa ya kusini!Naogopa kwa sababu nadhani isije ikawa unakataa kula kinyesi halafu unakula wadudu walao kinyesi.
      Umenena lakini humu mods wanaweza kukupa banio

    19. #56
      Kwaroz's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th August 2009
      Posts : 40
      Rep Power : 503
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: Bango la VodaCom la Kuchangia M4C lina Walakini

      Swali la kujiuliza ni kwamba nani katengeneza hiyo picha? Ni cdm au ni voda? Nani katoa hiyo namba ni voda au cdm? Inawezekana kwamba hivyo vyote vimefanyika makusudi na voda ili kuchafua hali ya hewa kwa kuwa alama ya cdm inajulikana na hiyo kwenye picha baadhi si za cdm. Hapo inabidi kujua zaidi maana hyo picha si halisi bali ni graphics ambayo imechorwa kuhamasisha kuchangia. Ingekuwa cdm ni freemason sidhani kama wangeomba michango kwa wananchi. Mimi nadhani na kuamini hiyo inawezekana kuwa ni trick ya watu wengne kuihususha na jambo hilo na inawezekana imefanyika makusudi au kwa bahati mbaya. Jambo lingine la kuzingatia kwamba alama ya vodacom kwa sasa ni alama ya kifreemason ambyo ipo wazi kabisa tena bila kuficha sasa sijui hapo inakuwaje. Ninavyodhano ni kwamba voda wenyewe watajitahidi kufanya jambo lolote ili wadisplay kile kilichoko rohoni mwao. Huo ni uchunguzi wangu mfupi
      Last edited by Kwaroz; 27th May 2012 at 08:20.

    20. #57
      Jumakidogo's Avatar
      R I P Array
      Join Date : 16th July 2009
      Location : DOM & DAR
      Posts : 1,868
      Rep Power : 1177
      Likes Received
      390
      Likes Given
      42

      Default Re: Bango la VodaCom la Kuchangia M4C lina Walakini

      Inawezekana CDM wanatumiwa na Freemason bila wao wenyewe kujua. Hata hivyo jumuia hii sio watu wabaya kama inavyodhaniwa na wengi.

    21. #58
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 5,991
      Rep Power : 1647
      Likes Received
      1136
      Likes Given
      417

      Default Re: Bango la VodaCom la Kuchangia M4C lina Walakini

      Quote By Kwaroz
      Swali la kujiuliza ni kwamba nani katengeneza hiyo picha? Ni cdm au ni voda? Nani katoa hiyo namba ni voda au cdm? Inawezekana kwamba hivyo vyote vimefanyika makusudi na voda ili kuchafua hali ya hewa kwa kuwa alama ya cdm inajulikana na hiyo kwenye picha baadhi si za cdm. Hapo inabidi kujua zaidi maana hyo picha si halisi bali ni graphics ambayo imechorwa kuhamasisha kuchangia. Ingekuwa cdm ni freemason sidhani kama wangeomba michango kwa wananchi. Mimi nadhani na kuamini hiyo inawezekana kuwa ni trick ya watu wengne kuihususha na jambo hilo na inawezekana imefanyika makusudi au kwa bahati mbaya. Jambo lingine la kuzingatia kwamba alama ya vodacom kwa sasa ni alama ya kifreemason ambyo ipo wazi kabisa tena bila kuficha sasa sijui hapo inakuwaje. Ninavyodhano ni kwamba voda wenyewe watajitahidi kufanya jambo lolote ili wadisplay kile kilichoko rohoni mwao. Huo ni uchunguzi wangu mfupi
      na mimi ndiyo hoja yangu hasa.

      sitachangia tena mnakasha huu. na kama ikiwapendeza, mods wanaweza kuufunga, kwa kuwa wahusika kwenye chama watakuwa wamepata ujumbe.


      habari zaidi kuhusu namba 111 333 bofya hapa:

      Soul Appreciation Society Contact
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    22. #59
      CHIETH's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th August 2011
      Location : South Korea
      Posts : 172
      Rep Power : 427
      Likes Received
      63
      Likes Given
      98

      Default Re: Bango la VodaCom la Kuchangia M4C lina Walakini

      Quote By Ribosome
      M4C = Movement for Christ.
      Sasa umeanza kuingiza ujinga hapa. Unataka kuwaincite waisalamu sio? Mda wote nafuatilia sana posts zako lakini hili limeniudhi sana maana naogopa sana udini. Nchini nyingi sana duniani zinayumba na hazitawaliki kwa sababu ya udini. Angalia Misri, Libya, Yaemen, Afghanistan, Somalia, Nigeria, Mali, etc. Noamba Mungu atuepushie mbali Malumbano ya udini. Hapa Korea Kusini watu wanaishi vizuri sana kwa sababu mambo dini ya haipo sana japo kunavielement za makanisa na misikiti.

    23. #60
      Comi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 963
      Rep Power : 578
      Likes Received
      156
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By Ng'wanangwa
      Tizama hii picha.

      Attachment 54676

      Nafikiri hata ITV walishtukia wakawa wanaimulika sana.


      Tuijadili au tuipotezee, lakini hii ni pure conspiracy theory.
      je freemason ni nini na ni nani?ni sawa na ukiulizwa mchawi ni nani na uchawi ni nini?

    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...