Tizama hii picha.
Attachment 54676
Nafikiri hata ITV walishtukia wakawa wanaimulika sana.
Tuijadili au tuipotezee, lakini hii ni pure conspiracy theory.
Tizama hii picha.
Attachment 54676
Nafikiri hata ITV walishtukia wakawa wanaimulika sana.
Tuijadili au tuipotezee, lakini hii ni pure conspiracy theory.
CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...
REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha
Change is the law of life. And those who look only to the past or present are certain to miss the future –J. F. Kennedy
Hii mijadala ya freemasonary inakinaisha sasa. Na kwa kadri ninavyosoma maandiko mbalimbali hasa magazeti yatu ndivyo naona bado tuna shida sana kwenye upande wa elimu. Kuna gazeti moja linaitwa TAZAMA. Kwa muda sasa wamekuwa wanaandika juu huu upuuzi. Nasema upuuzi maana ukisoma alichoandika huyo mwandishi utajiuliza amefika darasa la ngapi? Very primitive thinking.
Just becuase kikindi fulani wanatumia alama fulani basi na wewe ukitumia alama hiyo unakuwa mmoja wa kikundi hicho? Hivi ni kweli mtu hawezi kuweka vidole vyake kama ilivyo kwenye picha na bado asiwe freemason? Au hairuhusiwi kufanya hivyo mpaka uwe mwanachama na freemason? Labda nitoe mfano. Auguston Lyatonga Mrema anavaa kofia ambayo kwa kawaida huvaliwa na watu wa dini ya kiislam. Lakini Mrema ni mkristo. Je, kwa kuvaa hiyo kofia automatically anakuwa muislam?
mbona tangazo mnaliona lina walakini mbona hamuulizi mnapopewa visa au master cards?
11, 13 and 33: The Illuminati / Freemason Signature
Endeleeni kushabikia wafanyabiashara Mtajikuta mpo sokoni.
Change is the law of life. And those who look only to the past or present are certain to miss the future –J. F. Kennedy
Mmmm!!! Lakini CDM imeanza mbali. Kilitwa chama cha Wachaga, mara chama cha matajiri, mara chama cha wakristo, mara chama cha wadini, mara chama cha.......malizia majina yote. Na sasa mmekuja na freemasonnry. Mpaka kufika 2015, CDM watakuwa na majina mangapi???
Duh!! Hapa mi nashindwa kuelewa, hivi watu wengine ubongo wao ni sawa na senene!!?
Kwanza vua Gamba kisha vaa Gwanda, Hivi umejiuliza baba riz amekwenda Marekani kufanya? Obama amekubali ndoa ya jinsia moja (ushetani) muda mfupi anamualika baba riz kwenye G8 toka lini Tz tukawa member, eti kuboresha kilimo tz au kuchukua ardhi ya tz kwa kivuli cha kilimo. HAWA NDIO FREEMANSON. wanaitana kwenye G8. Upo?
Swali la kujiuliza ni kwamba nani katengeneza hiyo picha? Ni cdm au ni voda? Nani katoa hiyo namba ni voda au cdm? Inawezekana kwamba hivyo vyote vimefanyika makusudi na voda ili kuchafua hali ya hewa kwa kuwa alama ya cdm inajulikana na hiyo kwenye picha baadhi si za cdm. Hapo inabidi kujua zaidi maana hyo picha si halisi bali ni graphics ambayo imechorwa kuhamasisha kuchangia. Ingekuwa cdm ni freemason sidhani kama wangeomba michango kwa wananchi. Mimi nadhani na kuamini hiyo inawezekana kuwa ni trick ya watu wengne kuihususha na jambo hilo na inawezekana imefanyika makusudi au kwa bahati mbaya. Jambo lingine la kuzingatia kwamba alama ya vodacom kwa sasa ni alama ya kifreemason ambyo ipo wazi kabisa tena bila kuficha sasa sijui hapo inakuwaje. Ninavyodhano ni kwamba voda wenyewe watajitahidi kufanya jambo lolote ili wadisplay kile kilichoko rohoni mwao. Huo ni uchunguzi wangu mfupi
Last edited by Kwaroz; 27th May 2012 at 08:20.
Inawezekana CDM wanatumiwa na Freemason bila wao wenyewe kujua. Hata hivyo jumuia hii sio watu wabaya kama inavyodhaniwa na wengi.
na mimi ndiyo hoja yangu hasa.
sitachangia tena mnakasha huu. na kama ikiwapendeza, mods wanaweza kuufunga, kwa kuwa wahusika kwenye chama watakuwa wamepata ujumbe.
habari zaidi kuhusu namba 111 333 bofya hapa:
Soul Appreciation Society Contact
CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...
REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha
Sasa umeanza kuingiza ujinga hapa. Unataka kuwaincite waisalamu sio? Mda wote nafuatilia sana posts zako lakini hili limeniudhi sana maana naogopa sana udini. Nchini nyingi sana duniani zinayumba na hazitawaliki kwa sababu ya udini. Angalia Misri, Libya, Yaemen, Afghanistan, Somalia, Nigeria, Mali, etc. Noamba Mungu atuepushie mbali Malumbano ya udini. Hapa Korea Kusini watu wanaishi vizuri sana kwa sababu mambo dini ya haipo sana japo kunavielement za makanisa na misikiti.
Follow Us Here