Tizama hii picha.
Attachment 54676
Nafikiri hata ITV walishtukia wakawa wanaimulika sana.
Tuijadili au tuipotezee, lakini hii ni pure conspiracy theory.
Tizama hii picha.
Attachment 54676
Nafikiri hata ITV walishtukia wakawa wanaimulika sana.
Tuijadili au tuipotezee, lakini hii ni pure conspiracy theory.
CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...
REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha
unaumwa wewe. tena unaumwa maradhi ya ccm ya kuona jambo baya na kulifumbia mdomo kisa utafanywa nini sijuwi. inferiority complex. wangine hatuamini hivyo. you have to understand that si kila mtu alienda Jangwani. wengine tumeona kupitia TV, na kamera za ITV ziliimulika sana hiyo alama tena kwa kurudia rudia.
tumewashtukia.
hata namba 111 333 nina mashaka nayo.
111 = exopolitics.
zinduka.
CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...
REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha
hii yote ni M4C tu, na bado mwaka huu kulingana na ratiba aliyotangaza kamanda Mbowe lazima kuna mtu atakufa kwa presha ya M4C
Hiyo sio V sign, ni Love sign:
Great spirits have always encountered violent opposition from mediocre minds
Albert Einstein
Nowhere to hide. Magamba lazima watimke tu. Propaganda zote + Shibuda na wanafiki wengine hila zao zitashindwa.
Kunako mapambazuko ya 2015, hatutakuwa tunasumbuliwa na vimelea kama hawa voda, tbc nk.
Please CDM only maintain to do what you're rightly do here and now.
ndugu zangu mnaoanzisha propaganda za chadema na rostam tujitahid kufikilia nje ya mabox ya ukada. Wanachofanya CDM ni kuchangisha hela kwa njia raisi zaidi na ya uhakika. Rostam hajachangia at any tm chadema. Na wewe unayesema tunamtumia kampuni ya rostam wewe utumii M pesa,? Na kama unatumia mpesa kwa unachokisema ni kwamba hata wewe ni sehemu ya ufisadi wa rostam. Vodacom n rostam ni watu wawili tofauti mbele ya sheria.
mmekosa ya kuongea sasa mnasema freemason, kweli movement for change inauma! hata kama voda ni ya rostam sisi hatujali, kwanza hatutaki pesa zake,tuta changa pesa zetu kutoka mifukoni mwetu. najua magamba mtaanza kuiandama voda na tutaweka kwa mitandao yote. pressure juu. peoplesssssssssssssssssssss poweeeèèeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee rrr
I followed the rally on ITV, that stuff somehow disturbed me too. I ignored it though, thought it was just a visual error. I have not done much research, i hesitate to make tough comments. However, for curiosity, there could be smthg connecting to the 111333 m-pesa number issued, Plz check out 4urselves: 11, 13 and 33: The Illuminati / Freemason Signature
Cheers
Change is the law of life. And those who look only to the past or present are certain to miss the future –J. F. Kennedy
1. Suspicious signs in M-Pesa bango:
2. Something suspicious too about the 111333 M-Pesa number issued, unless if it's a mere coincidence. Plz try ths link: http://www.theforbiddenknowledge.com...n_sig.htm 
There is nothing political about ths thread;just trying to be conscious of our political landscape
Change is the law of life. And those who look only to the past or present are certain to miss the future –J. F. Kennedy
1. Suspicious signs in M-Pesa bango:
2. Something suspicious too about the 111333 M-Pesa number issued, unless if it's a mere coincidence. Plz try ths link: http://www.theforbiddenknowledge.com...n_sig.htm 
Change is the law of life. And those who look only to the past or present are certain to miss the future –J. F. Kennedy
Sina knowledge yoyote ya ufreemason so kuhusu habari hizo naweza kukubali au kukata.
ALWAYS A GOOD LIAR SHOULD HAVE A GOOD MEMORY.
Follow Us Here