Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kutoka Jangwani: Mkutano wa CHADEMA, Vua Gamba, Vaa Gwanda

    Report Post
    Page 5 of 33 FirstFirst ... 3456715 ... LastLast
    Results 81 to 100 of 645
    1. #1
      Kyindokyakombe's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st May 2012
      Posts : 97
      Rep Power : 374
      Likes Received
      95
      Likes Given
      2

      Default Kutoka Jangwani: Mkutano wa CHADEMA, Vua Gamba, Vaa Gwanda

      Hatimaye M4C - Vua Gamba Vaa Gwanda itatua Dar leo mashabiki na wapenzi wa CDM Vyuo vikuu MLIMANI, ARDHI, IMF, TIA, MWL NYERERE MEMORIAL, TUMAINI, KIU, MUHIMBILI Sote tujivute tuungane pamoja kutengeneza mustakabali wa nchi yetu.

      WANANCHI nao sehemu mbalimbali za JIJI la DAR nanyi mjitokeze kwa wingi.

      MUNGU IBARIKI CDM MUNGU IBARIKI TZ.



      Elli, Tiba, Saint Ivuga and 20 others like this.

    2. Study Abroad

    3. #81
      Ndekirhepva's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th May 2012
      Location : Lubumbash
      Posts : 303
      Rep Power : 413
      Likes Received
      27
      Likes Given
      77

      Default Re: Yanayojiri jangwani siku ya leo

      Quote By webondo
      Tafadhali wale ambao mko Jangwani mtujuze yanayojiri huko. Tunajua ni mapema mno kwa sasa ila naamini maandalizi yameshafanyika tayari.
      usicheze mbali na ITV watakua live pale jangwani kuanzia mishale ya saa nane mchana huu

    4. #82
      Kiganyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2012
      Posts : 1,162
      Rep Power : 982
      Likes Received
      708
      Likes Given
      400

      Default Re: Kutoka Jangwani: Mkutano wa CHADEMA, Vua Gamba, Vaa Gwanda

      Lero ndero!!

    5. #83
      Kiganyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2012
      Posts : 1,162
      Rep Power : 982
      Likes Received
      708
      Likes Given
      400

      Default Re: M4C ME AND MY WIFE ON OUR WAY TO JANGWANi

      Niko ofisini nasikia mzee mmoja anampigia simu mkewe atazame mkutano via ITV!

      Kimenuka mpaka huku far North Mara!

    6. #84
      dondezel's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 9
      Rep Power : 372
      Likes Received
      0
      Likes Given
      3

      Default Re: Kutoka Jangwani: Mkutano wa CHADEMA, Vua Gamba, Vaa Gwanda

      Nahisi kila eneo leo wanatambua kama watu wa vua Gamba wapo mjini Dar! Muhimu ni sisi wote kujitokeza kwa wingi na kuonyesha mshikamano wetu bila kujali umri na jinsia...Hebu tujitokeze!!!!!!!!!!

    7. #85
      cjilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th September 2011
      Location : Behind you
      Posts : 391
      Rep Power : 467
      Likes Received
      119
      Likes Given
      157

      Default Re: Kutoka Jangwani: Mkutano wa CHADEMA, Vua Gamba, Vaa Gwanda

      Nmetokea ud na skafu yangu mfukoni kufika nje ya chuo, kufika nje ya geti nkaitinga, fika ubungo wa2 full shangwe,yaan pp's

    8. FemaTV & Radio

    9. #86
      English Learner's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st January 2012
      Location : Inside the Laptop
      Posts : 251
      Rep Power : 804
      Likes Received
      268
      Likes Given
      197

      Default

      Quote By English Learner
      Dear JF Members,

      Whether you in Dar or somewhere else please don't dare to miss the inaugural for M4C and the Katiba Rally. You've options around you to attend physically at Jangwani or participate by watching ITV or listening Clouds FM.

      Shout louder your grievances against all laggards of change and development. Write here on this thread your confirmation that e.g. "Salum Abdallah I'm attending/participating/listening"

      Those attending in boby and soul, sign-in in the Foursquare social network and opt-in your location when you are around Jangwani to let the world know the masses flocking to support M4C and Katiba Rally.

      English Learner am attending!
      Re-posted to mantain our flow distracted by JF Mods by combining our thread with others.

      Lets go.......

      English Learner almost there!

    10. #87
      muonamambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2010
      Posts : 553
      Rep Power : 552
      Likes Received
      164
      Likes Given
      935

      Default Re: Kutoka Jangwani: Mkutano wa CHADEMA, Vua Gamba, Vaa Gwanda

      bravo ta ta ta tu tu te te te ti ti M4C raha tupu

    11. #88
      Micro E coli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2011
      Posts : 552
      Rep Power : 491
      Likes Received
      103
      Likes Given
      88

      Default Re: Kutoka Jangwani: Mkutano wa CHADEMA, Vua Gamba, Vaa Gwanda

      hii barabara ya bagamoyo road balaa tu yaani follen maeneo ya tegeta sijui nitawahi kweli peoples power wakuu mliopo eneo la tukio tujuzeni wengine tupo njiani tunakuja.

    12. #89
      MWANA WA UFALME's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th September 2010
      Posts : 365
      Rep Power : 514
      Likes Received
      65
      Likes Given
      34

      Default Re: I am attending CDM-M4C Rally at Jangwani. And you?

      Kwa wale wanaofuatilia kupitia tv, mnaweza kufikiria option ya kuwa karibu na generata maana haya mambo ya electricity monopoly yameingia kwenye siasa kwa kipindi kirefu sasa.

    13. #90
      Micro E coli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2011
      Posts : 552
      Rep Power : 491
      Likes Received
      103
      Likes Given
      88

      Default Re: Kutoka Jangwani: Mkutano wa CHADEMA, Vua Gamba, Vaa Gwanda

      kiroho kinanidunda nafikiria namna ya kufika jangwani kwa haraka nipo maeneo ya mbezi beach jogoo waliopo live hapo shusheni yanayoendelea huko.

    14. #91
      mkomatembo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th December 2011
      Location : Bweleo
      Posts : 1,018
      Rep Power : 637
      Likes Received
      228
      Likes Given
      1266

      Default Re: Polisi waliwezaje kulinda msiba wa kanumba washindwe leo?

      Quote By REMSA
      Kova na jeshi la polisi kwa ujumla wanajidhalilisha sana,kwa kusema hawataweza kulinda watu watakaotembea
      kwa miguu kwenda jangwani kwenye mkutano,ikiwa waliweza kuwalinda watu wakati wanaandamana kwenda
      Leaders Club wakati wa msiba wa Kanumba
      ,leo nini kumebadilika kwa watu kutembea makundi kuelekea Jangwani?
      "Shame on you"!!!!!!!!!!!!!!!
      Usipotoshe nani alikwambia kulikuwa na maandamano siku ile?

    15. #92
      CHIEF MVUNGI's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Posts : 101
      Rep Power : 379
      Likes Received
      13
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By REMSA
      Kova na jeshi la polisi kwa ujumla wanajidhalilisha sana,kwa kusema hawataweza kulinda watu watakaotembea
      kwa miguu kwenda jangwani kwenye mkutano,ikiwa waliweza kuwalinda watu wakati wanaandamana kwenda
      Leaders Club wakati wa msiba wa Kanumba,leo nini kumebadilika kwa watu kutembea makundi kuelekea Jangwani?
      "Shame on you"!!!!!!!!!!!!!!!
      Hakuna mtu hata mmoja atayetufanyia fujo hata tukienda kwa mguu kwa makundi labda wao palisi ndiyo watufanyie fujo sisi ata hapo jangwani wasije hawatushughulishi na jeshi lao la magamba

    16. #93
      ALEX PETER's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 17th January 2012
      Posts : 100
      Rep Power : 390
      Likes Received
      21
      Likes Given
      60

      Default Re: Kutoka Jangwani: Mkutano wa CHADEMA, Vua Gamba, Vaa Gwanda

      Hakika lazima ccm wakae kwa mwendo huu,ole wao

    17. #94
      Kuntakint's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Posts : 303
      Rep Power : 447
      Likes Received
      78
      Likes Given
      0

      Default Re: ITV live:mkutano wa chadema.

      hivi kuna radio itatangaza live ili wengine tulioko ughaibuni tusikilize
      kalokolaVIII likes this.

    18. #95
      Fidel80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 18,931
      Rep Power : 9474
      Likes Received
      3052
      Likes Given
      1192

      Default Re: Kutoka Jangwani: Mkutano wa CHADEMA, Vua Gamba, Vaa Gwanda

      Mi namalizia supu ya mapupu nishibe kabisa nikifika hapo kazi moja
      **^^+..Ukiuza Utumbo usiogope nzi..+^^**
      Chuda Raha
      Email: [email protected]

    19. #96
      Kurunzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st July 2009
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 1,934
      Rep Power : 885
      Likes Received
      381
      Likes Given
      135

      Default

      Quote By Micro E coli
      hii barabara ya bagamoyo road balaa tu yaani follen maeneo ya tegeta sijui nitawahi kweli peoples power wakuu mliopo eneo la tukio tujuzeni wengine tupo njiani tunakuja.
      Nimepita muda si mrefu hapafai hata hapo Makongo hapako vizuri hata hivyo mwenge pako shwari

    20. #97
      Crashwise's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Safarini
      Posts : 13,087
      Rep Power : 14280
      Likes Received
      3980
      Likes Given
      3246

      Default Re: Kutoka Jangwani: Mkutano wa CHADEMA, Vua Gamba, Vaa Gwanda

      Quote By Kyindokyakombe
      Hatimaye M4C - Vua Gamba Vaa Gwanda itatua Dar leo mashabiki na wapenzi wa CDM Vyuo vikuu MLIMANI, ARDHI, IMF, TIA, MWL NYERERE MEMORIAL, TUMAINI, KIU, MUHIMBILI Sote tujivute tuungane pamoja kutengeneza mustakabali wa nchi yetu.

      WANANCHI nao sehemu mbalimbali za JIJI la DAR nanyi mjitokeze kwa wingi.

      MUNGU IBARIKI CDM MUNGU IBARIKI TZ.
      Mkuuu usisahau kuturushia vipicha....
      Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.... Malcolm X Nasubiri 'breaking news... '





    21. #98
      Micro E coli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2011
      Posts : 552
      Rep Power : 491
      Likes Received
      103
      Likes Given
      88

      Default

      Quote By Kurunzi
      Nimepita muda si mrefu hapafai hata hapo Makongo hapako vizuri hata hivyo mwenge pako shwari
      kwahiyo mkuu ulishatinga jangwani hapo kama upo ninikinaendelea hapo mkuu.

    22. #99
      MATATA2011's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th December 2011
      Posts : 17
      Rep Power : 379
      Likes Received
      1
      Likes Given
      2

      Default Re: Kutoka Jangwani: Mkutano wa CHADEMA, Vua Gamba, Vaa Gwanda

      Daaa...jamani hapa MOSHI maeneo mengi umeme umezimwa na TANESCO, Sijui kama ni matengenezo au ni kutukosesha uhondo wa mkutuano wa CDM Jangwani through ITV au ni nin jamani?daaa...nasikitika...san a nchi yangu....

    23. #100
      Kyaiyembe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st December 2011
      Location : Kisukuru
      Posts : 1,135
      Rep Power : 604
      Likes Received
      345
      Likes Given
      303

      Default Re: Kutoka Jangwani: Mkutano wa CHADEMA, Vua Gamba, Vaa Gwanda

      Labda mnisaidie, ni wakati gani watu watakuwa wengi barabarani,
      je ni wakati wa kwenda ua kutoka mkutanoni?
      Na kama ni wakati wa kuondoka je watawezaje kuwalinda mda huo?
      Ni heri wangewazuia kabisa kwenda mkutanoni maana hawawezi kuwalinda watu wengi!.
      "Ikulu ni mahala PATAKATIFU,
      mimi sikuchaguliwa kuja kupageuza kuwa pango la wala RUSHWA."
      By J.K. NYERERE.

    24. Miaka 50
    Page 5 of 33 FirstFirst ... 3456715 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...