Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kutoka Jangwani: Mkutano wa CHADEMA, Vua Gamba, Vaa Gwanda

    Report Post
    Page 4 of 33 FirstFirst ... 2345614 ... LastLast
    Results 61 to 80 of 645
    1. #1
      Kyindokyakombe's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st May 2012
      Posts : 97
      Rep Power : 375
      Likes Received
      95
      Likes Given
      2

      Default Kutoka Jangwani: Mkutano wa CHADEMA, Vua Gamba, Vaa Gwanda

      Hatimaye M4C - Vua Gamba Vaa Gwanda itatua Dar leo mashabiki na wapenzi wa CDM Vyuo vikuu MLIMANI, ARDHI, IMF, TIA, MWL NYERERE MEMORIAL, TUMAINI, KIU, MUHIMBILI Sote tujivute tuungane pamoja kutengeneza mustakabali wa nchi yetu.

      WANANCHI nao sehemu mbalimbali za JIJI la DAR nanyi mjitokeze kwa wingi.

      MUNGU IBARIKI CDM MUNGU IBARIKI TZ.



      Elli, Tiba, Saint Ivuga and 20 others like this.

    2. RukaaJuu Final

    3. #61
      Apolonary's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Location : SAN DIEGO COMMUNITY
      Posts : 1,472
      Rep Power : 685
      Likes Received
      257
      Likes Given
      30

      Default Re: Helkopta ya cdm juu ya anga la dar sasa

      asante kwa taarifa KWA JINSI NINAVYOONA HAPA MBEZI KWA MSUGUR WATU ZAID YA ELF MOJA WAKO NJIAN WAKIMSUBIR MWENYEKI WA MTAA HUO KUWAONGOZA KUELEKEA JANGWANI

    4. tz1
      #62
      tz1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th March 2011
      Posts : 2,049
      Rep Power : 827
      Likes Received
      406
      Likes Given
      319

      Default Re: Jangwani kunapendeza"

      Wamepamba maua au?
      [email protected]

    5. #63
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,091
      Rep Power : 12254
      Likes Received
      6015
      Likes Given
      6854

      Default Re: Jangwani kunapendeza"

      mkutano sangapi?
      .....Ana sifa zote, nzuri na mbaya!!!

    6. #64
      webondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2012
      Location : Chini ya mwembe
      Posts : 1,167
      Rep Power : 589
      Likes Received
      178
      Likes Given
      381

      Default Yanayojiri jangwani siku ya leo

      Tafadhali wale ambao mko Jangwani mtujuze yanayojiri huko. Tunajua ni mapema mno kwa sasa ila naamini maandalizi yameshafanyika tayari.

    7. #65
      NasDaz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2009
      Location : Ushenzini
      Posts : 3,104
      Rep Power : 5354
      Likes Received
      1468
      Likes Given
      1685

      Default Re: Polisi waliwezaje kulinda msiba wa kanumba washindwe leo?

      Kwenye mazishi ya Kanumba walishindwa na ndio maana suala la kuaga maiti lilisitishwa. By the way, hakukuwa na maandano kwenda Leaders bali watu walitoka sehemu mbalimbali jijini from different angles kuelekea Leaders. Kuhusu CHADEMA, Jangwani ipo along Morogoro Rd, kuruhusu maandamano italeta usumbufu mkubwa sana kwenye hii barabara ambayo ndiyo kiunganishi kikuu cha Dar na upcountry. By the way, hayo maandamano ni ya kumkoga nani?! Kama mkutano wa hadhara hautakidhi dhima ya CDM basi hata hayo maandamano yasingeweza kukidhi.
      I am a free thinker! It's only my free thinking that leads me, to what am commenting. Thus, I've no doubt that today I can be your fellow but tomorrow your enemy, and the agent between us being my comments!! So, If today we agree with cheers, tomorrow we'd not disagree with jeers!


    8. Miaka 50

    9. #66
      njiwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2009
      Location : ax^2+bx+c=0
      Posts : 4,969
      Rep Power : 2371
      Likes Received
      962
      Likes Given
      172

      Default Re: I am attending CDM-M4C Rally at Jangwani. And you?

      why would i go there ...
      Pure Matrimony >> Purity starts here (Quran 24:26)
      My loyalty is to reason,and as a reasonable person I reserve the right to change my mind when presented with new information that alters my perspective" Njiwa"ᵀᴴᴱ'ᴼᴿᴵᴳᴵᴻᴬᴸ✯


    10. #67
      maege's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 25th February 2012
      Posts : 154
      Rep Power : 396
      Likes Received
      8
      Likes Given
      16

      Default Re: I am attending CDM-M4C Rally at Jangwani. And you?

      2gether we can!

    11. #68
      Bobuk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 2,069
      Rep Power : 923
      Likes Received
      837
      Likes Given
      0

      Default Re: Jangwani kunapendeza"

      Tatizo la Kova sio maandamano bali ni kuzuia watu kutembea kwa makundi. This is nonsense and unpractical kwa watu wanaokwenda au kutoka kwenye hadhara yeyote kama vile mkutano, football match, mazishi kama ya Kanumba, hata kwenda na kutoka shuleni kwa wanafunzi.

      Pamoja na kupewa amri kuhakikisha mkutano wa CDM haifanikiwi, lakini Kova pia anatakiwa atumie akili yake vinginevyo ataonekana a laughing stock!

    12. #69
      Mohamedi Mtoi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th December 2010
      Location : Lushoto - Kwemakame.
      Posts : 2,086
      Rep Power : 24557
      Likes Received
      3166
      Likes Given
      358

      Default Re: Jangwani kunapendeza"

      Baada ya kupiga marufuku maandamano ya chedema huenda kesho Kova akatangaza majina ya askari waliotumika kuhakikisha maandamano hayafanyiki walioingia jeshi la polisi kwa vyei bandia.
      "No man is a true believer unless he desires for his brother that which he desires for himself" Muhammad SAW

    13. #70
      gwambali's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th May 2011
      Posts : 149
      Rep Power : 436
      Likes Received
      32
      Likes Given
      41

      Default

      Quote By Apolonary
      asante kwa taarifa KWA JINSI NINAVYOONA HAPA MBEZI KWA MSUGUR WATU ZAID YA ELF MOJA WAKO NJIAN WAKIMSUBIR MWENYEKI WA MTAA HUO KUWAONGOZA KUELEKEA JANGWANI
      Mimi nipo maeneo ya temboni hapa 2po kama hamsini hivii sasa 2natafakari 2kodi gari au tuende mdogo mdogo

    14. #71
      Stany's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th April 2011
      Posts : 201
      Rep Power : 451
      Likes Received
      23
      Likes Given
      4

      Default Re: I am attending CDM-M4C Rally at Jangwani. And you?

      Following via jf wamekata umeme.

    15. #72
      Daffi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th June 2011
      Location : Arachuga
      Posts : 2,935
      Rep Power : 988
      Likes Received
      516
      Likes Given
      239

      Default Re: Jangwani kunapendeza"

      We wish you all the best in dar,letwni mabadiliko km archuga.msisahau kutuwekea picha.Peoplesssss.........?Tog ether we can make
      Walk your talk

    16. #73
      mashami's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th May 2012
      Posts : 168
      Rep Power : 388
      Likes Received
      23
      Likes Given
      1

      Default re: Kutoka Jangwani: Mkutano wa CHADEMA, Vua Gamba, Vaa Gwanda

      picha tafadhali

    17. #74
      1800's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2010
      Posts : 1,657
      Rep Power : 891
      Likes Received
      416
      Likes Given
      21

      Default re: Kutoka Jangwani: Mkutano wa CHADEMA, Vua Gamba, Vaa Gwanda

      Ndio naingia terminal from Moro,nagonga kili baridi tatu faster then natumbukia Jangwani

    18. #75
      Kyaiyembe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st December 2011
      Location : Kisukuru
      Posts : 1,140
      Rep Power : 606
      Likes Received
      345
      Likes Given
      303

      Default Re: Polisi waliwezaje kulinda msiba wa kanumba washindwe leo?

      Quote By English Learner
      REMSA,
      You are wrong.
      The Police Force failed miserably to manage people and the protocals at Kanumba's burial ceremony. The fact is justified by the cases of people who fainted not bcoz they felt Kanumba deeply but due to improper management of the masses at burying. Eventually, the want of the multitudes to throw the goodbye sand to the fresh tomb was not met.
      Kwahiyo we mwanafunzi unasemaje kuhusu polisi wetu hawaezi wachache ua wavivu ......?
      "Ikulu ni mahala PATAKATIFU,
      mimi sikuchaguliwa kuja kupageuza kuwa pango la wala RUSHWA."
      By J.K. NYERERE.

    19. #76
      tusichoke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2011
      Posts : 662
      Rep Power : 544
      Likes Received
      78
      Likes Given
      8

      Default

      Quote By English Learner
      Dear JF Members,

      Whether you in Dar or somewhere else please don't dare to miss the inaugural for M4C and the Katiba Rally. You've options around you to attend physically at Jangwani or participate by watching ITV or listening Clouds FM.

      Shout louder your grievances against all laggards of change and development. Write here on this thread your confirmation that e.g. "Salum Abdallah I'm attending/participating/listening"

      Those attending in boby and soul, sign-in in the Foursquare social network and opt-in your location when you are around Jangwani to let the world know the masses flocking to support M4C and Katiba Rally.

      English Learner am attending!
      hapo kwenye clouds fm sijaelewa wapepewa tenda watangaze au wamejipendekeza,wasije wakachakachua hotuba wakaweka za kwao

    20. #77
      ikindo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th November 2011
      Posts : 64
      Rep Power : 390
      Likes Received
      12
      Likes Given
      4

      Default re: Kutoka Jangwani: Mkutano wa CHADEMA, Vua Gamba, Vaa Gwanda

      Ikindo in his way to JAngwani.

    21. #78
      RICARDO KAKA's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 26th May 2012
      Posts : 236
      Rep Power : 399
      Likes Received
      72
      Likes Given
      39

      Default Re: M4C ME AND MY WIFE ON OUR WAY TO JANGWANi

      kwani Kutembea makundi makundi kunashida gani? kwa hiyo leo wasabato wakitoka kanisani wasitembee makundi makundi, maana watakamatwa na vijana wa kova? sishangai kova kuwalinda magamba, maana hata Tibaijuka alikuwa kamanda wa polisi kanda maalum, lkn baada ya kustaafu akaenda kugombea ubunge, sasa najiuliza alipata lini kadi ya CCM mpaka akawa na sifa ya kugombea ubunge! lkn shukrani kwa profesa Anna Tibaijuka, kwa kumudondosha kwenye kura za maoni......................... ... shame on you kova.

    22. #79
      Ndekirhepva's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th May 2012
      Location : Lubumbash
      Posts : 304
      Rep Power : 414
      Likes Received
      27
      Likes Given
      77

      Default re: Kutoka Jangwani: Mkutano wa CHADEMA, Vua Gamba, Vaa Gwanda

      Quote By Kyindokyakombe
      Hatimaye M4C Vua Gamba Vaa Gwanda itatua Dar leo mashabiki na wapenzi wa CDM Vyuo vikuu MLIMANI,ARDHI,IMF,TIA,MWL NYERERE MEMORIAL,TUMAINI,KIU,MUHIMBILI Sote tujivute tuungane pamoja kutengeneza mustakabali wa nchi yetu. WANANCHI nao sehemu mbalimbali za JIJI la DAR nanyi mjitokeze kwa wingi.MUNGU IBARIKI CDM MUNGU IBARIKI TZ.
      Tehe tehe, wekyeamba inu ni inu wai mono mao

    23. #80
      Kyaiyembe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st December 2011
      Location : Kisukuru
      Posts : 1,140
      Rep Power : 606
      Likes Received
      345
      Likes Given
      303

      Default re: Kutoka Jangwani: Mkutano wa CHADEMA, Vua Gamba, Vaa Gwanda

      Haya mapungufu tunayanukuu maana ni moja ya vipaumbele vya kufanyi marekebisho.
      baada ya kumaliza kazi ya ukombozi wa taifa hili kutoka mikononi mwa mkoloni CCM na makabaila wake

      -Kuunda polisi ya kulinda raia na siyo watawala!

      Hata hivyo watawala hawatakuwepo tena tutakuwa na viongozi watakaokuwa wanaongoza na wananchi.
      na kazi itakuwa rahisi sana kwa polisi maana watakuwa anawlinda wote kwa wakati mmoja!.

      Mpaka leo polisi wa dola la CCM wanaendelea na mfumo ule ule waenzi ya ukoloni wa mzungu kumlinda mtawala. Wala si mwananchi mlipa kodi (MISHAHARA YAO)
      "Ikulu ni mahala PATAKATIFU,
      mimi sikuchaguliwa kuja kupageuza kuwa pango la wala RUSHWA."
      By J.K. NYERERE.

    Page 4 of 33 FirstFirst ... 2345614 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...