Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: CV ya Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa

    Report Post
    Page 3 of 5 FirstFirst 12345 LastLast
    Results 41 to 60 of 85
    1. #1
      rosemarie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 4,732
      Rep Power : 1366
      Likes Received
      280
      Likes Given
      142

      Default CV ya Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa

      Wakuu naomba sana mwenye CV ya mkuu huyu Dickson Maimu,kila wakati huyu akitokea kwenye Tv ninakuwa na mashaka sana na uwezo wake,kipindi cha nyuma alikuwa anatokea akiwa amevaa cheni shingoni na mapete kibao na mkufu mkononi,kwa kweli inanitia mashaka sana kama kweli ni mtu anayefaa kwa kazi hii,,vile vile kuongea kwake ni kama mtu wa kawaida wa kijiweni nashindwa nimweke kwenye kundi gani kiuwezo,naomba kujua kama kweli ni mtu aliye tayari kufanya kazi hiyo ya muhimu kabisa ya kuwapatia watanzania vitambulisho vya taifa kwa mara ya kwanza kabisa
      ccm inakufa,asante mungu umesikia kilio chetu!!!!!!!

    2. Miaka 50

    3. #41
      Candid Scope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 7,606
      Rep Power : 15261
      Likes Received
      3731
      Likes Given
      2866

      Default Re: CV ya Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa

      Quote By Yo Yo
      arifu umeongea jambo la maana sana......kweli kabisa tz kama hapo NIDA walichukua jamaa wenye 1-3 na first class tena udsm tu.....wakiamini ndio wenye uwezo.....sasa uliza je hizo systems wana build hapo au wamenunua??

      ndio maana sasa hivi utaona msururu wa watu wanagomban ia masters ya mzumbe.......hata hao wanaokuja ku build hiz systems zao hawana hizo masters.......
      Elimu vyuo vikuu ni ya juma jumla tu, no specific studies. Majuu wanajali wanaochukua kozi fupi ambazo hujikita kwenye uwanja husika na kufanya utafiti na majaribio kabla ya kuhitimu. Bila kupasi majaribio kwa vitendo wawapo kwenye field basi hakuna kufaulu. Bongo tofauti kabisa na mtazamo huu.
      wagaba likes this.

    4. #42
      wagaba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 598
      Rep Power : 479
      Likes Received
      123
      Likes Given
      92

      Default Re: CV ya Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa

      Quote By Candid Scope
      Elimu vyuo vikuu ni ya juma jumla tu, no specific studies. Majuu wanajali wanaochukua kozi fupi ambazo hujikita kwenye uwanja husika na kufanya utafiti na majaribio kabla ya kuhitimu. Bila kupasi majaribio kwa vitendo wawapo kwenye field basi hakuna kufaulu. Bongo tofauti kabisa na mtazamo huu.
      sasa Candid, hapa kwetu bongo, ukisema mambo ya field ndo utachoka kabisa. katika jambo linaloonekana halina umuhimu ni hilo la kwenda field. Nadhani una mifano lukuki jinsi pesa za field zinavyoletewa zengwe balaa! Migomo kila kukicha ni kwa sababu ya faranga za field. wanajali zaidi ufaulu wa kukaa ktk chumba cha mtihani tu (kupiga paper).
      ndo maana kesi za kugushi vyeti halitaisha hapa bongo. Sijui kama tutafika huko tuendako kwa staili hii.
      Candid Scope likes this.

    5. #43
      poison's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th March 2008
      Posts : 80
      Rep Power : 589
      Likes Received
      27
      Likes Given
      1

      Default Re: CV ya Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa

      Quote By Yo Yo
      arifu umeongea jambo la maana sana......kweli kabisa tz kama hapo NIDA walichukua jamaa wenye 1-3 na first class tena udsm tu.....wakiamini ndio wenye uwezo.....sasa uliza je hizo systems wana build hapo au wamenunua??

      ndio maana sasa hivi utaona msururu wa watu wanagomban ia masters ya mzumbe.......hata hao wanaokuja ku build hiz systems zao hawana hizo masters.......
      Swali najiuliza hivi Tanzania wanahakiki elimu ya maconsultant wanaokuja ? au wanahakiki tuu vyeti vya watanzania ?, Maana Kampuni inapewa Projects wanawajua hao wanaowaleta ? , Maana wanapotafuta kampuni wanaangalia accomplishment ya hizo kampuni kutekeleza miradi , hawahakiki watu walionao, mara nyingi kampuni zinatuma tuu profile za wataalamu, wakitumia kigezo hicho kwa watu kuangalia mafanikio waliopata pia kama kigezo kimojawapo Miradi mingi itafanikiwa

      Mimi wanaweza kunikataa lakini nikaja kwa mlango wa nyuma kama Consultant wa kampuni na wakanilipa mara 10 ya ambavyo wangenilipa, maana makampuni consultantancy huku yanapoajiri yanaangalia uwezo wako wa kufanya projects sio vinginevyo

    6. #44
      ngamiamzee's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th June 2011
      Posts : 238
      Rep Power : 450
      Likes Received
      16
      Likes Given
      1

      Default Re: CV ya Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa

      Tatizo la Watanzania wanapenda waambiwe uongo ukweli awataki sasa tutaendeleaje
      kwa kusikiliza uongo tuuuuuuuuuu na kuwachukia wanaosema ukweli acheni roho mbaya
      jamaani jamaaaa wa NIDA ni jembe miaka zaidi ya 40 viambilisho vinakuwa story sasa
      tunakaribia kupata Mnamfukuza kazi Maimu halafu akae nani mbona uchagui mbadala wake
      Yaani wewe sasa ni Rais kikwete unafukuza watu kazi kwa kutumia mtandao wa jamii ongera
      Mhe Rais kwa kuwa mmoja wetu

    7. #45
      topthinker's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2011
      Posts : 413
      Rep Power : 496
      Likes Received
      108
      Likes Given
      77

      Default Re: CV ya Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa

      Quote By mzee wa njaa
      Mwenye CV yake aweke mbona porojo nyingi sana humu.
      wekeni cv wakuu tunataka tusome tuone uwezo wake kabla hatuja hukumu

    8. FemaTV & Radio

    9. #46
      Magobe T's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th March 2008
      Location : I'm based in Dar es Salaam
      Posts : 2,055
      Rep Power : 1391
      Likes Received
      262
      Likes Given
      403

      Default Re: CV ya Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa

      Quote By Phillemon Mikael
      Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya VItambulisho vya Taifa- NIDA ,anatarajiwa kupigwaa chini wakati wowote kuanzia sasa....kwa kosa kubwa la kihaini la kuvunja sheria ya usalama wa Taifa,Taratibu za usalama wa Taifa zinakataza mtu ,taaisis au jumuia yeyote kutoa utambuzi wa Afisa au maafisa au watumishi wa idara za usalama ,na vyombo vyao...,Aidha ni marufuku kutoa taarifa yeyote itakayoonesha uwezo wa taasisi au chombo cha usalama .....ikiwemo majeshi.

      Taarifa zilizotolewa na NIDA zimeonesha udhaifu mkubwa wa kiuweledi .....,wa kutoa taarifa za undani juu ya uwezo wa maafisa na askari wa majeshi yetu,katika Hali ya kawaida ....NDugu Mwaimu ...alikuwa na uwezo kabisa wa kuandika barua ya Siri kwenda kwa Amiri jeshi mkuu au mkuu wa majeshi kueleza juu ya kile alichokibaini.......ili aweze kujibiwa....na Kushauriwa cha kufanya......,Kiukweli hakuna anayekataa kazi Yake ila ni utaratibu mbovu alioutumia kutokea taarifa..hizo nyeti kana kwamba alikuwa amekagua .....sekta ya umma ...ie walimu, madaktari ,etc...

      Katika Hali ya kawaida ya usalama inaelezwa kuwa Askari 250 wa jeshi la wananchi waliogundulika kuwa na majina mawili mawili...au yanayotofautiana na vyeti ....wengi wao wanatoka kitengo Nyeti cha Millitary Intelligence .....ambao karibu wote huwa na ...majina feki,,passport na VItambulisho zaidi ya kimoja...au hata passport za mataifa mengine....kadiri ya mikakati ya kijeshi.......Ni kosa la kihaini kutambua maaskari wa aina hii maana unaweza kuwasababishia Maafa na kuvuruga mipango Yao...,Pia imebainika kuwa ni maaskari wa kitengo hichi ambao wengine kwa sababu maalum ...wana VItambulisho vya idara Nyingine za kiraia ie ..TAnapa,wizara...na hata mashirika ya umma....au wizara ya nje.

      Pia ndani ya jeshi la Polisi...Kati ya Hao askari polisi 700 ....wapo wa kitengo cha DCI...plain clothed police....,kitengo cha madawa ya kulevya...,Iterpol etc...ambao nao inaelezwa sio ajabu kukutana wanatumia majina tofauti na ya kwenye vyeti....kutokana na unyeti wa kazi Zao....

      Haya ndio yanayofikia watu wa usalama kuona kuwa Ndugu Mwaim,hata Kama alikuwa na nia njema ....Kama Afisa wa serikali ...anayejuwa undani wake tayari amevunja sheria za usalama wa Taifa....kwa kushindwa kuwasiliana na vyombo husika katika Hali ya Usiri........stahili.
      Siyo rahisi katika ulimwengu wa leo kuwadanganya Watz. Danganya wasio na elimu!

    10. #47
      poison's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th March 2008
      Posts : 80
      Rep Power : 589
      Likes Received
      27
      Likes Given
      1

      Default Re: CV ya Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa

      Key success of the project is to be delived on time within the planned costs even better "under budget and ahead of schedule", but for unseen issues (duplicate certificates of education in NIDA case) can hinder the success , Maimu was open to stakeholders on the issue to point out the risks, we are supposed to recommend him for that not to ask for his CV, without even knowing the status of the current project , has he accomplished that before "Yes" according to one of the thread , For me if he has PHD or certificate its irrevant - I could have asked has Maimu ever lead any sucessful project before ? , the a lot of people with Great resume but if you look at project accomplishment they leave a lot to be desired, they just elaborate they worked here there as so and so but if you investigate further they was no success in any of the projects - Accomplishement is the key
      Candid Scope likes this.

    11. #48
      Tikerra's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2008
      Location : Morogoro
      Posts : 1,588
      Rep Power : 864
      Likes Received
      100
      Likes Given
      3

      Default

      Kwa kumtetea Maimu kiasi hiki na kwa kiingereza hiki,inaelekea na wewe ni kihiyo.HATA HIVYO NISISITIZE KWAMBA KWA KAZI HII, TUNAHITAJI MSOMI MZURI WITH OUTSTANDING EXPERIENCE AND ACHIEVEMENTS.Kama elimu haina maana basi kusingekuwa na haja ya kusoma basi.
      Quote By poison
      Key success of the project is to be delived on time within the planned costs even better "under budget and ahead of schedule", but for unseen issues (duplicate certificates of education in NIDA case) can hinder the success , Maimu was open to stakeholders on the issue to point out the risks, we are supposed to recommend him for that not to ask for his CV, without even knowing the status of the current project , has he accomplished that before "Yes" according to one of the thread , For me if he has PHD or certificate its irrevant - I could have asked has Maimu ever lead any sucessful project before ? , the a lot of people with Great resume but if you look at project accomplishment they leave a lot to be desired, they just elaborate they worked here there as so and so but if you investigate further they was no success in any of the projects - Accomplishement is the key

    12. #49
      Tikerra's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2008
      Location : Morogoro
      Posts : 1,588
      Rep Power : 864
      Likes Received
      100
      Likes Given
      3

      Default

      Kwa kumtetea Maimu kiasi hiki na kwa kiingereza hiki,inaelekea na wewe ni kihiyo.HATA HIVYO NISISITIZE KWAMBA KWA KAZI HII, TUNAHITAJI MSOMI MZURI WITH OUTSTANDING EXPERIENCE AND ACHIEVEMENTS.Kama elimu haina maana, basi kusingekuwa na haja ya kusoma.
      Quote By poison
      Key success of the project is to be delived on time within the planned costs even better "under budget and ahead of schedule", but for unseen issues (duplicate certificates of education in NIDA case) can hinder the success , Maimu was open to stakeholders on the issue to point out the risks, we are supposed to recommend him for that not to ask for his CV, without even knowing the status of the current project , has he accomplished that before "Yes" according to one of the thread , For me if he has PHD or certificate its irrevant - I could have asked has Maimu ever lead any sucessful project before ? , the a lot of people with Great resume but if you look at project accomplishment they leave a lot to be desired, they just elaborate they worked here there as so and so but if you investigate further they was no success in any of the projects - Accomplishement is the key

    13. #50
      OLESAIDIMU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2011
      Posts : 1,242
      Rep Power : 732
      Likes Received
      494
      Likes Given
      470

      Default Re: CV ya Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa

      Poison@ na Candid@ leo naomba kutofautiana nanyi...... hii mada ianzishieni uzi mtoe mfumo wa mfano wa kuweza kufanya hayo mnayo hubiri. huko mnakosemea kuna super specialization ndo maana just a potion of knowledge can work katika kitengo husika. Kama kweli haya mnayosema ndo yako huko......wangeshafunga universities zote au kuzigeuza into vocational colleges lakini hawafanyi haya mnayoweka hapa mtandaoni.........

      Just out of curiosity........huko ughaibuni graduates hawaajiriwi kweli?????
      Hegemony is unlikely ever to be complete (A. Gramsci)

    14. #51
      poison's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th March 2008
      Posts : 80
      Rep Power : 589
      Likes Received
      27
      Likes Given
      1

      Default Re: CV ya Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa

      Quote By Tikerra
      Kwa kumtetea Maimu kiasi hiki na kwa kiingereza hiki,inaelekea na wewe ni kihiyo.HATA HIVYO NISISITIZE KWAMBA KWA KAZI HII, TUNAHITAJI MSOMI MZURI WITH OUTSTANDING EXPERIENCE AND ACHIEVEMENTS.Kama elimu haina maana basi kusingekuwa na haja ya kusoma basi.
      Mimi sijakataa kabisa mimi ni Kihiyo kama unavyosema sijui kingereza kama wewe uliyesoma maana kingereza ni kuelimika tena nimeona niandike kiswahili nisije nikawakosea wasomi, hata kwenye thread zangu nimesema sina degree yeyote na wala sitakuwa nayo maana uwelewa wangu darasani ni mdogo

    15. #52
      poison's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th March 2008
      Posts : 80
      Rep Power : 589
      Likes Received
      27
      Likes Given
      1

      Default Re: CV ya Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa

      Quote By OLESAIDIMU
      Poison@ na Candid@ leo naomba kutofautiana nanyi...... hii mada ianzishieni uzi mtoe mfumo wa mfano wa kuweza kufanya hayo mnayo hubiri. huko mnakosemea kuna super specialization ndo maana just a potion of knowledge can work katika kitengo husika. Kama kweli haya mnayosema ndo yako huko......wangeshafunga universities zote au kuzigeuza into vocational colleges lakini hawafanyi haya mnayoweka hapa mtandaoni.........

      Just out of curiosity........huko ughaibuni graduates hawaajiriwi kweli?????
      Kufafanua Elimu ni muhimu sana hata Degree ni muhimu sana, graduate wanaajiriwa pia tena sana , ila sio kigezo pekee cha kumfanya mtu aongoze shirika au sehemu kwa ufanisi, Mimi nilikuwa mkuu wa Idara hapa na Elimu yangu na niliiajiri magraduate wengi tuu na sio kwamba hawakuwepo wengine wenye Masters kwenye idara yangu waliagalia mafanikio yangu wakanipa mimi ukuu wa idara, hata nilipoanzisha kampuni yangu wakawa wananipa kazi nyingi tuu na wakijua Elimu yangu ni kihiyo
      Candid Scope likes this.

    16. #53
      poison's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th March 2008
      Posts : 80
      Rep Power : 589
      Likes Received
      27
      Likes Given
      1

      Default Re: CV ya Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa

      Kwa sisi tusio na Elimu tuliizingaia article kama
      Resume Education Section, Educational Experience, Honors Programs

      Haswa kwenye section kama

      Lacking Educational Credentials
      If you don't have the degree required by the position to which you are applying but have relevant ongoing training, create a "Professional Development" section above Education and list any seminars, classes, and conferences in which you participated.

      Wenzetu huku wanatumia sana "Professional Development" - Sisi hiyo hata sidhani kama inaangaliwa unaitwa kihiyo mara hujui kingereza kazi kweli kweli lakini siku moja tutafika

    17. #54
      Inkoskaz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : URT
      Posts : 4,408
      Rep Power : 7350
      Likes Received
      1067
      Likes Given
      1098

      Default Re: CV ya Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa

      Academic qualifications na perfomance achievement ni vitu viwili tofauti na mara nyingi hutokana na msingi wa awali.kama alivyochangia member mmoja mtu anaweza kuwa awarded kulingana na msukumo wa kiu yake lakini asijipime uwezo wake kurudi nyuma kwa elimu aliyonayo.siku za nyuma kwa mfano wanafunzi waliofaulu vema sayansi na hesabu walipelekwa shule za ufundi kama moshi tech au ifunda tech then akifaulu form four vizuri anajiunga tech college for full technician certificate miaka 3.. Baada ya ajira anaweza kurudi for advanced diploma ambayo waliiconsider equivalent na first degree lakini kiajira ni tatizo ukicompare na mtu aliyesoma secondary a level siyo ya ufundi akajoin universty kwa degree ya engineering.hawa watu wawili ukiwaweka katika mizania ya utendaji utawatambua tu..yupi ana msingi na yupi amehitimu.
      Candid Scope and webondo like this.
      Thinking is the hardest work there is,which is probably the reason why so few engage in it!!

    18. #55
      webondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2012
      Location : Chini ya mwembe
      Posts : 1,167
      Rep Power : 589
      Likes Received
      178
      Likes Given
      381

      Default Re: CV ya Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa

      Quote By jino kwa jino
      alikuwa chakula!
      Ahhh unasema....??? Yaani anawekwa mezani halafu analiwa??

    19. #56
      Chibidu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2008
      Posts : 353
      Rep Power : 601
      Likes Received
      31
      Likes Given
      48

      Default

      Quote By mzee wa njaa
      Mwenye CV yake aweke mbona porojo nyingi sana humu.
      FYI Maimu ndiye aliyeifufua vizazi na vifo ambayo ilikuwa imekufa, haieleweki inafanya kazi gani. Baada ya kupewa nafasi alioenesha uchapakazi wake, akabadirisha na jina kuwa RITA. Sasa hivi karibu kila mtanzania ana cheti cha kuzaliwa ndani ya siku mbili (unless wewe mwenyewe usione umuhimu wa kuwa nacho) wakati kabla ya yeye kuanzisha RITA kuwa na cheti cha kuzaliwa ilikuwa ndoto. Maimu ni miongoni mwa wataalam wachache serikalini walio engeneer integration ya payroll ya serikali. Maimu ndiye aliyekuwa kinara wa kuanzisha e-government japo kabla haijakamilika akawa amepelekwa RITA. CV gani unayotaka wewe? Kama suala ni cheni, hata mkulu anazo na umemchagua kuishi pale kwenye nymba nyeupe, cheo cha juu kabisa hapa TZ. Tuache majungu watz tufanyekazi

    20. #57
      eliesikia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th October 2010
      Location : Nairobi
      Posts : 398
      Rep Power : 517
      Likes Received
      63
      Likes Given
      71

      Default

      Quote By Candid Scope
      Watanzania na Waafrika tuachane na kasumba ya kufikiri vyeti vingi vya kubandika ukutani ndivyo vinavyofanya kazi bila kuangaliwa uwezo wa mtu. Si kila aliyesoma ameelimika, na si kila aliyeelimika ana uwezo wa kuongoza. Kuongoza ni bongo la mtu. Mababu zetu walikuwa machifu wakubwa ambao hawakujua kusoma na kuandika, lakini waliweza kufanya organization nzuri na hata kupigana na wakoloni na kuwashinda, CV zao na bongo lao na uwezo wao.

      Kasumba hii ndiyo inayoturudisha nyuma kimaendelea kwa kufikira kusoma ndiko kuendelea. Wenye kujua zaidi siku hizi wanasomelea kile anachotaka kufanyia kazi kwani wengi wanasoma bila malengo ili mradi awe na sifa ya kwamba amemaliza chuo kikuu au phd na kuishia kutangatanga bila kazi, nini tatizo kusoma bila malengo.

      Nimeshuhudia nchi za ulaya na Marekani wengine huchukua mafunzo ya muda mfupi (short course) na baada ya hapa huajiriwa moja kwa moja kwa vile wamechukulia mafunzo katika taaluma inayohotajika kazini na mara wanaanza kutia pesa mfukoni mwao. Lakini wale wanaohitimu vyo vikuu wengi wanahangaika kupata kazi kwani elimu yao ni ya jumla jumla ambayo makampuni yakiwaajiri inabidi yaanze kuwafunza kazi tofauti na aliyechukua kozi mfupi maalum kwa ajili ya kazi hiyo. Ingawa kuna baadhi ya kazi zinahitaji kiwango fulani cha degree, lakini si hoja ya kuashiria uwezo wa kuongoza katika madara.

      Tuachane na ukiritimba wa kufikira CV ndizo zinafanya kazi kumbe ni kasumba tu ya Watanzania na Waafrika.
      Hicho unachosema ndio CV... fikiria akiajiriwa ambaye hana hata hicho cheti na kuachwa aliyesoma... Hata ww unaamini aliyesoma regardless of long course or short ndiye mwenye uwezo wa hiyo kazi kwa kiwango chake... Degree ndio baba yao kama huna kaza buti mjomba kazi majaliwa...Afu acha kuwaza kuajiliwa soma uajiri wenzako

    21. #58
      eliesikia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th October 2010
      Location : Nairobi
      Posts : 398
      Rep Power : 517
      Likes Received
      63
      Likes Given
      71

      Default

      Quote By poison
      Mkuu Pasco

      Siwezi kabisa kuitafuta hiyo degree unayosema wala siitaki I am doing very fine without it , I build systems and I have proved I am good in fortunme 100 companies hakuna mtu ameshawahi kuniuliza degree hakuna they look at my resume wananigombania , I have lead big projects kuliko hiyo vitambulisho and it went well, sio kwamba watu wasipate degree ila sio kigezo pekee, Facebook, Microsoft wamelead companies very sucessful sasa niambie degree zao ziko wapi and we are taking about Billion dollar companies sio vitambulisho sidhani kama inafika $200 million
      Kaka Zuka na Bills wanaitwa college dropouts sio watu wasio na degree.. Ukiangalia maksi zao za SAT utagundua these havardians are extra ordinary... Wenzio wanavyeti aibu kabla ya kuzama Havard lakini sio kwamba hawana degree bali maksi zao high school zinathibitisha there brain depth n size
      poison likes this.

    22. #59
      poison's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th March 2008
      Posts : 80
      Rep Power : 589
      Likes Received
      27
      Likes Given
      1

      Default Re: CV ya Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa

      Quote By eliesikia
      Kaka Zuka na Bills wanaitwa college dropouts sio watu wasio na degree.. Ukiangalia maksi zao za SAT utagundua these havardians are extra ordinary... Wenzio wanavyeti aibu kabla ya kuzama Havard lakini sio kwamba hawana degree bali maksi zao high school zinathibitisha there brain depth n size
      Mkuu sasa na sisi ambao hatuenda tuu chuo shauri chuo kilikuwa kimoja tuu sio kwamba tulifeli tumeweza kujiendeleza na tukawa na kwa "Professional Development" tunaweza kujiita "college equivalent" ?

    23. #60
      eliesikia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th October 2010
      Location : Nairobi
      Posts : 398
      Rep Power : 517
      Likes Received
      63
      Likes Given
      71

      Default

      Quote By poison
      Key success of the project is to be delived on time within the planned costs even better "under budget and ahead of schedule", but for unseen issues (duplicate certificates of education in NIDA case) can hinder the success , Maimu was open to stakeholders on the issue to point out the risks, we are supposed to recommend him for that not to ask for his CV, without even knowing the status of the current project , has he accomplished that before "Yes" according to one of the thread , For me if he has PHD or certificate its irrevant - I could have asked has Maimu ever lead any sucessful project before ? , the a lot of people with Great resume but if you look at project accomplishment they leave a lot to be desired, they just elaborate they worked here there as so and so but if you investigate further they was no success in any of the projects - Accomplishement is the key
      Poison ulivyosema pale mwanzoni uko marekani nilijua kweli...Umeharibu hapa lwenye ngeli tuu. Maana daaah Lugha ya kata hiyo Mjomba

    Page 3 of 5 FirstFirst 12345 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...