Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Prof Shivji na mihadhara ya katiba ITV

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 41
    1. #1
      mwakidondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2012
      Posts : 472
      Rep Power : 449
      Likes Received
      52
      Likes Given
      51

      Default Prof Shivji na mihadhara ya katiba ITV

      Wakuu jana nimeangalia mhadhala juu ya katiba ulioendeshwa na Prof. Shivji kupitia ITV, lazima nikiri mzee huyu mbali ya kuwa na weredi wa kupindukia kwenye medani ya sheria na katiba ni mzalendo wa kutukuka. Anaelimisha vizuri sana suala zima la maana na umuhimu wa katiba, historia ya katiba, mchakato wa upatikanaji wa katiba mpya.

      Jana ilikuwa kipindi cha pili mhadhala utaendelea tena jumatano saa tatu kamili usiku, ni live itv. Fuatilieni wakuu.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Fredrick Sanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2011
      Location : Kijitonyama
      Posts : 2,982
      Rep Power : 2590
      Likes Received
      637
      Likes Given
      776

      Default Re: Prof shivji na mihadhala ya katiba itv

      Huyu ni katika wale wachache, kipenzi cha Mungu, hajui unafiki, anatoa yote kwa moyo wa kizalendo. Na anastahili heshima kweli. Ameelezea bunge la katiba, linavyopatikana na historia ya katiba ya Tanganyika na Tanzania. Sikuambulia pa kumkosoa. Nafikiri kipindi kinahitaji yafuatayo
      1. Kiendelee wakati wote wa mchakato wa katiba
      2. Kiongezewe masaa hadi mawili
      3. Tume yenyewe ipewe semina na Huyu proffesor
      4. Tumtafutie Tuzo kubwa huyu proffesor.
      We shall overcome, righteousness shall always prevail.

    4. #3
      fmlyimo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th May 2012
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 116
      Rep Power : 441
      Likes Received
      48
      Likes Given
      13

      Default Re: Prof shivji na mihadhala ya katiba ITV

      Hivi kwa nini huyu Profesa hakuteuliwa kwenye tume ya Warioba? Huwa najiuliza sipati jibu.
      Lyimo, Shwari and NnyaMbwate like this.

    5. #4
      Njowepo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Location : Santiago
      Posts : 7,634
      Rep Power : 22062
      Likes Received
      1009
      Likes Given
      803

      Default Re: Prof shivji na mihadhala ya katiba ITV

      Kipindi cha kwanza nilikiona mzee yuko deep na anajua alichokuwa anafanya!
      Alituasa tusipo itikia wito katiba itaundwa na wachache ili kuja kuongoza majority!
      Shwari likes this.
      WB Tanzania lead economist Jacques Morisset said the GDP doubled in 10 years, but it has failed to produce any significant decline in poverty levels.

    6. #5
      Ileje's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th December 2011
      Posts : 1,045
      Rep Power : 584
      Likes Received
      406
      Likes Given
      107

      Default Re: Prof shivji na mihadhala ya katiba ITV

      Ni ukweli usiofichika kuwa Prof. Shivji amebobea katika fani yake. Wasiwasi wangu ni kuwa je watawala wanafurahia mihadhara hii?
      Shwari likes this.
      Never give up your right!


    7. #6
      Bangoo's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 3rd November 2011
      Posts : 2,293
      Rep Power : 0
      Likes Received
      374
      Likes Given
      0

      Default Re: Prof shivji na mihadhala ya katiba ITV

      Wahindi woote wangekuwa hivi tungekuwa mbali.
      HAKIKA NI MZALENDO
      HANA PUNJE YA UNAFKI.

    8. #7
      Fredrick Sanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2011
      Location : Kijitonyama
      Posts : 2,982
      Rep Power : 2590
      Likes Received
      637
      Likes Given
      776

      Default Re: Prof shivji na mihadhala ya katiba ITV

      Quote By fmlyimo
      Hivi kwa nini huyu Profesa hakuteuliwa kwenye tume ya Warioba? Huwa najiuliza sipati jibu.
      Sio mbaya, ila apewe vipindi vingi sana kuelimisha umma. Huyu mle ndani ya tume, asingeweza kuelewana na wajumbe. Huyu anatakiwa kutoa semina kwa wajumbe wa tume na bunge. Kurekebisha mambo fulani fulani. Hasa wabunge wa CCM ambao wameonyesha upeo wa chini katika masula ya kutunga katiba.
      Shwari likes this.
      We shall overcome, righteousness shall always prevail.

    9. #8
      thatha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 5,057
      Rep Power : 0
      Likes Received
      229
      Likes Given
      1

      Default Re: Prof Shivji na mihadhara ya katiba ITV

      Quote By mwakidondo
      Wakuu jana nimeangalia mhadhala juu ya katiba ulioendeshwa na Prof. Shivji kupitia ITV, lazima nikiri mzee huyu mbali ya kuwa na weredi wa kupindukia kwenye medani ya sheria na katiba ni mzalendo wa kutukuka. Anaelimisha vizuri sana suala zima la maana na umuhimu wa katiba, historia ya katiba, mchakato wa upatikanaji wa katiba mpya.

      Jana ilikuwa kipindi cha pili mhadhala utaendelea tena jumatano saa tatu kamili usiku, ni live itv. Fuatilieni wakuu.
      Nasikia vitakuwa vipindi vitano tu, nawashauri ITV watengeneze DVDs nyingi za mihadhara hiyo na kuziuza kwa bei poa kwani ni rejea muhimu sana kwa wanaopenda kuijua katiba na ambayo haiwezi kupatikana kokote kwingine.
      Fredrick Sanga likes this.

    10. #9
      Fredrick Sanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2011
      Location : Kijitonyama
      Posts : 2,982
      Rep Power : 2590
      Likes Received
      637
      Likes Given
      776

      Default Re: Prof Shivji na mihadhara ya katiba ITV

      Quote By kisima jongoo
      Nasikia vitakuwa vipindi vitano tu, nawashauri ITV watengeneze DVDs nyingi za mihadhara hiyo na kuziuza kwa bei poa kwani ni rejea muhimu sana kwa wanaopenda kuijua katiba na ambayo haiwezi kupatikana kokote kwingine.
      Hapana, ITV wamuombe Prof kuendelea na maada mbalimbali za katiba. Hili la DVD sawa lakini ni kwa wachache sana. Sasa wabuni mkakati wa Radio one na Prof shivji. Waacheni TBC walale.
      We shall overcome, righteousness shall always prevail.

    11. #10
      democratic's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2011
      Posts : 1,602
      Rep Power : 819
      Likes Received
      278
      Likes Given
      52

      Default Re: Prof shivji na mihadhala ya katiba ITV

      Quote By fmlyimo
      Hivi kwa nini huyu Profesa hakuteuliwa kwenye tume ya Warioba? Huwa najiuliza sipati jibu.
      jibu ni kwamba ccm na ukweli ni mafuta na maji havichanganywi

    12. #11
      Hofstede's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2007
      Posts : 3,604
      Rep Power : 21342
      Likes Received
      981
      Likes Given
      988

      Default Re: Prof Shivji na mihadhara ya katiba ITV

      Quote By mwakidondo
      Wakuu jana nimeangalia mhadhala juu ya katiba ulioendeshwa na Prof. Shivji kupitia ITV, lazima nikiri mzee huyu mbali ya kuwa na weredi wa kupindukia kwenye medani ya sheria na katiba ni mzalendo wa kutukuka. Anaelimisha vizuri sana suala zima la maana na umuhimu wa katiba, historia ya katiba, mchakato wa upatikanaji wa katiba mpya.

      Jana ilikuwa kipindi cha pili mhadhala utaendelea tena jumatano saa tatu kamili usiku, ni live itv. Fuatilieni wakuu.
      Mkuu tunashukuru sana kwa taarifa, pia kutokana na maendeleo ya IT, siku hizi ingekuwa ni kusaidia jamii kama unge-record na ku-post youtube kwa wale waliokosa mijadala iliyopita au ambao hawana access na ITV kwa sasa (Wapo out of scope of ITV)

    13. #12
      Josephine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2010
      Posts : 699
      Rep Power : 731
      Likes Received
      756
      Likes Given
      134

      Default Re: Prof Shivji na mihadhara ya katiba ITV

      nakubaliana na mawazo mliyoyatoa,hata mimi nafuatilia kipindi hicho ni kizuri sana.
      sulphadoxine likes this.
      Zaburi 1:1 Heri mtu yule asiyekwenda katika shahuri la wasio haki;wala hakukusanyika katika njia ya wakosaji;wala hakuketi barazani pa wenye mizaha.

    14. #13
      The Listener's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2012
      Posts : 468
      Rep Power : 462
      Likes Received
      93
      Likes Given
      18

      Default Re: Prof shivji na mihadhala ya katiba ITV

      Quote By fmlyimo
      Hivi kwa nini huyu Profesa hakuteuliwa kwenye tume ya Warioba? Huwa najiuliza sipati jibu.
      the guys fear their shadows

    15. #14
      Fredrick Sanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2011
      Location : Kijitonyama
      Posts : 2,982
      Rep Power : 2590
      Likes Received
      637
      Likes Given
      776

      Default Re: Prof shivji na mihadhala ya katiba ITV

      Quote By democratic
      jibu ni kwamba ccm na ukweli ni mafuta na maji havichanganywi
      Kweli, nakumbuka hata wale wanafunzi wake waliopo bungeni, baadhi walimkejeli. Corruption despair rational decision making. Haki na rushwa ni kama maji na mafuta. Lakini hata hao CCM hawaelewi kitu, wanahitaji shule kutoka kwa Prof. Wakielewa kidogo tu watabadilika.
      We shall overcome, righteousness shall always prevail.

    16. #15
      zumbemkuu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 11th September 2010
      Location : street dweller
      Posts : 5,345
      Rep Power : 2005
      Likes Received
      2124
      Likes Given
      7829

      Default Re: Prof Shivji na mihadhara ya katiba ITV

      mzanzibari mwenye akili nyingi
      "watakaotubeza na kututukana wasameheni wanahitaji ukombozi wa fikra" Mh.G.Lema

    17. #16
      Shekispia's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th February 2012
      Location : Dar es salaam
      Posts : 201
      Rep Power : 405
      Likes Received
      23
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By zumbemkuu
      mzanzibari mwenye akili nyingi
      mkuu nani kakwambia prof ni mpemba???fanya utafiti sio unatoa povu tu.

    18. #17
      Maundumula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 5,050
      Rep Power : 3122
      Likes Received
      1377
      Likes Given
      5834

      Default Re: Prof shivji na mihadhala ya katiba ITV

      Quote By fmlyimo
      Hivi kwa nini huyu Profesa hakuteuliwa kwenye tume ya Warioba? Huwa najiuliza sipati jibu.
      Angeteuliwa msingepata hii faida, ameachwa nje ili asaidie kukosoa hapa na pale.

    19. #18
      HAZOLE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th February 2011
      Posts : 1,056
      Rep Power : 629
      Likes Received
      211
      Likes Given
      37

      Default Re: Prof Shivji na mihadhara ya katiba ITV

      Viva prof
      JANA SI NIMEKOSEA BOMA NIKAINGIA KWA MAMA MKWE, IMELEWA SANA JANA. CHIBOROIKWE IMECHOOOOKA SANA LEO!!

    20. #19
      Bangoo's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 3rd November 2011
      Posts : 2,293
      Rep Power : 0
      Likes Received
      374
      Likes Given
      0

      Default Re: Prof Shivji na mihadhara ya katiba ITV

      wazanzibar nao! eti mzanzibari!
      Kwani kuna tatizo gani akiwa mzanzibari? Sisi hatuangalii mzanzibari, tunaangalia mtanzania!
      Maana nyie kila kitu mzanzibari wy?.

    21. #20
      Tyad of fake Politcs's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 35
      Rep Power : 367
      Likes Received
      8
      Likes Given
      42

      Default Re: Prof Shivji na mihadhara ya katiba ITV

      kama serikali ina ueledi uyo mzee inabd apate tuzo,jinsi anavyo-lecture ata kma uwez kusoma na kuandka lazma utaelewa tena sana.

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...