Ziara ya Mwenyekiti Bavicha Heche (katika picha) akisambalatisha ngome ya Anna Kilango same
1. alifungua matawi ya CDM same
2.alipokea wana ccm wakiwemo viongozi wa vijiji na vitongoji
3 na kufanya mikutano jimboni kwa Anna
Ziara ya Mwenyekiti Bavicha Heche (katika picha) akisambalatisha ngome ya Anna Kilango same
1. alifungua matawi ya CDM same
2.alipokea wana ccm wakiwemo viongozi wa vijiji na vitongoji
3 na kufanya mikutano jimboni kwa Anna
Nimeipenda sana hii. Tunahitaji viongozi wachacharikaji kwa ajili ya kukijenga chama. Tukaze buti, hakuna kulala hadi kieleweke!
mushi,
sisi huku Vuathu/Upareni huwa tunaimba "mtani muagha, mtani muagha, unenya uale, unenya uale"!! sasa tukiweka utani pembeni, wananchi wa upare tumekuwa na rekodi ya kuwabadilisha wabunge mara kwa mara na mara zote tumefanya hivyo baada ya kutoridhika na utendaji wao wa kazi na kusukuma gurudumu la maendeleo. hii ni tofauti na maeneo mengine ya tanzania ambapo huchagua wabunge walewale kwa mihula mingi.
kuhusu maendeleo, wananchi wa Upare wana ari ya maendeleo na hiyo inathibitishwa na jinsi wanavyofanya kazi kwa kujitolea(tunaita msaragambo) katika mazingira magumu sana. ndiyo maana kuna watu wakifika upare wakiona barabara tulizochimba wenyewe hawaamini wanadhani ametujenge msuya!! tulichokosa sisi ni wabunge madhubuti tangu aondoke mzee wetu chediel mgonja "kaghembe."
tumejaribu kupata mbunge makini ndani ya ccm, hatukufanikiwa. sasa tunakwenda kutafuta mbunge nje ya ccm baada ya kujiridhisha kwamba mfumo wa utawala wa ccm umeoza.
Last edited by bangusule; 25th May 2012 at 17:56.
Ndio Wasira akasema CHADEMA itakuwa baada ya mwaka mmoja ujao kwa mwendo huu.. Kweli uzee ni dawa ila kwa Wasira uzee ni ugonjwa.
"One of the penalties for refusing to participate in politics is that you end up being governed by your inferiors"-Plato
@bangusule, kubadili viongozi wa chama kile kile mlidhani ni solution?Bado mlikuwa inside the box.Najuwa tatizo la maji ni sugu na sidhani kama limekwishashughulikiwa.Magamba is the same, and the problems we are facing as a nation are the same.However hizi picha zina encourage,wananchi wamechoshwa,its time to burry them (ccm) once and for all
"One of the penalties for refusing to participate in politics is that you end up being governed by your inferiors"-Plato
heche, lini utakuja mbeya
frustration is given by expectationdivide by
outcome
ie frustration = expectation/outcome
Follow Us Here